Huyu kijana anaongea kweli....kabisa lakini yote tisa 10 anaelimisha sana ,hayo mambo niya kweli ktk dunia hii tunayoishi,, uamuzi wa maisha yako yaweje utajua wewe,,,yeye anachoongelea ni elimu dunia,mimi binafsi nimejifunza kitu.
Muislamu hamshirikishi Mwenyezi Mungu ila baadhi ya watu wanatumia dini kama kivuli katika kumshirikisha Allah..Pete ukiivaa urembo inafaa zaidi ya hapo ni ushirikina na unashirikisha Allah..
@@DavidMapunda-ge6ff yaani wee mbwa Mla nguruwe ndio ujue dini yetu sisi waislam ambao tunalelewa nayo na kufundiswa,wee kunguni hapa mjini,tusikilize sisi wenye jambo letu ,utapigwa nje ndani.huyo ni mchawi bwana mdogo utaibiwa
@@DavidMapunda-ge6ffwe mjinga nenda kausome kwanza Uislamu acha kukurupuka. Uyo jamaa kaamua kukufuru kama alivosema m/mungu ndani ya Quran kwamba imma tushukuru au tukufuru kutokana na neema alizotuneemesha.
Sasa mnamkataza n kitabu cha majini wanacho waislam mwataka akasome wapi, kwa bibilia😢😢😢😢😢 ?, hatuna hizo vitu sisi hatushirikiani n majiji yashindwe katika jina kuu la yesu😂😂😂😂😂😂😂
Hujui unachoongea ww uelewa mbele itikadj zako baadae huyu anaelezea namna mambo hayo yalivyo solo kwamba wa2 wafanye afu wee n kama mpuuz2 kwanza hiyo biblia n kitabu cja nano unavyofikiaria ni nani kaandika yesu kashuka uarabun kwann wanaoipromote hiyo biblia n wazungu tena wao ndo waandike hiyo biblia afu kila kitabu kimejitaja katafute kama biblia imeandikwa katika ktabu crochet n hakuna alas soma iyo Bible yote uielew soyo unapiga 2mistar 2wili tu3 afu unapiga makelel etuislam ndo unafuga majin
Nasaha kwenu mnaohojiwa, na elimu mnayotoa, Litafakarini LENGO la mahojiano haya na elimu hiyo n Nini hasa Kwa mustakabali wa dini ya kiislam na Kwa wasikilizaji Kwa ujumla!, YAEPUKENI HAYA
Mtu yeyote anaye shirikiana na ma jini, ila kwa "wema" au maovu nimshirikina. Nabi suleiman peke yake ndo aliyemuomba mwenyezi mungu ampe uwezo wa kumiliki ma jini na akamwambia Mungu asimpe yeyote baada yake. Quran 88:35 Kueni makini waislam, msije mkamshirikisha Allah.
Wanajianika tu wenyewe, ukimsikiliza vizuri yeye mwenyewe anakwambia ili jini akufanyie jambo lake ni lazima utimize masharti yake ambayo ni kumkufuru Allah. In a simple language, anakiri kuwa yeye mwenyewe amemkufuru Allah.
Uislam ni dini ya kwl ila wanatumiw kuchafua uwislam ila uwislam ni dini ya haki dunian kataa usikatae ila uwislam ni dini yakwl na allah ndie mungu mweny ila njaa mbay san daaa
Lakini ndio bingwa wa majini yoote mnayoyaabudu break yao ni Yesu Kristo pekeee Nyinyi kukurukeni lakini kutokana na maandiko matakatifu wote Nyinyi jehanamu ya moto inawasubili. Sisi tuna lala kama wafalme kwa kutumia huyo huyo ambae unamwita sio Mungu ndio anatulinda sisi.No uchawi Nguvu za giza wala majini ya aina yoyote.Mumefungwa ufahamu kwa maana Nyinyi ni wa upande wa pili yaani wa ibilisi mungu wa waovu.
