MAAJABU MSIKITI WA MAJINI ULIOPO MAKKAH SHEIKH RUSAGANYA ALISWALI NA WATU VICHWANI MWAO ZINAWAKA TAA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- • MAAJABU MSIKITI WA MAJ... #KHIDMATV #masjidaljinn #makkah #sheikhhashimrusaganya
@KHIDMAONLINETV350
#facebook @khidmaTV
#instagram @khidma_tv
#tiktok @khidmatv1
Mashaa Allah Allah akuhifadh shekh wetu hii story imejua kuwapanikisha upande mwengine . kuna somo kubwa sana nimeliona.
Maa shaa ALLAH 🇰🇪 💚💚💚
Mashallah mashallah Allah ndie muumba wa kila kitu hkn aliwezeza kuumba hata sisismizi
Chakushangaza majini niwaisilamu na mkristo nae anasilu nakuwa mwuisilamu Asante Yesu kwakuniita kwako najivunia kuacha uisilamu nakuwa mkristo
Hongera unatumia jina gan fb au insta
astaghfirullah muombe mungu akuongoze
Allah humasali allaa Muhammad wallah Ali Muhammad
Tunakupend. San shekh rusagany kw ajil ya Allah mashaallah mungu akubarik amin
Mnampenda kwa kuwadanganya
Mnampenda kwa uongo wake hapo hakuna lolote analoongea la maana ni ushetwani tu na makafiri na siku ya mwisho nyie wote waislamu ambao hamjakili Yesu kristo kuwa bwana na mokozi wa maisha yenu na mtatupwa jehannam kwenye tanulu la moto wa milele.pona yenu ni kumkiri Yesu kiristo mwana wa Mungu aliye hai ndipo mtauona ufalme wa Mungu
Makafiri mnateseka kutokea wapi? 😂😂😂
@@ShaniSalehtuwaulize nyie makafiri watumwa wa warabu
Nampenda sana uyushekh kwaji yallllah❤❤❤
Huyu anasifu mapepo wachafu ambao Bwana yesu kristo aliwahukumu motoni
Majin wabaya, waongo wataingia motoni, majin wazur, wakwer wataingia pepon... 2 Mambo ya nyakat 18:18-21
Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21
Wap yesu kasema mapepo wote wataingia motoni ❓❓❓
Majini are fallen angels, demon's
tafuta maarifa acha kufuata mkumbo
Wakristo tujiandae yesu yuko mlangoni maana yaliotabiriwa yote yametimia
Ndugu zangu mbona waisilamu mbona mafundisho yenu ni Yakishetan Njoo kwa Yesu
Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
.... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
.......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu.. 1+1+1=❓
Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
Mungu atusaidie kbsa
Masha Allah
ACHENI KUHUBIRI VITU VIZIVYOELEWEKA, KAZANIENI MAADILI VIJANA WANAHARIBIKA LAKINI MMEKALIA MAJINI MAJINI....HAYATUHUSU
Nyie someni hayo yote ila Siri ni Yesu
ALLAHU AKBAR
Hii ni kali ya mwaka shehe atangaza rasmi kuwa majini ni waislamu n'a wataenda Mbinguni,n'a msikitini wamo,huo ni uongo majini ni viumbe walio laniwa hawawezi enda Mbinguni MDA au hawana neema tena ni viumbe wA kuzimu.
