KWA UCHUNGU: Mke wa ROMA Amlipua Mbunge, Kisa 'Zimbabwe'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
- SUBSCRIBE NOW / uwazi1
Baada ya kuutambulisha wimbo mpya wa mkali wa michano na mwanaharakati wa kweli Rymes of Magic Attraction R.O.M.A unaokwenda kwa jina la ZIMBABWE, Mama Ivan ambaye ni mke halali wa ROMA amefunguka mengi alipokuwa akifanya interview na Kelvin Shayo kupitia hapa Global TV ambapo moja ya vitu alivyovizungumza ni kuhusu mbunge aliyesema Roma alimtukana mkuu.
Pia amezungumzia mapokezi ya wimbo huo yalivyomshangaza na kuvunja rekodi kwa muda mfupi ikiwa ni pamoja na kuwashukuru watanzania wote walioungana naye na kumfariji wakati wa matatizo.
Kupata video nyingine kama hizi SUBSCRIBE kwenye channel yetu kwa jubofya link ifuatayo / uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishe...
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. .
Hongera mama ivan wew jembe wimbo mzuri ujumbe umefika kwa mlegwa nauyo mbunge mvuta bangi ana lolote anaropoka.mungu atamuhukumu yeye
Atukuzwe mungu daima arise and shine
Hongera sana mama Ivan kwakuonyesha ushirikiano mkubwasana kwa mumeo Roma /baba Ivan big up sana kwa Roma na mkewe
daaaaa!!!!!!!!!!
we nikioo cha jamii iliyopo, iliyo kuwepo, na itakayo kuwepo. really God bless you,we're together.
ukweli siku zote haujifichi hongera roma hongera mke wa Roma hayo ndiyo mapenzi ya kweli
yuko vizuri mama Roma amejawa hekima na Busara
So touching
Hongera sana mtangazaji nakupenda Bure unatupa vitu roho inapenda Mungu akuongoze vyema ktk kazi yako, Ahsante pia mrs Roma umejieleza vizuri sana Mungu akusimamie ktk ndoa yako
+Kelvin Shayo safi sana shemela
thanks,a rhyme that is very sensitive song
ukweli ngoma iko vizuri sana ina vuta hicia
Love you dada una confidance had raha unafaa kuigwa
duh we mwanamke ni nimpambanaji Sana safi sana
Roma kapata Ninja kweli kweli
good music
Wewe kijana uko vizuri kwenye utangaxaji.....unawanawakimbixa sana a
Kabisa nakuunga mkono
Ritha Philemon Huyu dogo ananifanya nitulie kusikiliza video zake
mm mwenyew namkubali sana..kikweli yuko vizuri
+Kelvin Shayo we noma
Yule mbunge hakujua alichokua anakiongea,Alishindwa kutofautisha kati ya ROMA na NAY WA MITEGO,maana wakati huo Nay ndo alitoa nyimbo ya WAPO sasa huyo mbunge ndo aliisikiliza hiyo ngoma ya wapo.
FARAJA MPOMBO .,.nimecheka sana alfu nukweli ilikiwa wapo ndio iko hewani
much respect mama Roma
i real appreciate this song. pia huyu mama ivan yuko smart sana katka kujieleza. much respect to you Mr Roma keep it on
Maman Ivane is beautiful and new song Roma hatari dahhhhh
Hongera shemeji....umeweza jitahidi kupambana big up xana
Dada yupo vizuri sana. kweli ni mke, hana papara. barikiwa Roma family
hongera mm Ivan unajisitir
umetulia auna papara kwenye interview
Thank u Roma & mama IvaN
Kazi nzuri sana mwanangu #kelvinshayo mimi MWANAMAHUSIANO WAKO ARISTOTLE
Da! kibogo bongo is loss
Roma n ndugu yetu lkn yote tunamwachia sir god coz cc hatuna adhabu yyte yakutoa kwa kiumbe chochote
Mrs roma big up
Mungu akuzidishie upendo kwa mume wako
Big up Roma sema ndugu mke umepata huyo ni Mpiganaji
Nimekupenda sana Nancy. Theway unavyoongea kiusitaarabu, ama Roma hajakosea, hongera sana mama Ivan.
nimeipenda roma kapata mke
great I.Q Roma
loma kaoa mwanamke mwenhe hekima sana nimempenda.
Roma Ni jembe anajua sana namkubali sana
Norbert Massawe
Duuuuuuuuiu!!!!!!!ngoma uko mwake siyo siriiiiiiiiiii
I love that song
nawapenda Sana
nakubali Roma
vizuri mma Roma napenda xana
Good interview,kelvin shayo I missed your presentation
Kelvin Shayo kelvin nipo nchi za inje hila nakukubali kwa interview napenda unavyouliza kama utojali help me your number phone
Jaman Mungu akubariki Nancy kwa kweli umeongea kwa heshima sana big up
Nimeilewa sana Zimbambwe na sio kidogo much respect to uuu ma bro
mama uko vzr sana hongera Roma una mke jembe This is choice from God.
asante Roma wimbo wako wa heshima kubwa sana tz kila mu2 anaupenda
wazaaaap cool
Roma hapa kati ya ngoma ulizo imba hiii imefunga rekodi zote mungu akubaliki saanaaaa tenaaa saana
Hongera sana Shemela yetu..kwa utu ulio nao
Na mmi na kwenda Zimbabwe, big up sna kka roma.
