Namwelewa mwana FA. Dunia ya sasa hakuna kupeana kazi kijamaa. Elimu yako, ufanisi wako ndio utaokupeleka Mbele. Elimu ni muhimu . Steve hafai kabisa. Mbona wapo akina Bushoke,Lady Jay dee na wengine wanafaa
Mwacheni Steve nyinyi ni mashetani tu mnaomfitini steve nyerere raisi wa Ukraine alikua mcheshaji sasa ni raisi inakuaje kwa steve pita hivi wewe mwana fa sijui
Kwani kama wewe unataka uongozi siuseme tu masaa 48 wewe kama nani mbona una nyodo sana wewe?faridi chochote kitakacho kupata tutadili na hawa wasanii wa kufoka foka
Stive, hafai kabsa aendelee kugawa misos kwenye micba
Namwelewa mwana FA. Dunia ya sasa hakuna kupeana kazi kijamaa. Elimu yako, ufanisi wako ndio utaokupeleka Mbele. Elimu ni muhimu . Steve hafai kabisa. Mbona wapo akina Bushoke,Lady Jay dee na wengine wanafaa
Wakazi🗣️ 🔥
Nakweli imetimia 💥💥💥🤣👨💻
MMECHUKUA UWAMUZI MZULI HIKO CHEO KIKUBWA SANA MTU ALIYEPEWA ELIMU HAKUNA KAPEWA CHEO HIKO KAMA MJANJA WA MJINI MAISHA HAYO YASHAPITWA NA WAKATI
Jamaa kaongea point sana
Umeongea ukweri uyo muhuni awezi kuwa kiongozi
Nimekukubali maneno yako yanapoiti sn tena sn stev hafai kuwa kiogozi
Steve nyerere afai kabisa na akizi vigezo. Steve out✌️.
Urusi na ukraine
Mwacheni Steve nyinyi ni mashetani tu mnaomfitini steve nyerere raisi wa Ukraine alikua mcheshaji sasa ni raisi inakuaje kwa steve pita hivi wewe mwana fa sijui
tangu Rari ukaona msimamizi wakwaya akasimania kwaya kwaiyo awezi kusimamia ww Kuma to kaha mbari
Democracy
Kazi ipo😎
Stivuafai kabisa
Boratukabaki bramsemajikuriko stivu
😆😆😆😆🙄Hamisi mwinjumaaa MH.
Kwan ww kwenye ubunge ulikua una sifa gan
@Mwandu ,Huyu mwana FA Ameenda shule. Shule ipo tena ya kutosha tu. Fuatilia CV yake utaona
@@usiniguse hata hivo ubunge hauhitajii Cv
Ana masters
Kweli we ni kilaza
Huyo ndo utanzania , yaani mtu kapewa nafasi mwacheni afanye kazi ,nyinyi fanyieni kazi makosa yake acheni ubinafsi na umimi
Kwani kama wewe unataka uongozi siuseme tu masaa 48 wewe kama nani mbona una nyodo sana wewe?faridi chochote kitakacho kupata tutadili na hawa wasanii wa kufoka foka
Mwanafa wewe ninani bhanaa wewee mbona unakurupuka sanaa weweeeee
Haujui kuwa ni mbunge tena naibu waziri???
Uhuni umetoka wapi? Wewe ni unatetea uhuni