Mnautia madoa uislamu, wakati uislamu ni safi. Subhanallah. Mnaacha mafundisho ya Mwenyezi Mungu na Mtume mnafuata matundisho ambayo hayamo ndani ndani ya Qur'an. Hayo ni matunda ya sheitwani. Mnaitukanisha Dini ya Mwenyezi Mungu.
@@ebenezerchurchsupremetv9490 Hao si hawaelewi yaani ukizaliwa muislam kiuharisia wewe teyari una majini upo connected nayo (ndio maana wanakuwa na roho ya mpinga Kristo kafiri) na ukisilimu pia upo pamoja nayo.
Ushawahi waza katka moyo wako,je kama waafrika tungejaaliwa tecnologia nzuri ya kutengeneza siraha Bora na majeshi bora ya kujilinda,kabla ya wazungu je wangetutawala vp na dini zao wangeziingiza vp Africa,je zisingekuja hizi dini hatma yetu ungekuw nn, jiulize xna then Leta majibu
@@ebenezerchurchsupremetv9490musicho kijua nikwamba Qur'an nikitabu ambacho hakijaacha kitu,wenzetu wa upande wa pili munaamini uislam ni dini isiyo yakweli,na waislam wanafuga majini,kwanza mufaamu majini ni viumbe kama ssi Mungu aliwaumba wanadamu na majini ili wamuabudu,lakini majini haya kuna majini mema na majini mahovu kama ssi binadamu.kwahiyo basi narudi kwenye qu'ani nikitabu ambacho wazungu wanakitumia sana ili kujifaidisha kwasababu nikibu ambaho hakijaacha kitu,hivyo enyi wakristo uislam ni dini ya kweli na haina mashaka ndani yake,hawa wanaofanya hivi ni miongoni mwa wale wanaomkufuru Mungu.
Subhanallah huu ni ushirikina...mtume sws alisema Akbar kabahir madhambi makubwa kuliko yote ya Kwanza ni kumshirikisha mwenyezi mungu dini yetu ya kiislam mwaifanya ni ya ki sheitwan... sheikh umevaa vazi la heshima ila unaongea mambo ya shirki mwenyezi mungu akusameh na akuongoze njia ya swa
Usionge kitu hujui huyu sio mshirikina akueleza hajasema uwite majini huyu amesomea hayo mambo ww ukirogwa anao ilimu ya kukutibu waona nabii suleiman alikua akiwatumia kwa njia ya sawa hata ww waeza kumtumia jini ili kufanyia mtu dawa apone makosa Nepalese wataka utajiri utumie majini kua kutoa kafara ziko njia nyingi sasa ustadh yuwakueleza sio kwamba yy mchawi huyu ni mtabibu
@@adamkassim-ts2ds kushirikisha majini vp soma boss wacha kukurupukwa sawa mtume s a w amefundisha kila kitu mana ya rukia ni nn kushirikisha mungu ni kutumia jini kuroga sawa na mengineo tafauti tafauti ambayo kumdhuru binadamu mwenzako na waeza kutumia jini kisheria jini waeza kumtumia ukifanyia watu dawa kama kumtuma kutafuta miti shamba na kuna dawa zengine majini wazijua ambao ni waisilamu na kunao majini wengine wakiristo ambao kazi zao kukupa ww binadamu ugonjwa ama ukitaka akufanyie mambo yako atakwambia umshirikishe Allah ndio ufanikiwe kama kua umtoe mamako ama umtoe mtoto wako sawa soma mwanzo kabla kuropokwa tumeumbwa majini na binadamu tumuabudu Allah basi na wengine wanamusi Allah
@adamkassim-ts2ds sasa kama hunui hata mtume s a w alikutana na majini tena wakamuamini soma suratul jin usikurupukwe sawa na kila binadamu anae shitwani na malaika sawa mtume s a w pia alikua nae ila wa mtume s a w alimsilimisha akawa mwema soma baba
Dhambi kubwa lisilosamehewa ni ushirikina.Umepoteza watu wengi sasa subiri siku roho itachukuliwa na mwenyewe ndio utapata mavuno ya unayoyafanya.Hao majini unatumia watu wanamjua mwenye aliwaumba,wewe mjanja sana unapotosha watu katika njia ya Mwenyezi Mungu Ilhali Mwenyezi Mungu amesema aliwaumba majini na binadamu ili wamwabudu yeye tu.Lilia Mwenyezi Mungu na utubu,
Swadaqta huu ni ushirikina hapo nakuunga mkono kabisa, wapi mtume Muhammad (s.a.w) na sahaba zake au Tābiʿū al-Tābin wakafanya zaidi ya Quran na sunnah? huu ni ushirikina mtupu muombeni mungu pasipo na washiriki majini ni viumbe tu hata malaika ni viumbe tu hakuna anae uwezo illa Allah(s.w.t)
Tuwekee..clip inayo onesha Dr sule ameongea kuwa jini aitwi au akuna mtu anaye weza kumwita jini..tuoneshe sasahivi..mtangazaji ni muongo sana..anapeleka maneno nyuma na mbele..anachanganya changanya...sule alisema kuwa inabidi uwe na elimu ya kutosha ndio umwite jini..rakini wengi wao ni waongo wanasema wanaweza kumwita jini aje pia atoe utajiri..ila kwanini wao wanaweza kumwita jini mbona bado masikini..pia maisha yao sio mazuri..si wangekuwa matajiri kwanza..ndio wafundishe wengine kuita majini..ndivyo alivyo ongea Dr sule..sasa uyu mtangazaji ni muongo arafu mgombanishi pia anataka kuchafua dini za watu
Right ungejua usingewaita wachawi, hao ndio walioshika dini hasa.. soma uislam sana, utakua mganga mzuri. Hukusoma kua Muhammad alisilimisha majini na majini yana sura yao kwenye Quran. Nina mengi ya kukwambia, siri ni nyingi. Haujiulizi kwanini majini yanaitwa Kwa lugha ya kiarabu tu.