Mimi nitawapa doz mpaka muerewe maana hata kitabu chenu hamsomi ila mwakalilishwa na wachungaji wenu tu. Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (Mambo ya nyakat2 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
@@RamadanPaul umesema ulikua mchungaji je hukusoma kama ulisoma kipi ulielewa nin au nawew ndio mwezi mchanga wainjili ila nikwambie kamwe huwezi kumaliza neno la Mungu
@@RamadanPaulunafunga Nini mbona unayatetea sana 😂😂😂😂 kama awa wataenda Mbiguni basi ata shetani ataende katika uzima wa milele awa ni mamlaka waliyo kaa katika upande wa shetani walipo pingwa na Mikaeli wakafukuzwa pamoja awa ni washirika wa iblisi kama wataenda Mbiguni basi ata shetani ataende
ukiristo raha ❤️
Mnachanganya neno la Mungu na majini😢😢😢😢
Hajachanganya..majini wapo na wanaamuabudu Mungu
Nyinyi binadam mtaangamia majini,mapepo na mashetani yote yamelaaniwa na mnaambiwa msiweke ukaribu na majini dah
Hakuna majini wazuri na wabaya.Wazuri mwanzo lakini baadae ni chungu
Ukisem majini mwisho watageuka.. N sisi binadamu hmbao twauwana .. Nasi tuseme nn. Hngalia maneno yako❤ jua Kuna viumbe bora kwa Majin watakao kua PEPONI n Kuna waovu. Watajua motoni. Ni kama binadamu tu😊
Ukisem majini mwisho watageuka.. N sisi binadamu hmbao twauwana .. Nasi tuseme nn. Hngalia maneno yako❤ jua Kuna viumbe bora kwa Majin watakao kua PEPONI n Kuna waovu. Watajua motoni. Ni kama binadamu tu😊
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (Mambo ya nyakat2 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
Malaika wangekuwa wanaasi, wanakosea kama binaadam, bas kila siku Vitabu vya Mungu vingekuwa vinabadilika, na vita mbingun visingeisha, maana hata jibril (Gabriel) uzalendo ungemshinda angeasi..😂. Malaika wameumbwa kutii amri ya Mungu sio kukosea
Bibilia inasema watu weusi, waafrika, wamelaaniwa (mwanzo 9:20-26),. Kumbe hata sisi hatutoingia pepon?. Ukristo Bwana
Sheikh wetu kaelezea vizuuuuuuri ila naona comments za wasiokuwa waislamu ambazo sizielewi NAWAOMBA msicomment haya mambo yana wenyewe bwana
Mpokeni yesu
Hamna upendo baina ya majini na binadamu kumbuka majini ni malaika waliomhasi mungu na mkuu wao nishetani kazi yao nkudanganya watu iliwaende nao kuzimu
eh Yesu tuone huruma sisi waonao
Acha kupotosha watu ww kuna aya inasema ,waman khalaktul jinn wal ins ila liabudun mungu anasem sikiwaumba majini na watu isipokuwa waniabudu. kwahy majini ni viumbe km ww wapo wanao muabudu mungu na sio shetan wakristo pia mnachochea ugomv wakidin nynyi
Wacha uhongo majini ni majeshi wa shetani mwanadamu nini mBaya majini wote ni takataka Wacha aaa
Huna unachokijua chunga mdomo ndugu achana vitu usiyo na elmu navyo
Usilo lijua n usiku wa giza wewe. Majin n kama sisi. TU Kuna WEMA n. Mwengine sio WEMA .. HLIE kwambia nimashetan n nani. Ss mwenyew htupendan. Kwaiyo pia n we zke ibilisi . USICHO kujua hchana nacho 😅
Kwa wakristo Majini ni malaika wa shetani,ila kwa wale wengine majini ni ndugu zao
@@siti3197kwa hio wewe unaushirika nao mpaka kunua
Kwa hio wew unaushirika nao mpaka kuja Kuna majini wema na majini waovu??
Jini ni jini tuu hakuna jema na baya yote ni majini
Nimejihakikishia uislamu ni dini ya majini
Wewe ni mjinga ujui majini wameumbwa sasa unamaanisha nini ukisema uislamu ni dini ya majini.mbona nyinyi makanisani kila siku mnatoa mapepo makanisani haya uliona waislamu wakatoa majini msikitini.nyinyi kila siku mnamapepe ndio ibada kubwa kwenu
@@muhamedjumaa6867washirika wanawo kula saani moja na kuabudi kitu kimoja mtawafukuzaje mzee washirika wenu
Hii dini mtihani sana walahi😂
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
.... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
.......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu..
Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21
😊muongo huyo majini ni malaika walioasi
Mwanaadam ameumbwa na udongo
Malaika wameumbwa na NURU
majini wameumbwa na moto
Sasa iweje majini wawe ni malaika walioasi na
Na malaika tabia Yao c kumuasi Allah
Allah ndo mjuzi zaidi
Tafuta maarifa na taarifa zaidi kuhusu majini Bado uwelewa wako ni mdogo
Malaika hawajawai kumuasi Allah
Malaika wangekuwa wanaasi, wanakosea kama binaadam, bas kila siku Vitabu vya Mungu vingekuwa vinabadilika, na vita mbingun visingeisha, maana hata jibril (Gabriel) uzalendo ungemshinda angeasi..😂. Malaika wameumbwa kutii amri ya Mungu sio kukosea
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
Kuna dini za hovyo sana dunia hii nitashangaa mnoo nikiona mkristo anakubaliana na huu upotoswhaji mkubwa, ieleweke kwamba majini ni malaika walio mwasi MUNGU wakatupwa duniani wakaambatana na shetani na malaika wazuri walibaki mbinguni, hawa majini wazuri walitoka wapi? MUNGU hakuumba majini bali aliumba malaika na katika kuasi kwao ndio hayo mapepo yakapatikana. Naendelea kuongeza ufahamu na kujua, kwanini wale watoto wadogo walinambia usitukemee kwa jina la yesu tutaanguka😢
Elimu ni bahari.Kama huelewi jambo,waulize wenye kuelewa.Kila kilichopo hapa duniani,kimeumbwa na Mw Mungu.
