USIOGOPE HII VIDEO JINI LILIVYOITWA LIVE NA SHEKHE MWENYE UWEZO KULIKO DR SULLE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 569

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 หลายเดือนก่อน +81

    Mnautia madoa uislamu, wakati uislamu ni safi. Subhanallah. Mnaacha mafundisho ya Mwenyezi Mungu na Mtume mnafuata matundisho ambayo hayamo ndani ndani ya Qur'an. Hayo ni matunda ya sheitwani. Mnaitukanisha Dini ya Mwenyezi Mungu.

    • @ebenezerchurchsupremetv9490
      @ebenezerchurchsupremetv9490 หลายเดือนก่อน +20

      Hakuna dosari bali ni kweli kabisa uislam na majini ni kama samaki na maji

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 หลายเดือนก่อน

      @@ebenezerchurchsupremetv9490
      Hao si hawaelewi yaani ukizaliwa muislam kiuharisia wewe teyari una majini upo connected nayo (ndio maana wanakuwa na roho ya mpinga Kristo kafiri) na ukisilimu pia upo pamoja nayo.

    • @whajavfsb5154
      @whajavfsb5154 หลายเดือนก่อน +10

      😂😂yan waislam wengi hawajui dini yao wanakua wanaona kama hawa ni waongo

    • @gabrielphabian4439
      @gabrielphabian4439 หลายเดือนก่อน +4

      Ushawahi waza katka moyo wako,je kama waafrika tungejaaliwa tecnologia nzuri ya kutengeneza siraha Bora na majeshi bora ya kujilinda,kabla ya wazungu je wangetutawala vp na dini zao wangeziingiza vp Africa,je zisingekuja hizi dini hatma yetu ungekuw nn, jiulize xna then Leta majibu

    • @SaidiAmiri-qv5ed
      @SaidiAmiri-qv5ed หลายเดือนก่อน

      ​@@ebenezerchurchsupremetv9490musicho kijua nikwamba Qur'an nikitabu ambacho hakijaacha kitu,wenzetu wa upande wa pili munaamini uislam ni dini isiyo yakweli,na waislam wanafuga majini,kwanza mufaamu majini ni viumbe kama ssi Mungu aliwaumba wanadamu na majini ili wamuabudu,lakini majini haya kuna majini mema na majini mahovu kama ssi binadamu.kwahiyo basi narudi kwenye qu'ani nikitabu ambacho wazungu wanakitumia sana ili kujifaidisha kwasababu nikibu ambaho hakijaacha kitu,hivyo enyi wakristo uislam ni dini ya kweli na haina mashaka ndani yake,hawa wanaofanya hivi ni miongoni mwa wale wanaomkufuru Mungu.

  • @adamkassim-ts2ds
    @adamkassim-ts2ds หลายเดือนก่อน +9

    Subhanallah huu ni ushirikina...mtume sws alisema Akbar kabahir madhambi makubwa kuliko yote ya Kwanza ni kumshirikisha mwenyezi mungu dini yetu ya kiislam mwaifanya ni ya ki sheitwan... sheikh umevaa vazi la heshima ila unaongea mambo ya shirki mwenyezi mungu akusameh na akuongoze njia ya swa

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj หลายเดือนก่อน

      Usionge kitu hujui huyu sio mshirikina akueleza hajasema uwite majini huyu amesomea hayo mambo ww ukirogwa anao ilimu ya kukutibu waona nabii suleiman alikua akiwatumia kwa njia ya sawa hata ww waeza kumtumia jini ili kufanyia mtu dawa apone makosa Nepalese wataka utajiri utumie majini kua kutoa kafara ziko njia nyingi sasa ustadh yuwakueleza sio kwamba yy mchawi huyu ni mtabibu

    • @adamkassim-ts2ds
      @adamkassim-ts2ds หลายเดือนก่อน +2

      @@saba-gv3mj wew ndo ujui kitu sisi ni umma wa mtume Muhammad sws twafata Sunnah zke we uliskia historia ya mtume akifanya tiba na kushirikisha majini

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj หลายเดือนก่อน

      @@adamkassim-ts2ds kushirikisha majini vp soma boss wacha kukurupukwa sawa mtume s a w amefundisha kila kitu mana ya rukia ni nn kushirikisha mungu ni kutumia jini kuroga sawa na mengineo tafauti tafauti ambayo kumdhuru binadamu mwenzako na waeza kutumia jini kisheria jini waeza kumtumia ukifanyia watu dawa kama kumtuma kutafuta miti shamba na kuna dawa zengine majini wazijua ambao ni waisilamu na kunao majini wengine wakiristo ambao kazi zao kukupa ww binadamu ugonjwa ama ukitaka akufanyie mambo yako atakwambia umshirikishe Allah ndio ufanikiwe kama kua umtoe mamako ama umtoe mtoto wako sawa soma mwanzo kabla kuropokwa tumeumbwa majini na binadamu tumuabudu Allah basi na wengine wanamusi Allah