Inna li llah wainna ilayhi raajiun Elimu za kupotoa hizi watu wamtegemee Allah pekee waache manen y hawa wanaolingania elimu za kijini n kutegmea majini
Jielimishe vizuri kwanza kabla ya kulaumu, elimu mbaya ni uchawi elimu inayokuweka karibu na Allah sio mbaya kwasababu utajua utukufu wake vilivyo na utakuwa na ihlaswi ya kweli.
@@zahraabdul9652 Quran si Kuna sura nzima ni majini tu inaelezea Nikuambie tu rafiki yangu Dini yako ukiisoma nakuelewa lazima uwe na uhusiano na majini usikatae
Wachungaji, lugha wanayo isema wao wenyewe hawaielewi na wala si lugha, naweza kusema ni ubabaishaji Lugha isiyo tafasirika hiyo siyo lugha. Kama ni Malaika, tuba elewa Malaika alimtokea Maryam akampa ujumbe wenye kueleweka tena SOFT LANGUAGE ila hawa wa chungaji ni sehemu ya upigaji na wenyewe wanajuwa ila ni siri yao. Lazima tuelewe, Maana kubsa ya uwepo wa makatazo.
Wewe ulikuwa uangalie na kuckiliza na sio kucomment usicho kijuwa kwenye imani, ukwel ni muumba wa vyote ndio atakae toa jibu na amesha yatoa. Endelea kumpenda mtu asiekuweko kwenye msaada kwako, Nabii Issa alikuja kwa wana kondoo wewe punda unahusu nini, huko Israel hata kukujuwa hukujui ni mswahili hujiulizi jambo tu, kweli unakiza machoni.
Nawe unapotoa komenti fikiria usiropoke kuna waisilam na waumin,,hat wewe hapo kwenye dini yako hiv vitu vipo kwa wachungaj wenu sisi hatumkatai ila tunamuelewesha asipotoshe wengne
Nakumbuka nikislim niliambiwa,nisifuate WAISLAMU,nifuate UISLAM.Ila sina imani asilimia Mia kuwa huyu ni muislam ,pengine kalipwa ayaseme hayo.Subhanallah.
Nimuisilamu huyu huyu kazi yake nikukusaidia kama ww ukirongwa akupe dawa huyu amesomea haya mambo ila hawa watu wanakua na taa kama wazee wazamani wakikutibu atakwambia nipe chochote ila hawa watakwambia toa laki milioni yani wafanya kwa manufaa yao watu wingi hawafanyi kwa ajili ya Allah
Kuna tofauti kati ya jini na sheitan, jini ni kumbe kama wewe TU ambaye kaumbwa amuabudu mungu, ispkuwa anakuwa sheitan pale anapo muasi mungu nikikumbuka mafundisho Kuna majini wanafanya Ibada vizuri TU je, hawa hawapendwi na mungu??
Ni kweli maana Uislamu bila Uchawi hauendi ndio maana kuna surati jini pia majini yalisikia Quran yakasilimu ,Sasa hii ndio dini eti ya myazi mungu Allha asiye Mungu muumbaji
Ndio uislam ni dini ya haki na ndo maana hata majin wanatubu wakiisikia kwasabb nao ni viumbe wa Allah kama unakataa leta ushahd kwanza kama majin hawakuumbwa na Allah ili tuendelee
Wengi wanaokoment hawamwelewi huyu bwana,ameanza kusisitiza kwanza elimu hizi ni hatari na zinaenda kinyume na mafundisho ya Allah, huyu anajaribu kutoa ilimu tu
Ni kweli ila na yeye anaamini mengine na kukufuru mengine kama hayo ya pete anayo ,nu ya kishirikina Pili ,kujifunza elimu hii ni ushirikina hata kama utajufunza kutengua uchawi
Ametaja Azazel na Samyaza, lakini hawa wawili ni malaika waliobanwa kwa minyororo na Archangel Michael Kufuatia maagizo ya Mwenyezi Mungu, kisha wakatoswa kwenye shimo jangwani lililo mvunguni mwa River Euphrates. Maandishi matakatifu yanasema ipo wakati huo mto utakauka na wataachiliwa huru kwa muda mfupi.
