MAAJABU MSIKITI WA MAJINI ULIOPO MAKKAH SHEIKH RUSAGANYA ALISWALI NA WATU VICHWANI MWAO ZINAWAKA TAA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • • MAAJABU MSIKITI WA MAJ... #KHIDMATV #masjidaljinn #makkah #sheikhhashimrusaganya
    ‪@KHIDMAONLINETV350‬
    #facebook @khidmaTV
    #instagram @khidma_tv
    #tiktok @khidmatv1

ความคิดเห็น • 794

  • @arbabhijjabshop3076
    @arbabhijjabshop3076 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mashaa Allah Allah akuhifadh shekh wetu hii story imejua kuwapanikisha upande mwengine . kuna somo kubwa sana nimeliona.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv ปีที่แล้ว +7

    Maa shaa ALLAH 🇰🇪 💚💚💚

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah mashallah Allah ndie muumba wa kila kitu hkn aliwezeza kuumba hata sisismizi

  • @sarahabdullatif8556
    @sarahabdullatif8556 10 หลายเดือนก่อน +3

    Chakushangaza majini niwaisilamu na mkristo nae anasilu nakuwa mwuisilamu Asante Yesu kwakuniita kwako najivunia kuacha uisilamu nakuwa mkristo

    • @josephatjoseph1755
      @josephatjoseph1755 10 หลายเดือนก่อน

      Hongera unatumia jina gan fb au insta

    • @shasha12-y2h
      @shasha12-y2h 2 หลายเดือนก่อน

      astaghfirullah muombe mungu akuongoze

  • @mamafaiza1720
    @mamafaiza1720 11 หลายเดือนก่อน +2

    Allah humasali allaa Muhammad wallah Ali Muhammad

  • @Sleman-e6e
    @Sleman-e6e 11 หลายเดือนก่อน +4

    Tunakupend. San shekh rusagany kw ajil ya Allah mashaallah mungu akubarik amin

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 11 หลายเดือนก่อน

      Mnampenda kwa kuwadanganya

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 11 หลายเดือนก่อน

      Mnampenda kwa uongo wake hapo hakuna lolote analoongea la maana ni ushetwani tu na makafiri na siku ya mwisho nyie wote waislamu ambao hamjakili Yesu kristo kuwa bwana na mokozi wa maisha yenu na mtatupwa jehannam kwenye tanulu la moto wa milele.pona yenu ni kumkiri Yesu kiristo mwana wa Mungu aliye hai ndipo mtauona ufalme wa Mungu

    • @ShaniSaleh
      @ShaniSaleh 11 หลายเดือนก่อน

      Makafiri mnateseka kutokea wapi? 😂😂😂

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 11 หลายเดือนก่อน

      @@ShaniSalehtuwaulize nyie makafiri watumwa wa warabu

  • @omanmct135
    @omanmct135 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nampenda sana uyushekh kwaji yallllah❤❤❤

  • @maxwellssemakula1565
    @maxwellssemakula1565 11 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu anasifu mapepo wachafu ambao Bwana yesu kristo aliwahukumu motoni

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Majin wabaya, waongo wataingia motoni, majin wazur, wakwer wataingia pepon... 2 Mambo ya nyakat 18:18-21

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Wap yesu kasema mapepo wote wataingia motoni ❓❓❓

  • @jjtm164
    @jjtm164 11 หลายเดือนก่อน +8

    Majini are fallen angels, demon's

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 10 หลายเดือนก่อน

      tafuta maarifa acha kufuata mkumbo

  • @ErnaMao-m2g
    @ErnaMao-m2g 11 หลายเดือนก่อน +5

    Wakristo tujiandae yesu yuko mlangoni maana yaliotabiriwa yote yametimia

  • @davidmagesa6773
    @davidmagesa6773 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ndugu zangu mbona waisilamu mbona mafundisho yenu ni Yakishetan Njoo kwa Yesu

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
      mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
      .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
      .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
      1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
      2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
      3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu.. 1+1+1=❓
      Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
      Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...

  • @NkurunzizaInnocent-z4e
    @NkurunzizaInnocent-z4e 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu atusaidie kbsa

  • @FahmiyTafro-fx3dj
    @FahmiyTafro-fx3dj 10 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 3 หลายเดือนก่อน

    ACHENI KUHUBIRI VITU VIZIVYOELEWEKA, KAZANIENI MAADILI VIJANA WANAHARIBIKA LAKINI MMEKALIA MAJINI MAJINI....HAYATUHUSU

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 11 หลายเดือนก่อน +3

    Nyie someni hayo yote ila Siri ni Yesu

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 11 หลายเดือนก่อน

    ALLAHU AKBAR

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hii ni kali ya mwaka shehe atangaza rasmi kuwa majini ni waislamu n'a wataenda Mbinguni,n'a msikitini wamo,huo ni uongo majini ni viumbe walio laniwa hawawezi enda Mbinguni MDA au hawana neema tena ni viumbe wA kuzimu.

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +2

      Mimi nitawapa doz mpaka muerewe maana hata kitabu chenu hamsomi ila mwakalilishwa na wachungaji wenu tu. Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (Mambo ya nyakat2 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?

    • @IzihakaFihirini
      @IzihakaFihirini 11 หลายเดือนก่อน

      @@RamadanPaul umesema ulikua mchungaji je hukusoma kama ulisoma kipi ulielewa nin au nawew ndio mwezi mchanga wainjili ila nikwambie kamwe huwezi kumaliza neno la Mungu

    • @nehemiaayo9527
      @nehemiaayo9527 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@RamadanPaulunafunga Nini mbona unayatetea sana 😂😂😂😂 kama awa wataenda Mbiguni basi ata shetani ataende katika uzima wa milele awa ni mamlaka waliyo kaa katika upande wa shetani walipo pingwa na Mikaeli wakafukuzwa pamoja awa ni washirika wa iblisi kama wataenda Mbiguni basi ata shetani ataende

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 11 หลายเดือนก่อน +2

    ukiristo raha ❤️

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 9 หลายเดือนก่อน

    Mnachanganya neno la Mungu na majini😢😢😢😢

    • @safarsafari68
      @safarsafari68 6 หลายเดือนก่อน

      Hajachanganya..majini wapo na wanaamuabudu Mungu

  • @andrewmhagama9816
    @andrewmhagama9816 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nyinyi binadam mtaangamia majini,mapepo na mashetani yote yamelaaniwa na mnaambiwa msiweke ukaribu na majini dah
    Hakuna majini wazuri na wabaya.Wazuri mwanzo lakini baadae ni chungu

    • @siti3197
      @siti3197 11 หลายเดือนก่อน +1

      Ukisem majini mwisho watageuka.. N sisi binadamu hmbao twauwana .. Nasi tuseme nn. Hngalia maneno yako❤ jua Kuna viumbe bora kwa Majin watakao kua PEPONI n Kuna waovu. Watajua motoni. Ni kama binadamu tu😊

