nimejaribu kuvaa kiatu chako kwa kwel kinanipwelepweta!!! yaan me nahisi ningekuwa nimeshakufwaaa kabisa!! yaan kuona tu hiyo mitutu me buriani!! pole baba ivan mpende sana mkeo maana Nancy alikuwa analia hana hali
Hizo Nyumba Ziko Boko, Kama waliwatupa Ununio, Nilishaenda Huko Mwaka 1995 Kwenye Maombi ya Kufunga Kwenye Retreat za TAFES, Kuna Magorofa Kama Magofu 6 Hivi ambayo Hayakaliwi na Mtu, Sijui sasa kama yapo Occupied. Ndiko walikompeleka Pia Dr. Ulimboka Na Watekaji Tanzania ni PSU.
Mimi namshukuru Mungu, na watu wenye mapenzi mema bila kumsahau mkeo, alilia sana sana nakumbuka alisema, kama mume wangu kafa basi wampe hata maiti ili amzike mume wake, jamani inatia huzuni!!
Inawezekana mungu amekupitisha humo uone wananayotendewa wengi bila watu kufaha kinachoendelea mshukuru tu mungu na kumuomba sana mungu na kuiombea nchi hii kwa yale uliyoyaona
Daaaaaahhhhh hatimae umeamua kuwambia umma hayo yote then what Ila poa mm nilikuelewa from the first day kikubwa tuu uendelee kufanya mzik tunaotaka mashabik na watz kwa ujumla I appreciate you mkubwa #Roma shoutout Pole san kwa yote Mungu atatnda juu ya watesi wako Amin
Kumbe wasiojulikana wa najulikana, kwa sababu wasiojulikana hawana time ya kukaa au kumzuia mtekwaji wao kwa muda mrefu hivyo. Ni chombo kimoja tuu ndio kinaweza kumuweka mtu kizuizini kwa muda mrefu.
SAFARI NYINGINE AKIKAMATWA ATARUDI AKIWA KAMA "ULIMBOKA" NDIPO ATAKAPOELEWA KWAMBA SAA NYINGINE BANGI NI MBOGA YA MAJANI, KUDADEKI!!!!! POVU? HAHAHAHHA!!!!!!
Majibu watapata mbele ya kiti cha hukumu. Imenitoa machozi upya jamani. Halafu hii inatupa fununu kuhusu watekaji. Mungu anusuru Taifa letu kwa vitendo vikatili vilivyotokea na vinavyoendelea
Duuuh pole sana kwakupgwa hadi machoz iseee kiukwel matukio mengne yasikie tu kwa mwingne ila usiombe yakupate wasamehe tu ukiw km ww mwanadam ulieshika dini unaesali haya ya dunia mwachie mungu akutetee hao waliokufanyia hvyo hukum yao ipo kwa mungu
Pole Sana Mwanangu Roma endeleaa Kusali mungu atakulipiaa
Pole sana bro
nimejaribu kuvaa kiatu chako kwa kwel kinanipwelepweta!!! yaan me nahisi ningekuwa nimeshakufwaaa kabisa!! yaan kuona tu hiyo mitutu me buriani!! pole baba ivan mpende sana mkeo maana Nancy alikuwa analia hana hali
My fevorite rapper belive you me I love this guy very much..... Viva Roma
Duuuu Pole xana Roma Ila nkushukuru mungu coz uhai ndio everything
Hizo Nyumba Ziko Boko, Kama waliwatupa Ununio, Nilishaenda Huko Mwaka 1995 Kwenye Maombi ya Kufunga Kwenye Retreat za TAFES, Kuna Magorofa Kama Magofu 6 Hivi ambayo Hayakaliwi na Mtu, Sijui sasa kama yapo Occupied. Ndiko walikompeleka Pia Dr. Ulimboka Na Watekaji Tanzania ni PSU.
hujafa hujaumbika kaka yangu Roma ila yotee hayo Mungu pekee ndo mtoa hukumu
Pole sana ROMA.....Mwenyezi Mungu akupe ujasiri....Napenda sana kazi yako
Viva Roma, sanaaaaaaa, MZEE, uko juu baba. Huo Ndio ukweli baba hata mm pia makamanda wangu wawili wataleta ukombozi 2030
Au sio
Nimeanza kukueleewa tangia Salute had Leo.. Rudi shule kashike chaki. Taifa tuna uhaba wa walimu wa sayansi.
Pole broo
Pole sana ndg kwa yaliyokukuta,mungu yupo tu,
Polesana roma mungu naamini ameshalipa maombi yako usikate tamaa cc tupo nyumayako pia mungu anakupambania sana c vyo hadisasa tusingekua ote pamoja
Pole sana kaka Roma naomba mungu awalani kwa kukutendea Mabaya
Mimi namshukuru Mungu, na watu wenye mapenzi mema bila kumsahau mkeo, alilia sana sana nakumbuka alisema, kama mume wangu kafa basi wampe hata maiti ili amzike mume wake, jamani inatia huzuni!!