Kama unaamanisha Uislamu ni dini ya hovyo humsemi huyo Sheikh.Dini ya Uislamu,ameiridhia Mw Mungu. Kwa hiyo unamsema Mw Mungu aliyeturidhia tuitwe Waislam.
Watch your words before letting them to the public Islam teaches everything in this world don't say things to offend other's religion be careful
@@AbbasHussein-zq3yihata Shetwan kaumbwa na Mungu lkn yupo duniani, love you Jesus❤️
Hii habari hawaambiwi wakristo mada zinahusu waislam we pita tu mind your business mbona sie hauwafati hivo? Halafu ni dhambi kusema malaika wanamuasi Mzungu hakuna malaika anamuasi Mungu
Makafiri hawajuwi maana ya helimu ni nini ndomana hata hizo Biblia wanaziweka kwapani sisi tutawahelimisha Kama wanaswali waulize watajibiwa kiungwana
Hujasoma quran wewe. Waliyoisoma wakaelewa huwa wanaheshimu dini zilizotangulia kabla ambazo kwenye quran zinatajwa. Wewe hujui kuwa quran inasema kuwa waislam wawakimbilie wakristo wakiwa na shida kwani wakristo walipewa kitabu kabla yao (yaani walikuwa na dini kabla ya uislam ) 😂😂😂😂
inabidi tuijue hiyo historia ya allah maana sielewi maana majini n mashetani
Jini ni kiumbe shetani ni tabia..Shetani vitendo viouvu...Ambavyo vitendo hivyo hufanywa na watu au Majini lakini asili ya vitendo hivyo walivifanya majini..Kama Kuua..Kunywa damu...
Allah unandika kwa herufu kubwa "Allah"
Shukran
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
Allah ni Mungu baharii
Bila shaka wewe ndio wale wanao amini sheitwani ni mtu sio ???..NA HUWA MNATENGENEZA PICHA AKIWA MWEUSI NA ANAMAPEMBE......mnajaza mapicha vichwani mwenu mpaka hata ibilisi anasaulika mnajikuta mnamuita shetani dah hii hatari sana....
Hebu niambie tofauti ya IBILISI na SHETANI YAMKINI HUJUI AU KAMA UNAJUA BASI UTANIJIBU KWA NAMNA YAKO...
The end tymes. Csemi ki2
Kumsalia mtume kwani alikuwa mwenye dhambi?Nielimishe tafadhali.
Jinga kabisa shehe badilika moto upo
Moto uneumbiwa majini na wanadamu nyie wakiristo kuweni waelewa mbona mnaminyana na Quran yetu
Mkiristo haamini na hilo litawapeleka motoni
Uislamu ni dini ya majini
Umekarilishwa sio kosa lako
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon, na hao ndo waislam sasa (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
Sii kosa lako ni kosa la akil yako kufungwa 😢😏😏
Mpaka umeacha mambo yako ninaiman umejifunza jambo
Majini sininyie waislam mnajifaham
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
.... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
.......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu..
Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21
Mbona kwenye mikutano yenu waislam mbona mnatoa majini au hapo sielew
Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21
Majin wazur ni haram kumuingia mtu, hayamuingii kabisa, ila majin wabaya humuingia mtu na kumtesa, na hayo ndo huwa ukiomba dua ya kutoa majin lazima wapande watoke
Huyo mtume wa majini hana mbingu ,yeye na majini wote jehanam
Shehe mtukumbuke tupigie tafu
Majini ni milki ya sheitwan, hakuna uhusiano na MUNGU.
Mpokee YESU akuweke huru mbali na majini.
Silimu Ili uwe na akili pana
lengo la kuumbwa MAJINI walijua?