SubahanaAllah ,sijui waitwa nani wewe mushrik lakini namuomba Allah Akuongoze uujue uislam.ki ukweli hauna hata nuru ya uislam Wala hukai muislam.Jaribu sana utubie kabla ya wakati wako kufika
@ayoubshaibu8123 WEWE NI MODERN ISLAMIC MNATUMIA MAWAZO YENU KUJIBU HOJA SIO VITABU VYENU BUT VITABU VYAKO VINAKUELEKEZA HADI USALI NAO IJUMAA. DINI YA MAJINI NA UCHAWI😂
Hawa watu wataangamia kwa kukosa maalifa na kuamini majini na mashetani katika mafanikio,wakati Yesu Kristo mmoja majini yooote dunia nzima yanamshidwa kwa nini msimuamini, yeye ndio njia ya kweli na uzima?
Wa kristo ndo hamu muamini Yesu sababu na huyo ukubwa wake mnao mpandikiza mathubutu kuhakikisha kama amekufa , sasa na Mungu wa waislam Yupo milele Hafi , haja zaliwa , haja zaa , na hafanane na kiumbe chochote. Huyo ndo Allah Alie umba na huyo Yesu .
Uyu hajasoma mafundish ya kur-ani ndio mana mana mtume hakufundish ivo mtu atafute rizki namna iyo wala maswahaba zake hakuwafundish zaid ya duwa nakusimama usiku kumuelekea Allah sw wamuombe yeye na wasitegeme kwengine .awa wanachangany iman munasahau mashekh kama kunasuratul ikhlas aya ya 2 inasemaje eeeee subhanallah yarabbi tuongoze na vizazi vyetu ktk mamb ya kher nakufata muongozo wa kurani na sunnah
Huyu hata haitwi muislamu hadi arudi Kwa mola wake Huyu ni mshirikina sawa na washirikina wengine wanaoabudia masanamu na kufanyia muungu mwana kama WW
Hiyo ni elm dunia ni ushirikina uislam haujafundisha hayo munautia doa uislam mutaulizwa na allah kwa kuwatoa watu ktk Imani na utajir ni qadar ya Allah mwenyewe acheni Mambo yenu hayo Allah awaongoze
Yaani maana halisi ya ushirikina ni kuchanganya mafundisho sahihi ya Mungu na yale ya shetani kwa nia ya Kumuudhi Allah na kumtumikia Shetani. Washirikina wote motoni
Mnautia madoa uislamu, wakati uislamu ni safi. Subhanallah. Mnaacha mafundisho ya Mwenyezi Mungu na Mtume mnafuata matundisho ambayo hayamo ndani ndani ya Qur'an. Hayo ni matunda ya sheitwani. Mnaitukanisha Dini ya Mwenyezi Mungu.
Hakuna dosari bali ni kweli kabisa uislam na majini ni kama samaki na maji
@@ebenezerchurchsupremetv9490
Hao si hawaelewi yaani ukizaliwa muislam kiuharisia wewe teyari una majini upo connected nayo (ndio maana wanakuwa na roho ya mpinga Kristo kafiri) na ukisilimu pia upo pamoja nayo.
😂😂yan waislam wengi hawajui dini yao wanakua wanaona kama hawa ni waongo
Ushawahi waza katka moyo wako,je kama waafrika tungejaaliwa tecnologia nzuri ya kutengeneza siraha Bora na majeshi bora ya kujilinda,kabla ya wazungu je wangetutawala vp na dini zao wangeziingiza vp Africa,je zisingekuja hizi dini hatma yetu ungekuw nn, jiulize xna then Leta majibu
@@ebenezerchurchsupremetv9490musicho kijua nikwamba Qur'an nikitabu ambacho hakijaacha kitu,wenzetu wa upande wa pili munaamini uislam ni dini isiyo yakweli,na waislam wanafuga majini,kwanza mufaamu majini ni viumbe kama ssi Mungu aliwaumba wanadamu na majini ili wamuabudu,lakini majini haya kuna majini mema na majini mahovu kama ssi binadamu.kwahiyo basi narudi kwenye qu'ani nikitabu ambacho wazungu wanakitumia sana ili kujifaidisha kwasababu nikibu ambaho hakijaacha kitu,hivyo enyi wakristo uislam ni dini ya kweli na haina mashaka ndani yake,hawa wanaofanya hivi ni miongoni mwa wale wanaomkufuru Mungu.