Dah
namuona brother Roma katika ubora Wake
Hakuna kipande kigumu ka hiki ukikisikiliza lazima ulie dah! Pole sana br Roma na nakukubali sana shabiki namba moja😭
ninakubari sana kazi zako broo mungu aenderee kubariki kazi za mawazo yetyu poule san roma mnazalet time ikifika wataria na kusaga meno hooohaleluya
du pole sana jembe ni wakati tuu unapitia.mungu yupo
Pole bro, Mungu no mwaminifu na ndo maana bado unaishi, piga moyo konde atakuponya majeraha yako yote. Hongera bro Milad kwa kazi nzuri.
pole brother God will help you songa mbele kaza maisha ni mitihan kupanda na kuxhuka
mchizi Roma kweli mpiginia haki husemwa mchiz we kaza tu hao vimbwanga tu wanga
Pole Loma Mungu atakulipia hapahapa Duniani.
Mungu akusaidie. Nchi yetu ni nzuri, lakini matukio haya ni miongoni mwa mambo ya hovyo katika nchi yetu.
Am in tears😭😭😭😭. Roma mungu akujalie waliokuteka they will never know peace in their lives
hello
Imeniuma cyo kidogo,maelezo yako yamenitoa machozi kabisa,duh!!,nikweli mungu yupo
pole sana
Hapo mm nimepata jibu Serikali ilihusika!!!!!!!🔛🔝🏃🏃🇹🇿
Unaishi wapi
Upo hatalini
Ayo nimependa maswali yako huko vzr Sana!
Inawezekana mungu amekupitisha humo uone wananayotendewa wengi bila watu kufaha kinachoendelea mshukuru tu mungu na kumuomba sana mungu na kuiombea nchi hii kwa yale uliyoyaona
unajua nini ALLAH ANAJUA UMEZULUMIWA YU PAMOJA NAWENYE SUBIRA
Kwa taswira ya picha kwa kile kilichokukuta kupitia hii, una haki ya kusepa bongo mzee baba #muchRespect
Daah pole sana but mungu ni mwema pia malipo yapo hapa hapa dunian kikubwa endelea kumtumain mwenyez mungu.
Emma Mabula
Ukweri inasikitisha sana
Kizaz sn...bro roma
nakuelewa sana Roma tisha mno by MnyaQ boy
Mungu yu pamoja nanyi vivavrom
Maxhabiki wa mwana harakat a, k, a 2030 weka like hapa tujuane
nikawaida katika maisha
Daaaaaahhhhh hatimae umeamua kuwambia umma hayo yote then what Ila poa mm nilikuelewa from the first day kikubwa tuu uendelee kufanya mzik tunaotaka mashabik na watz kwa ujumla I appreciate you mkubwa #Roma shoutout Pole san kwa yote Mungu atatnda juu ya watesi wako Amin
katuñizakiswahilizawatoto
kjna mtazamo wangu acha sanaa jichanganye na mambo mengine Kwan jua hamna kisichowezekana mwisho wa yote utaacha family ikiumia
Mungu atakulipia Roma....malipo ni hapahapa duniani
TTC
Jamani CCM yatupeleka kubaya
Vivaaa roma vivaaaa am on my way to ZIMBABWE
pole sana mkuu ROMA
Daaah pole sana kaka angu,
Daah ! pole sana bro
dahhh! pole sana Roma ila ucjali malipo ni hapa hapa
miss Agatha yotemaisha
Kumbe wasiojulikana wa najulikana, kwa sababu wasiojulikana hawana time ya kukaa au kumzuia mtekwaji wao kwa muda mrefu hivyo. Ni chombo kimoja tuu ndio kinaweza kumuweka mtu kizuizini kwa muda mrefu.
Mungu awalaani hao majitu wafe mmojammoja
Jaman!!!Pole Roma
Kaka Roma mungu yu pamoja na wew
pole sana kaka Roma Mungu yuko pamoja naww
Aizack didas b
Aizaki vp
Na wale watu waliomteka Roma walipatikana usijali mungu ndo atawahukumu waliokufanyia unyama
diamond
Pole sana Roma. Maghufuli must Go. Serikali ya Tanzania lazima iwajibike
Duu Tanzania inakwenda wapii pole bro
4rever bro roma
Mungu anaona kibaya na chema na yeye in mwenye haki so haki yako mungu atakulipia ucjali
Pole sanaa broo
Pole sana
pole kaka Roma.asante Millard kwa kutujuza. duh.
Dah roma umenifurahisha apo ndio mmmh walivunjw si kidole cha mwisho huwa nakiimba imba
Pole sana *Rais* Wangu wa 2030
Mkwasi wa mistari mumemfanyia nini sipendi kuskia hili tukio......but always strong Roma kama roma ♥️♥️♥️♥️
Kaka uwe na Amani Mungu adhihakiwi atakulipia Mungu anajibu Tuuu majibu ni hapa hapa kuna maisha zaidi ya haya.
pole'sana'#mungu' ndio mungu'atakulipia
Tz nch yaajabu sana.inauma kusikiliza mateso uliyopitia
Daa!