    • @siti3197
      @siti3197 11 หลายเดือนก่อน

      Ukisem majini mwisho watageuka.. N sisi binadamu hmbao twauwana .. Nasi tuseme nn. Hngalia maneno yako❤ jua Kuna viumbe bora kwa Majin watakao kua PEPONI n Kuna waovu. Watajua motoni. Ni kama binadamu tu😊

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (Mambo ya nyakat2 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Malaika wangekuwa wanaasi, wanakosea kama binaadam, bas kila siku Vitabu vya Mungu vingekuwa vinabadilika, na vita mbingun visingeisha, maana hata jibril (Gabriel) uzalendo ungemshinda angeasi..😂. Malaika wameumbwa kutii amri ya Mungu sio kukosea

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Bibilia inasema watu weusi, waafrika, wamelaaniwa (mwanzo 9:20-26),. Kumbe hata sisi hatutoingia pepon?. Ukristo Bwana

  • @HamadHamad-oy7mp
    @HamadHamad-oy7mp 9 หลายเดือนก่อน

    Sheikh wetu kaelezea vizuuuuuuri ila naona comments za wasiokuwa waislamu ambazo sizielewi NAWAOMBA msicomment haya mambo yana wenyewe bwana

  • @emanuelkitiku690
    @emanuelkitiku690 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mpokeni yesu

  • @MwangiChege-nz3oe
    @MwangiChege-nz3oe 11 หลายเดือนก่อน

    Hamna upendo baina ya majini na binadamu kumbuka majini ni malaika waliomhasi mungu na mkuu wao nishetani kazi yao nkudanganya watu iliwaende nao kuzimu
    eh Yesu tuone huruma sisi waonao

    • @FatmaSalim-lk2wd
      @FatmaSalim-lk2wd 11 หลายเดือนก่อน

      Acha kupotosha watu ww kuna aya inasema ,waman khalaktul jinn wal ins ila liabudun mungu anasem sikiwaumba majini na watu isipokuwa waniabudu. kwahy majini ni viumbe km ww wapo wanao muabudu mungu na sio shetan wakristo pia mnachochea ugomv wakidin nynyi

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz 11 หลายเดือนก่อน +3

    Wacha uhongo majini ni majeshi wa shetani mwanadamu nini mBaya majini wote ni takataka Wacha aaa

    • @aboubakrjuma6807
      @aboubakrjuma6807 11 หลายเดือนก่อน

      Huna unachokijua chunga mdomo ndugu achana vitu usiyo na elmu navyo

    • @siti3197
      @siti3197 11 หลายเดือนก่อน

      Usilo lijua n usiku wa giza wewe. Majin n kama sisi. TU Kuna WEMA n. Mwengine sio WEMA .. HLIE kwambia nimashetan n nani. Ss mwenyew htupendan. Kwaiyo pia n we zke ibilisi . USICHO kujua hchana nacho 😅

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kwa wakristo Majini ni malaika wa shetani,ila kwa wale wengine majini ni ndugu zao

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@siti3197kwa hio wewe unaushirika nao mpaka kunua

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 11 หลายเดือนก่อน

      Kwa hio wew unaushirika nao mpaka kuja Kuna majini wema na majini waovu??

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 9 หลายเดือนก่อน

    Jini ni jini tuu hakuna jema na baya yote ni majini

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nimejihakikishia uislamu ni dini ya majini

    • @muhamedjumaa6867
      @muhamedjumaa6867 11 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni mjinga ujui majini wameumbwa sasa unamaanisha nini ukisema uislamu ni dini ya majini.mbona nyinyi makanisani kila siku mnatoa mapepo makanisani haya uliona waislamu wakatoa majini msikitini.nyinyi kila siku mnamapepe ndio ibada kubwa kwenu

    • @nehemiaayo9527
      @nehemiaayo9527 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@muhamedjumaa6867washirika wanawo kula saani moja na kuabudi kitu kimoja mtawafukuzaje mzee washirika wenu

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hii dini mtihani sana walahi😂

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
      mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
      .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
      .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
      1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
      2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
      3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu..
      Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
      Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21

  • @daniellupagi8989
    @daniellupagi8989 11 หลายเดือนก่อน +2

    😊muongo huyo majini ni malaika walioasi

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 11 หลายเดือนก่อน +2

      Mwanaadam ameumbwa na udongo
      Malaika wameumbwa na NURU
      majini wameumbwa na moto
      Sasa iweje majini wawe ni malaika walioasi na
      Na malaika tabia Yao c kumuasi Allah
      Allah ndo mjuzi zaidi

    • @issasijaona3295
      @issasijaona3295 11 หลายเดือนก่อน +1

      Tafuta maarifa na taarifa zaidi kuhusu majini Bado uwelewa wako ni mdogo

    • @saidindula1141
      @saidindula1141 11 หลายเดือนก่อน +1

      Malaika hawajawai kumuasi Allah

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Malaika wangekuwa wanaasi, wanakosea kama binaadam, bas kila siku Vitabu vya Mungu vingekuwa vinabadilika, na vita mbingun visingeisha, maana hata jibril (Gabriel) uzalendo ungemshinda angeasi..😂. Malaika wameumbwa kutii amri ya Mungu sio kukosea

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?

  • @emmanuelmatiko7307
    @emmanuelmatiko7307 11 หลายเดือนก่อน +7

    Kuna dini za hovyo sana dunia hii nitashangaa mnoo nikiona mkristo anakubaliana na huu upotoswhaji mkubwa, ieleweke kwamba majini ni malaika walio mwasi MUNGU wakatupwa duniani wakaambatana na shetani na malaika wazuri walibaki mbinguni, hawa majini wazuri walitoka wapi? MUNGU hakuumba majini bali aliumba malaika na katika kuasi kwao ndio hayo mapepo yakapatikana. Naendelea kuongeza ufahamu na kujua, kwanini wale watoto wadogo walinambia usitukemee kwa jina la yesu tutaanguka😢

    • @AbbasHussein-zq3yi
      @AbbasHussein-zq3yi 11 หลายเดือนก่อน +5

      Elimu ni bahari.Kama huelewi jambo,waulize wenye kuelewa.Kila kilichopo hapa duniani,kimeumbwa na Mw Mungu.

    • @AbbasHussein-zq3yi
      @AbbasHussein-zq3yi 11 หลายเดือนก่อน +4

      Kama unaamanisha Uislamu ni dini ya hovyo humsemi huyo Sheikh.Dini ya Uislamu,ameiridhia Mw Mungu. Kwa hiyo unamsema Mw Mungu aliyeturidhia tuitwe Waislam.