Subhanallah huu ni ushirikina...mtume sws alisema Akbar kabahir madhambi makubwa kuliko yote ya Kwanza ni kumshirikisha mwenyezi mungu dini yetu ya kiislam mwaifanya ni ya ki sheitwan... sheikh umevaa vazi la heshima ila unaongea mambo ya shirki mwenyezi mungu akusameh na akuongoze njia ya swa
Usionge kitu hujui huyu sio mshirikina akueleza hajasema uwite majini huyu amesomea hayo mambo ww ukirogwa anao ilimu ya kukutibu waona nabii suleiman alikua akiwatumia kwa njia ya sawa hata ww waeza kumtumia jini ili kufanyia mtu dawa apone makosa Nepalese wataka utajiri utumie majini kua kutoa kafara ziko njia nyingi sasa ustadh yuwakueleza sio kwamba yy mchawi huyu ni mtabibu
@@saba-gv3mj wew ndo ujui kitu sisi ni umma wa mtume Muhammad sws twafata Sunnah zke we uliskia historia ya mtume akifanya tiba na kushirikisha majini
@@adamkassim-ts2ds kushirikisha majini vp soma boss wacha kukurupukwa sawa mtume s a w amefundisha kila kitu mana ya rukia ni nn kushirikisha mungu ni kutumia jini kuroga sawa na mengineo tafauti tafauti ambayo kumdhuru binadamu mwenzako na waeza kutumia jini kisheria jini waeza kumtumia ukifanyia watu dawa kama kumtuma kutafuta miti shamba na kuna dawa zengine majini wazijua ambao ni waisilamu na kunao majini wengine wakiristo ambao kazi zao kukupa ww binadamu ugonjwa ama ukitaka akufanyie mambo yako atakwambia umshirikishe Allah ndio ufanikiwe kama kua umtoe mamako ama umtoe mtoto wako sawa soma mwanzo kabla kuropokwa tumeumbwa majini na binadamu tumuabudu Allah basi na wengine wanamusi Allah
@adamkassim-ts2ds sasa kama hunui hata mtume s a w alikutana na majini tena wakamuamini soma suratul jin usikurupukwe sawa na kila binadamu anae shitwani na malaika sawa mtume s a w pia alikua nae ila wa mtume s a w alimsilimisha akawa mwema soma baba
@@saba-gv3mj ngoja nikuulize swali...kwahio mtume aliita majini usku
Dhambi kubwa lisilosamehewa ni ushirikina.Umepoteza watu wengi sasa subiri siku roho itachukuliwa na mwenyewe ndio utapata mavuno ya unayoyafanya.Hao majini unatumia watu wanamjua mwenye aliwaumba,wewe mjanja sana unapotosha watu katika njia ya Mwenyezi Mungu Ilhali Mwenyezi Mungu amesema aliwaumba majini na binadamu ili wamwabudu yeye tu.Lilia Mwenyezi Mungu na utubu,
Swadaqta huu ni ushirikina hapo nakuunga mkono kabisa, wapi mtume Muhammad (s.a.w) na sahaba zake au Tābiʿū al-Tābin wakafanya zaidi ya Quran na sunnah? huu ni ushirikina mtupu muombeni mungu pasipo na washiriki majini ni viumbe tu hata malaika ni viumbe tu hakuna anae uwezo illa Allah(s.w.t)
Subhana'Allah...
Kwa hakika Tunatumia Vibaya sana hii elimu ya Allah s.w...!!
Kumbe hiyo ni Elimu ya Allah😮 basi hajafanya makosa kuieleza elimu ya Allah wenu
Wacha waongee mwaswma wakristo to ndo wanavituko.Wacha tuone waislamu wanavo fanya ushirikina kutafuta pesa pia. Mola arehemu watu wake.
Namiminataka utajjiri'
Tuwekee..clip inayo onesha Dr sule ameongea kuwa jini aitwi au akuna mtu anaye weza kumwita jini..tuoneshe sasahivi..mtangazaji ni muongo sana..anapeleka maneno nyuma na mbele..anachanganya changanya...sule alisema kuwa inabidi uwe na elimu ya kutosha ndio umwite jini..rakini wengi wao ni waongo wanasema wanaweza kumwita jini aje pia atoe utajiri..ila kwanini wao wanaweza kumwita jini mbona bado masikini..pia maisha yao sio mazuri..si wangekuwa matajiri kwanza..ndio wafundishe wengine kuita majini..ndivyo alivyo ongea Dr sule..sasa uyu mtangazaji ni muongo arafu mgombanishi pia anataka kuchafua dini za watu
Yesu ndie utajiri tosha!!
