Simba SC 3-0 Geita Gold | Highlights | NBC Premier League 17/08/2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ส.ค. 2022
- Simba SC imeanza kwa kishindo msimu huu wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kwa kuitandika Geita Gold FC mabao 3-0 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
magoli ya Simba kwenye mchezo huu yametoka kwa Augustine Okrah dakika ya 37, Moses Phiri dakika ya 61 na Clatous Chama kwa mkwaju wa penati dakika ya 82.
Tazama highlights.... - กีฬา
Weka mambo mazuri🦁👍👍👍
Asanten azam tv kwa highlights ya haraka like this
Team inayojtambua siku zote haina mambo ya bahati nasibu 👑👑👑Simba nguvu moja
Ndo kazi tumeanza😉😘😘😘😘👹👹
Simba nguvu moja Unstoppable
Mnyama 🦁🇹🇿💪 home of trophies
Noma
Mm ni mwananchi Lakini mnavyomsakama mzungu sio sawa namwona atakaa sawa Sanaa mpaka mtaziba midomo yenu.
Jana mmetufirahisha washabiki chama huyu chama mwamba wa Lusaka bila kumsahau Osman sacko mmeupiga mwingi sana. Ester Julius Mkoa SIMIYU wilaya bariadi
Napapenda sana Simiyu bariadi nikiwa kagera ila ipo siku nitakuja tu
First view 🥰🥰
Hy tunaaza na Mungu, Bismillah
Mlete mzungu simbaaa rahaaaa sana wanathimbaaaa😂😂🦁🦁nguvu moja
MWENDO MDUNDO
SIMBAA NGUVU MOJA
Safari imeanza vizuri!!!!!
Hii simba kuifunga ni kubahatisha tu
Tuna omba dakika zionge zeeke sta mechi nzima Niko ZAMBIA 🇿🇲🇿🇲🙏🙌✌️
Mnyamaa safi sanaaaaa
Okrah anaipa simba speed ya kufanya mashambulizi
Good service, and excuse for my mistake. Thank u
Hii ndiyo timu kamili ya Simba
Mpeni mzungu Pasi nanyie SIMBA mnazingua
Mzungu kafunga
Mzungu
Naipenda simba jman mimi
Chama kasababisha first goal,second goal la tatu akamaliza ubishi
Huyo ndo mfalme wa Dimba la mkapa
Hiyo ndio simba wakubar wakatae
Kabisaaaaaa.....wao nawavunje mayai utopoloo
This is simbaaaaaaa
Hii ndio simba bhana
Mzungu jamani Kagusa mpira Mara Tatu😳🙆🏼♀️
UNATAKA SIMBA ISHINDE AU MZUNGU AFUNGE
Anaingia mwishoni ndio maana akiingia kipindi cha kwanza tutaona kazi💯
Mlete mthunguuu
@@geraldpeter494 😂😂😂
@@BigDreamsWorldwide tunataka Simba ishinde Ila kaletwa Simba ili kufunga
mnyamaa
Tatizo wanamtenga san mzung yuko vizur tu mda anaingia ni ndog sanaa wange mwanza kwan kipind cha kwanz kisha tujue vuzur ila wanamfanyia sio ivyo
Kweli kabisa umeongea ukwel tusimjaji mtu kwa dk 15 tu
This is Simba
Mkude xhikamooooo
Hii ndiyo Simba tunayoitaka
Mbona Bado sana, hamna kitu hapo
Acha wivu kinyesi fc
@@humphreyhassan8197 ....KOLO BUNYERO BUNYERO...!
Mwamba huwa anafanya kama mzaha watu wanakufa kiulaini kama Goli la Sakho alilowafunga Yanga. Mtateseka vuteni Subira Tunarudi hatujamaliza bado.
Jipe moyo hhhhhh
@@alimbarouk1647 KWANI WEWE MUNGU KWAMBA SIMBA HAIWEZI KUFIKIA MATARAJIO YAKE ETI KISA YANGA YAKO!
@@alimbarouk1647 HATA LIVERPOOL WAMECHUKUA NGAO YA JAMII LAKINI MECHI MBILI WAPO WAPI?
Asante Azam tv
good
goood
♥️🦁
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏
Wao
Mzungu apewi pasi wanazingua
♥️♥️♥️💯
Thanks doctor chama and our leader
Unyama mwing🙏
Simba dua
Penalty mngempa mzungu Ili kumuamsha morali...maana anacheza YOPE tu'..!
