Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar | Highlights | NBC Premier League 30/10/2022

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ต.ค. 2022
  • Simba SC imeishushia kichapo kizito cha mabao 5-0 Mtibwa Sugar katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa.
    Pape Ousmane Sakho amefunga magoli mawili dakika ya 48 na 90 huku mengine yakitoka kwa Mzamiru Yassin dakika ya 38, Augustine Okrah dakika ya 63 na Moses Phiri dakika ya 73.
    Katika mchezo huo pia, wachezaji wawili wa Mtibwa Sugar Pascal Kitenge na Cassian Ponera walitolewa kwa kadi nyekundu kwa mchezo usiokuwa wa kiungwana.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 185

  • @suzypaul4559
    @suzypaul4559 ปีที่แล้ว +6

    Shukrun my team 🙏

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 ปีที่แล้ว +3

    Pira wanaume 💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯hakuna Cha kubebwa Wala nini Simba nguvu Moja❤️❤️❤️❤️

  • @lizyboyofficialy3019
    @lizyboyofficialy3019 ปีที่แล้ว +4

    Simba yangu❤️

  • @mxomalitz5909
    @mxomalitz5909 ปีที่แล้ว +4

    This is simba 🔥🔥🔥🔥

  • @esbdemmanuelnikola9127
    @esbdemmanuelnikola9127 ปีที่แล้ว +3

    🇿🇲🇿🇲🇿🇲🙏🙏🙏 ZAMBIA SIMBA NGUVU MOJA

  • @SIMBAYETUTV
    @SIMBAYETUTV ปีที่แล้ว +4

    Simba moto

  • @ilyasmuhsin3285
    @ilyasmuhsin3285 ปีที่แล้ว +3

    I was waiting for this...

  • @mrjerrytz2685
    @mrjerrytz2685 ปีที่แล้ว +4

    Namba moja

  • @wemadavid1974
    @wemadavid1974 ปีที่แล้ว +3

    Simba ♥️👌📌

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 ปีที่แล้ว +4

    Hata mwanamke anawazidi kuchezesha vizuri wanaume pumbavu

  • @esterkomba4072
    @esterkomba4072 ปีที่แล้ว +1

    Walipania kucheza rafu imewaghalimu hinifundisho kwa timu zinazocheza hovyo Simba nguvu moja 💪💪💪💪💪💪.

  • @razalomgala8935
    @razalomgala8935 ปีที่แล้ว +5

    Kwaiyo yanga match zote mnazoshinda mnanunua ndio maana kimataifa mnaferi

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa5496 ปีที่แล้ว +7

    Hiki kipigo kuna siku tutakitoa kwa timu fulani yenye misifa hapa nchini.

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 ปีที่แล้ว +25

    Kama timu yako haijawai pigwa goli5 na Simba hapo kwa mkapa nyoosha kidole juu

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 ปีที่แล้ว +7

    Me ni yanga ,ila nampenda moses Phiri kafanana na ex wangu 😋

  • @bukima_tv8557
    @bukima_tv8557 ปีที่แล้ว +1

    Azam Tv you are the best in town

  • @jumamnambangule1957
    @jumamnambangule1957 ปีที่แล้ว +7

    Ila huy sakho jmn anamapenz kw wenzie

    • @omarymahanyu5748
      @omarymahanyu5748 ปีที่แล้ว

      Kabisa. Yaani kila goli analofunga mwenzie lazima atoe ushirikiano kwa namna anavyoshangilia huyo mfungaji wa goli!