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj หลายเดือนก่อน

      @adamkassim-ts2ds sasa kama hunui hata mtume s a w alikutana na majini tena wakamuamini soma suratul jin usikurupukwe sawa na kila binadamu anae shitwani na malaika sawa mtume s a w pia alikua nae ila wa mtume s a w alimsilimisha akawa mwema soma baba

    • @adamkassim-ts2ds
      @adamkassim-ts2ds หลายเดือนก่อน

      @@saba-gv3mj ngoja nikuulize swali...kwahio mtume aliita majini usku

  • @Hassannoor254
    @Hassannoor254 หลายเดือนก่อน +4

    Dhambi kubwa lisilosamehewa ni ushirikina.Umepoteza watu wengi sasa subiri siku roho itachukuliwa na mwenyewe ndio utapata mavuno ya unayoyafanya.Hao majini unatumia watu wanamjua mwenye aliwaumba,wewe mjanja sana unapotosha watu katika njia ya Mwenyezi Mungu Ilhali Mwenyezi Mungu amesema aliwaumba majini na binadamu ili wamwabudu yeye tu.Lilia Mwenyezi Mungu na utubu,

    • @omarmzaham7248
      @omarmzaham7248 หลายเดือนก่อน

      Swadaqta huu ni ushirikina hapo nakuunga mkono kabisa, wapi mtume Muhammad (s.a.w) na sahaba zake au Tābiʿū al-Tābin wakafanya zaidi ya Quran na sunnah? huu ni ushirikina mtupu muombeni mungu pasipo na washiriki majini ni viumbe tu hata malaika ni viumbe tu hakuna anae uwezo illa Allah(s.w.t)

  • @Mudhihiri_Hakika
    @Mudhihiri_Hakika หลายเดือนก่อน +7

    Subhana'Allah...
    Kwa hakika Tunatumia Vibaya sana hii elimu ya Allah s.w...!!

    • @jaynelpro1492
      @jaynelpro1492 หลายเดือนก่อน

      Kumbe hiyo ni Elimu ya Allah😮 basi hajafanya makosa kuieleza elimu ya Allah wenu

    • @rachelmaina3476
      @rachelmaina3476 หลายเดือนก่อน

      Wacha waongee mwaswma wakristo to ndo wanavituko.Wacha tuone waislamu wanavo fanya ushirikina kutafuta pesa pia. Mola arehemu watu wake.

    • @YusufuMusani
      @YusufuMusani 21 วันที่ผ่านมา

      Namiminataka utajjiri'

  • @Ostica..Omie..junior
    @Ostica..Omie..junior หลายเดือนก่อน +8

    Tuwekee..clip inayo onesha Dr sule ameongea kuwa jini aitwi au akuna mtu anaye weza kumwita jini..tuoneshe sasahivi..mtangazaji ni muongo sana..anapeleka maneno nyuma na mbele..anachanganya changanya...sule alisema kuwa inabidi uwe na elimu ya kutosha ndio umwite jini..rakini wengi wao ni waongo wanasema wanaweza kumwita jini aje pia atoe utajiri..ila kwanini wao wanaweza kumwita jini mbona bado masikini..pia maisha yao sio mazuri..si wangekuwa matajiri kwanza..ndio wafundishe wengine kuita majini..ndivyo alivyo ongea Dr sule..sasa uyu mtangazaji ni muongo arafu mgombanishi pia anataka kuchafua dini za watu

  • @evansomwaita3872
    @evansomwaita3872 หลายเดือนก่อน +6

    Yesu ndie utajiri tosha!!

    • @user-ye7eq7ox7u
      @user-ye7eq7ox7u 18 วันที่ผ่านมา

      Umeona ety wanaita jini alooh Mungu tuhurumie ☹️☹️☹️

    • @SadamAbdulkarim
      @SadamAbdulkarim 7 วันที่ผ่านมา

      Soma uislam kwanza na sio ubishane kwa kitu usicho na ELIMU nacho tafadhali usije ukajutia SIKU ya mwisho

  • @English-SomaliTranslationHub
    @English-SomaliTranslationHub หลายเดือนก่อน +4

    HasbunaAllah, wachawi pia wanatumia jina ya Mungu kutekeleza uchawi yao...may Allah protect us

    • @teslasamsimao3324
      @teslasamsimao3324 หลายเดือนก่อน

      Ameen

    • @willdomy1078
      @willdomy1078 หลายเดือนก่อน

      Right ungejua usingewaita wachawi, hao ndio walioshika dini hasa.. soma uislam sana, utakua mganga mzuri. Hukusoma kua Muhammad alisilimisha majini na majini yana sura yao kwenye Quran. Nina mengi ya kukwambia, siri ni nyingi. Haujiulizi kwanini majini yanaitwa Kwa lugha ya kiarabu tu.

