KWA UCHUNGU: Mke wa ROMA Amlipua Mbunge, Kisa 'Zimbabwe'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
  • SUBSCRIBE NOW / uwazi1
    Baada ya kuutambulisha wimbo mpya wa mkali wa michano na mwanaharakati wa kweli Rymes of Magic Attraction R.O.M.A unaokwenda kwa jina la ZIMBABWE, Mama Ivan ambaye ni mke halali wa ROMA amefunguka mengi alipokuwa akifanya interview na Kelvin Shayo kupitia hapa Global TV ambapo moja ya vitu alivyovizungumza ni kuhusu mbunge aliyesema Roma alimtukana mkuu.
    Pia amezungumzia mapokezi ya wimbo huo yalivyomshangaza na kuvunja rekodi kwa muda mfupi ikiwa ni pamoja na kuwashukuru watanzania wote walioungana naye na kumfariji wakati wa matatizo.
    Kupata video nyingine kama hizi SUBSCRIBE kwenye channel yetu kwa jubofya link ifuatayo / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
    WEBSITE: globalpublishe...
    FACEBOOK: / globalpublis. .
    TWITTER: / globalhabari
    INSTAGRAM: / globalpubli. .

ความคิดเห็น • 176

  • @atukuzwemungudaimaariseand6156
    @atukuzwemungudaimaariseand6156 7 ปีที่แล้ว +5

    Hongera mama ivan wew jembe wimbo mzuri ujumbe umefika kwa mlegwa nauyo mbunge mvuta bangi ana lolote anaropoka.mungu atamuhukumu yeye

    • @daudgugo3535
      @daudgugo3535 7 ปีที่แล้ว

      Atukuzwe mungu daima arise and shine

  • @joshuakimaro7250
    @joshuakimaro7250 7 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana mama Ivan kwakuonyesha ushirikiano mkubwasana kwa mumeo Roma /baba Ivan big up sana kwa Roma na mkewe

  • @jimsonkabume8169
    @jimsonkabume8169 7 ปีที่แล้ว +2

    daaaaa!!!!!!!!!!
    we nikioo cha jamii iliyopo, iliyo kuwepo, na itakayo kuwepo. really God bless you,we're together.

  • @renardyaulelio1319
    @renardyaulelio1319 7 ปีที่แล้ว +5

    ukweli siku zote haujifichi hongera roma hongera mke wa Roma hayo ndiyo mapenzi ya kweli

  • @jumamtenka6180
    @jumamtenka6180 7 ปีที่แล้ว +7

    yuko vizuri mama Roma amejawa hekima na Busara

  • @sayatvsandiego6485
    @sayatvsandiego6485 6 ปีที่แล้ว +1

    So touching

  • @جميلهخميس-ط5ث
    @جميلهخميس-ط5ث 7 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana mtangazaji nakupenda Bure unatupa vitu roho inapenda Mungu akuongoze vyema ktk kazi yako, Ahsante pia mrs Roma umejieleza vizuri sana Mungu akusimamie ktk ndoa yako

  • @pauljohn2322
    @pauljohn2322 7 ปีที่แล้ว +1

    thanks,a rhyme that is very sensitive song

  • @jumamtenka6180
    @jumamtenka6180 7 ปีที่แล้ว +5

    ukweli ngoma iko vizuri sana ina vuta hicia

  • @salomedarema3762
    @salomedarema3762 7 ปีที่แล้ว +5

    Love you dada una confidance had raha unafaa kuigwa

  • @Jadcashier
    @Jadcashier 7 ปีที่แล้ว +4

    duh we mwanamke ni nimpambanaji Sana safi sana

  • @herikaniugu
    @herikaniugu 7 ปีที่แล้ว +5

    Roma kapata Ninja kweli kweli

  • @sadatimk758
    @sadatimk758 7 ปีที่แล้ว +2

    good music

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 7 ปีที่แล้ว +9

    Wewe kijana uko vizuri kwenye utangaxaji.....unawanawakimbixa sana a

    • @rithaphilemon2541
      @rithaphilemon2541 7 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa nakuunga mkono

    • @sifasanga7866
      @sifasanga7866 7 ปีที่แล้ว +3

      Ritha Philemon Huyu dogo ananifanya nitulie kusikiliza video zake

    • @hidayaidrisha5013
      @hidayaidrisha5013 7 ปีที่แล้ว +3

      mm mwenyew namkubali sana..kikweli yuko vizuri

    • @mvandamedia
      @mvandamedia 7 ปีที่แล้ว +1

      +Kelvin Shayo we noma

  • @farajampombo1981
    @farajampombo1981 7 ปีที่แล้ว +8

    Yule mbunge hakujua alichokua anakiongea,Alishindwa kutofautisha kati ya ROMA na NAY WA MITEGO,maana wakati huo Nay ndo alitoa nyimbo ya WAPO sasa huyo mbunge ndo aliisikiliza hiyo ngoma ya wapo.

