Audio produced by Bin Laden Video directed by NiCKLASS __________________________________________ E-mail : tongweroma@gmail.com Twiter : roma_mkatoliki Facebook : R.O.M.A Instagram : roma_zimbabwe
Mungu wa Paulo [Makonda], ndyo Mungu wa Daudi [Bashite], Mungu wa John [Pombe], wanamuita Yohana, Wayahudi... dah huyu jamaa kaongea kwa lugha ya sanaa iliyotukuka
I'm kenyan but this guy is the kind of people the government should support and not threaten. His in an insight and inspiration..a true definition of "kioo cha cha jamii" its official, ROMA MKATOLIKI is my favourite African musician. Deep poetry and meaningful words. Sio kuimba tu pombe na wanawake...Big up my brother ROMA, siku hazigandi...yatapita yote haya urudi nyumbani
Baba roma tunakukubali sana n ngoma zako zote endelea kufunua maovu usiache baba sisi tuko nyuma yako kwa maombi n sala hawata kuweza mungu akujalie maisha mareeefu sana
Nina wasiwasi we #Mkatoliki hicho sio kichwa ni semi-computer, kwenye Mungu wa John na Daud hapo nimefikiria hadi najikuta nurudiarudia kusikiza, U deserve bro! Gat u! 100%√√√√
I like Tanzanian music, of all the other things,you people are really talented in music,big up. congratulations Roma , welcome to Kenya n do some show...
tuekeni uteam pembeni this song deserve 2M views mshazoea mapenzi huku mnakufa na magonjwa hospital dawa hakuna tukesheni mpaka kieleweke still no 1 on trending 😊😊😊
U have to understand that this is literature Zimbabwe is always termed as dumping political states..... So here an artist has used such name to Deriver his intention to our society. Note that....further welcome Tanzania home of peace.
patricia Massawe alafu kutwa utaona viclip vyake akiimba gospel, yani ana utani na Mungu iia Mungu atakuja kumfedheesha yule, maana Mungu afanyiwi dhiaka
Roma ukienda Zimbabwe harakat atazifanya nan😂😂😂 but ngoma iko poa hujawah kuniangusha ila umebadirika kidogo mzee.... Nadhan kwenye hii ngoma umejibu maswali ya watu wengi sana kipind unafanya show pale Dar live nilitaman urudie hii nyimbo but sikuwa na uwezo ila umefanya vizur👏👏👏👏
Indeed this guy ROMA is a real prophet.I could`nt understand the meaning of this track until it happened hre in Zimbabwe. We as Zimbabweans changed the Leader.
hii ni ngoma kali sana na yule mbunge aliekuambia umemtukana raisi hajitambui yule si anaitwa kessy ,,,daa walisema utaonekana jumapili ndo vile vile duuuuu,kwani kua ukawa kuna tatizo gani jamani ,mhh sitaki simba wachukue ubingwa kwa vile mm ni mshabiki wa yanga ila kama huo mfano ulotoa utafaa ukawa kupata nchi wacha simba wachukue tu
Uchambuzi kuhusu wimbo "Zimbabwe" wa Roma mkatoriki. Roma tangu kutekwa kwake na hata baada ya kupatikana alikuwa hajawahi kuimba wimbo wowote. Lakini sasa ameamua kutoa wimbo uliobeba "majibu" kwa baadhi ya maswali yaliyokuwepo katikati ya wana-jamii. 1. Roma anaamini kuwa kupotea/kutekwa kwake serikali ilihusika kwa asilimia zote, japo anapatwa na mashaka ya kutambua ni nani aliyewatuma watekaji.Kwa Imani yake Roma, japo hakuona "nyota" begani kwa mtekaji/watekaji lakini anaamini ni polisi/Jeshi. 