    • @katanaalex2033
      @katanaalex2033 11 หลายเดือนก่อน +3

      Watch your words before letting them to the public Islam teaches everything in this world don't say things to offend other's religion be careful

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 11 หลายเดือนก่อน +1

      ​​​@@AbbasHussein-zq3yihata Shetwan kaumbwa na Mungu lkn yupo duniani, love you Jesus❤️

    • @hajirynassor630
      @hajirynassor630 10 หลายเดือนก่อน

      Hii habari hawaambiwi wakristo mada zinahusu waislam we pita tu mind your business mbona sie hauwafati hivo? Halafu ni dhambi kusema malaika wanamuasi Mzungu hakuna malaika anamuasi Mungu

  • @kisaujibabou9436
    @kisaujibabou9436 11 หลายเดือนก่อน +1

    Makafiri hawajuwi maana ya helimu ni nini ndomana hata hizo Biblia wanaziweka kwapani sisi tutawahelimisha Kama wanaswali waulize watajibiwa kiungwana

    • @mfalmemmoja4145
      @mfalmemmoja4145 11 หลายเดือนก่อน

      Hujasoma quran wewe. Waliyoisoma wakaelewa huwa wanaheshimu dini zilizotangulia kabla ambazo kwenye quran zinatajwa. Wewe hujui kuwa quran inasema kuwa waislam wawakimbilie wakristo wakiwa na shida kwani wakristo walipewa kitabu kabla yao (yaani walikuwa na dini kabla ya uislam ) 😂😂😂😂

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 11 หลายเดือนก่อน +2

    inabidi tuijue hiyo historia ya allah maana sielewi maana majini n mashetani

    • @MussaHaji-f7i
      @MussaHaji-f7i 11 หลายเดือนก่อน +1

      Jini ni kiumbe shetani ni tabia..Shetani vitendo viouvu...Ambavyo vitendo hivyo hufanywa na watu au Majini lakini asili ya vitendo hivyo walivifanya majini..Kama Kuua..Kunywa damu...

    • @sheikhanasser4714
      @sheikhanasser4714 11 หลายเดือนก่อน +1

      Allah unandika kwa herufu kubwa "Allah"
      Shukran

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?

    • @tiffahdangote7548
      @tiffahdangote7548 11 หลายเดือนก่อน

      Allah ni Mungu baharii

    • @NurdinMkina
      @NurdinMkina 11 หลายเดือนก่อน

      Bila shaka wewe ndio wale wanao amini sheitwani ni mtu sio ???..NA HUWA MNATENGENEZA PICHA AKIWA MWEUSI NA ANAMAPEMBE......mnajaza mapicha vichwani mwenu mpaka hata ibilisi anasaulika mnajikuta mnamuita shetani dah hii hatari sana....
      Hebu niambie tofauti ya IBILISI na SHETANI YAMKINI HUJUI AU KAMA UNAJUA BASI UTANIJIBU KWA NAMNA YAKO...

  • @emmanuelmutuku3456
    @emmanuelmutuku3456 11 หลายเดือนก่อน

    The end tymes. Csemi ki2

  • @ronaldmatimbo9691
    @ronaldmatimbo9691 9 หลายเดือนก่อน

    Kumsalia mtume kwani alikuwa mwenye dhambi?Nielimishe tafadhali.

  • @costantinekikinda7574
    @costantinekikinda7574 10 หลายเดือนก่อน

    Jinga kabisa shehe badilika moto upo

  • @abasimwinyibovu3090
    @abasimwinyibovu3090 11 หลายเดือนก่อน

    Moto uneumbiwa majini na wanadamu nyie wakiristo kuweni waelewa mbona mnaminyana na Quran yetu

  • @chikosailo476
    @chikosailo476 9 หลายเดือนก่อน

    Mkiristo haamini na hilo litawapeleka motoni

  • @deogratiussaru3074
    @deogratiussaru3074 11 หลายเดือนก่อน +2

    Uislamu ni dini ya majini

    • @saidindula1141
      @saidindula1141 11 หลายเดือนก่อน +1

      Umekarilishwa sio kosa lako

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon, na hao ndo waislam sasa (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?

    • @miishhassn
      @miishhassn 11 หลายเดือนก่อน +1

      Sii kosa lako ni kosa la akil yako kufungwa 😢😏😏

  • @babamily1780
    @babamily1780 7 หลายเดือนก่อน

    Mpaka umeacha mambo yako ninaiman umejifunza jambo

  • @leomika8473
    @leomika8473 11 หลายเดือนก่อน

    Majini sininyie waislam mnajifaham

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
      mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
      .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
      .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
      1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
      2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
      3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu..
      Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
      Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21

  • @IzihakaFihirini
    @IzihakaFihirini 11 หลายเดือนก่อน

    Mbona kwenye mikutano yenu waislam mbona mnatoa majini au hapo sielew

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Majin wazur ni haram kumuingia mtu, hayamuingii kabisa, ila majin wabaya humuingia mtu na kumtesa, na hayo ndo huwa ukiomba dua ya kutoa majin lazima wapande watoke

  • @bonfacemlembezi7914
    @bonfacemlembezi7914 11 หลายเดือนก่อน

    Huyo mtume wa majini hana mbingu ,yeye na majini wote jehanam

  • @hussenaaghe2760
    @hussenaaghe2760 11 หลายเดือนก่อน

    Shehe mtukumbuke tupigie tafu

  • @ditrickluhaga8764
    @ditrickluhaga8764 ปีที่แล้ว +3

    Majini ni milki ya sheitwan, hakuna uhusiano na MUNGU.
    Mpokee YESU akuweke huru mbali na majini.

    • @ummu2101
      @ummu2101 11 หลายเดือนก่อน +4

      Silimu Ili uwe na akili pana

    • @salimchimwaga8384
      @salimchimwaga8384 11 หลายเดือนก่อน +1

      lengo la kuumbwa MAJINI walijua?

    • @abdulrazack9577
      @abdulrazack9577 11 หลายเดือนก่อน

      Shetani hana uwezo wa kuumba

    • @ibrasalum9606
      @ibrasalum9606 11 หลายเดือนก่อน

      Tatizo hamtaki kusoma munaendeshwa na mahubiri ndio maana vichwa vyenu vijamaa upumbavu na kiza

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?

