Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League 30/10/2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ต.ค. 2022
- Simba SC imeishushia kichapo kizito cha mabao 5-0 Mtibwa Sugar katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa.
Pape Ousmane Sakho amefunga magoli mawili dakika ya 48 na 90 huku mengine yakitoka kwa Mzamiru Yassin dakika ya 38, Augustine Okrah dakika ya 63 na Moses Phiri dakika ya 73.
Katika mchezo huo pia, wachezaji wawili wa Mtibwa Sugar Pascal Kitenge na Cassian Ponera walitolewa kwa kadi nyekundu kwa mchezo usiokuwa wa kiungwana. - กีฬา
Shukrun my team 🙏
Pira wanaume 💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯hakuna Cha kubebwa Wala nini Simba nguvu Moja❤️❤️❤️❤️
Simba yangu❤️
This is simba 🔥🔥🔥🔥
🇿🇲🇿🇲🇿🇲🙏🙏🙏 ZAMBIA SIMBA NGUVU MOJA
Simba moto
I was waiting for this...
Yanga wanabebwa
Namba moja
Simba ♥️👌📌
Hata mwanamke anawazidi kuchezesha vizuri wanaume pumbavu
Walipania kucheza rafu imewaghalimu hinifundisho kwa timu zinazocheza hovyo Simba nguvu moja 💪💪💪💪💪💪.
Kwaiyo yanga match zote mnazoshinda mnanunua ndio maana kimataifa mnaferi
Hiki kipigo kuna siku tutakitoa kwa timu fulani yenye misifa hapa nchini.
Hahahah nimecheka kwa sauti mtani
Kama timu yako haijawai pigwa goli5 na Simba hapo kwa mkapa nyoosha kidole juu
Me ni yanga ,ila nampenda moses Phiri kafanana na ex wangu 😋
🤣🤣🤣kha
Itakuwa we ni shoga
😃😃😃😃😃
@@paulsamwel1144Huna adabu we mtoto
We ni shoga nn
Azam Tv you are the best in town
Ila huy sakho jmn anamapenz kw wenzie
Kabisa. Yaani kila goli analofunga mwenzie lazima atoe ushirikiano kwa namna anavyoshangilia huyo mfungaji wa goli!
Ni kweli anawapenda wenzie halafu wachezaji wote wanapendana kweli wanaipenda timu yao
Jaman mbona mnapenda maneno .kwani kutoa kadi nyekundu shida au inakuhusu Kwan ww ndo ulikuwa Refa wa huu mchezo .kama mkono tumewapiga tayari na kama nyie mnataka mkawapige mguu tuu
Yaani hiyo ni zaidi ya Nyekundu na kama mwalimu wao anawafundisha hivyo basi naye apewe red vile vile
Mm ni simba dam ila nmemkubali sana huyu refa dada Tatu Malogo ni bonge la refa kama TFF watamuwezesha ni refa wa kiwango cha Dunia hana huruma ukikosea unapata unachostahili na ndo mpira wa sasa unatakiwa kuchezeshwa kama ulaya vle daah ni refa mzuri ssna haangalii itakuwaje kwako baadae ila anakuwajibisha tu,saf sn Tatu Malogo keep it up nakups asilimia za marefa wa dunia upo zaid ya 80% keep going mum.
Penalt ya smba aliyokataa nilimuona anaakili sana coz ule mpira ulifata mkono wa mchezaji so hata kuikataa ni sawa tu ili wachezaji wasitegemee kupata penalt rahc na kujipatia magoli yasiyo halali tena za bahat mbaya na iwe fundisho kwa marefa wengine,Viva Tatu Malogo.