2. Roma anaamini kuwa watu ni "vigeugeu",na wengine wanafiki.Wanaweza kukujaza na kukutia moyo kwa maneno lakini siyo kwa matendo.Hivyo wanaweza kuwa sehemu ya wewe kupata matatizo lakini ukishakuwa katikati ya dimbwi hilo wakakukimbia na wengine kukucheka. Kwa msimamo wa Roma ni kuwa, tatizo siyo kufa lakini je,hawa wanaobaki anawaachaje?? ikiwemo familia yake na ndg.zake. 3. Roma anaamini kuwa kwa sehemu fulani rais Magufuli amefanya baadhi yaliyo mema lakini hajafanikiwa kufikia kiwango cha mwisho.Anaamini kuwa kuendelea kumuunga mkono rais ni sehemu ya kumpa support. Roma anatoa maoni yake juu ya utendaji wa Magufuli. Pia Roma anadhihirisha jinsi alivyomtabiria Magufuli wakati bado akiwa Waziri wa ujenzi. Hivyo hapa Roma, anajaribu kutueleza jamii kuwa ni kwa namna gani nyimbo na mawazo yake huwa ni ya kifalsafa. 4. Pia,Roma bado anaendelea kuwaasa watawala na kuwakumbusha kuwa utawala wao siyo wa milele, ipo siku "upinzani" watachukua nchi.Kwenye wimbo wake, Roma anasema "ipo siku mtawala atakuwa mpinzani".Hivyo, Roma pamoja na kuzibwa mdomo na kuteswa lakini anaamini kuwa demokrasia ni njia pekee ya kukomesha udikteta. 5. Kuhusu Mbunge Kessy aliyetoa maneno yake ya "kejeli" kwa Roma.Hapa Roma amemjibu kwa kumuonesha kuwa "ukibaraka" siku zote hauna faida. Malipo ya kibaraka ni sifa za maneno ilihali wengine wanafanyiwa kwa vitendo. Tatizo la vibaraka ni kuwa hujitoa fahamu ili tu kutaka kuonekana kwa ma-boss wao. 6. Mwisho,Roma anaonekana kukata tamaa na Tanzania. Hii inatokana na sababu mbili; (a) Maneno ya chorus "nakwenda Zimbabwe",ambayo yanaashiria kuwaza juu y nchi nyingine tofauti na nchi yake. (b) Lugha ya picha inayoonesha wahusika wote wanamfuata Roma kule anakoenda.Pia Roma anafanya "gestures" au ishara zenye kuonesha kuchoka na kukata tamaa.
memorable song ,maana matukio yaliyotokea kipindi hiki ilikuwa tunaanza kuitafuta picha ya burundi na kuigandamizia kwa kuchora iache kivuli chake katika nchi yetu ndugu roma watu hawakuelewi tu ila nikiumbuka vitabu vingi nilivyosoma kuhusu ukombozi,wapinga ubepari,watetezi wa haki za wanyonge kupitia kupinga baadhi ya ufedhuli wa uongozi nabaki kuapreciate uandishi wako big up bro
I don't understand this language but with what's going on in Zimbabwe, the graphics show that this guy is an ideal one. Zimbabweans have got a Tanzanian brother
anatabiri kuwa tunakoelekea Ni Zimbabwe na mkumbuke mtawala wa Zimbabwe Ni nani na utawala wake Ni upi. mwenye masikio asikie na mwenye macho aone. Viva Roma viva
Kwa wimbo kutoka one week na views 1M ni kuonyesha kwamba watu wameukubali huu wimbo. Roma ni moja ya wanamuziki anayeangalia maslahi ya nchi na si kama hao wengine wanaonunuliwa. Nimependa pale anapoimba tubishane kwa HOJA na si kukamata watu na kuwaweka ndani. Big up ROMA upo JUUUUUUUUUU
Nyimbo imenigusa sanaaa.. I wish it's ma best song.. i feel, i was me.. God bless you.. This is hustling. every body should stand up to the right things..Keep it on going on...
Dah!! Mungu wa Paulo Mungu wa Daudi Na ndio Mungu wa Jon Na ndio Mungu wangu Mimi nawewe dah!! Nimesoma mnyama natamani Ni like mala 💯 yaani imepenyaaaa hata kibabe haha Wapi Mujombaaaaaaaaaaaaa!!