Shetani hana uwezo wa kuumba
Tatizo hamtaki kusoma munaendeshwa na mahubiri ndio maana vichwa vyenu vijamaa upumbavu na kiza
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
Wewe shekh uliwaona majini ni mwongo
Chunga ulimi wako unajilaanisha
Wajini wote. Ni maraika wahasi sasa hao wema wanatoka WAP jina ametengeneza kwa moto binadamu katengenezwa kwa udongo kwenye hicho kihama huo moto utamzuru yupi zaidi kwanza majini ni uchafu we mtafute Mungu na haki yake majin hayana maan yatakutesa tu
@@victorphilibert1629 Malaika wangekuwa wanaasi, wanakosea kama binaadam, bas kila siku Vitabu vya Mungu vingekuwa vinabadilika, na vita mbingun visingeisha, maana hata jibril (Gabriel) uzalendo ungemshinda angeasi..😂. Malaika wameumbwa kutii amri ya Mungu sio kukosea
@@victorphilibert1629 Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (Mambo ya nyakat2 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
Afadhali shehe umesema ukweli majini yapo msikitini umemaliza utata
😂😂😂...kumbe msikitini kuna majini
Shekhe hakuna jini mwema kama unawaamin Utaenda nao motoni Kubali leo kumpokea bwana Yesu krito kuwa bwana na mwokozi wa maisha nawe utaiona Pepo ya kweri
Kwa vigezo ama elimu gani ama wadhania tu
We wajijua uwawapi adi unajudge mwenzio mungu pek ee ndo anajua n nan atakae enda motoni n n nani atakae enda peppni
"Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;" 1Timotheo 4:1
😂😂😂ona huyuu kondoo
Ndo mitume yenu feki kina Mwamposa wanao wauzia udongo
@@mangulimanguli3974doh
hiyo si saizi yake
Kuna majini na mashetani
@@animamichael3968 maadam ni "roho"..hatupaswi kuyasikiliza. Na Kuna maslahi gani kuyatetea majini!?
Jesus Christ is the author and finisher of my faith
Waislamu huwa wananichekesha sana na story zao za uongo😂😂😂😂
we mkweli umefika wapi kua na nidhamu ya dini za wezio hasa ktk vyombo vya habari
Makafiri huwa wanateseka na mambo ya waislam. 😂😂😂
Muhamedi ndiye kafiri aliyeoa mtoto wa miaka 6,😃😃😃
@@ShaniSaleh makafiri ni nyie na mtume wenu aliyeua watu na kuoa mtoto wa miaka 6, 😃😃😃
@@JESUSCHRIST19941 Kafiri ni yule anaesema binadamu ni Mungu na anafungisha ndoa mashoga! 😅😅😅
Hii kali ya mwaka,majini ni waislamu kumbe,
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
Hata mchawi na wezi wana mnyenyekea mungu lakini watabaki kuwa wakosefu
Majini ni Viumbe wa MUNGU ' lazima na wao wamuabudu MUNGU' ivyo lazima waende Mskitini kuswali' Kwa sababu ndio kwenye dini' ya haki'. Waende Kanisani kufanya nini?
@@SalamaNauthar😂😂😂 hujui hujui
Sisi Wakatoliki tunasala hii ya Nasadiki, Katika kipande cha mwanzo kabisa huwa tunasali, Nasadiki kwa Mungu Baba Mwenyezi Muumba wa Mbingu na Nchi Na vitu Vyote Vinavyoonekana na NAVISIVYOONEKANA, sasa sijui hata kama baadhi ya katoliki au Wakristo wameshawah kujiuliza hivyo visivyoonekena nini sasa ndo hao Majini hawa viumbe wapo kabisa na wanaokana kwa yule Mungu aliyemjaalia kuwaona na si mara kwa mara huwa wanatisha sana ila kwa sisi tuliyoishi nchi za Kiarabu baadhi yetu tumeshawaona sana na hata katika ndoto wanatokea sana kwa hiyo alichokisema Shehe Rusaganya ni kweli na kipo Wakristo Wenzangu tuache kubisha hovyo
Mwenyezi Mungu atuepushe mabaya atulinde na mema pekee insha allah
The thief comes only to steal and kill and destroy. I came that they may have life and have it abundantly (John 10:10)
Halleluya
Jini... Maana yake ni kischoonekana ni kiarabu. Kwa kiswahili fasaha ni pepo ....... Kama ilivyotumika kwenye bibilia
Makamanda wansubiri swalaaaa😄😄😄😄😄dah hatari sana.najivunia saaaana kua mkristo.
ukifa ni mkristo we ni jehannam bila kuhojiwa.
usije ukasema hukusikia
@@officialkamdudu aiseee tunawaombea mwijue nuru ya kweli
@@nomamatata754 wewe unaijulia wapi nuru ya kweli wakati hujui ni Mtume gani alikua Mkristo na Mungu gani alileta ukristo ?