    • @sadakilona5031
      @sadakilona5031 7 ปีที่แล้ว +1

      FARAJA MPOMBO .,.nimecheka sana alfu nukweli ilikiwa wapo ndio iko hewani

  • @shillaben291
    @shillaben291 7 ปีที่แล้ว +4

    much respect mama Roma

  • @naftalichacha5393
    @naftalichacha5393 7 ปีที่แล้ว

    i real appreciate this song. pia huyu mama ivan yuko smart sana katka kujieleza. much respect to you Mr Roma keep it on

  • @saviolaabdallhmohamed9949
    @saviolaabdallhmohamed9949 7 ปีที่แล้ว +2

    Maman Ivane is beautiful and new song Roma hatari dahhhhh

  • @samyjoseph2732
    @samyjoseph2732 7 ปีที่แล้ว +3

    Hongera shemeji....umeweza jitahidi kupambana big up xana

  • @nasha4386
    @nasha4386 7 ปีที่แล้ว +1

    Dada yupo vizuri sana. kweli ni mke, hana papara. barikiwa Roma family

  • @iddyshabani5942
    @iddyshabani5942 7 ปีที่แล้ว +2

    hongera mm Ivan unajisitir
    umetulia auna papara kwenye interview

  • @leonellykweka7165
    @leonellykweka7165 7 ปีที่แล้ว +1

    Thank u Roma & mama IvaN

  • @loveclinicaristotle5803
    @loveclinicaristotle5803 7 ปีที่แล้ว +6

    Kazi nzuri sana mwanangu #kelvinshayo mimi MWANAMAHUSIANO WAKO ARISTOTLE

    • @mathiasandrew8136
      @mathiasandrew8136 7 ปีที่แล้ว

      Da! kibogo bongo is loss

    • @damasysy1782
      @damasysy1782 7 ปีที่แล้ว +3

      Roma n ndugu yetu lkn yote tunamwachia sir god coz cc hatuna adhabu yyte yakutoa kwa kiumbe chochote

    • @rahmaabdullah4538
      @rahmaabdullah4538 7 ปีที่แล้ว +2

      Mrs roma big up

    • @rahmaabdullah4538
      @rahmaabdullah4538 7 ปีที่แล้ว +5

      Mungu akuzidishie upendo kwa mume wako

  • @ramadhanibrahim7619
    @ramadhanibrahim7619 7 ปีที่แล้ว +2

    Big up Roma sema ndugu mke umepata huyo ni Mpiganaji

  • @wahindiakwembe8066
    @wahindiakwembe8066 7 ปีที่แล้ว

    Nimekupenda sana Nancy. Theway unavyoongea kiusitaarabu, ama Roma hajakosea, hongera sana mama Ivan.

  • @hamisisheby8678
    @hamisisheby8678 7 ปีที่แล้ว +2

    nimeipenda roma kapata mke

  • @davidsosthenes1821
    @davidsosthenes1821 7 ปีที่แล้ว +4

    great I.Q Roma

  • @jansonluziro4065
    @jansonluziro4065 7 ปีที่แล้ว +2

    Duuuuuuuuiu!!!!!!!ngoma uko mwake siyo siriiiiiiiiiii

  • @fazilielia2295
    @fazilielia2295 7 ปีที่แล้ว +1

    I love that song

  • @ezekieltz5298
    @ezekieltz5298 7 ปีที่แล้ว

    nawapenda Sana

  • @khalidishui2412
    @khalidishui2412 7 ปีที่แล้ว +3

    nakubali Roma

  • @fadhilynolasco7339
    @fadhilynolasco7339 7 ปีที่แล้ว +3

    vizuri mma Roma napenda xana

  • @williamskemisola6625
    @williamskemisola6625 7 ปีที่แล้ว +1

    Good interview,kelvin shayo I missed your presentation

    • @ostazclassic3370
      @ostazclassic3370 7 ปีที่แล้ว

      Kelvin Shayo kelvin nipo nchi za inje hila nakukubali kwa interview napenda unavyouliza kama utojali help me your number phone