Huyi ndo mtanga bhana
🔥🔥 🇲🇼 niko malawi
Niko nastynuvb
Simba saivi mgunda alishausoma mchezo hakuna kutumia nguvu ni mwendo wa akili tupu
Leo hakua namajeruhi
Wenye mnasema mech imeuzwa wachen fitina coz me hapo sijaona goli hata Moja la kizembe yote wachezaji wame struggle kuyapata Cha pili hakuna kadi hata Moja yenye siyo stahik wachezaji wamefanya mistake wamepata card so hapo hakuna wakulaumiwa kocha kafanya Kaz yake wachezaji wamefanya Yao😳😳😳 finally let's say viva Simba🦁🦁🦁🦁🦁💪💪💪💪👊👊👊
Mmekwisha 😂😂
Laurens
@@josephatjordan2150 usijali kaka sis watan hla Kwa hyo mech me Sion wakulaumiwa 🤔🤔
Yohan
Nguvu moja Apo
hatujawai shindwaaaa naipenda simba jamaaniii🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
hiii ndiyo simba tunayo ijuwa sisi
Hamsa bin sufuri
Nmefurahi.wanasema. tumebebwa.asante.kwao
Sisi uku kenya game jo gover ilikula pesa wacha tushabikie tz
Asante simba
Simba mnyama mkali🎉❤️❤️🦁
Uto wameteska game utafkil wamefungwa wao😂🤣
Mechi nzur kuitazama wachezaji wanajituma Sacko ana upendo wa agape, anayebeza mechi hii wala maamuzi ya refa wakampime IQ,.,☝️☝️☝️☝️🤫
This is Simba brother 🦁💪🏼 #nguvumoja
Kuna timu inataman kusema mtibwa vibonde lakini wakikimbuka na wao walikula🖐️ hawanaa la.kusema
REFA NIMEMKUBALI SANA JAPO MIE YANGA
Mgunda ametisha
Safi sana mwamuzi una akili sana hakika haki mbele mengine nyuma yasn huyu angechezesha debya kariakoo haki Yanga nao wangelamba nyekundu nyingi sana wanatumwa waburuze wachezaji wetu na kuwakanyaga na sasa imewagarimu mmekutan na mwamuzi mahiri sana
Si unajua sisi wanawake tuna moyo wa huruma lkn kwenye ubaya hatupepesi macho
Huna hata haya iv yanga na simba siku ile nani alifanya faulo nyingi nyie mshukulu dadaake mgunda kawabeba tu tim hamna huyo mwamuzi katoka tanga ulifikili nn kitokee huyo sako kscheza fauro mbaya mbona hajapewa kadi
Msimbazi Raha kweli
Ukubwa wa simba unaonekana popote.. Simba n dude kuuubwa
Hilo jamaa linachez raf sanaa
Mzamiruu yupo on fire
HIYO SPIRIT YA SAKHO HAPO SIMBA NI EXTRAORDINARILY
🔥
Kila timu itakayo kuja vibaya tu bila nidhamu hiki kikombe utakunywa tu na ww ndo utachagua unataka kunywa vingapi
Maskin sanko pole sana
Kono la nyaniiii 🤣🤣
Nimemuona matola kumbe yupo jaman
Wa pili
Highlight mbn camera inakuw poor hivi?
Bado Simba inamhitaji kiungo waa asili,no mbili kwa shabalala,na straika mmoja hii nidirisha dogo
Goli 5 unasema bado tu em washauri yanga wenye kufunga goli tenaa kupewa huku tuache kidogo bro
Mashabik tuwe na uzalendo na uvumilivu, wachezaji kiukwel wanajitoa sana. Hivi pata picha Sako alivyo jigonga kwenye nguzo pale maumivu yake yapoje? Tusiwalaumu sana Kaz wanayo fanya ni ngumu sana
Mpira ni kazi yake
akafanye checkup ile ni hatari yale manguzo bora yawekwe fiber au plastic kwa nje da!!
YAan mpaka nimemwonea huruma sijui mechi ijayo kama atacheza au vipi
Kweli Kaka tatizo wengi mashabiki mandaz mashabiki wa kweli awezi laumu mchezaj
Kitenge hufai kabisa huo sio uungwana hata kidogo
huyu ndo refa, kwenye maamuzi anafanya maamuzi
Kila nikiangalia hii machi huzunika maana sakho alipata mateso sio ya kawaida
KWANINI kicha wa Simba queens baada ya ushindi dhidi ya Green buffalo alijifunika bendera ya Uganda badala ya Ile ya Tanzania?
Anawakilisha Uganda au yupo kininafsi zaidi mpaka afanye hivyo?
Saloot kwa Simba. Nawapenda kuliko ugali na soda!! Pamoja wanangu. Sio kwa furaha kama hiyo!! Hakika ni furaha hatari.
Sema simba inajua mpira uongo zambi
Goooooooooooooooooooooooooooooooooo
Duh
Wanafungwa mtibwa wanasikitika wengine
Hyu no 25 Kweli mcheza rafu
Nguvu moja
Kuna mtu anataman kusema tumemwonea kibonde lakini akikumbuka alishawahi kula Tano hapa anafyata mkia
Jamani eti akpa alicheza
Utopolo mnasikitika. Hahaha
Walisha pigwa 5 wengi sana kama na timu yako ilipigwa 5 acha kumcheka mtibwa😁😁😁😁😁
goli5 za wiki hzoooooooo
Mm
Hmna kitu hapo watu pungufu ndo mnajitaapaaa bado sijaona
Utaona kesho
Mbona inonga siku ya yanga hakupewa nyekundu
Utajibeba! Kwani refa ndo huyu??
Kampe ww
The game (Mtibwa Sugar) was/is below “national premiere level. Very disappointing!
