Mh.hayo uliyosema ni kweli kabisa lakini kizazi chunu nyie na asa wanasiasa wa sasa mliopata majina mnashangaza sana kwani mmekuwa watu wa kugeuza nafasi zenu kuwa Dili za kupigia pesa na unafiki tofauti na wazee hawa walioasisi Taifa ili.
Huyu jmaa namuelewa sana ,vijana tunatakiwa tujifunze kitu kwamba kuikosoa serikali sio tatizo ila tuangalie misimamo ya kulijenga taifa letu kwa sababu hata hao viongozi wakuu wanakosea,ila hawajitambui tusimame kulijenga taifa letu na tusisite kuokosoa sirikali inapokosea kwa maendeleo yetu..
Mimi ndo maana nakufagiliaga bro big up baba la baba
Zito hua unajitambua sana
Mh.hayo uliyosema ni kweli kabisa lakini kizazi chunu nyie na asa wanasiasa wa sasa mliopata majina mnashangaza sana kwani mmekuwa watu wa kugeuza nafasi zenu kuwa Dili za kupigia pesa na unafiki tofauti na wazee hawa walioasisi Taifa ili.
Donald Samwel kweli kabisa
Huyu jmaa namuelewa sana ,vijana tunatakiwa tujifunze kitu kwamba kuikosoa serikali sio tatizo ila tuangalie misimamo ya kulijenga taifa letu kwa sababu hata hao viongozi wakuu wanakosea,ila hawajitambui tusimame kulijenga taifa letu na tusisite kuokosoa sirikali inapokosea kwa maendeleo yetu..
Cku nyingine unaongeaga point kumbe zito
Umetoa wazo zuli sana ww n great thinker
Timamu siasa tena
Mohamed alhaji
Hao Ccm na magandwa vipi?