Highlights: Morrison aupiga mwingi Simba ikiichapa Red Arrows 3-0 CAF CC 28/11/2021
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 พ.ย. 2021
- SIMBA 3-0 RED ARROWS: Bernard Morrison amehusika kwenye magoli yote matatu Simba SC ya Tanzania ikipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Red Arrows ya Zambia katika mchezo wa mkondo wa kwanza Kombe la Shirikisho barani Afrika #CAFCC.
Mechi hii imepigwa kwenye dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam, ambapo Bernard Morrison amefunga magoli mawili na kutoa ‘assist’ moja kwa Medie Kagere huku akikosa mkwaju wa penati dakika ya 30. - กีฬา
Allah tunakushukuruu Kwa matokeo mazuri katika timu tunazid kukutegemea wewe allah kwani we ndie mjuzi Wa yotee simba daima mbelee
Amina
Amiin
Bora Leo mmewahisha highlights, pongez sana kwa chama langu Simba, polen kwa mashabiki wa Red arrows waishi TZ hasa wanaovaaga jezi za vyura!
Baraka mpenja nakupenda Sana unatangaza mpika vzuri
Hongera sana wachezaji na makocha kwa jitihada zenu zenyekueletea timu ushindi!!!!!!!!!!!!!!
Yaani Morrison kabadilishwa na kocha mpya namna ya uchezaji wake aiseee,daah yaani ni moto kwa sasa
Bravo The Great SIMBA 🦁💪
Mm na Simba kifo tu ndio Cha kututenganisha😍
Kweli kabisa
Safi sana simba kwa ushindi mzuri mmetufurahishasana it's timu yetu imekuwa na gundu kwenye penati yani timu yetu ikipata penati kukosa ni 80% kupata 20% hii sijui imekaaje hii makocha liangalieni hili tunakosa sana penati hadi kero.
BENARD MORRISON IS NOW GREEN AND YELLOW 💚💛🏆
Asante sana simba yangu kipenzi kwa kunifurahisha ,hkika leo nimeona mpira unaochezwa mvua ikiwa inanyesha kwa mara ya kwanza dah htri sana
Bm3 wakili msomi 🔥🔥
ktk ubora wake leo
Toka niko tumboni nikaipenda simbaaa mpaka sasa simba damu damu❤💋❤💪
Tunafanana
@@mamutz5479 👭👭
@@priscacharlescharles9014 🤔🤔
Simba sports club big time Africa 👊🇹🇿❤️🦁
Tuwa shukuru yanga kwa kutuletea morrson inge kuwa sio yanga tusinge mjua morrson naomba kesho iwe morrson day 😂😁😁😁
Lkn sio mchezaji wa kuchezea UTOPOLO
009Biafra🤔 bali
Love you Simba SC
Hilo goli la pili daaaaaaaaaah..... Nikiangalia nafurahi sana 🔥🔥🔥🔥
kilichokufurahisha!
Hawa Red Arrows kwao watafanya figisu nying sana wanaonekana tuu.. tunzeni hii comment 🙏
chama kubwa chama la wana simbaaaaaaa i love u
Simbaaaaaaa on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Pabloooo nice performance ❤❤❤
Ashukuru mungu Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dilunga vp kuhusu soka tena maan umeiacha simba bado tunakuhutaj mungu ajaalie afya yako iimarike zaid na urejee katika soka tunakupenda san wana simba naiman unanafasi bado katika soka letu la Tanzanian
Morrison tunarudi CAS haiwezekan umpige kipa tobo kubwa namna hiyo. 😂😂😂😂😂😂🤭
Haaaaah haaaaah
au co..tukaanze upyaaah!
Big up Simba🔥🔥
Ahhaa
Mungu amrudishe Bm3 kwenye enzi yake Amen
Benad benad benad morisoooooon 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Nimelia kwa furaha kwakweli.Mungu ibariki Tanzania.Mungu ibariki Simba.Ameeeeeeen
Hii timu sio ya kubeza ni timu nzuri Sana wakiwa kwao.
kwamba wakiwa kwao wanaota mapembe ama
Raha Sana huku msimbazi💪👌❤️❤️
Full 😂😂😂
Simba raha tupu🔥🔥🔥
Simba Leo ya Moto Sana Ila inaonekana kwao watatufanyia figisu Sana uchezaji wao sio mzuri
Hata wakifunga, Hawawezi kurudisha goli tatu
Simba leo mmetupa raha🙏🏾
Pongezi sana wekundu wa msimbazi
Tuipeleke no 1 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wewe Morisson wewe ooooo! Tunakwenda tena CAS. Hatukubali na sasa Aucho oooohooo zeruzeru upowapi?
aucho nn tn!
Wahalay Kum salam bro thank you Bro From senegal
Thanks Bm3gh ❤️🤞
❤Simba .