  • @AbdallahMnyiwe-he2zu
    @AbdallahMnyiwe-he2zu ปีที่แล้ว

    Wewe shekh uliwaona majini ni mwongo

    • @ShuaibuMsofe
      @ShuaibuMsofe ปีที่แล้ว +1

      Chunga ulimi wako unajilaanisha

    • @victorphilibert1629
      @victorphilibert1629 11 หลายเดือนก่อน

      Wajini wote. Ni maraika wahasi sasa hao wema wanatoka WAP jina ametengeneza kwa moto binadamu katengenezwa kwa udongo kwenye hicho kihama huo moto utamzuru yupi zaidi kwanza majini ni uchafu we mtafute Mungu na haki yake majin hayana maan yatakutesa tu

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      @@victorphilibert1629 Malaika wangekuwa wanaasi, wanakosea kama binaadam, bas kila siku Vitabu vya Mungu vingekuwa vinabadilika, na vita mbingun visingeisha, maana hata jibril (Gabriel) uzalendo ungemshinda angeasi..😂. Malaika wameumbwa kutii amri ya Mungu sio kukosea

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      @@victorphilibert1629 Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (Mambo ya nyakat2 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?

  • @fanuelingalawa6160
    @fanuelingalawa6160 11 หลายเดือนก่อน +5

    Afadhali shehe umesema ukweli majini yapo msikitini umemaliza utata

    • @raymrash
      @raymrash 11 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂...kumbe msikitini kuna majini

  • @officialkinghimself2637
    @officialkinghimself2637 11 หลายเดือนก่อน +11

    Shekhe hakuna jini mwema kama unawaamin Utaenda nao motoni Kubali leo kumpokea bwana Yesu krito kuwa bwana na mwokozi wa maisha nawe utaiona Pepo ya kweri

    • @headboy7768
      @headboy7768 10 หลายเดือนก่อน

      Kwa vigezo ama elimu gani ama wadhania tu

    • @SamuelKhadija
      @SamuelKhadija 6 หลายเดือนก่อน

      We wajijua uwawapi adi unajudge mwenzio mungu pek ee ndo anajua n nan atakae enda motoni n n nani atakae enda peppni

  • @raymrash
    @raymrash 11 หลายเดือนก่อน +57

    "Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;" 1Timotheo 4:1

    • @hamzaabeid
      @hamzaabeid 11 หลายเดือนก่อน +10

      😂😂😂ona huyuu kondoo

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 11 หลายเดือนก่อน +8

      Ndo mitume yenu feki kina Mwamposa wanao wauzia udongo

    • @omaar5693
      @omaar5693 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@mangulimanguli3974doh
      hiyo si saizi yake

    • @animamichael3968
      @animamichael3968 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kuna majini na mashetani

    • @raymrash
      @raymrash 11 หลายเดือนก่อน +4

      @@animamichael3968 maadam ni "roho"..hatupaswi kuyasikiliza. Na Kuna maslahi gani kuyatetea majini!?

  • @linkenkenya9174
    @linkenkenya9174 11 หลายเดือนก่อน +18

    Jesus Christ is the author and finisher of my faith

  • @JESUSCHRIST19941
    @JESUSCHRIST19941 11 หลายเดือนก่อน +8

    Waislamu huwa wananichekesha sana na story zao za uongo😂😂😂😂

    • @arbabhijjabshop3076
      @arbabhijjabshop3076 11 หลายเดือนก่อน +1

      we mkweli umefika wapi kua na nidhamu ya dini za wezio hasa ktk vyombo vya habari

    • @ShaniSaleh
      @ShaniSaleh 11 หลายเดือนก่อน +1

      Makafiri huwa wanateseka na mambo ya waislam. 😂😂😂

    • @JESUSCHRIST19941
      @JESUSCHRIST19941 11 หลายเดือนก่อน

      Muhamedi ndiye kafiri aliyeoa mtoto wa miaka 6,😃😃😃

    • @JESUSCHRIST19941
      @JESUSCHRIST19941 11 หลายเดือนก่อน

      @@ShaniSaleh makafiri ni nyie na mtume wenu aliyeua watu na kuoa mtoto wa miaka 6, 😃😃😃

    • @ShaniSaleh
      @ShaniSaleh 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@JESUSCHRIST19941 Kafiri ni yule anaesema binadamu ni Mungu na anafungisha ndoa mashoga! 😅😅😅

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 11 หลายเดือนก่อน +12

    Hii kali ya mwaka,majini ni waislamu kumbe,

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +4

      Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?

    • @AlexMkembo-j6m
      @AlexMkembo-j6m 11 หลายเดือนก่อน

      Hata mchawi na wezi wana mnyenyekea mungu lakini watabaki kuwa wakosefu

    • @SalamaNauthar
      @SalamaNauthar 11 หลายเดือนก่อน

      Majini ni Viumbe wa MUNGU ' lazima na wao wamuabudu MUNGU' ivyo lazima waende Mskitini kuswali' Kwa sababu ndio kwenye dini' ya haki'. Waende Kanisani kufanya nini?

    • @yusuph1547
      @yusuph1547 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@SalamaNauthar😂😂😂 hujui hujui

    • @angolina1768
      @angolina1768 11 หลายเดือนก่อน

      Sisi Wakatoliki tunasala hii ya Nasadiki, Katika kipande cha mwanzo kabisa huwa tunasali, Nasadiki kwa Mungu Baba Mwenyezi Muumba wa Mbingu na Nchi Na vitu Vyote Vinavyoonekana na NAVISIVYOONEKANA, sasa sijui hata kama baadhi ya katoliki au Wakristo wameshawah kujiuliza hivyo visivyoonekena nini sasa ndo hao Majini hawa viumbe wapo kabisa na wanaokana kwa yule Mungu aliyemjaalia kuwaona na si mara kwa mara huwa wanatisha sana ila kwa sisi tuliyoishi nchi za Kiarabu baadhi yetu tumeshawaona sana na hata katika ndoto wanatokea sana kwa hiyo alichokisema Shehe Rusaganya ni kweli na kipo Wakristo Wenzangu tuache kubisha hovyo

  • @rallyscosmeticandgasaccess4839
    @rallyscosmeticandgasaccess4839 11 หลายเดือนก่อน +7

    Mwenyezi Mungu atuepushe mabaya atulinde na mema pekee insha allah

  • @Gemen.
    @Gemen. 11 หลายเดือนก่อน +6

    The thief comes only to steal and kill and destroy. I came that they may have life and have it abundantly (John 10:10)

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +5

    Jini... Maana yake ni kischoonekana ni kiarabu. Kwa kiswahili fasaha ni pepo ....... Kama ilivyotumika kwenye bibilia

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 11 หลายเดือนก่อน +7

    Makamanda wansubiri swalaaaa😄😄😄😄😄dah hatari sana.najivunia saaaana kua mkristo.

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 10 หลายเดือนก่อน

      ukifa ni mkristo we ni jehannam bila kuhojiwa.
      usije ukasema hukusikia

    • @nomamatata754
      @nomamatata754 5 หลายเดือนก่อน

      ​​@@officialkamdudu aiseee tunawaombea mwijue nuru ya kweli

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 5 หลายเดือนก่อน

      @@nomamatata754 wewe unaijulia wapi nuru ya kweli wakati hujui ni Mtume gani alikua Mkristo na Mungu gani alileta ukristo ?