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 ปีที่แล้ว

      Ni kweli anawapenda wenzie halafu wachezaji wote wanapendana kweli wanaipenda timu yao

  • @mdakiyasin6939
    @mdakiyasin6939 ปีที่แล้ว +5

    Jaman mbona mnapenda maneno .kwani kutoa kadi nyekundu shida au inakuhusu Kwan ww ndo ulikuwa Refa wa huu mchezo .kama mkono tumewapiga tayari na kama nyie mnataka mkawapige mguu tuu

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 ปีที่แล้ว +4

    Yaani hiyo ni zaidi ya Nyekundu na kama mwalimu wao anawafundisha hivyo basi naye apewe red vile vile

  • @filipdjod9903
    @filipdjod9903 ปีที่แล้ว +3

    Mm ni simba dam ila nmemkubali sana huyu refa dada Tatu Malogo ni bonge la refa kama TFF watamuwezesha ni refa wa kiwango cha Dunia hana huruma ukikosea unapata unachostahili na ndo mpira wa sasa unatakiwa kuchezeshwa kama ulaya vle daah ni refa mzuri ssna haangalii itakuwaje kwako baadae ila anakuwajibisha tu,saf sn Tatu Malogo keep it up nakups asilimia za marefa wa dunia upo zaid ya 80% keep going mum.

    • @filipdjod9903
      @filipdjod9903 ปีที่แล้ว +1

      Penalt ya smba aliyokataa nilimuona anaakili sana coz ule mpira ulifata mkono wa mchezaji so hata kuikataa ni sawa tu ili wachezaji wasitegemee kupata penalt rahc na kujipatia magoli yasiyo halali tena za bahat mbaya na iwe fundisho kwa marefa wengine,Viva Tatu Malogo.

    • @zaharatijuma6623
      @zaharatijuma6623 ปีที่แล้ว +1

      Huyi ndo mtanga bhana

  • @josephsimba12
    @josephsimba12 ปีที่แล้ว +1

    🔥🔥 🇲🇼 niko malawi

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 ปีที่แล้ว +6

    Simba saivi mgunda alishausoma mchezo hakuna kutumia nguvu ni mwendo wa akili tupu

  • @jacksonmaphie3480
    @jacksonmaphie3480 ปีที่แล้ว +19

    Wenye mnasema mech imeuzwa wachen fitina coz me hapo sijaona goli hata Moja la kizembe yote wachezaji wame struggle kuyapata Cha pili hakuna kadi hata Moja yenye siyo stahik wachezaji wamefanya mistake wamepata card so hapo hakuna wakulaumiwa kocha kafanya Kaz yake wachezaji wamefanya Yao😳😳😳 finally let's say viva Simba🦁🦁🦁🦁🦁💪💪💪💪👊👊👊

  • @yusscodollars7714
    @yusscodollars7714 ปีที่แล้ว +3

    Nguvu moja Apo

  • @sylviajohn605
    @sylviajohn605 ปีที่แล้ว

    hatujawai shindwaaaa naipenda simba jamaaniii🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @SHOWTV338
    @SHOWTV338 ปีที่แล้ว +1

    hiii ndiyo simba tunayo ijuwa sisi

  • @mamalamama7010
    @mamalamama7010 ปีที่แล้ว +4

    Hamsa bin sufuri

  • @florencesinkonde1453
    @florencesinkonde1453 ปีที่แล้ว +1

    Nmefurahi.wanasema. tumebebwa.asante.kwao

  • @mc_mackpesa
    @mc_mackpesa ปีที่แล้ว +5

    Sisi uku kenya game jo gover ilikula pesa wacha tushabikie tz

  • @Arabqq_777
    @Arabqq_777 ปีที่แล้ว +1

    Asante simba

  • @bernaberna4159
    @bernaberna4159 ปีที่แล้ว

    Simba mnyama mkali🎉❤️❤️🦁

  • @simonelia7831
    @simonelia7831 ปีที่แล้ว +3

    Uto wameteska game utafkil wamefungwa wao😂🤣

  • @elviskawegere9458
    @elviskawegere9458 ปีที่แล้ว +1

    Mechi nzur kuitazama wachezaji wanajituma Sacko ana upendo wa agape, anayebeza mechi hii wala maamuzi ya refa wakampime IQ,.,☝️☝️☝️☝️🤫

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 ปีที่แล้ว +1

    This is Simba brother 🦁💪🏼 #nguvumoja

  • @fettykilango2814
    @fettykilango2814 ปีที่แล้ว +1

    Kuna timu inataman kusema mtibwa vibonde lakini wakikimbuka na wao walikula🖐️ hawanaa la.kusema