Umeona ety wanaita jini alooh Mungu tuhurumie ☹️☹️☹️
Soma uislam kwanza na sio ubishane kwa kitu usicho na ELIMU nacho tafadhali usije ukajutia SIKU ya mwisho
HasbunaAllah, wachawi pia wanatumia jina ya Mungu kutekeleza uchawi yao...may Allah protect us
Ameen
Right ungejua usingewaita wachawi, hao ndio walioshika dini hasa.. soma uislam sana, utakua mganga mzuri. Hukusoma kua Muhammad alisilimisha majini na majini yana sura yao kwenye Quran. Nina mengi ya kukwambia, siri ni nyingi. Haujiulizi kwanini majini yanaitwa Kwa lugha ya kiarabu tu.
Kaka hii ni Dunia tuu kisho utaingizwa kabrini wafundisha watu uchawi live subhana Allah
Huyu mungu amsameye sana
Inna li llah wainna ilayhi raajiun
Elimu za kupotoa hizi watu wamtegemee Allah pekee waache manen y hawa wanaolingania elimu za kijini n kutegmea majini
Kweli kabisa
Jielimishe vizuri kwanza kabla ya kulaumu, elimu mbaya ni uchawi elimu inayokuweka karibu na Allah sio mbaya kwasababu utajua utukufu wake vilivyo na utakuwa na ihlaswi ya kweli.
Subhanaallah huyu kaka sio mwislamu ila anatumia dini kuweka madoa wakati vitu hivi tujaambiwa ndani ya msaafu huyu mnafiki kabisa Allah atusamehe 😢
we ndo mnafiki Mwenyezi Mungu akusamehe unataka kusem ni dini Gani mfano we Mungu
Acha zako majini ni wageni ndani ya uislamu hamfundishwi
@@audifansisafari5587 hizo anafanya ni shirki kabisa someni Quran MWACHE kudanganywa me mnafiki au nyie😏😏
@@zahraabdul9652 Quran si Kuna sura nzima ni majini tu inaelezea
Nikuambie tu rafiki yangu Dini yako ukiisoma nakuelewa lazima uwe na uhusiano na majini usikatae
Huyo ni muislamu kabisa mnamkataa msio na elimu ya uislamu wenye elimu zao dk sule na mazinge wanamuelewa mbona
Hakukufuru suleimani. Hizi njaa mmnamuambatanisha mungu na shirki
Nani kakudanganya?suleiman alipotezwa na wakeze
Yesu Kristo ndiye Njia, Ukweli Na Uzima,Bila yeye uko njia potevu,Bila yeye Umendanganyika,Bila yeye Uko katika Mauti.
Amini yesu ,mengine ni adithi za kichawi na wazee wa zamini ,yesu ndio kila kitu
😂😂😂 bado hujasema..... Na yesu wenu
Kweli
Wazee wa zamani ndio kina nani?Wahenga au ?😆😆
Wewe ni mchawi pambana upate pesa ya halali mwendawazim usimshirikishe Mungu
Nihatar mnooo kuna wachungaji ile lugha wanazungumzaga naanza kuelewaaa sasa
Wachungaji, lugha wanayo isema wao wenyewe hawaielewi na wala si lugha, naweza kusema ni ubabaishaji
Lugha isiyo tafasirika hiyo siyo lugha. Kama ni Malaika, tuba elewa Malaika alimtokea Maryam akampa ujumbe wenye kueleweka tena SOFT LANGUAGE ila hawa wa chungaji ni sehemu ya upigaji na wenyewe wanajuwa ila ni siri yao.
Lazima tuelewe, Maana kubsa ya uwepo wa makatazo.
@@ismailsoud3634Ila hata mm kwenye hiyo lugha ya wachungaji nakubaliana na wewe
Kweli huyu YESU nampenda sana, hana masharti kama ya waislam.. aisee waislam poleni sana. Yani kiufipi nyie mnatumika na shetani
Hujui unachokiongea.kaa kimya
Yesu pia ni muislam safi hata ukikataa kataa tu lkn yeye si mshirikina km huyu jamaa na hajapotea kama wewe
Wewe ulikuwa uangalie na kuckiliza na sio kucomment usicho kijuwa kwenye imani, ukwel ni muumba wa vyote ndio atakae toa jibu na amesha yatoa. Endelea kumpenda mtu asiekuweko kwenye msaada kwako, Nabii Issa alikuja kwa wana kondoo wewe punda unahusu nini, huko Israel hata kukujuwa hukujui ni mswahili hujiulizi jambo tu, kweli unakiza machoni.