Waislam hawanaga akili…. Uwaza ushirikina na ujinga ujinga tu
Jamani hii ni hatari sana.tafsiri ya majini no malaika walio mkubali shetani na wakalaanika na Mungu na kuitwa majini.leo huyu sheikh anatuambia wapo majini wazuri na majini wabaya?nimeamini kumbe ndio maana mnafuga majini.jamahi dini ya kikristo na uislam ni vitu viwili tofauti.huhu sheikh anasifia majini?mama wee!!!!!!!!
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
.... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
.......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu..
Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
Leo ndo nasikia mkristo anasema tofaut na wakristo wenzie kuhusu majini. Huyu anasema malaika waliomoubali shetan wakaungana nae.
Wenzie husema ni malaika walioasi wakawa mashetan. Sasa hapo nani yupo sahihi. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21
Hakika ipo siku itawafaa walio amini
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
.... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
.......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu..
Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
Majini ni malaika walioasi mbinguni wakatupa duniani baada kushindwa vita huko mbinguni: ufunuo 12: 7
Uko sahihi
Someni ndugu zangu jini ni mwengine na malaika ni mwengine jini kaumbwa na Cheche za moto malaika kaumbwa kwa nuru binaadamu kaumbwa na udongo jini anakula anaenda chooni ana tamani na kuna wakike na wakiume wanazaana ila malaika hawazaani wanaumbwa tu hawali wala hawanywi na hawana jinsia wala matamanio nawala hawatendi dhambi ila majini na binaadamu uumbaji ni tofauti ila mengine yote tunafanana ila wao tu hawaonekani na mungu kawapa nguvu na viumbe vyote hivyo kaviumba mungu
Mungu kaumba malaika majini na binaadam
Jini aliemuasi mungu ndo anaitwa shetani
@@mundhirfauzalafu akawaje wakajikuta hamjui mungu mpka uyu mtume aje kuwahubiria😅
Jooni kwangu nyinyi wote muliwo lemewa na mizigo Nami Nitawapumzishi,asema Bwana
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
.... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
.......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu.. 1+1+1=❓
Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
Subhanallah,Hata kuandika hujui
Sasa nimeelewa yule anaitwa Gabriel wa kumlazimisha Mohammad kusema ni Jini.
Hivi mtume wakuombewa badala ya kuwaombea wafuasi wake hivi inaingia akilini kweli. Kristo wakumbuke uwaombee kwa Baba.
Shekhe majini ni waasi wa Mungu na walilaniwa na kusikiliza kroani ni sawa kwa maana si kitabu cha kukupeleka mbinguni Ila jina pekee la Yesu kristo ndo njia ya uzima wa milele na bibilia pekee ndio kitabu ambacho kinauzima wa Roho
Ujui unako enda walaunapo toka jitambue
Aise 😀 Imani gani😢
A you normal
Hivi wewe unajua wewe ni nani? Na je jini ni nani? Nini tofauti ya jini na shetani? Shetani ni nani? Ukiweza kujibu kwa ufasaha maswali haya bila shaka utakuwa umefunguka sana
Km malaika wapo walioasi na wema yaan wale wa Mungu ikosekane majini?Malaika wengine walimuasi Mungu wakapigana na malaika walio upande wa Mungu ,maandiko yanasema hvyo tena ya biblia,Sasa kwnn na majini wasiwe wema na waovu
Aya ipi inasema majini wema wataingia peponi? Kama Kuna muislam Msomi anijibu
Kumbe mnajijua majini wameandikiwa adhabu sasa nyinyi uhusiano wenu wao🤔🤣🤣🤣
Yani uislamu mpka majini mnayasifia ?
Majin wazur ni haram kumuingia mtu, hayamuingii kabisa, ila majin wabaya humuingia mtu na kumtesa, na hayo ndo huwa ukiomba dua ya kutoa
Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21
Mi napenda wale waislam waliokoka ambao hawaamini majini bali Mungu peke yake
Hakuna usilika kati ya Mungu na shetani
Tafautisha jini na shetani mungu kaumba binadamu na majini ili wamuabudu yeye shetani ni jini ila anaitwa shetani kwasabab kamuasi mungu kwaio wema na wabaya hao hao majin kam huelewi ten ww sjui binadam gani
Kwaio unatak kusem shetani na majini wamejiumba mwenyewe fikiria kwa makini hii ni dunia na itafika mwisho wake kwaio hakun ambae kajileta hapa duniani sote ni wa mungu na kwake tutarejea
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
Nyie majini hamuwaoni sisi wakristo tunawaona na tunawapiga fire mpka wanapata wazim Giza na mwanga havikai pamoja
Majin wazur ni haram kumuingia mtu, hayamuingii kabisa, ila majin wabaya humuingia mtu na kumtesa, na hayo ndo huwa ukiomba dua hupanda na kutoka
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
.... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
.......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu.. 1+1+1=❓
Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
UMEELEWA ULICHO FUNDISHWA HAPO NA MWALIMU HAO MAJINI YA FIRE YANAINGIA MPAKA DISKO LAKINI MAJINI WEMA WALA NINYI HAMUWEZI KABISA KUKUTANA NAO KWAMAANA WAO HAWAENDI DISKO MAANA KANISANI NIKAMA DIAKO TU LAKINI PIA MAJINI WAKO WENGI KULIKO SISI KWAIYO HAO WANAOKUJA KWENYE MADISKO YENU NI WALE WAOVU WACHACHE TU
Huyu mtu hajui kuwa majini ni malaika walioanguka / walioasi , pepo waovu (fallen angels / devils). Hakuna majini wema. Elimu unayoifundisha humu ni upotofu uliokithiri.
