Mimi baada ya ubatizo usiku wake niliotaga ndoto nashuka shimoni harafu nasikia sauti inasema asema Bwana wa majeshi nikasema nini hiki kuna baadhi niliwasimuliaga hii ndoto, mimi nilidhani baada ya ubatizo nitaota ndoto nzuri nikashangaa
Nakumbuka nilikwambia tulikutana sokoni nyuki nikakwambia MUNGU amenikataza kushiriki makutano tena MUNGU alinionyesha mazito sana sana na hata sasa MUNGU Bado anasema na Mimi kuhusu mambo yanayoendelea kwenu kuweni makini jamani jamani siku za mwisho shetani Yuko na speed kubwa sanaaaa mm ckukangaga MUNGU alinizuia kabisaaa
Ulikosa kibali wewe ..lakini wengine lazima walitakiwa kushiriki ili wapate kujibiwa maswali yao..sio kwamba sikuonywesha mabaya ila niliambiwa niende na nirekodi iwe ushahidi.....MUNGU HAKOSEI....@@HappyFlowers-ee8ru
Mimi baada ya ubatizo usiku wake niliotaga ndoto nashuka shimoni harafu nasikia sauti inasema asema Bwana wa majeshi nikasema nini hiki kuna baadhi niliwasimuliaga hii ndoto, mimi nilidhani baada ya ubatizo nitaota ndoto nzuri nikashangaa
Amen.Atukuzwe BWANA na Mwokozi YESU Kwa kuwa Anatupenda
Amen Amen nabarikiwa sana
Ni vyema Mungu amewafunulia haya mambo..Roho mtakatifu asha mkataa huyo Meshak..muwe makini sana naye ameshatekwa na ibilisi.
Amina
Amen
Hakika MUNGU amuachi mwenye haki angamie
Mh mbon kama nachanganyikiwa jaman kwahiyoo mh
wanachanganyikiwa wanachanganyikiwa lkn ndio mwisho wa lmani potofu huwa sio mzuri hawa wasipokuwa makini mtaniambia watafanya vituko sana
Ina maana ubatizo wa mwezi wa 2 aukuwa sahihi ??
Roho ndie ashuhudiae mwili roho wa MUNGU tusaidie
Amen Mungu ni mwema
Bwana Yesu ni mwema sana
Amen watumishi wa Mungu Aliye Hai.
Nakumbuka nilikwambia tulikutana sokoni nyuki nikakwambia MUNGU amenikataza kushiriki makutano tena MUNGU alinionyesha mazito sana sana na hata sasa MUNGU Bado anasema na Mimi kuhusu mambo yanayoendelea kwenu kuweni makini jamani jamani siku za mwisho shetani Yuko na speed kubwa sanaaaa mm ckukangaga MUNGU alinizuia kabisaaa
Nilikwambia nmekosa kibali naona vibaya ni mengi sanaaa kuweni makini
Ulikosa kibali wewe ..lakini wengine lazima walitakiwa kushiriki ili wapate kujibiwa maswali yao..sio kwamba sikuonywesha mabaya ila niliambiwa niende na nirekodi iwe ushahidi.....MUNGU HAKOSEI....@@HappyFlowers-ee8ru
mna manisha mtume mali yabwana siyo mtumishi wakweli?
Naomba namba ya mchungaji peter.
Haleluyaa Mungu ni mkuu sana
Atukuzwe sana Bwana Yesu
mna manisha mtume mali yabwana siyo mtumishi wakweli?