  • @hasnaissah8500
    @hasnaissah8500 หลายเดือนก่อน +6

    Kaka hii ni Dunia tuu kisho utaingizwa kabrini wafundisha watu uchawi live subhana Allah

    • @user-gu2yc2ki4u
      @user-gu2yc2ki4u หลายเดือนก่อน

      Huyu mungu amsameye sana

  • @omarbinjaa2801
    @omarbinjaa2801 หลายเดือนก่อน +13

    Inna li llah wainna ilayhi raajiun
    Elimu za kupotoa hizi watu wamtegemee Allah pekee waache manen y hawa wanaolingania elimu za kijini n kutegmea majini

    • @ragedama7476
      @ragedama7476 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

    • @M.A.AMfinanga
      @M.A.AMfinanga หลายเดือนก่อน

      Jielimishe vizuri kwanza kabla ya kulaumu, elimu mbaya ni uchawi elimu inayokuweka karibu na Allah sio mbaya kwasababu utajua utukufu wake vilivyo na utakuwa na ihlaswi ya kweli.

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 หลายเดือนก่อน +7

    Subhanaallah huyu kaka sio mwislamu ila anatumia dini kuweka madoa wakati vitu hivi tujaambiwa ndani ya msaafu huyu mnafiki kabisa Allah atusamehe 😢

    • @malietamalieta9658
      @malietamalieta9658 หลายเดือนก่อน

      we ndo mnafiki Mwenyezi Mungu akusamehe unataka kusem ni dini Gani mfano we Mungu

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 หลายเดือนก่อน

      Acha zako majini ni wageni ndani ya uislamu hamfundishwi

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 หลายเดือนก่อน

      @@audifansisafari5587 hizo anafanya ni shirki kabisa someni Quran MWACHE kudanganywa me mnafiki au nyie😏😏

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 หลายเดือนก่อน

      @@zahraabdul9652 Quran si Kuna sura nzima ni majini tu inaelezea
      Nikuambie tu rafiki yangu Dini yako ukiisoma nakuelewa lazima uwe na uhusiano na majini usikatae

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 หลายเดือนก่อน

      Huyo ni muislamu kabisa mnamkataa msio na elimu ya uislamu wenye elimu zao dk sule na mazinge wanamuelewa mbona

  • @karimudzekotz
    @karimudzekotz หลายเดือนก่อน +8

    Hakukufuru suleimani. Hizi njaa mmnamuambatanisha mungu na shirki

    • @myself4128
      @myself4128 หลายเดือนก่อน

      Nani kakudanganya?suleiman alipotezwa na wakeze

  • @GibsonKangethe
    @GibsonKangethe หลายเดือนก่อน +1

    Yesu Kristo ndiye Njia, Ukweli Na Uzima,Bila yeye uko njia potevu,Bila yeye Umendanganyika,Bila yeye Uko katika Mauti.

  • @mosesmutharimi5837
    @mosesmutharimi5837 หลายเดือนก่อน +22

    Amini yesu ,mengine ni adithi za kichawi na wazee wa zamini ,yesu ndio kila kitu

    • @SuleimanDastan-ro2zy
      @SuleimanDastan-ro2zy หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 bado hujasema..... Na yesu wenu

    • @jimmymaingi7593
      @jimmymaingi7593 หลายเดือนก่อน

      Kweli

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 หลายเดือนก่อน

      Wazee wa zamani ndio kina nani?Wahenga au ?😆😆

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u หลายเดือนก่อน +5

    Wewe ni mchawi pambana upate pesa ya halali mwendawazim usimshirikishe Mungu

  • @yousirsports7482
    @yousirsports7482 หลายเดือนก่อน +13

    Nihatar mnooo kuna wachungaji ile lugha wanazungumzaga naanza kuelewaaa sasa

    • @ismailsoud3634
      @ismailsoud3634 หลายเดือนก่อน

      Wachungaji, lugha wanayo isema wao wenyewe hawaielewi na wala si lugha, naweza kusema ni ubabaishaji
      Lugha isiyo tafasirika hiyo siyo lugha. Kama ni Malaika, tuba elewa Malaika alimtokea Maryam akampa ujumbe wenye kueleweka tena SOFT LANGUAGE ila hawa wa chungaji ni sehemu ya upigaji na wenyewe wanajuwa ila ni siri yao.
      Lazima tuelewe, Maana kubsa ya uwepo wa makatazo.

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 หลายเดือนก่อน

      ​@@ismailsoud3634Ila hata mm kwenye hiyo lugha ya wachungaji nakubaliana na wewe

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 หลายเดือนก่อน +6

    Kweli huyu YESU nampenda sana, hana masharti kama ya waislam.. aisee waislam poleni sana. Yani kiufipi nyie mnatumika na shetani

    • @salumawadhi2745
      @salumawadhi2745 หลายเดือนก่อน

      Hujui unachokiongea.kaa kimya

    • @animamichael3968
      @animamichael3968 หลายเดือนก่อน

      Yesu pia ni muislam safi hata ukikataa kataa tu lkn yeye si mshirikina km huyu jamaa na hajapotea kama wewe

    • @saidamir1035
      @saidamir1035 หลายเดือนก่อน

      Wewe ulikuwa uangalie na kuckiliza na sio kucomment usicho kijuwa kwenye imani, ukwel ni muumba wa vyote ndio atakae toa jibu na amesha yatoa. Endelea kumpenda mtu asiekuweko kwenye msaada kwako, Nabii Issa alikuja kwa wana kondoo wewe punda unahusu nini, huko Israel hata kukujuwa hukujui ni mswahili hujiulizi jambo tu, kweli unakiza machoni.