Viva viva roma kicho kukuta watanzania tuna asila na hao wasenge walo kutekà
SAFARI NYINGINE AKIKAMATWA ATARUDI AKIWA KAMA "ULIMBOKA" NDIPO ATAKAPOELEWA KWAMBA SAA NYINGINE BANGI NI MBOGA YA MAJANI, KUDADEKI!!!!! POVU? HAHAHAHHA!!!!!!
godfrey mbwambo wamezaliwa
Wamezaliwa na kuajiriwa kutesa
pole Brother ivi ninani anaweza kufanya hayo alafu kimya hakuna hatua yoyote mungu anawaona watekaje!!!!!!!!!!!
Masnondo Fundi haisee pole sana jamaa
Daaah😭😭pole sana brother Roma Zimbabwe
Usirudi baki huko huko nje ya nchi hadi kieleweke
Pole sana bro
pole kakangu......mwakilishi toka Kenya
Millard big up maana kuna waloshindwa kuhoji
Kaamarekani kaka umeteseka sana
hayo ndiomaovu ya serikali ya udikteta ya Magufuli ambayo Watanz wengi vipofu wakiisifu kila kukicha
Pole
saf sana
Ni Kweli
kaka unakili sna tena sana
hamisi m zuberi et eeeh aya subiri
Pole saana MUNGU atawahukimu wote napamoja nahyo aliyewatuma wakufanyiehivyo
Majibu watapata mbele ya kiti cha hukumu. Imenitoa machozi upya jamani. Halafu hii inatupa fununu kuhusu watekaji. Mungu anusuru Taifa letu kwa vitendo vikatili vilivyotokea na vinavyoendelea
pole sana roma
Pole Bro.. 2030 Good Thinker, Thank for Thinking about TZ 18yrs comming...
Duuuh pole sana kwakupgwa hadi machoz iseee kiukwel matukio mengne yasikie tu kwa mwingne ila usiombe yakupate wasamehe tu ukiw km ww mwanadam ulieshika dini unaesali haya ya dunia mwachie mungu akutetee hao waliokufanyia hvyo hukum yao ipo kwa mungu
Ilileta taharuki mpaka kanisani likaomba kwaajili yake, Mungu akupe Maisha mema na akulinde zaidi ya yote akuangazie nuru ya uso wake
Pole sana kaka blatha Mungu yuko nawe kwa kutetea wanyonge
Pole sana Mungu ndo kila kitu kwetu
Pole sana Roma pia Mungu atawalipa tuu mahayawani hao
Pole kijana roma
Viva Roma Viva 👊👊👊👊
ROMA.Reserch what is ECG in pretorial.you will get the answer of what you went through.keep strong in christ
Roma msiri sanaaa dah
pore sana kaka daa kumbe ilikuwa makubwa hivo jamani mungu atawalipa japo itachukua muda ila mungu yupo
Pole sana
Pole sn 2030 Mungu atawahukum insha-allah
Kazi ya bashite,ipo siku itajulikana
Duuuh una haki ya kutokurudi bongo mzee
Dah pole sana sikujui lakini hisia zimenijia ssana.mateso gani hayo. Ila mungu amekupigania sana na utazidi kufika pale unapotaka
roma kweli nimelia dah mungu atawalipa
Isaya 43.1
Pole sana ndugu yetu ndio Tanzania yetu hiyo haina jinsi
Kinachoniumiza zaidi hausemi walicho kuoji ili tukajuwa watanzania tatizo takutekwatekwa
Mungu atalipa ROMA usiogope bro
Dah mungu atalipa ibra ucjal
Hii nchi kuna watu wamepitia maisha magumu sana
Viva #Roma
mkundu ww
Hamis Malimungu wee kuma la mamako kama mkundu unakuwasha lete hapa nikutue kenda mkundu maji wewe
Hamis Malimungu kuwa kichaa cyo mpaka uende kuokota makopo, namaanisha wewe ni kichaa japo utajidai upo sawa
Hapo nimambo yakisiasa na lazma roma usisema dola ndiyo wenyewe akuna ktakacho fwata ni kumkabth mungu tu
Pole sana kaka.
Da ryme of magic attraction god stand for u
axante blooodaaa% maneno yako yataja komboa nchi yetu ( 2moro if not 2day ). pole xana our fighter%
Ni miezi ss ila bado inahuzunisha sana pole sana #roma
mungu mwema kweli hata hivo ulivotoka hivo asant mungu zidisha maombi
Watekaji nao zamu yao MTO wa jehenamu
Moto unawahusu
I am from Rwanda guys. But this is too much, guys. The war that Tanzania has never faced you faced it alone; you Roma. Justice for Roma
20:07 ROMA amesema ukitaka kwenda chooni unafungwa macho then unakuwa unapewa direction. 22:23 anasema wakina MONI wakiwa wanapita koridoni waliona shati ya ROMA imelowa damu!!! Ya kaisali muachie kaisali 🙌🙌. Zimbabwe ngoma kali lakini,22:50 anasema ukiwa unaenda chooni unapita unaona koridoni.
Charles Ased
pole sana Mungu yu nawe daima