Sio wasilam pekeake ata wa christo nao niwa shirikina kwaiyi washirikina wako pahali pote
Hujui ulisemalo mungu akusamehe
Jamani Allah Allah tumuogope na siku ambayo tutasimamishwa tuache kuutia doa uislam tusimkufuru Allah s.w
Mkunduo wewe pamoja nahuo mchoro wangu falaa wewe from Kenya
Asante Yesu wewe ni mwema
Sema mungu kimya ww yesu ni Issa na Nabii
We bila yesu kristo mbingu huna
Nauliza nyie wakristo yesu vipi a nawza kuw Mungu? Yni akili zenu xjui ah yni dah. Hebu njooni ktk Quran Mwenyezi Mungu hakuzaa wala hakuzaliwaaaaa. Heeee nyie kwani vipiiii
Muombe Mungu, fanya kazi pesa zinakuja. Ukitaka pesa bila kufanya kazi huo ni uvivu na uvivu utakusababisha ufanye mambo ambayo hayampendezi Mungu !!
Yaa rabb tunusuru,maana walimu zetu wanazidi kutupoteza,hatujui tutapokea wapi iilmu yako yaa ALLAH
Naona waisilamu mnakataana
Nawe unapotoa komenti fikiria usiropoke kuna waisilam na waumin,,hat wewe hapo kwenye dini yako hiv vitu vipo kwa wachungaj wenu sisi hatumkatai ila tunamuelewesha asipotoshe wengne
Kwani hata wakristo siwapo kama hivyo
@@arafathswalehtuwekee ushahidi wa hayo
Nakumbuka nikislim niliambiwa,nisifuate WAISLAMU,nifuate UISLAM.Ila sina imani asilimia Mia kuwa huyu ni muislam ,pengine kalipwa ayaseme hayo.Subhanallah.
Karibu ktk uislam ila huyu kijana hana adabu na dini
Ni muislamu mi namfahamu na ni mganga anatibu
We nae utapata dhambi za bure kalipwa na nani?Huyu ni ustazi na anatibu
Nimuisilamu huyu huyu kazi yake nikukusaidia kama ww ukirongwa akupe dawa huyu amesomea haya mambo ila hawa watu wanakua na taa kama wazee wazamani wakikutibu atakwambia nipe chochote ila hawa watakwambia toa laki milioni yani wafanya kwa manufaa yao watu wingi hawafanyi kwa ajili ya Allah
Washirikina aoooo
mungu hana urafiki na majin
Kuna tofauti kati ya jini na sheitan, jini ni kumbe kama wewe TU ambaye kaumbwa amuabudu mungu, ispkuwa anakuwa sheitan pale anapo muasi mungu nikikumbuka mafundisho Kuna majini wanafanya Ibada vizuri TU je, hawa hawapendwi na mungu??
@@mkapojerna Muhammad aliwasilimisha wakawa waislam
Ni kweli maana Uislamu bila Uchawi hauendi ndio maana kuna surati jini pia majini yalisikia Quran yakasilimu ,Sasa hii ndio dini eti ya myazi mungu Allha asiye Mungu muumbaji
Ndio uislam ni dini ya haki na ndo maana hata majin wanatubu wakiisikia kwasabb nao ni viumbe wa Allah kama unakataa leta ushahd kwanza kama majin hawakuumbwa na Allah ili tuendelee
Mbona yesu kazungumza na majini na kuywekwa kwenye nguruwe mnaokula 😂
Huu ni ushirikina jamani mungu hajafundisha haya
Hii dunia ina mambo mengi sàana
Wewe huijui Dini ya kiislamu ukijua nakuelewa utakuwa kama huyo shehe
Wengi wanaokoment hawamwelewi huyu bwana,ameanza kusisitiza kwanza elimu hizi ni hatari na zinaenda kinyume na mafundisho ya Allah, huyu anajaribu kutoa ilimu tu
Ni kweli ila na yeye anaamini mengine na kukufuru mengine kama hayo ya pete anayo ,nu ya kishirikina
Pili ,kujifunza elimu hii ni ushirikina hata kama utajufunza kutengua uchawi
Yaph ni kweli,hii ni elimu au ni kipaji alichojaaliwa nabii suleiman,alikua akiongea na majini na wanyama
Huyu ni ustazi anatibu mi namfahamu
@@nurumwinyi796Labda Suleiman wa kiislamu lakini suleman mwana wa David mhayudi hakufanya upumbavu huo
Yaan hujaipanga vzr hii interview unaenda mbele mara inarud nyuma kifupi umefel mwanang uwe una arrange vzr interview zako jamaa amejitahd kuelezea ila ww ndo mwandish ndo miyeyusho
Yesu ni jibu
Daah kundi litakalo Kaa Motoni milele no washirikina subehanallah. Tumtegemee Allah pekee
Wewe huo moto ushauona?😅😅😅😅
🎉Uislam shinda tupu Imani za kishirikina shinda matatizo
Mtume gan kafundisha hayo anayoyasema
Huo ni uchawi mbwa wew
Unapomwita mwenzio mbwa unakosea kaka
Acha ubishi wewe
Salaam kwa wakristo iyo ndiyo tofauti kati ya ukristo na uislam.