Shekh mimi nimekuelewa naijua quran pia Kuna surat jinn wasokuwa waislamu hawajui history ispokuwa wajua u hawisi tu shukran
Uchawi ndio wanajua wakirsto hawajui majini walikuja kwanza duniani waulizie sio kukosoa jambo usilolijua kuuliza siujinga
@@saudaumar3354Hii dunia Mungu alimuumbia Adam na kizazi chake, Mungu hakuumba majini,kabla ya hapo walikuwa malaika huko mbinguni baada ya kumuasi Mungu ndipo yakatupwa Dunia baada ya kushindwa vita baina ya mikhael na jeshi lake dhiidi ya Lucifer(shetani)akiwa na jeshi lake.koran imekuja juzi imekuta vitabu vya zamani vikieleza ubaya wa shetani,majini na mapepo lakini cha ajabu amekuja Muhammad mtume wa waarabu na Hadith za uongo na kupata wafuasi wengi kwa lengo la kuwapeka jehanamu
MashaAllah ❤❤❤❤❤
Masikini hii ndo elimu mnapeana msikitini poleni sana ndo maana mm najivunia kuwa mkristo
Ww hauwezi kuipata hiyo elimu .Ila walimu wenu wanaujua ukweli
Kwt ulitumwa usikilize ama mlikua mkisubiria sheikh aongee ndo mpate Cha kuongea
Alhamdu li Jesus ! Kweli Quran ni kitabu Cha majini ! Ndo maana Kuna sura ya majini ndani yake ( Yan Surat jinn), na majini wametoa Aya zao ndani kuhubiri uislamu. Ukisoma pia Sunna, unapata Muhammad karogwa na kukaliwa na mashetani mpaka hajui kasema nini au katenda nini karibu mwaka mzima ( tena akiwa mtume wa Allah), Ina maana hata Allah alishindwa kumlinda mtume wake. Njooni kwa Yesu mponywe
Kwayo una maana kuwa Yesu wakati akisulubiwa Mungu alishindwa kumsaidia???
Amina
@@athmanyusufkea3405 uliza kitabu chako ndo ujue kua Allah wako alimsaidia au la ! Maana korani ( Quran) 3:55 inasema Allah amempaisha juu ISSA kwenda kwake alipo ( kwenye kitu Chake Cha enzi). Na Quran 4:157 inasema ISSA hakufa Bali Allah wako aliwaletea picha kama anasulubiwa huku yeye amamnyakua juu mbinguni kumnusuru na wayahudi wasimuue, na yuko hai mpaka Leo wakati Muhammad wako ameozea kaburini, na Allah alishindwa kumuokoa mtume wako mpaka akauliwa kwa simu na Binti wa kiyahudi, kama kisasi baada ya kuua familia yake. Jiulize, kwa nini Allah hakutaka kumuokoa Muhammad kama kweli ni kipenzi Chake, na badala yake akamuokoa ISSA asiuawe na kumpaisha kwake huku jamaa yako funza wanamtafuna na mkizidi kumuombea kila siku !?.
@@athmanyusufkea3405 wewe inaonyesha ni mmoja wa wale wavivu wa kudadisi na kutafiti ukweli kwenye vitabu, umekua jahil usiyetaka kujua jambo kwa ajili ya nusura ya nafsi yako, umekalia ushabiki tu na kuwasikiliza viustadhi visivyokua na elimu.
Ww ni kafir na utachomwa ktk moto wa jahannam unapotosha watu
Sitaweza kua na ndugu na majini mpaka kiama, kwahiyo nyumbani kwenu yapo majini mpaka msikitini mna swali nao😅
Majini yanawazezea nyie mabraza ,. mtajua mkiwa mmechelewa😂😂😂😂😂
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon, na hao ndo waislam sasa (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
Ama kweri hii dini na ina wafuasi kabisaa motoni kunawahusu
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
.... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
.......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu..
Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21
Muongo uyo shekh, majini ni wale malaika walioasi pamoja na shetan uko mbinguni wakatupwa pamoja na ibilis,.amna majini wazuri huo ni uwongo mkubwa
Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21
Aisee nimemsikiliza sheikh vizur kabisa nimepata jibu kuwa mbingu ya wakristu na waislam ni tofauti, hata Mungu wa wakristu na mungu wa waislam ni tofauti. Yesu wewe kweli ni BWANA.
Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
.... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
.......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu..
Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...
Kabisa Ndugu
Akuna mungu wawakristo wala waislamu mungu n mmoja sema Imani tofauti za kuabudu
@@SamuelKhadija rafiki angu fatilia vizuri Mungu katika Jina la Yesu ni tofauti na mungu wa kislaam na ninakataa Mungu wang na wako sio mmoja ila mungu wa muhamad (allah) sio Mungu wa kweli na pia napinga mungu wako sio Mungu wang mana wang namjua jina lake anaitwa Yesu ambaye ninyi mlikataa
@@SamuelKhadijaInaonyesha kabisa huna ufahamu hata ule wa kawaida kwa hoja tu. MUNGU wa Wakristo anaitwa JEHOVA na mungu wa waislam anaitwa allah. Ni tofauti kabisa. Wala issa bin mariam sio YESU KRISTO.
Hio kusema MUNGU wetu na mungu wako kuwa ni kitu kimoja ni upumbavu uliopitiliza kwakua una linajisi Jina ya JEHOVA kwa kumfananisha na sanamu!
Ndiomaana hii dini yakiislam tunaikataa hii sio dini ya mungu, bali niyashetani
Hawa wanashirikiana na mapepo ahundred percent
Hakuna jini mwema bali ni ubatili tu
Kweli kbs
Majini ni viumbe walioumbwa na mungu wapo wema na wapo waovu
Malaika wangekuwa wanaasi, wanakosea kama binaadam, bas kila siku Vitabu vya Mungu vingekuwa vinabadilika, na vita mbingun visingeisha, maana hata jibril (Gabriel) uzalendo ungemshinda angeasi..😂. Malaika wameumbwa kutii amri ya Mungu sio kukosea
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (Mambo ya nyakat2 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
niuongo mtupu hakuna majini mema ni mabaya
Wakor( 1)_10_20 mungu WA biblia ametuonya Didi ya kushilikiana na mashetani
Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (Mambo ya nyakat2 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?
@@RamadanPaulunasema shetani ni mbaya apo apo ni mzuri huu ni msiba mzito sana nuru na ngiza avikai pamoja
Ukisoma.historia ya majini utajua kweli Mungu ni Mkubwa jini ni wakubwa sana ila wanaweza kukaa space ndogo mno
Ukisema ni wakubwa sanaaaa, usisahau kusema wanauwezo wa kuwa wadogo sanaaaaaa #😂😂
😂😂😂
Mimi niliwahi kuambiwa waislamu wanasali na majini nikakataa
Kumbe ni kweli.
Kwa sababu hii
Mungu tunayemwabudu wakristo ni tofauti kabisa na Mungu wanaomwabudu waislamu
Pia nimeshangaa
Imani yenu ya kikristo ni shortcat uislamu ni imani pana huyo jini anaekuchefua kuwepo kwake kunaonesha ukuu wa mungu kwani hakuna kitu kilicho jiumba kila ukionacho na ukisikiacho jua kimeletwa na mungu wa isiaka na yakob
ni kweli tuna mungu tofauti..nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu
Waisilamu nyie acheni kuabudu majini na mashetani mtachomwa moto shauri yenu!!!!😢
Eeeh bwana Yesu Cristo okowa nafsi. Za ndugu zangu wa eslam
MaashaAllah
Full of properganda Muslim Mukubalini ya Mungu wa Israel ndiyo Mungu wa upekee na wa ukweli YHWH na kuna Mwanae Atwae Yahshua uyu ndiye njiya ukweli na uzima
Acheni wafu wazike wafu wao
Sasa CR7 kausika na nini napenda mawaidha yako lakini ulipoleta mambo ya mtu binafsi kwenye mawaidha ndio niliposema sitazami tena video zako CR7 anasaidia watu kibao kuliko hata hao waislam latajiri unao wajua sijui siwezi kukaa alipokaa cr7 sijui kikipata bacteria huu niubaguzi upaswi kusema hivyo shekhe anatakiwa kuwa na kauli nzuri.🤦🏾♂️
We mpumbavu, Allah atakuhukumu kwa uongo wako. Hakuna mahala popote katika historia Muhammad amewahi kuitwa ahmad. Hakuna hata hadithi iliyopokelewa kuwa Muhammad ndiye ahmad. Na pia hayo majini unayazungumza kwa itikadi ya shirki zenu. Hakuna kiumbe rasmi Chenye muonekano huo unaoutaja. Wala mtume hakuwa na itikadi zenu hizo. Acheni kupotosha watu kwa hadithi za abunuasi. Haya mastori yenu hayajengi uislam yanabomoa dini
Waislam ni waajabu sana akija shafii wote wanamuunga mkono kwamba shafii mkweli,akija mbogo wanageuka na kuanza kimsifia
Tujue tofauti kati ya jini malaika na binadamu japo chache tu.kwanza binaadamu kaumbwa kwa kutumia udongo,majini wao kwa kutumia moto ñamalaika kwa kutumia nuru....