  • @zaharatijuma6623
    @zaharatijuma6623 ปีที่แล้ว +2

    REFA NIMEMKUBALI SANA JAPO MIE YANGA

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 ปีที่แล้ว +2

    Mgunda ametisha

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 ปีที่แล้ว +5

    Safi sana mwamuzi una akili sana hakika haki mbele mengine nyuma yasn huyu angechezesha debya kariakoo haki Yanga nao wangelamba nyekundu nyingi sana wanatumwa waburuze wachezaji wetu na kuwakanyaga na sasa imewagarimu mmekutan na mwamuzi mahiri sana

    • @mamalamama7010
      @mamalamama7010 ปีที่แล้ว

      Si unajua sisi wanawake tuna moyo wa huruma lkn kwenye ubaya hatupepesi macho

    • @robertkhamvuras3458
      @robertkhamvuras3458 ปีที่แล้ว

      Huna hata haya iv yanga na simba siku ile nani alifanya faulo nyingi nyie mshukulu dadaake mgunda kawabeba tu tim hamna huyo mwamuzi katoka tanga ulifikili nn kitokee huyo sako kscheza fauro mbaya mbona hajapewa kadi

  • @emmanuelisendema3010
    @emmanuelisendema3010 ปีที่แล้ว +1

    Msimbazi Raha kweli

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 ปีที่แล้ว +1

    Ukubwa wa simba unaonekana popote.. Simba n dude kuuubwa

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl ปีที่แล้ว +1

    Hilo jamaa linachez raf sanaa

  • @fettykilango2814
    @fettykilango2814 ปีที่แล้ว

    Mzamiruu yupo on fire

  • @doreensportswear_
    @doreensportswear_ ปีที่แล้ว

    HIYO SPIRIT YA SAKHO HAPO SIMBA NI EXTRAORDINARILY

  • @DaudAshery-rm2zc
    @DaudAshery-rm2zc ปีที่แล้ว +1

    🔥

  • @dicksondenis3768
    @dicksondenis3768 ปีที่แล้ว +2

    Kila timu itakayo kuja vibaya tu bila nidhamu hiki kikombe utakunywa tu na ww ndo utachagua unataka kunywa vingapi

  • @zaharahassan8685
    @zaharahassan8685 ปีที่แล้ว +1

    Maskin sanko pole sana

  • @jeshilamtu863
    @jeshilamtu863 ปีที่แล้ว +3

    Kono la nyaniiii 🤣🤣

  • @zaharahassan8685
    @zaharahassan8685 ปีที่แล้ว +1

    Nimemuona matola kumbe yupo jaman

  • @mussadesgner9211
    @mussadesgner9211 ปีที่แล้ว +2

    Wa pili

  • @jacstan0756
    @jacstan0756 ปีที่แล้ว

    Highlight mbn camera inakuw poor hivi?

  • @johnurassa3209
    @johnurassa3209 ปีที่แล้ว +1

    Bado Simba inamhitaji kiungo waa asili,no mbili kwa shabalala,na straika mmoja hii nidirisha dogo

    • @salehkhamis3000
      @salehkhamis3000 ปีที่แล้ว

      Goli 5 unasema bado tu em washauri yanga wenye kufunga goli tenaa kupewa huku tuache kidogo bro

  • @saidmkinga5140
    @saidmkinga5140 ปีที่แล้ว +5

    Mashabik tuwe na uzalendo na uvumilivu, wachezaji kiukwel wanajitoa sana. Hivi pata picha Sako alivyo jigonga kwenye nguzo pale maumivu yake yapoje? Tusiwalaumu sana Kaz wanayo fanya ni ngumu sana

    • @charleschao9809
      @charleschao9809 ปีที่แล้ว

      Mpira ni kazi yake

    • @mohamedisalimu5925
      @mohamedisalimu5925 ปีที่แล้ว

      akafanye checkup ile ni hatari yale manguzo bora yawekwe fiber au plastic kwa nje da!!