Good 🙏🙏🙏🙏
hii penati hapa imetokea wapi ?
Ndotumeanza Ivyo
Jifunze hukmu za quran gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojli
tupo pamoja chama langu Simba Sport Club ila Maumivu ya juzi yalikuwa makali. muwe mnatufikiria na sie mashabiki
Kabisa
Huyu kocha huyu nafkir hajui mpira wa sima vzur na hawajui wachezaji wa simba vzur kama anachezesha kiungo mkabaji mmoja kwa time ambayo ina wakabaji wazur😔. Anatakiwa abadilike haraka sana
Naomba marafiki wa
#nguvumoja🦁💪
Good mnyama
Uyoo mzungu ni cr7 wa simba kudadekiii
mzungu wanamnyima pasi bwana
Zimbaaaaaa
Kwaiyo mzungu wanamuingiza uwanjani kwenda kutalii tu😅😅😅dhambi jamani
Get
Kagera sugar wanafata
Chama ni chama kubwa
0:54 1:02
Ikalia Pimpaaaaaaaa 😂😂😂😂
Huyu kocha asije kuingia na huu mfumo wa kiungo mkabaji mmoja mbele ya kagera sugar. Atataga mayai.
ukimiliki mpira unaweza
Hatupoii🤪🤪🤪
Azam mnafel wapi mbona hatuoni udambwidambwi hapa
Mnachelewa kutoa highlights
Kwa Nini wachezaji wa Tanzania wanatabia ya Kila mchezaji kusema na refari Hata kugusa ao kumsukuma ?
Mwenyew nashngaa hii
kumbe mzungu alifunga mpira ulivyokuwa umesimama🤒
@@malleironworks4586 penalty inaadvantage?
@@hoseasteven6241 Ukumbuke refa ndio mwenye maamuzi ya mwisho.. Nilichomaanisha hata Kama asingeweka penalty still mpira ungekuwa Ni advantage kwa Simba.. Neno advantage hutumika Kama refa anaona timu iliyochezewa faulo inaweza kuendelea na mpira unaoonesha kuwa na madhara kwa timu iliyocheza faulo..
Tuko apa
Alichofanya Mpole Kwa Outara Wachambuzi Hawajakizungumzia, Ila ni Muhimu Kukizungumza Kwa Maslahi Mapana ya Mchezaji Wetu Kinidham, na Timu ya Taifa, anaweza Ona yupo Sahihi Kwa Upande Wake Kwakuwa hajakosolewa Kinidham then atafanya hayahaya Kwenye Timu ya Taifa Kimazoea, Itatucost
Kama kwa mkapa mmecheza ivi mkienda mikoani kazi mnayooooooo
Lyanga anajiona staa
Huyu mzungu hawampi mipira ya maana akaonyesha uwezo wake?
Mbona Kama Kuna kamgomo baridi?
Aliye nacho huongezewa
Videment
Simba wa Vita jumamos alikua wap
Japokuwa tumefunga lakini timu aijawa sawa sehemu ya katikati
Azam mbona high lit mbov
Yahga
Yanga.na.azam
Yanga.na.azam
I want to put something to sako
Tuache masihara okrah Ana mbio sana
Kweli kabisa
Kanoute dah 😂
Ilichokfanya Simba ndo tunakihtaj
Kumbe anacheza na jukwaa kama Inonga
İ1
Kanoute hataki mazoea kamchapa Lyanga banzi la lips
Mwanzo mzuriiiii
Mlete mzungu
Tuwachieni mchezaji wetu
Kama umeona mzungu akifunga weka like 🤣🤣
Sijaona SUBILIA nione kwanza
Penati siyo goli Geita wamefungwa 2-0. Jana Yanga walipata Penati ya Mayele wameshinda 3-1Polisi.
Yanaitwaje
Acha paniki kinyesi FC
Team ya Vipers wanakupa hi🖐️
@@zehrahaji1566 naomba namba yako Inbox
Magoli ya penalt.... mmmh.
Mbona wanacheza rafu sana simba filimbi nyingi zak
huy mzung tumepigw
Mzungu waswahili wamempiga kipapai
Manzuki
Azamu Boresheni kamera ndg zanguni mweeeh picha resolution haina quality nzr Wakuu...
Kipimo kizir cha simba ni Geita lkn siyo yanga
Vipers anakupa hai🖐️
Tuliza kengere
Okrah aise ni mtu na nusu.
Mlete mdhungu
iyo ndo simba mpy