    • @user-si3vo1tc1u
      @user-si3vo1tc1u หลายเดือนก่อน

      Sio wasilam pekeake ata wa christo nao niwa shirikina kwaiyi washirikina wako pahali pote

    • @BarakaMissana
      @BarakaMissana 24 วันที่ผ่านมา

      Hujui ulisemalo mungu akusamehe

  • @AbduliKombo
    @AbduliKombo หลายเดือนก่อน +1

    Jamani Allah Allah tumuogope na siku ambayo tutasimamishwa tuache kuutia doa uislam tusimkufuru Allah s.w

  • @Neclar-wn3yp
    @Neclar-wn3yp 17 วันที่ผ่านมา +1

    Mkunduo wewe pamoja nahuo mchoro wangu falaa wewe from Kenya

  • @BenjaminWakhungu-oo7ug
    @BenjaminWakhungu-oo7ug หลายเดือนก่อน +11

    Asante Yesu wewe ni mwema

    • @MuniraShughuli-kc7vj
      @MuniraShughuli-kc7vj หลายเดือนก่อน +1

      Sema mungu kimya ww yesu ni Issa na Nabii

    • @msaleveri
      @msaleveri หลายเดือนก่อน

      We bila yesu kristo mbingu huna

    • @bare-gj2mu
      @bare-gj2mu 23 วันที่ผ่านมา

      Nauliza nyie wakristo yesu vipi a nawza kuw Mungu? Yni akili zenu xjui ah yni dah. Hebu njooni ktk Quran Mwenyezi Mungu hakuzaa wala hakuzaliwaaaaa. Heeee nyie kwani vipiiii

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 หลายเดือนก่อน

    Muombe Mungu, fanya kazi pesa zinakuja. Ukitaka pesa bila kufanya kazi huo ni uvivu na uvivu utakusababisha ufanye mambo ambayo hayampendezi Mungu !!

  • @hurulaainmalkiaaisha1508
    @hurulaainmalkiaaisha1508 หลายเดือนก่อน

    Yaa rabb tunusuru,maana walimu zetu wanazidi kutupoteza,hatujui tutapokea wapi iilmu yako yaa ALLAH

  • @user-bp4kz9py7z
    @user-bp4kz9py7z หลายเดือนก่อน +8

    Naona waisilamu mnakataana

    • @AthumaniAthumani-no2oc
      @AthumaniAthumani-no2oc หลายเดือนก่อน

      Nawe unapotoa komenti fikiria usiropoke kuna waisilam na waumin,,hat wewe hapo kwenye dini yako hiv vitu vipo kwa wachungaj wenu sisi hatumkatai ila tunamuelewesha asipotoshe wengne

    • @arafathswaleh
      @arafathswaleh หลายเดือนก่อน

      Kwani hata wakristo siwapo kama hivyo

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 13 วันที่ผ่านมา

      ​@@arafathswalehtuwekee ushahidi wa hayo

  • @idrissmutinda6243
    @idrissmutinda6243 หลายเดือนก่อน +10

    Nakumbuka nikislim niliambiwa,nisifuate WAISLAMU,nifuate UISLAM.Ila sina imani asilimia Mia kuwa huyu ni muislam ,pengine kalipwa ayaseme hayo.Subhanallah.

    • @HashimSalim-qj7zn
      @HashimSalim-qj7zn หลายเดือนก่อน

      Karibu ktk uislam ila huyu kijana hana adabu na dini

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 หลายเดือนก่อน

      Ni muislamu mi namfahamu na ni mganga anatibu

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 หลายเดือนก่อน

      We nae utapata dhambi za bure kalipwa na nani?Huyu ni ustazi na anatibu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj หลายเดือนก่อน +1

      Nimuisilamu huyu huyu kazi yake nikukusaidia kama ww ukirongwa akupe dawa huyu amesomea haya mambo ila hawa watu wanakua na taa kama wazee wazamani wakikutibu atakwambia nipe chochote ila hawa watakwambia toa laki milioni yani wafanya kwa manufaa yao watu wingi hawafanyi kwa ajili ya Allah

    • @ZubeirJuma-up7kb
      @ZubeirJuma-up7kb หลายเดือนก่อน

      Washirikina aoooo

  • @niolaussdavid
    @niolaussdavid หลายเดือนก่อน +6

    mungu hana urafiki na majin

    • @mkapojer
      @mkapojer หลายเดือนก่อน

      Kuna tofauti kati ya jini na sheitan, jini ni kumbe kama wewe TU ambaye kaumbwa amuabudu mungu, ispkuwa anakuwa sheitan pale anapo muasi mungu nikikumbuka mafundisho Kuna majini wanafanya Ibada vizuri TU je, hawa hawapendwi na mungu??