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥iyo ndo simbaa 🔥🔥🔥🔥🔥
Hii ndo simba yangu sasa
Simba foreve🔥🔥🔥🔥
Simba welldone. But keep in your mind second match
It will turf game. Zambians they have good records in they playground.
worry not bro what I know simba is on another level they actually know the african football and their challenges, good enough they want to advance for next step to please fans and build their status so with good hope everything will be ok,
Summer goal bold one!
Hongereni mnyama
Nomaaaaaaa sanaaaa
Pira Madrid, Morisson huu ndo mpira wako sasa💪
The only weather didn't favor the host team for my level of understanding the guys were gone down not less than five goals
good perception..inshallah they'll find a better weather for the return leg!
Tarehe 11 tunawaxubir kwa mkapa 2kiwa na Dr Aucho na president Mayele....wazir wa ulinz Djuma naibu kibwa AF job Afisa miradi........huku wazir mkuu Fei totooooo
Acha kukalili maisha ww
🤮🤮🤮
Show dominated by Bernard Morrison. A brace and could've as well took a match ball as reward for the hattrick
never seen him took a penalty before!
Morrison hua nsmuamini sanaa na nsmkubali kuliko
ila hawa jamaa kwao tujipange maana wanaonekana wanafigisu sana na mpira wao rafu nyingi
sidhani kama mara hii atapona mtu na hivi ni shirikisho, sehemu ambayo hawakukusudia kucheza..kazi wapinxani wanayo!
Mpira pia wanaujuwa. Tusibweteke kama ya Galaxy
Morrison ni nomaa
Simba nguvu moja
We are simbaaaaaaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪
Simba ipo juu zaind
Akka
Leo mmeweka halaiki mapema azam hongera
Bravo bm3 bravo ssc
Simba🔥🔥
🔥🔥🔥🔥💪💪💪🦁🦁
Mnyamaaaaaaaaaa
Simba raha Sana
Hongera kwa chama ranguu nguvu moja
Nani kaua,Simbaaa 💥💥💥💥
Good sana wakili msomi
Noma sana
Ila arrows wa golikipa mzuri aisee kawa save sana
Wakili msomi leo katupa show za Chama
Lots of creative play from Morrison.
I hope the likes of Al Ahly and Mamelodi Sundowns don't come for him soon.
you must be kidding right! + whether this to even be true, then those particular teams should rethink again $ again
Trending namba 6 😂😂😂
Asantee Sanaaa chama langu la Simba sports club
Furaha isiyo na mfano 🙏🙏
Sawa
Nawaona NyaniFC wanavotesekaaaa😅😅😂👋Hii ndo Simba tunacheza PIRA Modric' Saiv
Safi
Morisson is a star premier league player
is it!
Simba ytu imerud
Sadio Kanoute anaonekana ni muoga sijui ni kwasababu alikuwa majeruhi ndio anaogopa Ila akiacha uoga ni mchezaji mzuri sana,inabidi apate darasa la kuweka sawa utimamu wa kujiamini
Man of the match Morison
no doubt
Nakubali mkal 💯
Nice game!!!!!!!!
Hii ndio simba bira chama bira miqsoon
magori yote yaliyo fungwa na morrison
Nmefrh ad nikajamba
ngoja wakulungwa wakusikie
😆😆😆😆😆😆😆😥😥😥😥😥😤😤😤😤
mbona umefurahi ivo Janeth Pallangyo, na wewe umefanya ivo nini 😀
Duh
@@mnzavachris5423 Ndio - 😂😂😂😂😂
#redarrows $ #dodomajiji wana wadhamini sawa asee..kweli ligikuuBARA imekuwa!
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nakubali
Wawa ni mzito sana jaman hv huwa ni kwann mnampa kipaumbele wakati anazingua
na huko makundi atakutana na wanaojua atashangaa!
Morrison leo alikuwa wa moyo sana
🔥 fire
Wao simb oye
Mwaa simba wangu aw Simba 🤛
🦁🇦🇹🔥
Olive you simba spot club
⛹️⛹️⛹️⛹️⛹️🤺👩❤️👨
Jamaniii napata shauku hai red aries tutakavyo wagalagaza mim n simba nakpenda simba mwaah simba
Simba wenzang mpo kama unaipenda simba weka laik yako hap simba nguvu mija
Pira kambare
💪💪💪💪💪❤❤❤❤❤❤
Good
Hahahaha nimeipenda hiyo tobo
Iko poa sn
Simbaaaaaa
Thank you Morrison
God!
Kwa simbaa hii watajuutaaa
nan atajuta
Safi sana lkn mbn Kanoute pasi zake hazifiki?
Zitafikaje na huo uwanja ulivyo jaa maji.
Welcome Pablo martin
Asante Sana Simba 🔴🤍
Duuuh hii ni salamu kwa utooooo maana mnatujuaga tukiwashika sisi co moja ni 4 na kuendelea
Gogo khamisi au co