  • @maidafrancis45
    @maidafrancis45 7 ปีที่แล้ว

    Jaman Mungu akubariki Nancy kwa kweli umeongea kwa heshima sana big up

  • @denisexpchannel3684
    @denisexpchannel3684 7 ปีที่แล้ว

    Nimeilewa sana Zimbambwe na sio kidogo much respect to uuu ma bro

  • @desingojackson5365
    @desingojackson5365 7 ปีที่แล้ว

    mama uko vzr sana hongera Roma una mke jembe This is choice from God.

  • @ankoliankoli9566
    @ankoliankoli9566 7 ปีที่แล้ว

    asante Roma wimbo wako wa heshima kubwa sana tz kila mu2 anaupenda

  • @msafirnyau5471
    @msafirnyau5471 5 ปีที่แล้ว +2

    wazaaaap cool

  • @abelumoja8043
    @abelumoja8043 7 ปีที่แล้ว

    Roma hapa kati ya ngoma ulizo imba hiii imefunga rekodi zote mungu akubaliki saanaaaa tenaaa saana

  • @alfredycheyo8847
    @alfredycheyo8847 6 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Shemela yetu..kwa utu ulio nao

  • @henrickovicent2933
    @henrickovicent2933 6 ปีที่แล้ว

    Na mmi na kwenda Zimbabwe, big up sna kka roma.

  • @emanuelissaya1079
    @emanuelissaya1079 7 ปีที่แล้ว +2

    Abdu Babu,Nashwo Mwamba Roma hajawai kumtukana kiongozi kama umefatilia nyimbo zake zote na ndio maana the current government inatekeleza Yale aloyaimba Roma, Mbona waheshimiwa leo wanawakejeli watu wanawaita Vilaza hamuoni hayo acheni chuki haziwafikishi popote

  • @bonnysure1082
    @bonnysure1082 6 ปีที่แล้ว

    Ongera san Shemeji Ma Ivan kwa kutambulisha ngoma ya Zimbabwe

  • @palesyosilingo6386
    @palesyosilingo6386 7 ปีที่แล้ว +5

    Huyo mbunge mungu atahuku tena anafuta bange!

    • @lucybakuli5124
      @lucybakuli5124 7 ปีที่แล้ว +1

      pambana mwanamke mwenzangu nimeipenda sana hiyo mwanamke lazima huwe hivyo zidisha penzi mama achana na wambeya wa mjini Fanya kazi pambana na hubby wako

    • @amourhamdu7972
      @amourhamdu7972 7 ปีที่แล้ว

      Palesyo Silingo hahahaha

  • @rickyjonas767
    @rickyjonas767 4 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @tonnychibwete8903
    @tonnychibwete8903 7 ปีที่แล้ว +2

    shemejii langu ninjaaaaaaa💪💪💪💪💪💪

  • @lothaole1390
    @lothaole1390 7 ปีที่แล้ว

    Ngoma imetulia saana. Nice interview kijana wangu.

  • @enockkawonga2547
    @enockkawonga2547 7 ปีที่แล้ว +1

    nimeipenda Mama roma

  • @godloveswai908
    @godloveswai908 7 ปีที่แล้ว

    big up roma kaza but unajua maisha ni vita

  • @andrewlusambo7123
    @andrewlusambo7123 7 ปีที่แล้ว +1

    wew mama Mbona mpana sana w

  • @estamelejomah572
    @estamelejomah572 4 ปีที่แล้ว

    Hongera mwimbo mzur

  • @selemanisaid2214
    @selemanisaid2214 7 ปีที่แล้ว +1

    safi Sana Roma

  • @mdashomwamba679
    @mdashomwamba679 7 ปีที่แล้ว

    OK Poa Sister

  • @amaningesse533
    @amaningesse533 4 ปีที่แล้ว

    Good idea

  • @janvieryenga1419
    @janvieryenga1419 2 ปีที่แล้ว

    Ongera

  • @shabanimlonga4639
    @shabanimlonga4639 6 ปีที่แล้ว

    Pole sana brothel Roma hayoo ndo maisha ya TZ

  • @danielambros9346
    @danielambros9346 7 ปีที่แล้ว

    mama kazi nzuri sana

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa1001 7 ปีที่แล้ว

    ngoma Kali mno sana

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 7 ปีที่แล้ว

    Hii kauli ya kusema Mungu ndio anajua, Mungu ndie atakaehukumu, huwa inawapa advantage sana watu waovu, Kauli hii huwa haina afya.