From Malawi,i have listened to the song as well as the video,it carries a very big message, more esp to our corrupt regime and does even understand the rights of its citizen, mind you all those who are in power remember that it was our effort,am just waiting Zimbabwe and for sure i will be with u Roma,the video ends as u read the group out of Zimbabwe big up my lovely rapper Roma
Such a nice track I am from Kenya naikubali kazi hii ilifanyika ngoma hii nimeicheza kila mara Roma big up "nani kati yenu mwanangu atampa malezi"...big up Roma Big Up ROMA
Nimefatilia comment nyingi sana ila sijaona hata koment moja unayoizungumzia vibaya hii ngoma zaidi ni za upendo na za kuumizwa tu In short hii imetugusa sana pole sana kaka yupo mungu hakimu wa yote 😢
Makufuli ,, Bashite na wote wasotakia mema nchi yetu hii Message nzito ni kwajili yenu na Natarajia imewafikia Wote walioguswa na ukweli huu uliochambuliwa Gonga Like kubwa sana hapa ili kuunga mkono hii message ya huzuni yenye maneno mazto ndani yake 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Friesinger 09 sikiliza dk ya 3.00 na dk 3.17 ndo utaelewa vizuri wala magufuli hajahusika ktk ubaya wa roma japo kuna baadhi ya viongozi amewatag ktk hilo sakata la utekaji, umetanguliza fikra zako na si za roma
Friesinger 09 wenzako wanaamsha dude we unaamsha kidude mtu wangu, before hujacoment elewa msg kwanza ndipo ufanye hivyo otherwise utaonekena bumbuwazi au duwanzi kwa hizo fikra zako za kuunganisha. hahahahahaaaaaaaaaaa long nshafia mbele we kafie zimbwabwe
Kama unaangalia ngoma hii 2024 gonga like
Tulio angalia tena hii ngoma 2024 like moja hapaaaa
Watu wanaosikiliza huu wimbo 2024 gonga like
kama yupo anayeangalia hii ngoma mwezi7(8) na kuendelea mwaka2024 gonga like hapa nikupe gift🎁 we mtu wa maana kabisa
Nipo apa 18augost 2024
Nam nmekuangalia Tena baada ya kupotea kwa soka na we mzwenzake
Kwa ukubwa wa tukio lililomkuta Roma ilipaswa nyimbo hii tufikishe 100 million.
2023
Kabisa
ivi tupo wangapi tunao endanayo 2024 like hapa ni ❤❤❤❤
Dear TH-cam wekeni button ya replay.......I dont understand this language but HUU WIMBO UNAENDA KUA WA TAIFA SOON....
kweli edson kweli
😂😂😂😂
tumia hiyo link hapo chini
www.youtuberepeat.com/watch?v=VGBSIvxrlZs
+Albert Apolinary hyo inatosha
+Albert Apolinary hyo inatosha
Alie kuja huku baada ya ngoma yake mpya ya ANAITWA ROMA twend sawaaa😍
Ali kiba
good song roma like hapo kama umeusikiliza huuwimbo 2024
kutekana tekana huu ni uhuni wa kishamba weka bunduki chini si tubishane kwa hoja respect broo god bless you always
Duuh so sad na utu uzima huu machoz nimeshndwa kuyazuia,thanx pia kwa kunifikirisha......viva Roma viva....
Simjui sana Roma wala kufuatilia nyimbo zake lkn huu wimbo umeniliza. Msg imefika jipe moyo....mtetezi wako Mungu aendeelee kukutetea.
Blandina Bilau uko km mm cjawahi kumjua roma ila huu wimbo umenikumbusha mateso niliyo pata saudia arabia kweli mungu co wa mtu mumoja
safi sn kk
Saumu Mresh hahahaaaaa saudi Arabia tene
Mnzava TV eee nilipitia kweli huko co mahali
Siogopi kufa ILA nawachaje wanaobaki??RESPECT
🎉🎉🎉
Daaaaa bonge la ngoma ila nimependa pale kutekana tekana imani ya woga
nakwenda Zimbabwe uuuuuwiii maumiv sio mzaha
So pw
Mungu wa Paulo [Makonda], ndyo Mungu wa Daudi [Bashite], Mungu wa John [Pombe], wanamuita Yohana, Wayahudi... dah huyu jamaa kaongea kwa lugha ya sanaa iliyotukuka
Jema daaaah hataree aiseee mm mwenyewe ilikua cjaelewa hapa tisha Sana'a mzeee
Uko vizur
Jema leo hii nimeielewa vizuri,yaani lugha ya sanaa iliyotumika iko poa sana
umetisha
Jema xaluti kwako kwani nilikua sijaelewa
Jamaniii Nani 2020 Bado amekuja kusikiliza ngomaa Hiiiiiih Tujuane kwa like Kama zote
Tuko wote babu
Tuko apa
@@abellystephen6500 Pamoja Sana
@@chaliwachuga519 pamoja Sana boss wangu
Hatariii
Viva romaaa vivaaa ngoma Kali sana
Umeona jamaa katisha
ONE OF THE BEST LINES IN THE SONG "ulikuja mwenyewe ama ulipewa ORDER!"
