- 21
- 282 083
bongoclassafya
Tanzania
เข้าร่วมเมื่อ 2 ก.พ. 2020
Bongoclass afya tunakuketea na funzo mbalimbali kuhusu afya yako kwa lugha ya kiswahili
วีดีโอ
NATAMANI KWAKWELI JAMANI
มุมมอง 1363 ปีที่แล้ว
Nishairi lenye mahadhi ya ainayake yasiyo chosha hatakidogo kusikiliza linahusu tamaa zamoyo
ELIMU NIKILAKITU
มุมมอง 523 ปีที่แล้ว
nishairi zuri lenye kuhasisha nakuleta ladha juu ya umuhimu waelimu
Njia za kupima ujauzito.
มุมมอง 11K3 ปีที่แล้ว
Video hii itakufundisha njianza kupima ujauzito pamoja na njia za asili zikizotumika kupima ujauzito nyakati za zamani.
Siku ya kupata ujauzito
มุมมอง 4193 ปีที่แล้ว
Video hii itakwenda kukufundisha namna ya kuijuwa siku ambayo unaweza kupata ujauzito.
Vyakula Hatari kwa mimba changa
มุมมอง 15K3 ปีที่แล้ว
Kuna vitu vingi vinavyochangia ujauzito kutoka, lakini vyakula huchangia kwa kiasi fulani. Video hii inakwenda kukuorodheshea vyakula hatari kwa mwenye mimba changa
Dalili kuu za vidonda vya tumbo na chanzo chake.
มุมมอง 1.4K4 ปีที่แล้ว
Vidonda vya tumbo vina dalili nyingi. Video hii inakwenda kukuletea dalili ambazo zimekuwa zikipatwa na watu wengi wenye vidonda hivi. Pia viideo hii inakuletea vyanzo vikuu ay vidonda vya tumbo. bongoclass.com/vidonda-vya-tumbo/vidonda.html
MIMBA YA MWEZI MMOJA
มุมมอง 24K4 ปีที่แล้ว
Utakwenda kujifunza dalili za mimba ya mwezi mmoja. Kumbuka kuwa dalili hizi zinaweza kunasibiana na mengine yahusuyo afya kama itakavyo elezwa kwenye video hii. bongoclass.com/afya-ya-uzazi/dalili-za-ujauzito.html
SIKU YA KUPATA MIMBA
มุมมอง 3064 ปีที่แล้ว
Ijue siku hatari kwa kupata ujauzito, zijue na dalili zake.
mimba ya siku moja
มุมมอง 76K4 ปีที่แล้ว
Dalili kuu za mwanzo za mimba changa bongoclass.com/afya-ya-uzazi/dalili-za-ujauzito.html
SIRI NZITO KUHUSU VIRUSI VYA KORONA (CORONA) KUHUSU chanzo chae na historia yake toka miaka ya 1960
มุมมอง 2794 ปีที่แล้ว
SIRI NZITO KUHUSU VIRUSI VYA KORONA (CORONA) KUHUSU chanzo chae na historia yake toka miaka ya 1960
Daah thanks u doctor
Asnte San doctor
Mbona doctor hajibu sasa
Doctor mm niliwah kutoka vipele vyekundu kweny matiti na mapaja baadae vikapotea nikanenepa hakuna mfano mbaya sana nilikuwa nanyonyesha mwanangu alianza kupungua bila sababu nahic n ukimw 😭😭
Tatizo mtangazaji umekunywa kvant nyingi😢
🙏
Mbn dalili hzo cn lakini kipimo kinaonesha unavirs au
Doct mimi naon kama kikohoz kinakua kinanisumbua pia na mafua
Ivi kunenepa nakwenyewe ni dalili ya ukimwi je kama mjamzito kanenepa inaweza kua ni dalili ya ukimwi?
Ndio hii ni miongoni mwa dalili... Thabiti
@@dcgyywqswe4562 unanenepa ndan ya muda gan kuanzia upate maambukizi
Asnt sana
😢😢😢
Doctor,,mm niko n swali,, mbona mm naumwa n shingo n mabenga,, nasikia pain n ndani,,shida inaweza kuwa nini,,nimeumwa kwa muda,,bt ii mwaka nimeumwa sana,,plz nipe advice,, ni buy dawa gn
❤❤❤
asante doctor
Ahsante sana kwa kweli kwa Elimu hii.