    • @zaharahassan8685
      @zaharahassan8685 ปีที่แล้ว

      YAan mpaka nimemwonea huruma sijui mechi ijayo kama atacheza au vipi

    • @kemmyabdallah353
      @kemmyabdallah353 ปีที่แล้ว +1

      Kweli Kaka tatizo wengi mashabiki mandaz mashabiki wa kweli awezi laumu mchezaj

  • @elikanabugumba4552
    @elikanabugumba4552 ปีที่แล้ว +1

    Kitenge hufai kabisa huo sio uungwana hata kidogo

  • @kelvinhappygod3706
    @kelvinhappygod3706 ปีที่แล้ว +2

    huyu ndo refa, kwenye maamuzi anafanya maamuzi

  • @hastatz
    @hastatz ปีที่แล้ว +1

    Kila nikiangalia hii machi huzunika maana sakho alipata mateso sio ya kawaida

  • @dottosweetbert8879
    @dottosweetbert8879 ปีที่แล้ว +2

    KWANINI kicha wa Simba queens baada ya ushindi dhidi ya Green buffalo alijifunika bendera ya Uganda badala ya Ile ya Tanzania?
    Anawakilisha Uganda au yupo kininafsi zaidi mpaka afanye hivyo?

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 ปีที่แล้ว +2

    Saloot kwa Simba. Nawapenda kuliko ugali na soda!! Pamoja wanangu. Sio kwa furaha kama hiyo!! Hakika ni furaha hatari.

  • @oswardchitunguli5394
    @oswardchitunguli5394 ปีที่แล้ว +2

    Sema simba inajua mpira uongo zambi

  • @MasanjaMasanja-mf1qp
    @MasanjaMasanja-mf1qp 10 หลายเดือนก่อน +1

    Goooooooooooooooooooooooooooooooooo

  • @peterstanslaus2477
    @peterstanslaus2477 ปีที่แล้ว +1

    Duh

  • @muhammedjuma7722
    @muhammedjuma7722 ปีที่แล้ว +2

    Wanafungwa mtibwa wanasikitika wengine

  • @zehrahaji1566
    @zehrahaji1566 ปีที่แล้ว +1

    Hyu no 25 Kweli mcheza rafu

  • @milalitz8066
    @milalitz8066 ปีที่แล้ว +1

    Nguvu moja

  • @mashymelody67
    @mashymelody67 ปีที่แล้ว +1

    Kuna mtu anataman kusema tumemwonea kibonde lakini akikumbuka alishawahi kula Tano hapa anafyata mkia

  • @elinsamoshi3213
    @elinsamoshi3213 ปีที่แล้ว

    Jamani eti akpa alicheza

  • @zaharahassan8685
    @zaharahassan8685 ปีที่แล้ว +2

    Utopolo mnasikitika. Hahaha

  • @anthongomo5689
    @anthongomo5689 ปีที่แล้ว

    Walisha pigwa 5 wengi sana kama na timu yako ilipigwa 5 acha kumcheka mtibwa😁😁😁😁😁

  • @saidijuma339
    @saidijuma339 ปีที่แล้ว

    goli5 za wiki hzoooooooo

  • @masaisoba3042
    @masaisoba3042 ปีที่แล้ว

    Mm

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 ปีที่แล้ว +1

    Hmna kitu hapo watu pungufu ndo mnajitaapaaa bado sijaona

  • @idrisaabdulwakil9618
    @idrisaabdulwakil9618 ปีที่แล้ว

    Mbona inonga siku ya yanga hakupewa nyekundu

  • @stephenmasolwa8680
    @stephenmasolwa8680 ปีที่แล้ว

    The game (Mtibwa Sugar) was/is below “national premiere level. Very disappointing!