SUBHAANA ALLAH
NATAMAN KULIA JUU YAHUU UPUUZI ANAOZUNGUMZA HUYU KIJANA MPUUUUUZI MWENYE AKILI ZAAKIDUNIA
Afadhali tapeli kuliko uzinifu ilhali wajiita sheikh.Huoni wapotosha watu.Mungu akurehemu.
Ndiyo maana washilikina wanachinja kumbe wanachinjia majini
uislamu ndio huo mnaoupenda tha way up hakluna muislamu kwenda mbingun
NJOONI KWA YESU WAISLAMU, KAMA MNATUMAINI KUMUONA MUNGU WA KWELI.
Aki tena yesu die usima
huyo mshirikina TU kama nyinyi washirikina wakubwa nyiee
❤❤❤❤❤❤
Sawa mnajua dini lakin mna mambo ya shirki sana ndani yake,, wewe pamoja NA huyo sulle wako mnatamaa sana NA maisha ya dunia
Huyu wa interview hajitaidi kupanga content yaani mtu anajibu vizuri lakini bongo touch unafeli
Njia pekee ya kumwona mungu ni yesu kristo hizi dini ni ushirikina mtupu
Huyu anamanisha jini lina nguvu kuliko mungu wake dawa yenu iko mtapingwa na moto hadi mjuwe 😢😢😢
Mmeanza kufichuka tutawapiga kwa jina la Yesu
Ametaja Azazel na Samyaza, lakini hawa wawili ni malaika waliobanwa kwa minyororo na Archangel Michael Kufuatia maagizo ya Mwenyezi Mungu, kisha wakatoswa kwenye shimo jangwani lililo mvunguni mwa River Euphrates. Maandishi matakatifu yanasema ipo wakati huo mto utakauka na wataachiliwa huru kwa muda mfupi.
ALLAH AWA ADHIBU NA HAWA HAWA ,MAJININ, MNAYOWAITA...MNA TIA DOSARI KWA DONINYETU SAFI
Huu sio uislamu,,huu ni uchawi,, Allah atuepushe nayo
Huu ndiyo uislam haswa
MI HAMUEZI NIBADILISHA NIWE MUISLAMU. Nilikuwa huko na nkajua unakoelekeza watu.
Ndio maana mnapigania kupinga ukristo kila mara. Sasa unaslim alafu mwishowe unakuwa mganga ukijiita we dakrari, kila badae unakua mchawi na unakufa.
SubahanaAllah ,sijui waitwa nani wewe mushrik lakini namuomba Allah Akuongoze uujue uislam.ki ukweli hauna hata nuru ya uislam Wala hukai muislam.Jaribu sana utubie kabla ya wakati wako kufika
Allah akusamehe unaharibia dini ya kislamu wakati ni dini safi
Hapo uliposema kuwa Elimu ya kuita majini ipo nje ya dini ndo umeeleweka kwa maana itawasaidia Waislam wenye elimu ndogo kujiepusha na Shirk.
Shekhe, jini, dini, aaaai!!! Yatatiza
😂😂😂😂 walai watu wana njaa😂😂
Mungu anawaona mnavyo dhalilisha uislam ambao kachaguwa kama njia yakufikiya pepo
Najivunia kuwa na YESU
Huyo anayezungumza sio mtume ni binadamu, kasome quran ujue ukweli halisi, bado ukristo ni mkenge
@ayoubshaibu8123 WEWE NI MODERN ISLAMIC MNATUMIA MAWAZO YENU KUJIBU HOJA SIO VITABU VYENU BUT VITABU VYAKO VINAKUELEKEZA HADI USALI NAO IJUMAA. DINI YA MAJINI NA UCHAWI😂
Hawa watu wataangamia kwa kukosa maalifa na kuamini majini na mashetani katika mafanikio,wakati Yesu Kristo mmoja majini yooote dunia nzima yanamshidwa kwa nini msimuamini, yeye ndio njia ya kweli na uzima?
@@ayoubshaibu8123nguruwe wewe hujui lolote,kama umemsikia mwanadini mwenzio anaelezea Uganga ndani ya dini
Wa kristo ndo hamu muamini Yesu sababu na huyo ukubwa wake mnao mpandikiza mathubutu kuhakikisha kama amekufa , sasa na Mungu wa waislam Yupo milele Hafi , haja zaliwa , haja zaa , na hafanane na kiumbe chochote. Huyo ndo Allah Alie umba na huyo Yesu .