😂😂
Brother napendaga sana ngoma zako maana zinamaanaisha uchafu wanaofanya viongozi wa Tanzania HAKUNA KAMA ROMA NA HATOTOKEA FOREVER ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
nakwenda zimbabwee
zimbombo
iyelele mama weeeeeee, hatari saaana, Like hapo before 500000
this music is on heat;iam very proud to be with a good artister like you steel up my man
so fun
imefika 500000 , wanaosubir million view like hapa, najua ni siku tano tuu
twende jaman
Joseph from Nairobi Kenya nasma hii ngoma imenibamba mbayaaa. Respect Tanzanian
Mh?
Tanzania ndo imeimba?
I'm kenyan but this guy is the kind of people the government should support and not threaten. His in an insight and inspiration..a true definition of "kioo cha cha jamii" its official, ROMA MKATOLIKI is my favourite African musician. Deep poetry and meaningful words. Sio kuimba tu pombe na wanawake...Big up my brother ROMA, siku hazigandi...yatapita yote haya urudi nyumbani
Bvhb
Yaani vina vitadumu kwa vizazi na vizazi
Roma... Unaimba kwaajilii ya watu Mungu ni Mungu mwenye haki usirudi nyuma
This song reflects the real prevailing situation, it's very sensitive song, congratulations to you brother, God save you
Bonge moja ya kazi, mikono ya prod.geof masta, RIP brother .2024 still a banger
🎉🎉
Baba roma tunakukubali sana n ngoma zako zote endelea kufunua maovu usiache baba sisi tuko nyuma yako kwa maombi n sala hawata kuweza mungu akujalie maisha mareeefu sana
Na ripoti ya upelelezi vp akiiteka mtekaji???? Gonga like km umemuelewa.
Sam Salgur hahahahhahahahaaaa!
Sam Salgur Hahahaaaaaa pasua kichwaa
🔥🔥🔥🔥💯💯💯🙋🙋🙋👍👍✌✌✌✌✌✌✌
2024 wapi likes za Roma😭😭😭
Nina wasiwasi we #Mkatoliki hicho sio kichwa ni semi-computer, kwenye Mungu wa John na Daud hapo nimefikiria hadi najikuta nurudiarudia kusikiza, U deserve bro! Gat u! 100%√√√√
Ndongo Nyambalya da too much creativity
This man, dersves, shortly he knows #What_to_do_&_At_which,moment...... #VivaRomaViva
Ndongo Nyambalya iko poa sana
#Mkatoliki
Ndongo Nyambalya 😂😂😂😂😂😂😂😂
najua unastahili tuzo japo watakunyima ila hakuna kama .roma labda kedriki lamar tu big up roma sote tutakwenda .ZIMBABWE
huyu ndo rapa bora wa Hip hop Tanzania!! I Love I Love Hip hop
Aan Roma unavyojua kufikisha ujumbe kwa fasihi ya kitaalam dah utadhani ulisoma ma HKL kumbe PCM .much Appreciate to you big broh
Hatareee organist mamatu do
Huyu alikua mwalim tanga akaona hapati pesa ndio akaona aimbe tuu
Nyie mnaodislike hii ngoma mungu anawaona au nyie ndo watekaji maana haiwezekani
hahahah kweliiii
Ngoma iko poa
Wazingua sana ningekuwa Na uwezo kwel vile ningewaambia TH-cam watoe hizo dislike
Angel Taimia hahahahaahaaa
kabisa Mungu anawaona
I like Tanzanian music, of all the other things,you people are really talented in music,big up. congratulations Roma , welcome to Kenya n do some show...
tuekeni uteam pembeni this song deserve 2M views
mshazoea mapenzi huku mnakufa na magonjwa hospital dawa hakuna
tukesheni mpaka kieleweke still no 1 on trending 😊😊😊
Anahitaji zaidi ya views 40 milioni hii jaa siku moja atakuwa kiongozi
wakenya tunawasaidia kweli.Mtandao wenyu huezi fikisha milioni mbili.