Sasa tofauti kati ya malaika na majini ...majin wanahiyari katik kuabudu ila malaika hawanahiyar katk kuabudu,pili majin niviumbe wenye matamanio kama ilivyo kwa binaadam ila malaika niviumbe wasio namatamanio yanafsi.tatu majini niviumbe wenyè kula kunywa nakufanya haja kama ilivyo binaadamu.ila malaika niviumbe wasio kula wala kufanya haja yoyote kati yahizo hata hivyo malaika niviumbe wamwanzo kuumbwa kuliko majini.
Fundisha tawhid sheikh maneno hayo hayajengi zaidi ya kuwapotosha na kuondoa katika imani watu walio na imani ndogo na kutoalika wengine katika dini, kwa kweli sijajua ulipo yatoa hayo. Kweli Wahabi wanajua uislam.
SISI NI WA AFRIKA MAMBO KUTULINGANISHIA NA MAMBO YA ARABUNI HAYATUHUSU
Anaekataa uwepo wamajini ,hajawahi kuskia km wapo? Nakama alishaskia basijua kuanao wameumbwa na Mungu , nao wanamema namabaya km sisi Bina Adam ,ilawanautafaut nasi
Namshukuru MUNGU kwa Masihi aliyeniokoa na kunifanye mwanawe. Hii imani ya majini Ee Yehova,.tuepushe nayo. Amin amin amin 🙏
Kwani jini hajaumbwa na mungu
@@mundhirfauz ishu sio kuumbwa! Ishu ni kwamba majini ni malaika waasi!
Majini si malaika . Malaika wameumbwa kwa Nuru na majini wameumbwa kwa Moto
🤣🤣🤣
@@NaseMangala tofaut ya moto na Nuru ni nn? Moto ni nn na Nuru n nn palipo moto patakosa Nuru?
Someni akuna mbingu ya kristo mbingu allh2
Mngeacha story za kijinga za kudanganya watu hakuna hata mtu mmoja aliyewahi kuona majini kumbe mnawasemaga walokole na nyinyi ni waongo hivyo
Muhamadi hawezi akasemamehewa nyie, maana ukifa katika dhambi msamaha hamna tena, nakama yeye nimtume kwanini yeye asiwaombee nyie? Ila nyinyi ndio mnaemuombea
hawa wamechanganyikiwa kweli hakuna jini mzuri
Viongozi vipofu huwaongoza vipofu Mungu aliwaumba wapi majini naomba mniambie
Kkkkk weee unafikiri simu yako inacontrolia na bin Adam?
6:100
وَجَعَلُوا۟ لِلَّهِ شُرَكَآءَ ٱلْجِنَّ وَخَلَقَهُمْ وَخَرَقُوا۟ لَهُۥ بَنِينَ وَبَنَٰتٍۭ بِغَيْرِ عِلْمٍ سُبْحَٰنَهُۥ وَتَعَٰلَىٰ عَمَّا يَصِفُونَ
Bado wamemfanyia Mwenyezi Mungu majini kuwa washirika wake, na hali Yeye ndiye aliye waumba. Na wakamzulia, bila ya ujuzi wowote, kuwa ana wana wa kiume na wa kike. Subhanahu, Ametakasika na ametukuka juu ya hayo wanayo mbandikiza nayo!
15:27
وَٱلْجَآنَّ خَلَقْنَٰهُ مِن قَبْلُ مِن نَّارِ ٱلسَّمُومِ
Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.