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 13 วันที่ผ่านมา

      ​@@mkapojerna Muhammad aliwasilimisha wakawa waislam

  • @Kanyawela
    @Kanyawela หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli maana Uislamu bila Uchawi hauendi ndio maana kuna surati jini pia majini yalisikia Quran yakasilimu ,Sasa hii ndio dini eti ya myazi mungu Allha asiye Mungu muumbaji

    • @AthumaniAthumani-no2oc
      @AthumaniAthumani-no2oc หลายเดือนก่อน

      Ndio uislam ni dini ya haki na ndo maana hata majin wanatubu wakiisikia kwasabb nao ni viumbe wa Allah kama unakataa leta ushahd kwanza kama majin hawakuumbwa na Allah ili tuendelee

    • @muhibbualii4580
      @muhibbualii4580 22 วันที่ผ่านมา

      Mbona yesu kazungumza na majini na kuywekwa kwenye nguruwe mnaokula 😂

  • @user-zk3ql9th2c
    @user-zk3ql9th2c หลายเดือนก่อน +6

    Huu ni ushirikina jamani mungu hajafundisha haya

    • @user-rt8ff3dm2o
      @user-rt8ff3dm2o หลายเดือนก่อน

      Hii dunia ina mambo mengi sàana

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 หลายเดือนก่อน

      Wewe huijui Dini ya kiislamu ukijua nakuelewa utakuwa kama huyo shehe

  • @MwijakaSwalehe-dg4hw
    @MwijakaSwalehe-dg4hw หลายเดือนก่อน +5

    Wengi wanaokoment hawamwelewi huyu bwana,ameanza kusisitiza kwanza elimu hizi ni hatari na zinaenda kinyume na mafundisho ya Allah, huyu anajaribu kutoa ilimu tu

    • @usrahismail3196
      @usrahismail3196 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli ila na yeye anaamini mengine na kukufuru mengine kama hayo ya pete anayo ,nu ya kishirikina
      Pili ,kujifunza elimu hii ni ushirikina hata kama utajufunza kutengua uchawi

    • @nurumwinyi796
      @nurumwinyi796 หลายเดือนก่อน

      Yaph ni kweli,hii ni elimu au ni kipaji alichojaaliwa nabii suleiman,alikua akiongea na majini na wanyama

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 หลายเดือนก่อน

      Huyu ni ustazi anatibu mi namfahamu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 13 วันที่ผ่านมา

      ​@@nurumwinyi796Labda Suleiman wa kiislamu lakini suleman mwana wa David mhayudi hakufanya upumbavu huo

  • @dronemiguel2230
    @dronemiguel2230 หลายเดือนก่อน +3

    Yaan hujaipanga vzr hii interview unaenda mbele mara inarud nyuma kifupi umefel mwanang uwe una arrange vzr interview zako jamaa amejitahd kuelezea ila ww ndo mwandish ndo miyeyusho

  • @fraviusfulgence7346
    @fraviusfulgence7346 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu ni jibu

  • @jacobclement-wc5pb
    @jacobclement-wc5pb หลายเดือนก่อน +1

    Daah kundi litakalo Kaa Motoni milele no washirikina subehanallah. Tumtegemee Allah pekee

    • @anointedking6960
      @anointedking6960 27 วันที่ผ่านมา

      Wewe huo moto ushauona?😅😅😅😅

  • @henrykairo1849
    @henrykairo1849 หลายเดือนก่อน +1

    🎉Uislam shinda tupu Imani za kishirikina shinda matatizo

  • @saidabdurahman9631
    @saidabdurahman9631 หลายเดือนก่อน +9

    Mtume gan kafundisha hayo anayoyasema
    Huo ni uchawi mbwa wew

    • @kherimakame5743
      @kherimakame5743 หลายเดือนก่อน +1

      Unapomwita mwenzio mbwa unakosea kaka

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone หลายเดือนก่อน

      Acha ubishi wewe

    • @cosmaslunyembeleka251
      @cosmaslunyembeleka251 หลายเดือนก่อน

      Salaam kwa wakristo iyo ndiyo tofauti kati ya ukristo na uislam.

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb หลายเดือนก่อน

    SUBHAANA ALLAH
    NATAMAN KULIA JUU YAHUU UPUUZI ANAOZUNGUMZA HUYU KIJANA MPUUUUUZI MWENYE AKILI ZAAKIDUNIA

  • @rachelmaina3476
    @rachelmaina3476 หลายเดือนก่อน

    Afadhali tapeli kuliko uzinifu ilhali wajiita sheikh.Huoni wapotosha watu.Mungu akurehemu.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน +4

    Ndiyo maana washilikina wanachinja kumbe wanachinjia majini

  • @niolaussdavid
    @niolaussdavid หลายเดือนก่อน +2

    uislamu ndio huo mnaoupenda tha way up hakluna muislamu kwenda mbingun

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 หลายเดือนก่อน +3

    NJOONI KWA YESU WAISLAMU, KAMA MNATUMAINI KUMUONA MUNGU WA KWELI.