Doctor samahani je ukishiriki tendo na mtu mwenyewe HIV na anatumia dawa kunauwezekano wa kumuambukiza mwenza wake
Je kuwashwa mwil
Asante
Anae ongea sauti ni kama mwenyewe ana ukimwi 😂😂😂😂😂nisameheni jamani😂
mim nina vindonda2 kwenye mdomo vip naona sielewi
Kapime
Ukitomba peku auwezi kupata ukimwi ukitumia kondomu ni raisi kupata ukimwi akiri kichwani kwako
Nimekwishaa
Ndo unatufundisha nn km husemi madhara gani yanatokea
Asante
😂
Vip Mimi nimetumia kondomu kwaufasaa Ila nina Homa vip inaweza kuwa dalili 😢
Ivi mbu aking'ata mwenye virusi anaweza kuambukiza wengine
Hapana mbu uambikiza malaria.
Docta naomba kuuliza ivi kipimo Cha kinywani na kipimo Cha damu kwenye kidole kipi Bora zaidi katika kutoa majibu sahihi?
Kwani minyoo ndo amoeba??
Hata mim nmetembea kwa mda mlef namweny ukimw lasipo kujua hiz dalil kwang sjazion ila nimenenepa san niuchov t ndio upo
Kapime
Thanks
Je doctor nimepima Sina virus lakn mpenz wangu niliyekuwa nae alikuwa muadhilika lakn Nina Miaka miwili sas nimeachana nae lakn napata homa Kali
Pole aisee ukachek afya yako usikae ukalidhika.
Mimi nimeswakia mswaki wa mgonjwa wa ukimwi mswaki wake nilichanganya mswaki lkn niliukuta ukiwa mkavu je naweza kupata?
Yaani Nasubiri Ili jibu kwa hamu
@@florahmushi748kama aliswaki kwa muda mfupi ukautumia ndio labda kama ameswaki na mswaki ukakaa masaa kadhaa hupatwi na kwa vitu vya ncha kali ni ivo ivo.
Duuuh ni hatari mno
Inaez athir human respiratory system?
Doctor, naomba kujua kama ukinywa juice ya manjano pilipili manga na ubuyu una mathara yapi Kwa mjamzito?🙏
Doctor, asante kwa mafunzo, ilaah naomba ulete somo la wanawake wenye miaka zaidi 40+, na bado wanatamani kupata mtoto,🇰🇪.
Kwanza siku ya hedhi yako au siku uloshiliki tendo?
Jaman ugonjwa una Tisha huu
Tafadhali naomba unisaidie kama mimi sijaona dalili ya homa ndani ya wiki mbili bwanangu anaumwa akona homa anasema koo pia yawasha na kuna vitu kama piple kwa makwapa yake zimemtoka nikawa natoa lkn mm sijaona dalili tafadhali nikitaka kuokoa afya yngu nitafanyaje tafdhal maana mm sion dalili
Nicheki whatsapp 0719814730
@@bongoafya dr nakupigia
Shukurani
Kwani Kuna kipimo cha minyoo
Unapimw kupitia choo
Mimi tumbo linaniuma
Tatizo unaongea vitu unafananisha na vitu vingine tutaelewaje
Dokta tangu nitumie siku za hatar kusex na mwezngu nahis nna gesi na kichwa kinauma sana najihis mchofu sana je nidalili ya mimba au ni gesi tu
www.bongoclass.com/hq/ Wasilina nami hapa
Dr nimemalz pd mfano Jana leo nikakutan na mwanaume vp hap
Huwezi PATA mimba hapo
Samahan dactar j kubabuka mdom nay n dalili ya kwaz?
Hapana
Asante dr
👐
Minyoo unaweza sababisha kutobeba mimba
Hapana
Mimi nilipima mstari Moja hujatoka vizuri mwengine hikatoka Kwa mbali na nimeona dam nyepesi Kwa siku 3 hikaisha sijui ni mimba na mdomo mchungu
Ni mimba hiyo, hongera
Samahani mim tombo langu lote limebadilika nakukuwa mwekundu
Wasilina nami hapa www.bongoclass.com/hq/