  • @tongue_tv
    @tongue_tv ปีที่แล้ว

    Mimi nashangaa azam aliyepewa red car ni nani cassian ama Okrah ahahaha bongo

  • @zehe449
    @zehe449 ปีที่แล้ว

    Wrrt

  • @abernegosabaya6296
    @abernegosabaya6296 ปีที่แล้ว +1

    magoli mazuri na assist. Yanga wapo wapi.

  • @ZuberiMohd
    @ZuberiMohd ปีที่แล้ว

    Vp

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 ปีที่แล้ว

    Kitenge KAIGHARIMU TIMU YAKE KIPUMBAVU KABISA

  • @saidijuma339
    @saidijuma339 ปีที่แล้ว

    Yaa ndo kpombe huyoooo

  • @isaackaitira7654
    @isaackaitira7654 ปีที่แล้ว

    Kanoute yuko wapi kama asipochezeshwa kwa sababu za fitina kuna Simba atapoteza maana Mkude hawezi kukaba hasa zile mechi kubwa

  • @rahimumkumba7673
    @rahimumkumba7673 ปีที่แล้ว

    Watu nane

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 ปีที่แล้ว

    Simba alinyimwa penalti ambayo ni wazi kuliko ile ya utopolo sijui yule refa atapatiwa adhabu gani

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 ปีที่แล้ว

    Eti wanaume kwa kipi Sasa hapo jmn nashangaa saaana jmn

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 ปีที่แล้ว

      Kwani nynyi hamjawahi kupokea 5 hapo hapo?!

  • @dicksondenis3768
    @dicksondenis3768 ปีที่แล้ว +3

    Hata ao wanaosema mechi imeuzwa mbona na wenyewe pia tulishawapigaga 5 kwa iyo na wao pia waliuza mechi uto mkae kwa kutulia

    • @innocentmakala6542
      @innocentmakala6542 ปีที่แล้ว

      Exactly. Ok ntajie mbabe wako aliyekugonga mara nyingi zaidi 🤔

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 ปีที่แล้ว +1

      @@innocentmakala6542simba hana mbabe yeye ndo mbabe wa timu zote anatawala nchi nyie vinyesi ni wake zetu tumewaoa ndomana miaka 6 mfululizo simba ndio tunAtoka nje kwenda kutafuta ili mke wetu utopolo aje kula

  • @zehe449
    @zehe449 ปีที่แล้ว

    Eerwert

  • @diamondplatnumz48
    @diamondplatnumz48 ปีที่แล้ว

    𝙎𝙞𝙢𝙗𝙖 𝙗𝙖𝙗𝙖 𝙡

  • @msimamoclan6846
    @msimamoclan6846 ปีที่แล้ว

    Yule alie chezesha mech ya yanga alikua mzoefu kumbe!!!.

  • @isaackaitira7654
    @isaackaitira7654 ปีที่แล้ว

    Mkude hawezi kukaba tunataka Kanoute arudishwe kiungo mkabaji

    • @filipdjod9903
      @filipdjod9903 ปีที่แล้ว

      Mkude hajui mpira sio kukaba tu aondoke kbx hajui hata kufanya counter attack.

  • @hussenhussen3210
    @hussenhussen3210 ปีที่แล้ว

    TFF hawa waamuzi wa ovyo wamewatowa wapi

  • @abdulybadishaa5475
    @abdulybadishaa5475 ปีที่แล้ว

    Inonga achezeshwe namba sita anaweza beki wa Kati onyango named tutaupiga mwingi. By chacha mkama from mkuranga

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 ปีที่แล้ว +1

    Jifunze hukmu za quran kuswalibkwa vitendi gusa maandushu ya bluu
    th-cam.com/channels/iIyK3R72QZNvRlzWezWIKw.html

  • @mohdswahili7219
    @mohdswahili7219 ปีที่แล้ว +1

    Hao wamehonga tunawajuwa kwa rushwa simba

    • @kalebuwilliam1014
      @kalebuwilliam1014 ปีที่แล้ว +3

      mashabiki wa yanga bana akili mda mwingine za kutafta au ndo mlimhonga mwamuzi🤣

    • @ezekiellinkanti6053
      @ezekiellinkanti6053 ปีที่แล้ว +4

      Peleka ushahid TAKUKuRU.