Ally Malick 💕💕💕
Ally Malick 8
😉😂😂😂 umeongeaaa point kabisaaa 👏
Mimi kwangu ningekua natoa award zote zingebebwa na Roma viva sana brother and live longer youre needed in this industry
Nani kapita huku hii 2019? Nipeeni likes basi. One love
Nazan hii ngoma itahiti mpk mwaka unaisha halaf ngoma za mkubwa Roma hazichujavi yaan shoutout broo and much respect
hatar
wimbo uliojaa hisia much respect tukutane harare
Who's here 2019-2020?
Still sad some people's wanaonewa kabisa 😭😭😭
Uyu mkaka akifumua y moyon ana kufa 😢😢n mistar yake uwez kuiga kuimba
Yaan hii ni hazina ya Tanzania bhana roma sikutegemea angeendelea na harakati hii!! Mega super
As a Zimbabwean someone tell Roma we would love it if he comes to Zimbabwe.
U have to understand that this is literature Zimbabwe is always termed as dumping political states..... So here an artist has used such name to Deriver his intention to our society. Note that....further welcome Tanzania home of peace.
Kaakkkkakk
The best interpretation for Zimbabwe in this song is "a safe haven for the oppressed"
Send me some cash bro. I hear you are selling toes for millions over there hahahaha
@@Muganyizi aàqaàaàààqqqqàa11q11q11qqqààaà
I just had to come back and listen to this
daaah nakuelewa sana ujawah kukosea ila hii melody napoickilza tu naona choz lina taka kutoloka kwenye jcho GOD never leave ur lonely
Shout out to Roma hebu like it kama bado unaisikiliza track hii on Venus 2018
daaah umeuaaa Mkatoliki,(listen it 3:12-16)
iko poa na naipenda sana Hii ngoma maana niyakuelimisha mungu akutangulie ktk kaz yko
Wangapi wamekuja kuichek hii ngoma november 28/2019 gonga like
Ila humu duniani kuna watu wanajua aiseee kwanzia uandishi mpaka style Roma weee noma broo
I don’t understand this but it made me emotional
Wonderful choreography
Soulful music
Love from Pakistan
Its kinder deep messge abt gverment n his life wen he was kidnapped
He kidnapped by unknown people , thus why he thanks people all WHO find him for three days
@@isomerdumelahisabati4832 hapa nayo ungeongea kiswahili😁😁
Nipo mm huoni
It really touches my emotions, I feel even to cry....no one who is completely perfect in Life much love my fellow Tanzanian brother.
Wimbo wq taifa huu...big up roma...kamq tupo sawq angushq like..
Waliotabir j2 nitarudi nakweli imetimia umekuja mwenyewe au umepewa order ckuona nyota but!!? Weka mtutu pembeni tubishane kwa hoja dah!! Mungu akuweke mkaka wewe looh!!
Tusajigwe Kasigila hiv nani yule alitabiri kuonekana kwa Roma j'pili? (Najuwa )
Tusajigwe Kasigila 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😘
patricia Massawe alafu kutwa utaona viclip vyake akiimba gospel, yani ana utani na Mungu iia Mungu atakuja kumfedheesha yule, maana Mungu afanyiwi dhiaka
Tracy Justice kkk
kk
Nani bado anaisikiliza hii ngoma 2019?? like tuone
Nakubali sana loma
Vipi
Mm
Dodiroma
Mu
Roma ukienda Zimbabwe harakat atazifanya nan😂😂😂 but ngoma iko poa hujawah kuniangusha ila umebadirika kidogo mzee.... Nadhan kwenye hii ngoma umejibu maswali ya watu wengi sana kipind unafanya show pale Dar live nilitaman urudie hii nyimbo but sikuwa na uwezo ila umefanya vizur👏👏👏👏
Pharergy Ramson Zimbabwe huru
Dahhhh kaka mkubwa
Mtetez wetu sisi wanyonge
Big up sana kwa bonge la ngoma
Penda xana Roma viva Roma Mungu akulinde uishi miaka mingi
Sup
DJ NETWORK
Metusela Kamanzi the don mtetezi ni mungu si binadamu
Metusela Kamanzi the don nomaa
Nani kaja kusikiliza hii ngoma baada ya kusikia kifo cha mag 🇶🇦
Bonge la Ngoma, Bonge la video.. Hongera sana kaka
Imba Roma Imba
Indeed this guy ROMA is a real prophet.I could`nt understand the meaning of this track until it happened hre in Zimbabwe. We as Zimbabweans changed the Leader.