    • @MicahSalah
      @MicahSalah หลายเดือนก่อน

      Aki tena yesu die usima

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu หลายเดือนก่อน

      huyo mshirikina TU kama nyinyi washirikina wakubwa nyiee

    • @JerusaMkuyu-pw1zo
      @JerusaMkuyu-pw1zo หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤❤❤

  • @aishaomary230
    @aishaomary230 หลายเดือนก่อน

    Sawa mnajua dini lakin mna mambo ya shirki sana ndani yake,, wewe pamoja NA huyo sulle wako mnatamaa sana NA maisha ya dunia

  • @ibrahimmzungu3849
    @ibrahimmzungu3849 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu wa interview hajitaidi kupanga content yaani mtu anajibu vizuri lakini bongo touch unafeli

  • @rogatimushi689
    @rogatimushi689 หลายเดือนก่อน

    Njia pekee ya kumwona mungu ni yesu kristo hizi dini ni ushirikina mtupu

  • @user-ye7eq7ox7u
    @user-ye7eq7ox7u 18 วันที่ผ่านมา

    Huyu anamanisha jini lina nguvu kuliko mungu wake dawa yenu iko mtapingwa na moto hadi mjuwe 😢😢😢

  • @AshilatAbas-qe4fh
    @AshilatAbas-qe4fh 14 วันที่ผ่านมา

    Mmeanza kufichuka tutawapiga kwa jina la Yesu

  • @paulgitaukinuthia3916
    @paulgitaukinuthia3916 หลายเดือนก่อน

    Ametaja Azazel na Samyaza, lakini hawa wawili ni malaika waliobanwa kwa minyororo na Archangel Michael Kufuatia maagizo ya Mwenyezi Mungu, kisha wakatoswa kwenye shimo jangwani lililo mvunguni mwa River Euphrates. Maandishi matakatifu yanasema ipo wakati huo mto utakauka na wataachiliwa huru kwa muda mfupi.

  • @user-vm2fu3nm3s
    @user-vm2fu3nm3s หลายเดือนก่อน

    ALLAH AWA ADHIBU NA HAWA HAWA ,MAJININ, MNAYOWAITA...MNA TIA DOSARI KWA DONINYETU SAFI

  • @adennurahuka402
    @adennurahuka402 หลายเดือนก่อน +1

    Huu sio uislamu,,huu ni uchawi,, Allah atuepushe nayo

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 13 วันที่ผ่านมา

      Huu ndiyo uislam haswa

  • @safaringaku5040
    @safaringaku5040 หลายเดือนก่อน +1

    MI HAMUEZI NIBADILISHA NIWE MUISLAMU. Nilikuwa huko na nkajua unakoelekeza watu.

  • @safaringaku5040
    @safaringaku5040 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio maana mnapigania kupinga ukristo kila mara. Sasa unaslim alafu mwishowe unakuwa mganga ukijiita we dakrari, kila badae unakua mchawi na unakufa.

  • @QassimEbraheem
    @QassimEbraheem หลายเดือนก่อน

    SubahanaAllah ,sijui waitwa nani wewe mushrik lakini namuomba Allah Akuongoze uujue uislam.ki ukweli hauna hata nuru ya uislam Wala hukai muislam.Jaribu sana utubie kabla ya wakati wako kufika

  • @AminaHafswa
    @AminaHafswa หลายเดือนก่อน

    Allah akusamehe unaharibia dini ya kislamu wakati ni dini safi

  • @sadikiissa7756
    @sadikiissa7756 หลายเดือนก่อน +7

    Hapo uliposema kuwa Elimu ya kuita majini ipo nje ya dini ndo umeeleweka kwa maana itawasaidia Waislam wenye elimu ndogo kujiepusha na Shirk.

  • @josphinenduta2011
    @josphinenduta2011 หลายเดือนก่อน +1

    Shekhe, jini, dini, aaaai!!! Yatatiza

  • @young10_krillz
    @young10_krillz หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂 walai watu wana njaa😂😂

  • @EmilyTembo-pg6tg
    @EmilyTembo-pg6tg 20 วันที่ผ่านมา

    Mungu anawaona mnavyo dhalilisha uislam ambao kachaguwa kama njia yakufikiya pepo

  • @paulojohn5504
    @paulojohn5504 หลายเดือนก่อน +12

    Najivunia kuwa na YESU

    • @ayoubshaibu8123
      @ayoubshaibu8123 หลายเดือนก่อน +1

      Huyo anayezungumza sio mtume ni binadamu, kasome quran ujue ukweli halisi, bado ukristo ni mkenge

    • @SAM_163
      @SAM_163 หลายเดือนก่อน

      ​​@ayoubshaibu8123 WEWE NI MODERN ISLAMIC MNATUMIA MAWAZO YENU KUJIBU HOJA SIO VITABU VYENU BUT VITABU VYAKO VINAKUELEKEZA HADI USALI NAO IJUMAA. DINI YA MAJINI NA UCHAWI😂

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 หลายเดือนก่อน

      Hawa watu wataangamia kwa kukosa maalifa na kuamini majini na mashetani katika mafanikio,wakati Yesu Kristo mmoja majini yooote dunia nzima yanamshidwa kwa nini msimuamini, yeye ndio njia ya kweli na uzima?