  • @christophermushendwa9514
    @christophermushendwa9514 11 หลายเดือนก่อน +2

    Waislam hawanaga akili…. Uwaza ushirikina na ujinga ujinga tu

  • @precioussao7065
    @precioussao7065 11 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani hii ni hatari sana.tafsiri ya majini no malaika walio mkubali shetani na wakalaanika na Mungu na kuitwa majini.leo huyu sheikh anatuambia wapo majini wazuri na majini wabaya?nimeamini kumbe ndio maana mnafuga majini.jamahi dini ya kikristo na uislam ni vitu viwili tofauti.huhu sheikh anasifia majini?mama wee!!!!!!!!

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
      mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
      .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
      .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
      1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
      2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
      3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu..
      Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
      Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Leo ndo nasikia mkristo anasema tofaut na wakristo wenzie kuhusu majini. Huyu anasema malaika waliomoubali shetan wakaungana nae.
      Wenzie husema ni malaika walioasi wakawa mashetan. Sasa hapo nani yupo sahihi. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21

  • @kitaakitaa6633
    @kitaakitaa6633 11 หลายเดือนก่อน +9

    Hakika ipo siku itawafaa walio amini

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
      mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
      .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
      .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
      1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
      2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
      3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu..
      Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
      Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...

  • @AronMassawe
    @AronMassawe 11 หลายเดือนก่อน +7

    Majini ni malaika walioasi mbinguni wakatupa duniani baada kushindwa vita huko mbinguni: ufunuo 12: 7

    • @MiraclemirajiMiraclemira-jm1ud
      @MiraclemirajiMiraclemira-jm1ud 11 หลายเดือนก่อน +1

      Uko sahihi

    • @husseinmejja8041
      @husseinmejja8041 11 หลายเดือนก่อน

      Someni ndugu zangu jini ni mwengine na malaika ni mwengine jini kaumbwa na Cheche za moto malaika kaumbwa kwa nuru binaadamu kaumbwa na udongo jini anakula anaenda chooni ana tamani na kuna wakike na wakiume wanazaana ila malaika hawazaani wanaumbwa tu hawali wala hawanywi na hawana jinsia wala matamanio nawala hawatendi dhambi ila majini na binaadamu uumbaji ni tofauti ila mengine yote tunafanana ila wao tu hawaonekani na mungu kawapa nguvu na viumbe vyote hivyo kaviumba mungu

    • @mundhirfauz
      @mundhirfauz 11 หลายเดือนก่อน

      Mungu kaumba malaika majini na binaadam

    • @mundhirfauz
      @mundhirfauz 11 หลายเดือนก่อน

      Jini aliemuasi mungu ndo anaitwa shetani

    • @goldenpdy7313
      @goldenpdy7313 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@mundhirfauzalafu akawaje wakajikuta hamjui mungu mpka uyu mtume aje kuwahubiria😅

  • @robertmwangiotieno6183
    @robertmwangiotieno6183 11 หลายเดือนก่อน +6

    Jooni kwangu nyinyi wote muliwo lemewa na mizigo Nami Nitawapumzishi,asema Bwana

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
      mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
      .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
      .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
      1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
      2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
      3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu.. 1+1+1=❓
      Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
      Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...

    • @RashidiSaidi-j6n
      @RashidiSaidi-j6n 9 หลายเดือนก่อน

      Subhanallah,Hata kuandika hujui

  • @monicahnguta135
    @monicahnguta135 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa nimeelewa yule anaitwa Gabriel wa kumlazimisha Mohammad kusema ni Jini.
    Hivi mtume wakuombewa badala ya kuwaombea wafuasi wake hivi inaingia akilini kweli. Kristo wakumbuke uwaombee kwa Baba.

  • @officialkinghimself2637
    @officialkinghimself2637 11 หลายเดือนก่อน +6

    Shekhe majini ni waasi wa Mungu na walilaniwa na kusikiliza kroani ni sawa kwa maana si kitabu cha kukupeleka mbinguni Ila jina pekee la Yesu kristo ndo njia ya uzima wa milele na bibilia pekee ndio kitabu ambacho kinauzima wa Roho

    • @luluelia-yo2rg
      @luluelia-yo2rg 11 หลายเดือนก่อน

      Ujui unako enda walaunapo toka jitambue

    • @shamisfahiye9628
      @shamisfahiye9628 10 หลายเดือนก่อน

      Aise 😀 Imani gani😢

    • @SamuelKhadija
      @SamuelKhadija 6 หลายเดือนก่อน

      A you normal

    • @allymwatima5401
      @allymwatima5401 6 หลายเดือนก่อน

      Hivi wewe unajua wewe ni nani? Na je jini ni nani? Nini tofauti ya jini na shetani? Shetani ni nani? Ukiweza kujibu kwa ufasaha maswali haya bila shaka utakuwa umefunguka sana

    • @hassanisaidi5422
      @hassanisaidi5422 5 หลายเดือนก่อน

      Km malaika wapo walioasi na wema yaan wale wa Mungu ikosekane majini?Malaika wengine walimuasi Mungu wakapigana na malaika walio upande wa Mungu ,maandiko yanasema hvyo tena ya biblia,Sasa kwnn na majini wasiwe wema na waovu

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 11 หลายเดือนก่อน +1

    Aya ipi inasema majini wema wataingia peponi? Kama Kuna muislam Msomi anijibu

  • @LovelyComputerChip-cj4wz
    @LovelyComputerChip-cj4wz 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe mnajijua majini wameandikiwa adhabu sasa nyinyi uhusiano wenu wao🤔🤣🤣🤣

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 11 หลายเดือนก่อน +2

    Yani uislamu mpka majini mnayasifia ?

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Majin wazur ni haram kumuingia mtu, hayamuingii kabisa, ila majin wabaya humuingia mtu na kumtesa, na hayo ndo huwa ukiomba dua ya kutoa

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mi napenda wale waislam waliokoka ambao hawaamini majini bali Mungu peke yake

  • @lewiskims8890
    @lewiskims8890 11 หลายเดือนก่อน +9

    Hakuna usilika kati ya Mungu na shetani

    • @yohana1242
      @yohana1242 11 หลายเดือนก่อน +1

      Tafautisha jini na shetani mungu kaumba binadamu na majini ili wamuabudu yeye shetani ni jini ila anaitwa shetani kwasabab kamuasi mungu kwaio wema na wabaya hao hao majin kam huelewi ten ww sjui binadam gani

    • @yohana1242
      @yohana1242 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kwaio unatak kusem shetani na majini wamejiumba mwenyewe fikiria kwa makini hii ni dunia na itafika mwisho wake kwaio hakun ambae kajileta hapa duniani sote ni wa mungu na kwake tutarejea

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?