Mwana yuko zake 🇺🇸 lakini sisi tunaishi kwa misingi ya itikadi zake bado tunausikiliza mwimbo huu 2023
hii ni ngoma kali sana na yule mbunge aliekuambia umemtukana raisi hajitambui yule si anaitwa kessy ,,,daa walisema utaonekana jumapili ndo vile vile duuuuu,kwani kua ukawa kuna tatizo gani jamani ,mhh sitaki simba wachukue ubingwa kwa vile mm ni mshabiki wa yanga ila kama huo mfano ulotoa utafaa ukawa kupata nchi wacha simba wachukue tu
Uchambuzi kuhusu wimbo "Zimbabwe" wa Roma mkatoriki.
Roma tangu kutekwa kwake na hata baada ya kupatikana alikuwa hajawahi kuimba wimbo wowote. Lakini sasa ameamua kutoa wimbo uliobeba "majibu" kwa baadhi ya maswali yaliyokuwepo katikati ya wana-jamii.
1. Roma anaamini kuwa kupotea/kutekwa kwake serikali ilihusika kwa asilimia zote, japo anapatwa na mashaka ya kutambua ni nani aliyewatuma watekaji.Kwa Imani yake Roma, japo hakuona "nyota" begani kwa mtekaji/watekaji lakini anaamini ni polisi/Jeshi.
2. Roma anaamini kuwa watu ni "vigeugeu",na wengine wanafiki.Wanaweza kukujaza na kukutia moyo kwa maneno lakini siyo kwa matendo.Hivyo wanaweza kuwa sehemu ya wewe kupata matatizo lakini ukishakuwa katikati ya dimbwi hilo wakakukimbia na wengine kukucheka.
Kwa msimamo wa Roma ni kuwa, tatizo siyo kufa lakini je,hawa wanaobaki anawaachaje?? ikiwemo familia yake na ndg.zake.
3. Roma anaamini kuwa kwa sehemu fulani rais Magufuli amefanya baadhi yaliyo mema lakini hajafanikiwa kufikia kiwango cha mwisho.Anaamini kuwa kuendelea kumuunga mkono rais ni sehemu ya kumpa support. Roma anatoa maoni yake juu ya utendaji wa Magufuli. Pia Roma anadhihirisha jinsi alivyomtabiria Magufuli wakati bado akiwa Waziri wa ujenzi. Hivyo hapa Roma, anajaribu kutueleza jamii kuwa ni kwa namna gani nyimbo na mawazo yake huwa ni ya kifalsafa.
4. Pia,Roma bado anaendelea kuwaasa watawala na kuwakumbusha kuwa utawala wao siyo wa milele, ipo siku "upinzani" watachukua nchi.Kwenye wimbo wake, Roma anasema "ipo siku mtawala atakuwa mpinzani".Hivyo, Roma pamoja na kuzibwa mdomo na kuteswa lakini anaamini kuwa demokrasia ni njia pekee ya kukomesha udikteta.
5. Kuhusu Mbunge Kessy aliyetoa maneno yake ya "kejeli" kwa Roma.Hapa Roma amemjibu kwa kumuonesha kuwa "ukibaraka" siku zote hauna faida. Malipo ya kibaraka ni sifa za maneno ilihali wengine wanafanyiwa kwa vitendo. Tatizo la vibaraka ni kuwa hujitoa fahamu ili tu kutaka kuonekana kwa ma-boss wao.
6. Mwisho,Roma anaonekana kukata tamaa na Tanzania. Hii inatokana na sababu mbili;
(a) Maneno ya chorus "nakwenda Zimbabwe",ambayo yanaashiria kuwaza juu y nchi nyingine tofauti na nchi yake.
(b) Lugha ya picha inayoonesha wahusika wote wanamfuata Roma kule anakoenda.Pia Roma anafanya "gestures" au ishara zenye kuonesha kuchoka na kukata tamaa.