    • @aboubacarykhedra5836
      @aboubacarykhedra5836 ปีที่แล้ว +3

      Hii ni simba, so tim ya wauza vijora

  • @dotoomary6889
    @dotoomary6889 ปีที่แล้ว

    Huyu okra kafungaje pale

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 ปีที่แล้ว

    Refa amethibitisha kuwa Hana ozoefu wa mechi kubwa km hiz ndo maana hata ulaya kulikuwa na mechi enzi hizo unajuwa kabisa colina ndiye atachezesha. Unajuwa kwann?!🤔🤗

    • @jameskilasa759
      @jameskilasa759 ปีที่แล้ว

      hujui mpira

    • @saidhamza5318
      @saidhamza5318 ปีที่แล้ว

      @@jameskilasa759 kumjuwa colina tu inatosha ..

    • @omarymahanyu5748
      @omarymahanyu5748 ปีที่แล้ว

      Kwahiyo huyo Colina ameshastafu hizo mechi kwasasa anachezesha nani? ...UTO mna nongwa sana!

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 ปีที่แล้ว

      @@omarymahanyu5748 😁😁😁😁😁

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 ปีที่แล้ว

      @@saidhamza5318 tatizo unaongea sana dah

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 ปีที่แล้ว

    Kiungo punda

  • @saidmkinga5140
    @saidmkinga5140 ปีที่แล้ว

    Marefa wanawake Bado hawaja mudu kuchezesha ligi kuu, wanaharibu mpira

  • @guccij6236
    @guccij6236 ปีที่แล้ว

    Kipa wa maelekezo uyo

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 ปีที่แล้ว

    Hilo ni la kawaida sn

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 ปีที่แล้ว +1

    Mechi imeuzwa kisayansi kbs ..aliejibamiza kwenye chuma hajaumia ila aliepigwa na mpira kavunjika meno kashindwa kuendelea Ili aingie golikipa pazia watu wajipigie tu..Kisha wakamalizana na refa wa mchongo..huku ni kujidanganya ndo maana Azam waliwatoa jasho .

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 ปีที่แล้ว +2

      Aisee wee jamaa ni kilaza sijawahi ona!utopolo mshazoea kununua mechi ndomana kimataifa hamna mnachofanya mana kule hakuna marefa wa mchongo mliowazoea

    • @officiallcoolest_khid3223
      @officiallcoolest_khid3223 ปีที่แล้ว

      @@adaboychibu1659 iyo ni mezani

    • @saumsaid1966
      @saumsaid1966 ปีที่แล้ว

      Unatia kichefuchefuu

    • @omarymahanyu5748
      @omarymahanyu5748 ปีที่แล้ว

      Yaani umeongea pumba sana utafikiri umekalia kitu chenye ncha kali!

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 ปีที่แล้ว

      @@officiallcoolest_khid3223 haujaeleweka🤔

  • @officiallcoolest_khid3223
    @officiallcoolest_khid3223 ปีที่แล้ว +3

    KA BOMU MOCHWARI 😂😂

    • @361NEWS
      @361NEWS ปีที่แล้ว

      Wale Caf champions league

    • @361NEWS
      @361NEWS ปีที่แล้ว +1

      Achana na Miaka 24+ ya kuingia makundi gongowazi

    • @yusscodollars7714
      @yusscodollars7714 ปีที่แล้ว +1

      Hahaha utopolo 😝😝

    • @guccij6236
      @guccij6236 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 ปีที่แล้ว +1

      WEWE MZOGA UKO KABURINI TULIYA KINYESI

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 ปีที่แล้ว +1

    Manyonyo wanatamba saana,tunajua mtibwa kauza match shenzi kabix

    • @tonyspencer1928
      @tonyspencer1928 ปีที่แล้ว

      Na wewe ulipigwa tano VP ulituuzia sh ngapi wakati tunakupiga tano!?