  • @adriandanford208
    @adriandanford208 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nyie majini hamuwaoni sisi wakristo tunawaona na tunawapiga fire mpka wanapata wazim Giza na mwanga havikai pamoja

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Majin wazur ni haram kumuingia mtu, hayamuingii kabisa, ila majin wabaya humuingia mtu na kumtesa, na hayo ndo huwa ukiomba dua hupanda na kutoka

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
      mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
      .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
      .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
      1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
      2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
      3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu.. 1+1+1=❓
      Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
      Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...

    • @NurdinMkina
      @NurdinMkina 11 หลายเดือนก่อน

      UMEELEWA ULICHO FUNDISHWA HAPO NA MWALIMU HAO MAJINI YA FIRE YANAINGIA MPAKA DISKO LAKINI MAJINI WEMA WALA NINYI HAMUWEZI KABISA KUKUTANA NAO KWAMAANA WAO HAWAENDI DISKO MAANA KANISANI NIKAMA DIAKO TU LAKINI PIA MAJINI WAKO WENGI KULIKO SISI KWAIYO HAO WANAOKUJA KWENYE MADISKO YENU NI WALE WAOVU WACHACHE TU

  • @ayengobenjamin8014
    @ayengobenjamin8014 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mtu hajui kuwa majini ni malaika walioanguka / walioasi , pepo waovu (fallen angels / devils). Hakuna majini wema. Elimu unayoifundisha humu ni upotofu uliokithiri.

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 11 หลายเดือนก่อน +6

    Shekh mimi nimekuelewa naijua quran pia Kuna surat jinn wasokuwa waislamu hawajui history ispokuwa wajua u hawisi tu shukran

    • @saudaumar3354
      @saudaumar3354 11 หลายเดือนก่อน

      Uchawi ndio wanajua wakirsto hawajui majini walikuja kwanza duniani waulizie sio kukosoa jambo usilolijua kuuliza siujinga

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@saudaumar3354Hii dunia Mungu alimuumbia Adam na kizazi chake, Mungu hakuumba majini,kabla ya hapo walikuwa malaika huko mbinguni baada ya kumuasi Mungu ndipo yakatupwa Dunia baada ya kushindwa vita baina ya mikhael na jeshi lake dhiidi ya Lucifer(shetani)akiwa na jeshi lake.koran imekuja juzi imekuta vitabu vya zamani vikieleza ubaya wa shetani,majini na mapepo lakini cha ajabu amekuja Muhammad mtume wa waarabu na Hadith za uongo na kupata wafuasi wengi kwa lengo la kuwapeka jehanamu

  • @salmamfaume1073
    @salmamfaume1073 3 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah ❤❤❤❤❤

  • @AdamPaulo-x2k
    @AdamPaulo-x2k 10 หลายเดือนก่อน +2

    Masikini hii ndo elimu mnapeana msikitini poleni sana ndo maana mm najivunia kuwa mkristo

    • @RashidiSaidi-j6n
      @RashidiSaidi-j6n 9 หลายเดือนก่อน

      Ww hauwezi kuipata hiyo elimu .Ila walimu wenu wanaujua ukweli

    • @SamuelKhadija
      @SamuelKhadija 6 หลายเดือนก่อน

      Kwt ulitumwa usikilize ama mlikua mkisubiria sheikh aongee ndo mpate Cha kuongea

  • @Chris-in1vc
    @Chris-in1vc 11 หลายเดือนก่อน +4

    Alhamdu li Jesus ! Kweli Quran ni kitabu Cha majini ! Ndo maana Kuna sura ya majini ndani yake ( Yan Surat jinn), na majini wametoa Aya zao ndani kuhubiri uislamu. Ukisoma pia Sunna, unapata Muhammad karogwa na kukaliwa na mashetani mpaka hajui kasema nini au katenda nini karibu mwaka mzima ( tena akiwa mtume wa Allah), Ina maana hata Allah alishindwa kumlinda mtume wake. Njooni kwa Yesu mponywe

    • @athmanyusufkea3405
      @athmanyusufkea3405 11 หลายเดือนก่อน +4

      Kwayo una maana kuwa Yesu wakati akisulubiwa Mungu alishindwa kumsaidia???

    • @JESUSCHRIST19941
      @JESUSCHRIST19941 11 หลายเดือนก่อน

      Amina

    • @Chris-in1vc
      @Chris-in1vc 11 หลายเดือนก่อน

      @@athmanyusufkea3405 uliza kitabu chako ndo ujue kua Allah wako alimsaidia au la ! Maana korani ( Quran) 3:55 inasema Allah amempaisha juu ISSA kwenda kwake alipo ( kwenye kitu Chake Cha enzi). Na Quran 4:157 inasema ISSA hakufa Bali Allah wako aliwaletea picha kama anasulubiwa huku yeye amamnyakua juu mbinguni kumnusuru na wayahudi wasimuue, na yuko hai mpaka Leo wakati Muhammad wako ameozea kaburini, na Allah alishindwa kumuokoa mtume wako mpaka akauliwa kwa simu na Binti wa kiyahudi, kama kisasi baada ya kuua familia yake. Jiulize, kwa nini Allah hakutaka kumuokoa Muhammad kama kweli ni kipenzi Chake, na badala yake akamuokoa ISSA asiuawe na kumpaisha kwake huku jamaa yako funza wanamtafuna na mkizidi kumuombea kila siku !?.

    • @Chris-in1vc
      @Chris-in1vc 11 หลายเดือนก่อน

      @@athmanyusufkea3405 wewe inaonyesha ni mmoja wa wale wavivu wa kudadisi na kutafiti ukweli kwenye vitabu, umekua jahil usiyetaka kujua jambo kwa ajili ya nusura ya nafsi yako, umekalia ushabiki tu na kuwasikiliza viustadhi visivyokua na elimu.

    • @FatmaSalim-lk2wd
      @FatmaSalim-lk2wd 11 หลายเดือนก่อน

      Ww ni kafir na utachomwa ktk moto wa jahannam unapotosha watu

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sitaweza kua na ndugu na majini mpaka kiama, kwahiyo nyumbani kwenu yapo majini mpaka msikitini mna swali nao😅

  • @PeterNjeru-r6k
    @PeterNjeru-r6k 11 หลายเดือนก่อน +1

    Majini yanawazezea nyie mabraza ,. mtajua mkiwa mmechelewa😂😂😂😂😂

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon, na hao ndo waislam sasa (2 Mambo ya nyakat 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ama kweri hii dini na ina wafuasi kabisaa motoni kunawahusu

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
      mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
      .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
      .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
      1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
      2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
      3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu..
      Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
      Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21

  • @WillySonny-u1k
    @WillySonny-u1k 11 หลายเดือนก่อน +1

    Muongo uyo shekh, majini ni wale malaika walioasi pamoja na shetan uko mbinguni wakatupwa pamoja na ibilis,.amna majini wazuri huo ni uwongo mkubwa

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Ni elimu tu ndugu zetu hamna. Malaika hawakosei, wangekuwa wanaasi basi vita mbingun visingeisha. Majin yameumbwa kwa moto, yanakosea pia yanatenda mema (mazur na mabaya, waongo na wakwer) 2 mambo ya nyakat 18:18-21

  • @georgealoyce4849
    @georgealoyce4849 11 หลายเดือนก่อน +6

    Aisee nimemsikiliza sheikh vizur kabisa nimepata jibu kuwa mbingu ya wakristu na waislam ni tofauti, hata Mungu wa wakristu na mungu wa waislam ni tofauti. Yesu wewe kweli ni BWANA.