Uchambuzi mzuri huu Kaka😊
Uchambuzi mzuri huu Kaka😊
Umefany kitu pow san
memorable song ,maana matukio yaliyotokea kipindi hiki ilikuwa tunaanza kuitafuta picha ya burundi na kuigandamizia kwa kuchora iache kivuli chake katika nchi yetu
ndugu roma watu hawakuelewi tu ila nikiumbuka vitabu vingi nilivyosoma kuhusu ukombozi,wapinga ubepari,watetezi wa haki za wanyonge kupitia kupinga baadhi ya ufedhuli wa uongozi nabaki kuapreciate uandishi wako
big up bro
-Kwako ROMA ni unforgettable! Unetisha sana na surprise hii
1. Ngoma KALI
2. Video KALI
3. Shout out to Zimbabwe !! BlessUP
Always ROMA stays true in his heart, believes in himself and work hard.
The best song ever!
I don't understand this language but with what's going on in Zimbabwe, the graphics show that this guy is an ideal one. Zimbabweans have got a Tanzanian brother
wangapi tunasubir ifike 2M views
Ally Malick me wa kwanza
asina mshana
Ally Malick me
Ally Malick hehehehhe na me nasubiri
Ally Malick me
anatabiri kuwa tunakoelekea Ni Zimbabwe na mkumbuke mtawala wa Zimbabwe Ni nani na utawala wake Ni upi. mwenye masikio asikie na mwenye macho aone. Viva Roma viva
Nimekuelewa sana jomba thankx
listened to this when i went to Tanzania in June, it made me proud of my country Zimbabwe
Well come again
Safari Ime Wadia+ Tuna kwenda Zimbabwe Big up san Mkatoliki
big up keepitup
iko bomba kinooooooooomaaaaaa
Kwa wimbo kutoka one week na views 1M ni kuonyesha kwamba watu wameukubali huu wimbo. Roma ni moja ya wanamuziki anayeangalia maslahi ya nchi na si kama hao wengine wanaonunuliwa. Nimependa pale anapoimba tubishane kwa HOJA na si kukamata watu na kuwaweka ndani. Big up ROMA upo JUUUUUUUUUU
Kama bado hii ni nyimbo yako ya kukutia nguvu gonga like ......✌🏽
WANGAPI TUNA SEMA NYIMBO NZURI
MIM NIME IKUBALI
xheba hazad Nami Niko niimeirewa sana
xheba hazad kalii saaana anaitwaga masta TZ
nakubali xana
Nyimbo imenigusa sanaaa.. I wish it's ma best song.. i feel, i was me.. God bless you.. This is hustling. every body should stand up to the right things..Keep it on going on...
Imba Roma imba..imba Roma imba..iiimba Roma imba...men.
Who will crown this talent wa Tz nawakubali sana aiseehh.
From.kenya with love
Roma Mtetezi Wawanyonge Huu Wimbo Baanawe Dah 💥❤️🇰🇪
Fire
Fire
Wape Habari wenye
Habari zao kuwa mzigo
Tayari
Gonga like hapa kuonyesha umeukubali mziki mzuri
I always love listening to your music bro,this a big heat,with love from 254
Ni balaaaa go goo goooo roma
can't just stop listening at ds song. Nakupenda Roma
Racheal Mayallah like me
Daaah! pole sn jmn kakangu Roma wangu mashairi yako yanitoa machozi!
Mihata nikisikiza tuu machozi yananitoka yani ninyimbo yakuuzunisha
nakubali sana bro roma viva sarut kwako 👈👉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Makonda uhuni wakishamba good sana
MKALI TV bashite aache uhuni wakishamba
kweli bro
MKALI TV bashite uhuni wakishamba achaga kumaaaaaaamake ngoma kali roma sarut mzee baba umewauwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!
KWA NGOMA HII ROMA UMEUA MZEE BABA
WALIODISLIKE WOTE WACHAWI TU
GONGA LIKE TWENDE SAWA HAPA
kweli
love frm usa
Kama unakubali ngoma hii gonga like mkali
Nimeikubali
Ikiwa umeliona Jina la Diamond Platnumz weka LIKE 😂😂😂
Great song who agrees???? B4 wale wa I don't know Swahili...