    • @bulugubujashi6378
      @bulugubujashi6378 หลายเดือนก่อน

      ​@@ayoubshaibu8123nguruwe wewe hujui lolote,kama umemsikia mwanadini mwenzio anaelezea Uganga ndani ya dini

    • @diagfinamix1861
      @diagfinamix1861 หลายเดือนก่อน

      Wa kristo ndo hamu muamini Yesu sababu na huyo ukubwa wake mnao mpandikiza mathubutu kuhakikisha kama amekufa , sasa na Mungu wa waislam Yupo milele Hafi , haja zaliwa , haja zaa , na hafanane na kiumbe chochote. Huyo ndo Allah Alie umba na huyo Yesu .

  • @NibonaIdrissa
    @NibonaIdrissa หลายเดือนก่อน

    Dini inachafuliwa nawatu kwakuacha sunna za mtume صلى الله عليه وسلم

  • @IsmailKitundu
    @IsmailKitundu หลายเดือนก่อน

    Hasante kwakutumalizia bando umeongeza like ongera sana

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน +1

    Inalillahi wainailahi rajuun .. hayote.binaadam anaangaika kwaajiliya pesatu kwaniukikaakitako kusema na Allah atokupa nibasitu wanaangaika na kukufuru. .Allah yupo anatoa

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 หลายเดือนก่อน

      Kweli
      Mtihani,
      Allah atuongoze

  • @abdullahiramadhan5779
    @abdullahiramadhan5779 หลายเดือนก่อน

    Hasbuna Allah wani'mal wakeel

  • @user-xr5lf6pe1n
    @user-xr5lf6pe1n หลายเดือนก่อน

    Uyu hajasoma mafundish ya kur-ani ndio mana mana mtume hakufundish ivo mtu atafute rizki namna iyo wala maswahaba zake hakuwafundish zaid ya duwa nakusimama usiku kumuelekea Allah sw wamuombe yeye na wasitegeme kwengine .awa wanachangany iman munasahau mashekh kama kunasuratul ikhlas aya ya 2 inasemaje eeeee subhanallah yarabbi tuongoze na vizazi vyetu ktk mamb ya kher nakufata muongozo wa kurani na sunnah

  • @LoneWolf-ng8yg
    @LoneWolf-ng8yg หลายเดือนก่อน

    Napenda sana hiii elimu

  • @HassaniSaidi-ly3dg
    @HassaniSaidi-ly3dg หลายเดือนก่อน

    Duh shekhe mche Allah

  • @Fadhila-xk2sw
    @Fadhila-xk2sw 27 วันที่ผ่านมา

    Waislamu haya hayatufai kwa kweli unapoba muombe Mwenyezimungu na unapotaka msaafa mtake Mwenyezimungu

  • @Pendo077
    @Pendo077 หลายเดือนก่อน +2

    Samahan jmn,, na huyo shekh nae ni tajiri au?! Naombeni kujua😂😂

    • @thabitimkufi7388
      @thabitimkufi7388 หลายเดือนก่อน

      Kimaskini tu nduguyangu hakina lolote hapa ndo kinatafuta kupata pesa kwa kuuichafua dini ya Allah

  • @user-bj6yz7gy1v
    @user-bj6yz7gy1v หลายเดือนก่อน

    acheni kudanganya umma kanzu iyooo utajiri huna wew

  • @YusufMohammedMohammed-pf4vi
    @YusufMohammedMohammed-pf4vi หลายเดือนก่อน

    Ya Allah Waongoe Waisilamu

  • @sulumsalehebadulusaid1515
    @sulumsalehebadulusaid1515 หลายเดือนก่อน +2

    Hahahaha eti dunia inapembe nne😂😂😂

  • @M.A.AMfinanga
    @M.A.AMfinanga หลายเดือนก่อน

    Kujua ni vizuri na imani iongezeke watu waelewe mambo wasitoe tu povu bila faida yote.

  • @abulfidaamedia
    @abulfidaamedia หลายเดือนก่อน

    HUU NI USHIRIKINA WA WAZI KABISA NA UKIFA HIVI WALLAH UTAINGIA MOTONI..!! ALLAH AKUONGOZE.

  • @Ibrahim-vo5pz
    @Ibrahim-vo5pz หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi-Mungu amekataza mambo hayo

  • @rachelmaina3476
    @rachelmaina3476 21 วันที่ผ่านมา

    Kwani hamujui mashekh wanatumia jini msikitini.Kuna msichana aliye nieleaza kwamba kuna jini wazuri na jini wabaya.Najivunia kua mkriso.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 หลายเดือนก่อน +1

    Nimecheka kama mazuri

  • @user-sr9xu7rx1z
    @user-sr9xu7rx1z หลายเดือนก่อน

    Inna Lilah wainna ilah rajiun

  • @jagjitalvinder5471
    @jagjitalvinder5471 หลายเดือนก่อน

    ALLAH AKUONGOZE WEWE NI JAHILI KIJANA

  • @zuhuramwaniki6138
    @zuhuramwaniki6138 13 วันที่ผ่านมา

    Naomba dua ya kulinda nyumba nisiibiwe wezi

  • @MunaOmar-zd4hb
    @MunaOmar-zd4hb 2 วันที่ผ่านมา

    Doctor Mimi nahitaji namba yako

  • @yusuframadhan8927
    @yusuframadhan8927 หลายเดือนก่อน

    @ bongo touch Nyie watanzania jifunzeni namna ya ku creat headline of your content you look ambiguous with what you present