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kwer mbingu ya wakristo ni tofaut na ya waislam. Sababu
      mkristo na muislam hawaabudu Mungu mmoja...
      .... Muislam anaabudu Mungu mmoja asiefanana na chochote hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anae fanana nae. Quran 112:1--, na kuamin mitume wote walio tumwa na Mungu maana hao ndo njia ya kwenda kwa Mungu Quran 2:285....
      .......... Wakristo, wanaabudu Mungu aliegawanyika mara tatu
      1..... Mungu baba, aliemtuma yesu
      2.... Mungu mwana, yesu mwenyewe
      3.... Mungu roho mtakatifu, msaidiz wa yesu..
      Mungu ambae alizaa. Zaburi 2:7 , Matendo ya mitume 13:33 , waebrania 1:5 , 5:5
      Mungu ambae anafanana na mwanadam hadi sura. Mwanzo 1:26 ...

    • @lenardkenedy542
      @lenardkenedy542 11 หลายเดือนก่อน +3

      Kabisa Ndugu

    • @SamuelKhadija
      @SamuelKhadija 6 หลายเดือนก่อน

      Akuna mungu wawakristo wala waislamu mungu n mmoja sema Imani tofauti za kuabudu

    • @georgealoyce4849
      @georgealoyce4849 6 หลายเดือนก่อน

      @@SamuelKhadija rafiki angu fatilia vizuri Mungu katika Jina la Yesu ni tofauti na mungu wa kislaam na ninakataa Mungu wang na wako sio mmoja ila mungu wa muhamad (allah) sio Mungu wa kweli na pia napinga mungu wako sio Mungu wang mana wang namjua jina lake anaitwa Yesu ambaye ninyi mlikataa

    • @killianjohn4794
      @killianjohn4794 2 หลายเดือนก่อน

      @@SamuelKhadijaInaonyesha kabisa huna ufahamu hata ule wa kawaida kwa hoja tu. MUNGU wa Wakristo anaitwa JEHOVA na mungu wa waislam anaitwa allah. Ni tofauti kabisa. Wala issa bin mariam sio YESU KRISTO.
      Hio kusema MUNGU wetu na mungu wako kuwa ni kitu kimoja ni upumbavu uliopitiliza kwakua una linajisi Jina ya JEHOVA kwa kumfananisha na sanamu!

  • @KEPHAMASWAGA
    @KEPHAMASWAGA 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndiomaana hii dini yakiislam tunaikataa hii sio dini ya mungu, bali niyashetani

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wanashirikiana na mapepo ahundred percent

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 11 หลายเดือนก่อน +5

    Hakuna jini mwema bali ni ubatili tu

    • @rosemilingi7860
      @rosemilingi7860 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kbs

    • @saidindula1141
      @saidindula1141 11 หลายเดือนก่อน

      Majini ni viumbe walioumbwa na mungu wapo wema na wapo waovu

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Malaika wangekuwa wanaasi, wanakosea kama binaadam, bas kila siku Vitabu vya Mungu vingekuwa vinabadilika, na vita mbingun visingeisha, maana hata jibril (Gabriel) uzalendo ungemshinda angeasi..😂. Malaika wameumbwa kutii amri ya Mungu sio kukosea

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (Mambo ya nyakat2 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?

    • @EsauBakari
      @EsauBakari 11 หลายเดือนก่อน

      niuongo mtupu hakuna majini mema ni mabaya

  • @PeterNjeru-r6k
    @PeterNjeru-r6k 11 หลายเดือนก่อน +2

    Wakor( 1)_10_20 mungu WA biblia ametuonya Didi ya kushilikiana na mashetani

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      Shida ni elimu. Wakristo wengi hawajui meng sababu hawafundishwi. Majin wapo wazur wanyenyekevu kwa Mungu, na wataingia pepon (Mambo ya nyakat2 18:18-21) , pia wapo wabaya kama tulivyo binadam hata yesu alisema (waefeso 6:12). Soma hiyo halaf uniambie hilo pepo lilikuwa mbingun linamnyenyekea Mungu lilikuwa pepo gan?

    • @nehemiaayo9527
      @nehemiaayo9527 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@RamadanPaulunasema shetani ni mbaya apo apo ni mzuri huu ni msiba mzito sana nuru na ngiza avikai pamoja

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 11 หลายเดือนก่อน +4

    Ukisoma.historia ya majini utajua kweli Mungu ni Mkubwa jini ni wakubwa sana ila wanaweza kukaa space ndogo mno

    • @Joh-j9s
      @Joh-j9s 11 หลายเดือนก่อน

      Ukisema ni wakubwa sanaaaa, usisahau kusema wanauwezo wa kuwa wadogo sanaaaaaa #😂😂

    • @raymrash
      @raymrash 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi niliwahi kuambiwa waislamu wanasali na majini nikakataa
    Kumbe ni kweli.
    Kwa sababu hii
    Mungu tunayemwabudu wakristo ni tofauti kabisa na Mungu wanaomwabudu waislamu

    • @wangechiwachira3560
      @wangechiwachira3560 5 หลายเดือนก่อน

      Pia nimeshangaa

    • @JumaGwae-qw2qk
      @JumaGwae-qw2qk 3 หลายเดือนก่อน

      Imani yenu ya kikristo ni shortcat uislamu ni imani pana huyo jini anaekuchefua kuwepo kwake kunaonesha ukuu wa mungu kwani hakuna kitu kilicho jiumba kila ukionacho na ukisikiacho jua kimeletwa na mungu wa isiaka na yakob

    • @shasha12-y2h
      @shasha12-y2h 2 หลายเดือนก่อน

      ni kweli tuna mungu tofauti..nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 11 หลายเดือนก่อน +1

    Waisilamu nyie acheni kuabudu majini na mashetani mtachomwa moto shauri yenu!!!!😢