Dah!! Mungu wa Paulo Mungu wa Daudi Na ndio Mungu wa Jon Na ndio Mungu wangu Mimi nawewe dah!! Nimesoma mnyama natamani Ni like mala 💯 yaani imepenyaaaa hata kibabe haha Wapi Mujombaaaaaaaaaaaaa!!
Tusajigwe Kasigila
Ninoma Sana
Tusajigwe Kasigila yoo nimeikubali pia
Like hapa kama umekuja kuiskiliza ngoma hii kwa mara nyingine 2022 🔥 VIVA roma
From Malawi,i have listened to the song as well as the video,it carries a very big message, more esp to our corrupt regime and does even understand the rights of its citizen, mind you all those who are in power remember that it was our effort,am just waiting Zimbabwe and for sure i will be with u Roma,the video ends as u read the group out of Zimbabwe big up my lovely rapper Roma
hakika mungu hamtup mnyonge Roma pigan tunazd kukuombea ili kuielimisha jamii yetu ya tanznia
Daah nyimbo inasikitisha sana Nani amekuja kuicheki tena 2023 gonga like apa Kam adi 2023 umeiangalia tena
sipati picha live perfomance ya hii nyimbo itakuwaje I can see people dropping tears😢😢😢😢😢😢
Bonge moja la ngoma God bless you kaka Roma
Nani kapita buku baada ya kusikia "anaitwa Roma"
Gonga like
Wewe kaka roma ni zaidi ya noma duh
ngoma kali naomba kufanya cover iwe kama heshima
Such a nice track I am from Kenya naikubali kazi hii ilifanyika ngoma hii nimeicheza kila mara Roma big up "nani kati yenu mwanangu atampa malezi"...big up Roma Big Up ROMA
Jamaa walivomteka wamempa zinga la kiki kwenye muziki na usanii hata mm nilikua simjui na sasa hv nimekua namba 1 fan
Nimefatilia comment nyingi sana ila sijaona hata koment moja unayoizungumzia vibaya hii ngoma zaidi ni za upendo na za kuumizwa tu
In short hii imetugusa sana pole sana kaka yupo mungu hakimu wa yote 😢
Nimekuelew
Hii nyimbo imenipa ujasiri mimi na mungu wangu Tanzania yetu 💪
Makufuli ,, Bashite na wote wasotakia mema nchi yetu hii Message nzito ni kwajili yenu na Natarajia imewafikia
Wote walioguswa na ukweli huu uliochambuliwa Gonga Like kubwa sana hapa ili kuunga mkono hii message ya huzuni yenye maneno mazto ndani yake
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Friesinger 09 sikiliza dk ya 3.00 na dk 3.17 ndo utaelewa vizuri wala magufuli hajahusika ktk ubaya wa roma japo kuna baadhi ya viongozi amewatag ktk hilo sakata la utekaji, umetanguliza fikra zako na si za roma
Freisinger 09 we ndo huitakii hii nchi mema ukishindwa kwenda zimbabwe nenda somalia congo tuachie nchi yetu namkubali president wangu
Timoth Mwakakusyu kafie mbele uko ukome ku comment utumbo sehem kma izi kima weeee
Friesinger 09 wenzako wanaamsha dude we unaamsha kidude mtu wangu, before hujacoment elewa msg kwanza ndipo ufanye hivyo otherwise utaonekena bumbuwazi au duwanzi kwa hizo fikra zako za kuunganisha. hahahahahaaaaaaaaaaa long nshafia mbele we kafie zimbwabwe
sikiliza dk ya 3.00 na dk ya 3.18 afu ulinganishe utumbo wako na wangu upi umekula maharage ya kuchoma
duh polesana kaka umeimba kwahisia sana dah wewe mkali
R.O.M.A RHYMES OF MAGICAL ATTRACTION SALUTE FROM KENYA
Rashid, Omar, Maimuna and Asha familia hiyo
Much love from kenyaa... Kaka Roma tutabirie kama RAILA ODINGA atakuja kuwa Rais 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hahaha atakua
fwedi Dee ndo imeshatoka iyo hawezi kuwa tena coz miaka imemtupa mkono
Awezi tena kuwa
haha
fwedi Dee 😂😂😂😂😂