Dini inachafuliwa nawatu kwakuacha sunna za mtume صلى الله عليه وسلم
Hasante kwakutumalizia bando umeongeza like ongera sana
Inalillahi wainailahi rajuun .. hayote.binaadam anaangaika kwaajiliya pesatu kwaniukikaakitako kusema na Allah atokupa nibasitu wanaangaika na kukufuru. .Allah yupo anatoa
Kweli
Mtihani,
Allah atuongoze
Hasbuna Allah wani'mal wakeel
Uyu hajasoma mafundish ya kur-ani ndio mana mana mtume hakufundish ivo mtu atafute rizki namna iyo wala maswahaba zake hakuwafundish zaid ya duwa nakusimama usiku kumuelekea Allah sw wamuombe yeye na wasitegeme kwengine .awa wanachangany iman munasahau mashekh kama kunasuratul ikhlas aya ya 2 inasemaje eeeee subhanallah yarabbi tuongoze na vizazi vyetu ktk mamb ya kher nakufata muongozo wa kurani na sunnah
Napenda sana hiii elimu
Duh shekhe mche Allah
Waislamu haya hayatufai kwa kweli unapoba muombe Mwenyezimungu na unapotaka msaafa mtake Mwenyezimungu
Kwann yapo kweny vitabu vyenu
Samahan jmn,, na huyo shekh nae ni tajiri au?! Naombeni kujua😂😂
Kimaskini tu nduguyangu hakina lolote hapa ndo kinatafuta kupata pesa kwa kuuichafua dini ya Allah
acheni kudanganya umma kanzu iyooo utajiri huna wew
Ya Allah Waongoe Waisilamu
Hahahaha eti dunia inapembe nne😂😂😂
Kujua ni vizuri na imani iongezeke watu waelewe mambo wasitoe tu povu bila faida yote.
HUU NI USHIRIKINA WA WAZI KABISA NA UKIFA HIVI WALLAH UTAINGIA MOTONI..!! ALLAH AKUONGOZE.
Mwenyezi-Mungu amekataza mambo hayo
Kwani hamujui mashekh wanatumia jini msikitini.Kuna msichana aliye nieleaza kwamba kuna jini wazuri na jini wabaya.Najivunia kua mkriso.
Nimecheka kama mazuri
Inna Lilah wainna ilah rajiun
ALLAH AKUONGOZE WEWE NI JAHILI KIJANA
Naomba dua ya kulinda nyumba nisiibiwe wezi
Doctor Mimi nahitaji namba yako
@ bongo touch Nyie watanzania jifunzeni namna ya ku creat headline of your content you look ambiguous with what you present
Ushirikina tu
Uislamu dini ya majini kweli. Waislamu wachawi sana
Siyo waislam, ni yeye mwenyewe na nafsi take waislm haupo hivi wanajichafua wenyewe so dini
Kaka soma kwa watu sahihi, uislam ni safi na hauna hata doa la uchafu hata kidogo
😂😂naona watu wanaanza kuwakataa wenzao
Huo ndiyo uislamu aisee! Wenye dini yao wanagomeana hapa
Uisilam ni uchawi aki
Huyu hata haitwi muislamu hadi arudi Kwa mola wake
Huyu ni mshirikina sawa na washirikina wengine wanaoabudia masanamu na kufanyia muungu mwana kama WW
Innalillah wainna ilaihi rajiuun
Uisilamu naamini ni dini ya mashaka kufika kwa mungu
Mbona ajibu jibu ana ruka maswali
Huu uchawi watanzania mnao ufanya kwa kutumia jina la uislamu ndo unao watorosha watu kwenye dini ACHENI NA MUMUOGOPE ALLAH
Hiyo ni elm dunia ni ushirikina uislam haujafundisha hayo munautia doa uislam mutaulizwa na allah kwa kuwatoa watu ktk Imani na utajir ni qadar ya Allah mwenyewe acheni Mambo yenu hayo Allah awaongoze
Kama wewe hujafundishwa wenzako wamefundishwa
Hawa wanaendekeza shirk tu lakini mtoaji rizq ni Allah na yeye ndie muweza wa kila kitu
Hata kumuoa Binti Fatma wa ufalme wa kijini wa 7 riadha siku 21 inakuhusu.
Ataje namba shekh
Ukweli
Nakukubali
Uislam ni dini ya kweli na haki wala haina shaka kabisa
Subhnaallah
❤❤❤❤
Yaani maana halisi ya ushirikina ni kuchanganya mafundisho sahihi ya Mungu na yale ya shetani kwa nia ya Kumuudhi Allah na kumtumikia Shetani. Washirikina wote motoni
Sasa Unasoma na Kufanya Vilivyoharamishwa na Allah Subhanallah Wataala huo ni Uislamu safi gani?!🙌
Allah anikinge nawewe nawenye mfanowako
Inalilah wainailah rajeeun 😢😢😢
uko sawa kabisa shekh ila elimu ya majini nikubwa sana jina anaitwa muda wowote inategemeana nijini gani usiifiche elimu shekh
Naomba mawasiliano
Hao sio waislam jaman