ALLY KAMWE" DUBE ATAWAFUNGA SANA/CHAMA HAWEZI KUCHEZA SIMBA TENA/WANAOKOTA OKOTA WACHEZAJI/AZIZ KI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
- Meneja Habari na mawasiliano wa klabu ya Yanga Ali kamwe Leo July 7,2024 amezungumza na Mpenja Tv,punde tu alipotua kwenye uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere International Airport akitokea Mbeya, Aidha amefunguka kuhusu usajili unaoendelea huku akigusia kuhusiana na usajili wa Prince Dube.
- กีฬา
Hatunaga mda wa kwenda kuzurura nje ya nchi na kuja kuwa nafasi ya tatu🤣🤣🤣🤣 Simba mtaumia Sana na chama
Tisubili Ligi tu mengine tutajionea🎉
Tuxungumzie kuhusu kuchokonoA 😂😂 🔥 😊
Madrid ya Africa 🌍
Naamin kuwa maneno mengi huwa ayajengi mambo n uwanjan
Ninani amesema simba hakuna mchezaji wakucheza yanga?
eti FAST & FURIOUS 😂😂😂
Mimi naamini mchezaji anaweza kuwa bora sana hata kama timu yake inashika nafasi ya kumi nyie mmemchukua kibabage singida fountain gates ambayo iko nafasi ya 10 je anafanya vibaya?
Semaji la kafuu😝😝😆😂
Nawashangaa Sana wakinadebora wapowengi humu tupishen bn
Ivi tukisema simba washuke dalaja inawezekana mwaka huu
Simba hina lia pole jamani
Mbona Utopolo mna mchezaji anaitwa joyce why mnamkejeli mchezaji wetu Deborah?
Chizi wee hayo yako
Mshafulia vyura..igeni Simba kwenda nje
Inakueje ulie enda nje umeshika nafasi ya tatu?
ww acha
Mbwa akibweka sana harudishi mawe ya adui
Huna jipya
Kwn debora fc uku Wana fata nn
Atarudije wakati umri umeenda, simba haichukui wazee!
😂😂😂😂
Chama hawezi kucheza Simba achezee mala ngapi Bado hauja ongea uta ongea tu acha muda useme
hahahaha unamuuliza mtu ambaye hata hasomi 😀😀😀😀😀😀
Mlete mamako basi iili acheze na Debora....
koma kabisa..fedhuri ..mwanaharamu, nguo Kaa UV maCCM!!
Acha matusi 😂😂
Ndo wamemletea Mama ako na Dada ako Wacheze nae , Uyo Dada ako Debora 😂
@@azizymachadeson3577 .
Limekuumaee......bwege we....
Hujui Kuna soka la wanawake bado uone kumtaja mamako ni tusi🤪
Huna lolote weee subiri msimu uanze
Debora wanini sasa shemeji yenu
Mbona kwenu Kuna joyce😂😂😂
Nenda zako wewe ulishamwita chiba ,,vp uchiba umeisha
Alikamwe bhn😂
Amekaa Simba miaka sita tumemtumia mpaka tumemchoka mchukueni akamalizie mpira wake huko. Mnakwenda nje ya nchi mna hela nyie?
Mbona kama unahasira hahaha em kunywa maji kdogo bhana e e nmeipenda hyo mwaka huu utakufa wallah duh huu mchezo hauhtaj hasira
@@ErickBrichard nife kwa sababu ya Chama aliyeikuta Simba na ameondoka akaicha. Kwani yeye ni nani walipita manguli wengi tu na bado Simba ipo. Itakuwa Chama kwani angecheza milele? Simba bila Chama inawezekana sanaaaa♥️🦁
😅😅😅😅😅😅
Sizitaki mbichi hizi😅😅😅
Hizo sio mbichi zimeoza
Nyie wote wajinga fanyeni kazi