MUHOGO MTAMU - MAU MPEMBA NA DONGO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- #MauMpemba #KomboKichwa #VitukoZanzibar
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500
nice
Mashallah
Dongo kumbe umwiziii?😅ndongo nakupenda sn sn .unajuwa kazi yk ww na kidundo
Team Mau ,nawafatilia sana yan video zanu zina mafunzo kedekede ,Mungu awabariki sana....wapemba wana ukarimu sana na insha allah naja kuoa uko...😊😅
Mahar yakipemba utayawez 😂😂
Kweli hiyo zamani kwel
Wapemb hatujuag kunyimana dongo omba bwan 🤣🤣
Muko vzr
Mie hisema...
Iyo noma
Mwanamke jistiri
uyo demu namjuwa
Unkuja juu kweli 🤣🤣
Msichana uliyeigiza nae mashaalah n mzur, ningekuwa mpemba ningeleta posa kwao
Hiii wew vipi brother sasa ukiwa mpemba ndio nni sasa huu ndio ubaguzi tunauongelea ndoa nimakubaliano yawatu wawili sasa wew subiria uwe mpemba 🤣🤣
@@allysuleiman6022 😁😁🇰🇪👍001 county mambasa
😊😂😂😂
Vp bro
Kweli Pemba hakuna Tabia hiyo
Hiyo ndo tabia ya wapemba siku umekosa unakwenda unasema unapewa ruhusa sio kuiba ukawalisha haramu mke na watoto Kwa kitu ambacho ungeomba kingekuwa halali yako
👏👏👏👏
Hahaha eti ana uangalia tu
Fundiwazidivyo chafukwa
😀
✌
Zambi na muhogo Wataka nini
E.g
😆😆😆anauangalia t
😀 😀 😀
Hahaha
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mashaallah
👏👏👏