  • @raphaeliuhuru3718
    @raphaeliuhuru3718 7 ปีที่แล้ว

    big up bro Roma chapa job

  • @christinahaule9726
    @christinahaule9726 7 ปีที่แล้ว

    Good

  • @ntimifrank2770
    @ntimifrank2770 7 ปีที่แล้ว +4

    And who is thumbing this down

  • @jamalselemani9931
    @jamalselemani9931 7 ปีที่แล้ว +7

    kwa waliokwenda Jkt wataelewa Zimbabwe nn kamaanisha,ni chenja ya kumtia mtu mzuka na ujasiri kusema kitu,ndo maana inaendelea anaimba imba Roma,sema baba wee,kumtia morali na ujasiri ,bt sio anahama nchi,ni nyimbo ya kwenye mchakamchaka Jkt

    • @petereliyamagola6061
      @petereliyamagola6061 7 ปีที่แล้ว

      Jamal Selemani
      Kweli, umenikumbusha 832KJ

    • @lucymgulunde7329
      @lucymgulunde7329 7 ปีที่แล้ว +2

      +Peter Eliya jamani nimekumbuka mbali baba na mama kuzimbabwe.daaaah wengine kweli832 pali tunyoosha sio kwa kulima kule

    • @petereliyamagola6061
      @petereliyamagola6061 7 ปีที่แล้ว +1

      Lucy Mgulunde
      Kumbeee, tulikuwa sote. Japo nimekusahau. Ila zile Chenja ni morari sana

    • @shynejiskaka9959
      @shynejiskaka9959 7 ปีที่แล้ว +2

      NI KWELI WENG HAWAELEWI "ZIMBABWE" HAIMAANISHA MNAVODHAN KAMA ANAFAGILIA HUKO NO AMETUMIA KUONESHA HISIA SANA INATUMIKA SANA JESHIN PALE WANAPO JITIA MOYO KWA KAZ JKT

    • @mvandamedia
      @mvandamedia 7 ปีที่แล้ว +1

      +Shyne Jiskaka ndio

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma5364 7 ปีที่แล้ว

    Kweli mama

  • @chrispinjoseph1522
    @chrispinjoseph1522 7 ปีที่แล้ว +5

    i think u might be one of a real example of a wife

    • @josephkipese2495
      @josephkipese2495 7 ปีที่แล้ว

      Chrispin Joseph anatisha kka yuko vizur

  • @tegemeamwashitete2470
    @tegemeamwashitete2470 7 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri

  • @victormwakipesile5604
    @victormwakipesile5604 4 ปีที่แล้ว

    Ncly

  • @allymasta4866
    @allymasta4866 7 ปีที่แล้ว

    good good

  • @mailahbatano5024
    @mailahbatano5024 4 ปีที่แล้ว

    Mama ninjaaaaa big up

  • @jimmysalm3954
    @jimmysalm3954 7 ปีที่แล้ว +4

    mke wa roma kuna watu wamelia

  • @masigomhoja5182
    @masigomhoja5182 6 ปีที่แล้ว

    shemej uko vizuli sana yani heshima sana umejaliwa kila kitu

  • @filbertgwamasiga9555
    @filbertgwamasiga9555 7 ปีที่แล้ว

    Ngoma Kali sana Roma kaumiza vbaya

  • @deusmareche9241
    @deusmareche9241 7 ปีที่แล้ว

    Stick in truth don't fear born figther man don't loose hope human are the lost organism remember