Abdu Babu,Nashwo Mwamba Roma hajawai kumtukana kiongozi kama umefatilia nyimbo zake zote na ndio maana the current government inatekeleza Yale aloyaimba Roma, Mbona waheshimiwa leo wanawakejeli watu wanawaita Vilaza hamuoni hayo acheni chuki haziwafikishi popote
Ongera san Shemeji Ma Ivan kwa kutambulisha ngoma ya Zimbabwe
Huyo mbunge mungu atahuku tena anafuta bange!
pambana mwanamke mwenzangu nimeipenda sana hiyo mwanamke lazima huwe hivyo zidisha penzi mama achana na wambeya wa mjini Fanya kazi pambana na hubby wako
Palesyo Silingo hahahaha
Amen
shemejii langu ninjaaaaaaa💪💪💪💪💪💪
Ngoma imetulia saana. Nice interview kijana wangu.
nimeipenda Mama roma
big up roma kaza but unajua maisha ni vita
wew mama Mbona mpana sana w
Hongera mwimbo mzur
safi Sana Roma
OK Poa Sister
Good idea
Ongera
Pole sana brothel Roma hayoo ndo maisha ya TZ
mama kazi nzuri sana
ngoma Kali mno sana
Hii kauli ya kusema Mungu ndio anajua, Mungu ndie atakaehukumu, huwa inawapa advantage sana watu waovu, Kauli hii huwa haina afya.
big up bro Roma chapa job
Good
And who is thumbing this down
kwa waliokwenda Jkt wataelewa Zimbabwe nn kamaanisha,ni chenja ya kumtia mtu mzuka na ujasiri kusema kitu,ndo maana inaendelea anaimba imba Roma,sema baba wee,kumtia morali na ujasiri ,bt sio anahama nchi,ni nyimbo ya kwenye mchakamchaka Jkt
Jamal Selemani
Kweli, umenikumbusha 832KJ
+Peter Eliya jamani nimekumbuka mbali baba na mama kuzimbabwe.daaaah wengine kweli832 pali tunyoosha sio kwa kulima kule
Lucy Mgulunde
Kumbeee, tulikuwa sote. Japo nimekusahau. Ila zile Chenja ni morari sana
NI KWELI WENG HAWAELEWI "ZIMBABWE" HAIMAANISHA MNAVODHAN KAMA ANAFAGILIA HUKO NO AMETUMIA KUONESHA HISIA SANA INATUMIKA SANA JESHIN PALE WANAPO JITIA MOYO KWA KAZ JKT
+Shyne Jiskaka ndio
Kweli mama
i think u might be one of a real example of a wife
Chrispin Joseph anatisha kka yuko vizur
Kazi nzuri
Ncly
good good
Mama ninjaaaaa big up
mke wa roma kuna watu wamelia
nakukubali sn Ivan mumy
shemej uko vizuli sana yani heshima sana umejaliwa kila kitu
Ngoma Kali sana Roma kaumiza vbaya
Stick in truth don't fear born figther man don't loose hope human are the lost organism remember
Much respect kwako kev bila kumsahau Esther popote alipo
yu dada alicho kisema hata na mimi hule mstari nikisikia unaniuma kweli
up romaa
nic dada
big up sana mamy ivan
Shayo nipe mawasiliano yako mi nakusifu sana kwa namna unavyoweza kufanya interview yenye mpangilio mzuri
#SuperWoman
pamoja mkatoriki
Mwanamke imaraaaa.nice saaana xhem
Hata mm nakwenda zimbabwe tna natumia boda tu boda hahaha penda sana ww dada nancy
Nakumiss sana we kska
Salt
ata mm sna noma na Roma kwn n mpganaj wa kisiasa
Ivi nyie wanandoa musali dini ipi???
shemela hauna mdgo wako?? ili nipose kbsa maana ww ni mpiganaj na uzr huo sio wa nchi hii
Silvester Kapala mie nishawahi haaaaa
Silvester Kapala huwa hafanani hawa watu
Silvester Kapala ila huyu dada mzuri jaman
Silvester Kapala wwwe
Daa nafungasha naenda✈ ZIMBABWE
daaa niliumia Sana baada ya kaka kutekwa
kamuimba MTU wew sema hujaftalia vizur, kuna mbunge alisema et nimemtukana mkuu, nyingine aliye tabiri
Kaz saf san kaka
umoja ni nguvu safi
JAMALI BWANA, MAPIMBI WALIKUWA HAWAJANG'AMUA HILO HUYU JAMAA NI JIWE SANA YAAN KAMA AKINA LUCK DUBE LONG TIME AGO WALIKUWA WANAGONGA VITU KAMA IVI.GONGA NYINGINE KAKA,TUNAKUSUBIRI, MAMBO YA MAMBAMBIO WAACHIE HAO HAO AKINA ....
Mama ivani ni bonge la mwanamke aisee
Nyimbo hii naikubali sana!!!!
👊👊👊hii ni fireeeeeeeee
mi ndio nasepa zangu hivyo Zimbabwe nawakubali sana ni bonge LA couple aiseee shemela pambana sana uko juuu
Roma. This is your wife for life. Usije kumuacha
tunaenda pammoja roma bongo nyoso twende zimbabwe
Mwanamke mtulivu hana papara daaa walai bonge la wife material Mungu ni Mungu akujalie mema