  • @ninabizimana6869
    @ninabizimana6869 11 หลายเดือนก่อน +1

    Eeeh bwana Yesu Cristo okowa nafsi. Za ndugu zangu wa eslam

  • @aminaabdallah8728
    @aminaabdallah8728 ปีที่แล้ว +4

    MaashaAllah

  • @FordStavanga
    @FordStavanga 11 หลายเดือนก่อน

    Full of properganda Muslim Mukubalini ya Mungu wa Israel ndiyo Mungu wa upekee na wa ukweli YHWH na kuna Mwanae Atwae Yahshua uyu ndiye njiya ukweli na uzima
    Acheni wafu wazike wafu wao

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino4958 9 หลายเดือนก่อน

    Sasa CR7 kausika na nini napenda mawaidha yako lakini ulipoleta mambo ya mtu binafsi kwenye mawaidha ndio niliposema sitazami tena video zako CR7 anasaidia watu kibao kuliko hata hao waislam latajiri unao wajua sijui siwezi kukaa alipokaa cr7 sijui kikipata bacteria huu niubaguzi upaswi kusema hivyo shekhe anatakiwa kuwa na kauli nzuri.🤦🏾‍♂️

  • @samakisamaki3226
    @samakisamaki3226 11 หลายเดือนก่อน

    We mpumbavu, Allah atakuhukumu kwa uongo wako. Hakuna mahala popote katika historia Muhammad amewahi kuitwa ahmad. Hakuna hata hadithi iliyopokelewa kuwa Muhammad ndiye ahmad. Na pia hayo majini unayazungumza kwa itikadi ya shirki zenu. Hakuna kiumbe rasmi Chenye muonekano huo unaoutaja. Wala mtume hakuwa na itikadi zenu hizo. Acheni kupotosha watu kwa hadithi za abunuasi. Haya mastori yenu hayajengi uislam yanabomoa dini

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 2 หลายเดือนก่อน

    Waislam ni waajabu sana akija shafii wote wanamuunga mkono kwamba shafii mkweli,akija mbogo wanageuka na kuanza kimsifia

  • @SurprisedFloatingIceberg-sk5ks
    @SurprisedFloatingIceberg-sk5ks 10 หลายเดือนก่อน

    Tujue tofauti kati ya jini malaika na binadamu japo chache tu.kwanza binaadamu kaumbwa kwa kutumia udongo,majini wao kwa kutumia moto ñamalaika kwa kutumia nuru....
    Sasa tofauti kati ya malaika na majini ...majin wanahiyari katik kuabudu ila malaika hawanahiyar katk kuabudu,pili majin niviumbe wenye matamanio kama ilivyo kwa binaadam ila malaika niviumbe wasio namatamanio yanafsi.tatu majini niviumbe wenyè kula kunywa nakufanya haja kama ilivyo binaadamu.ila malaika niviumbe wasio kula wala kufanya haja yoyote kati yahizo hata hivyo malaika niviumbe wamwanzo kuumbwa kuliko majini.

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 9 หลายเดือนก่อน

    Fundisha tawhid sheikh maneno hayo hayajengi zaidi ya kuwapotosha na kuondoa katika imani watu walio na imani ndogo na kutoalika wengine katika dini, kwa kweli sijajua ulipo yatoa hayo. Kweli Wahabi wanajua uislam.

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 3 หลายเดือนก่อน

    SISI NI WA AFRIKA MAMBO KUTULINGANISHIA NA MAMBO YA ARABUNI HAYATUHUSU

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 6 หลายเดือนก่อน

    Anaekataa uwepo wamajini ,hajawahi kuskia km wapo? Nakama alishaskia basijua kuanao wameumbwa na Mungu , nao wanamema namabaya km sisi Bina Adam ,ilawanautafaut nasi

  • @MWALIMUCHAKATV
    @MWALIMUCHAKATV 11 หลายเดือนก่อน +12

    Namshukuru MUNGU kwa Masihi aliyeniokoa na kunifanye mwanawe. Hii imani ya majini Ee Yehova,.tuepushe nayo. Amin amin amin 🙏

    • @mundhirfauz
      @mundhirfauz 11 หลายเดือนก่อน

      Kwani jini hajaumbwa na mungu

    • @raymrash
      @raymrash 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@mundhirfauz ishu sio kuumbwa! Ishu ni kwamba majini ni malaika waasi!

    • @NaseMangala
      @NaseMangala 11 หลายเดือนก่อน +3

      Majini si malaika . Malaika wameumbwa kwa Nuru na majini wameumbwa kwa Moto

    • @raymrash
      @raymrash 11 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣

    • @simonmahinya2223
      @simonmahinya2223 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@NaseMangala tofaut ya moto na Nuru ni nn? Moto ni nn na Nuru n nn palipo moto patakosa Nuru?

  • @MmohamediPoyo
    @MmohamediPoyo 6 หลายเดือนก่อน

    Someni akuna mbingu ya kristo mbingu allh2

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 11 หลายเดือนก่อน

    Mngeacha story za kijinga za kudanganya watu hakuna hata mtu mmoja aliyewahi kuona majini kumbe mnawasemaga walokole na nyinyi ni waongo hivyo

  • @KEPHAMASWAGA
    @KEPHAMASWAGA 6 หลายเดือนก่อน

    Muhamadi hawezi akasemamehewa nyie, maana ukifa katika dhambi msamaha hamna tena, nakama yeye nimtume kwanini yeye asiwaombee nyie? Ila nyinyi ndio mnaemuombea

  • @BonfaceWawire-k6p
    @BonfaceWawire-k6p 3 หลายเดือนก่อน

    hawa wamechanganyikiwa kweli hakuna jini mzuri

  • @johnkwetukia9585
    @johnkwetukia9585 11 หลายเดือนก่อน +1

    Viongozi vipofu huwaongoza vipofu Mungu aliwaumba wapi majini naomba mniambie

    • @ashaalali1221
      @ashaalali1221 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kkkkk weee unafikiri simu yako inacontrolia na bin Adam?

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน +1

      6:100
      وَجَعَلُوا۟ لِلَّهِ شُرَكَآءَ ٱلْجِنَّ وَخَلَقَهُمْ وَخَرَقُوا۟ لَهُۥ بَنِينَ وَبَنَٰتٍۭ بِغَيْرِ عِلْمٍ سُبْحَٰنَهُۥ وَتَعَٰلَىٰ عَمَّا يَصِفُونَ
      Bado wamemfanyia Mwenyezi Mungu majini kuwa washirika wake, na hali Yeye ndiye aliye waumba. Na wakamzulia, bila ya ujuzi wowote, kuwa ana wana wa kiume na wa kike. Subhanahu, Ametakasika na ametukuka juu ya hayo wanayo mbandikiza nayo!

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 11 หลายเดือนก่อน

      15:27
      وَٱلْجَآنَّ خَلَقْنَٰهُ مِن قَبْلُ مِن نَّارِ ٱلسَّمُومِ
      Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.