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews หลายเดือนก่อน +3

    Ushirikina tu

  • @DakorTrony
    @DakorTrony หลายเดือนก่อน +1

    Uislamu dini ya majini kweli. Waislamu wachawi sana

    • @fatimaabassymashalla9130
      @fatimaabassymashalla9130 หลายเดือนก่อน +1

      Siyo waislam, ni yeye mwenyewe na nafsi take waislm haupo hivi wanajichafua wenyewe so dini

    • @RamadhaniMkulunga
      @RamadhaniMkulunga หลายเดือนก่อน

      Kaka soma kwa watu sahihi, uislam ni safi na hauna hata doa la uchafu hata kidogo

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂naona watu wanaanza kuwakataa wenzao

  • @Incrediblejona
    @Incrediblejona หลายเดือนก่อน

    Huo ndiyo uislamu aisee! Wenye dini yao wanagomeana hapa

  • @pascalkalama
    @pascalkalama หลายเดือนก่อน +2

    Uisilam ni uchawi aki

    • @user-ec7lp9td5e
      @user-ec7lp9td5e หลายเดือนก่อน

      Huyu hata haitwi muislamu hadi arudi Kwa mola wake
      Huyu ni mshirikina sawa na washirikina wengine wanaoabudia masanamu na kufanyia muungu mwana kama WW

  • @naseebhussein4943
    @naseebhussein4943 หลายเดือนก่อน

    Innalillah wainna ilaihi rajiuun

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 หลายเดือนก่อน

    Uisilamu naamini ni dini ya mashaka kufika kwa mungu

  • @nasraljahadhamy4302
    @nasraljahadhamy4302 หลายเดือนก่อน

    Mbona ajibu jibu ana ruka maswali

  • @salongoomutaka9708
    @salongoomutaka9708 หลายเดือนก่อน

    Huu uchawi watanzania mnao ufanya kwa kutumia jina la uislamu ndo unao watorosha watu kwenye dini ACHENI NA MUMUOGOPE ALLAH

  • @MohamedabdallahKilimo
    @MohamedabdallahKilimo หลายเดือนก่อน

    Hiyo ni elm dunia ni ushirikina uislam haujafundisha hayo munautia doa uislam mutaulizwa na allah kwa kuwatoa watu ktk Imani na utajir ni qadar ya Allah mwenyewe acheni Mambo yenu hayo Allah awaongoze

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 13 วันที่ผ่านมา

      Kama wewe hujafundishwa wenzako wamefundishwa

  • @SaidSaid-wh4ky
    @SaidSaid-wh4ky หลายเดือนก่อน

    Hawa wanaendekeza shirk tu lakini mtoaji rizq ni Allah na yeye ndie muweza wa kila kitu

  • @hamedmweru6955
    @hamedmweru6955 หลายเดือนก่อน

    Hata kumuoa Binti Fatma wa ufalme wa kijini wa 7 riadha siku 21 inakuhusu.

  • @TSMONEY92
    @TSMONEY92 หลายเดือนก่อน

    Ataje namba shekh

  • @MicahSalah
    @MicahSalah หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone หลายเดือนก่อน

    Nakukubali

  • @SaidSaid-wh4ky
    @SaidSaid-wh4ky หลายเดือนก่อน

    Uislam ni dini ya kweli na haki wala haina shaka kabisa

  • @RamadhaniMkulunga
    @RamadhaniMkulunga หลายเดือนก่อน

    Subhnaallah

  • @user-qw3fj1zw6p
    @user-qw3fj1zw6p 22 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤

  • @coolvoices6608
    @coolvoices6608 หลายเดือนก่อน

    Yaani maana halisi ya ushirikina ni kuchanganya mafundisho sahihi ya Mungu na yale ya shetani kwa nia ya Kumuudhi Allah na kumtumikia Shetani. Washirikina wote motoni

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 หลายเดือนก่อน

    Sasa Unasoma na Kufanya Vilivyoharamishwa na Allah Subhanallah Wataala huo ni Uislamu safi gani?!🙌

  • @MwombekiperadiusWilliam
    @MwombekiperadiusWilliam หลายเดือนก่อน

    Allah anikinge nawewe nawenye mfanowako

  • @ukhtymwana40
    @ukhtymwana40 หลายเดือนก่อน

    Inalilah wainailah rajeeun 😢😢😢

  • @sultanmbogo860
    @sultanmbogo860 หลายเดือนก่อน

    uko sawa kabisa shekh ila elimu ya majini nikubwa sana jina anaitwa muda wowote inategemeana nijini gani usiifiche elimu shekh

  • @mshambaused3840
    @mshambaused3840 หลายเดือนก่อน

    Hao sio waislam jaman