  • @rithaphilemon2541
    @rithaphilemon2541 7 ปีที่แล้ว +1

    Much respect kwako kev bila kumsahau Esther popote alipo

  • @rdcongoproduction8796
    @rdcongoproduction8796 6 ปีที่แล้ว +3

    yu dada alicho kisema hata na mimi hule mstari nikisikia unaniuma kweli

  • @laqushfaki3080
    @laqushfaki3080 7 ปีที่แล้ว

    up romaa

  • @laqushfaki3080
    @laqushfaki3080 7 ปีที่แล้ว

    nic dada

  • @raphaeliuhuru3718
    @raphaeliuhuru3718 7 ปีที่แล้ว

    big up sana mamy ivan

  • @barakamtonyole6555
    @barakamtonyole6555 7 ปีที่แล้ว

    Shayo nipe mawasiliano yako mi nakusifu sana kwa namna unavyoweza kufanya interview yenye mpangilio mzuri

  • @NegoLetMeDo
    @NegoLetMeDo 7 ปีที่แล้ว +1

    #SuperWoman

  • @eleutelmwalongo4282
    @eleutelmwalongo4282 7 ปีที่แล้ว +1

    pamoja mkatoriki

  • @johnkanuda9355
    @johnkanuda9355 4 ปีที่แล้ว

    Mwanamke imaraaaa.nice saaana xhem

  • @user-de7nf8pp3w
    @user-de7nf8pp3w 7 ปีที่แล้ว +4

    Hata mm nakwenda zimbabwe tna natumia boda tu boda hahaha penda sana ww dada nancy

  • @gracerenady9425
    @gracerenady9425 5 ปีที่แล้ว

    Nakumiss sana we kska

  • @charlesjames3928
    @charlesjames3928 7 ปีที่แล้ว

    Salt

  • @kudraharuna9410
    @kudraharuna9410 7 ปีที่แล้ว +1

    ata mm sna noma na Roma kwn n mpganaj wa kisiasa

  • @kaluzione2231
    @kaluzione2231 7 ปีที่แล้ว +22

    shemela hauna mdgo wako?? ili nipose kbsa maana ww ni mpiganaj na uzr huo sio wa nchi hii

  • @halimahashim3734
    @halimahashim3734 7 ปีที่แล้ว

    Daa nafungasha naenda✈ ZIMBABWE

  • @romawapili9031
    @romawapili9031 6 ปีที่แล้ว

    daaa niliumia Sana baada ya kaka kutekwa

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza 7 ปีที่แล้ว

    kamuimba MTU wew sema hujaftalia vizur, kuna mbunge alisema et nimemtukana mkuu, nyingine aliye tabiri

  • @edwardkundy5918
    @edwardkundy5918 7 ปีที่แล้ว +1

    Kaz saf san kaka

  • @maryzakaria5024
    @maryzakaria5024 7 ปีที่แล้ว

    umoja ni nguvu safi

  • @elishamwaya4074
    @elishamwaya4074 7 ปีที่แล้ว

    JAMALI BWANA, MAPIMBI WALIKUWA HAWAJANG'AMUA HILO HUYU JAMAA NI JIWE SANA YAAN KAMA AKINA LUCK DUBE LONG TIME AGO WALIKUWA WANAGONGA VITU KAMA IVI.GONGA NYINGINE KAKA,TUNAKUSUBIRI, MAMBO YA MAMBAMBIO WAACHIE HAO HAO AKINA ....

  • @mahelamnazaletimahela9317
    @mahelamnazaletimahela9317 4 ปีที่แล้ว

    Mama ivani ni bonge la mwanamke aisee

  • @alubertojulius485
    @alubertojulius485 7 ปีที่แล้ว +1

    Nyimbo hii naikubali sana!!!!

  • @tiffahhansen6610
    @tiffahhansen6610 7 ปีที่แล้ว

    👊👊👊hii ni fireeeeeeeee

  • @josephmanyama5413
    @josephmanyama5413 7 ปีที่แล้ว +1

    mi ndio nasepa zangu hivyo Zimbabwe nawakubali sana ni bonge LA couple aiseee shemela pambana sana uko juuu

  • @saymarsaymar4654
    @saymarsaymar4654 4 ปีที่แล้ว

    Roma. This is your wife for life. Usije kumuacha

  • @abdulkarim5645
    @abdulkarim5645 7 ปีที่แล้ว

    tunaenda pammoja roma bongo nyoso twende zimbabwe

  • @soitahnasongo944
    @soitahnasongo944 6 ปีที่แล้ว

    Mwanamke mtulivu hana papara daaa walai bonge la wife material Mungu ni Mungu akujalie mema