Mimi nashangaa azam aliyepewa red car ni nani cassian ama Okrah ahahaha bongo
Wrrt
magoli mazuri na assist. Yanga wapo wapi.
Vp
Kitenge KAIGHARIMU TIMU YAKE KIPUMBAVU KABISA
Yaa ndo kpombe huyoooo
Kanoute yuko wapi kama asipochezeshwa kwa sababu za fitina kuna Simba atapoteza maana Mkude hawezi kukaba hasa zile mechi kubwa
Wewe unajua mkude hawez kukaba na mechi kubwa haziwez sasahiv
Watu nane
Simba alinyimwa penalti ambayo ni wazi kuliko ile ya utopolo sijui yule refa atapatiwa adhabu gani
Eti wanaume kwa kipi Sasa hapo jmn nashangaa saaana jmn
Kwani nynyi hamjawahi kupokea 5 hapo hapo?!
Hata ao wanaosema mechi imeuzwa mbona na wenyewe pia tulishawapigaga 5 kwa iyo na wao pia waliuza mechi uto mkae kwa kutulia
Exactly. Ok ntajie mbabe wako aliyekugonga mara nyingi zaidi 🤔
@@innocentmakala6542simba hana mbabe yeye ndo mbabe wa timu zote anatawala nchi nyie vinyesi ni wake zetu tumewaoa ndomana miaka 6 mfululizo simba ndio tunAtoka nje kwenda kutafuta ili mke wetu utopolo aje kula
Eerwert
𝙎𝙞𝙢𝙗𝙖 𝙗𝙖𝙗𝙖 𝙡
Yule alie chezesha mech ya yanga alikua mzoefu kumbe!!!.
Mkude hawezi kukaba tunataka Kanoute arudishwe kiungo mkabaji
Mkude hajui mpira sio kukaba tu aondoke kbx hajui hata kufanya counter attack.
TFF hawa waamuzi wa ovyo wamewatowa wapi
Kwa utooooo
Inonga achezeshwe namba sita anaweza beki wa Kati onyango named tutaupiga mwingi. By chacha mkama from mkuranga
Jifunze hukmu za quran kuswalibkwa vitendi gusa maandushu ya bluu
th-cam.com/channels/iIyK3R72QZNvRlzWezWIKw.html
Hao wamehonga tunawajuwa kwa rushwa simba
mashabiki wa yanga bana akili mda mwingine za kutafta au ndo mlimhonga mwamuzi🤣
Peleka ushahid TAKUKuRU.
Hii ni simba, so tim ya wauza vijora
Huyu okra kafungaje pale
Ndomaan wanasema tumebebwa
Alichota sujui, nikashangaa ni ndani!!
Ana balaa huyo 😆
Refa amethibitisha kuwa Hana ozoefu wa mechi kubwa km hiz ndo maana hata ulaya kulikuwa na mechi enzi hizo unajuwa kabisa colina ndiye atachezesha. Unajuwa kwann?!🤔🤗
hujui mpira
@@jameskilasa759 kumjuwa colina tu inatosha ..
Kwahiyo huyo Colina ameshastafu hizo mechi kwasasa anachezesha nani? ...UTO mna nongwa sana!
@@omarymahanyu5748 😁😁😁😁😁
@@saidhamza5318 tatizo unaongea sana dah
Kiungo punda
Marefa wanawake Bado hawaja mudu kuchezesha ligi kuu, wanaharibu mpira
Kipa wa maelekezo uyo
Hilo ni la kawaida sn
Mechi imeuzwa kisayansi kbs ..aliejibamiza kwenye chuma hajaumia ila aliepigwa na mpira kavunjika meno kashindwa kuendelea Ili aingie golikipa pazia watu wajipigie tu..Kisha wakamalizana na refa wa mchongo..huku ni kujidanganya ndo maana Azam waliwatoa jasho .
Aisee wee jamaa ni kilaza sijawahi ona!utopolo mshazoea kununua mechi ndomana kimataifa hamna mnachofanya mana kule hakuna marefa wa mchongo mliowazoea
@@adaboychibu1659 iyo ni mezani
Unatia kichefuchefuu
Yaani umeongea pumba sana utafikiri umekalia kitu chenye ncha kali!
@@officiallcoolest_khid3223 haujaeleweka🤔
KA BOMU MOCHWARI 😂😂
Wale Caf champions league
Achana na Miaka 24+ ya kuingia makundi gongowazi
Hahaha utopolo 😝😝
🤣🤣🤣
WEWE MZOGA UKO KABURINI TULIYA KINYESI
Manyonyo wanatamba saana,tunajua mtibwa kauza match shenzi kabix
Na wewe ulipigwa tano VP ulituuzia sh ngapi wakati tunakupiga tano!?