Asalam hivi mbona unamohoji huyu kijana kwanza Hana elimu yeyote ya sini nakushauri wewe muliza maswali tafuta watu wemye kujua dini sio wangamga kama Hawa kwa huyo azazel anaye mtaja anamjua huyu elimu za kuambiwa huyu sindio alikuwa anasema Sule vibaya Sasa anaongea nini alafu acha kufatuta waru kama wewe mtangazaji upo Sawa huyo ana elimu bali amekariri acha kuhoji kama kama na hiyo sio dini
É verdade irmao mesmo eu tou asofrer muito mal as vezes fico nervoso sem querer e também às vezes faço algo derepente parece alguém mi mandou irmao eu preciso da sua ajuda para poder aprender muitas coisas por favor🙏
Elimu gani hapo mnafundishwa Kama si uchawi yote hayo ni shirki tu Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake hayo mengine mtazidishiwa Ombeni lolote kwa jina langu nami nitalitenda hayo ndo maneno ya Bwana Yesu Kumbukeni Mungu ndie mtoa riski
Miye naamini Allah pekee yes ninani kam yeye ni mungu mbon alikufa duniya ilibaki nanani wakilistu acheni kuzarau dini za we zenu mungu ndoajuaye walio sahihi na wasiyo sahihi
Huyu kijana anaongea kweli....kabisa lakini yote tisa 10 anaelimisha sana ,hayo mambo niya kweli ktk dunia hii tunayoishi,, uamuzi wa maisha yako yaweje utajua wewe,,,yeye anachoongelea ni elimu dunia,mimi binafsi nimejifunza kitu.
umeongea point kk
Jini yoyote hawezi kukufanyia chochote ila mpaka umuasi Allah na lengo lake mukutane makaoni jahannam( motoni)
Swadakta
Muislamu hamshirikishi Mwenyezi Mungu ila baadhi ya watu wanatumia dini kama kivuli katika kumshirikisha Allah..Pete ukiivaa urembo inafaa zaidi ya hapo ni ushirikina na unashirikisha Allah..
Umaskini bye bye kumbe very simple hivi nimechelewa kweli 😂😂 hata iwe kufunga mwez Frsh tu 😊😊😅
Ukipata nikumbuke 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Huyu nae anamatatizo,Hana tofauti na sule ,wanapromoti ushirikina,sio msomi wa dini huyu jamaaa ,labda aseme nae ni mganga
Sio aseme ni mganga
Huo ndio uislamu tatizo Waislamu wengi hawaijui dini yao, kazi ubishi waki senge tu,. Hawa dini Wana ijua kuliko nyie mbwa mnao wabishia
@@DavidMapunda-ge6ff yaani wee mbwa Mla nguruwe ndio ujue dini yetu sisi waislam ambao tunalelewa nayo na kufundiswa,wee kunguni hapa mjini,tusikilize sisi wenye jambo letu ,utapigwa nje ndani.huyo ni mchawi bwana mdogo utaibiwa
@@DavidMapunda-ge6ffwe pimbi mbwa na nguruwe umewaacha nyumbani kwenu huko unaleta uchoko hapa kenge we
@@DavidMapunda-ge6ffwe mjinga nenda kausome kwanza Uislamu acha kukurupuka. Uyo jamaa kaamua kukufuru kama alivosema m/mungu ndani ya Quran kwamba imma tushukuru au tukufuru kutokana na neema alizotuneemesha.
Bongo touch na huyo azzazaziru unayemhoji watu mnafirwa❤au mnafirana
😂😂
Nimekufata
Huyo unayemuhoji azaazir mdg 😅😂
Mfano uyo vala itwa Dotto Magari🇰🇪
Ila sio mbaya nyie akina Azazel na samyaza mnawaita ni majini , ila sisi wakristo hao wote ni malaika waasi (fallen angel).
Azazel sio malaika, yeye ni mmoja wa kundi la iblis, kwenye dini ya kislamu ilo ni jina la iblis..... Hahusiki kabisa na malaika,
@@pharmkiksi7463 Kwa mujibu ya dini yenu ni sawa alikuwa jini, ila Kwa mujibu wa ukristo alikuwa malaika muasi
Hakuna malaika ambaye anamuasi mungu
@@DhaharaniJongo-gt2un kwa mujibu wa uislam ni sawa , ila kwa mujibu wa ukristo kuna malaika baadhi waliasi
Hao wanatoa mafundisho mwenye hiyari anaweza kwenda au asiende kwa sababu mwenyezi mungu ameumba binadamu na majini wote tumuabudu yeye tu
naomba no ya simu shekhe
Sasa mnamkataza n kitabu cha majini wanacho waislam mwataka akasome wapi, kwa bibilia😢😢😢😢😢 ?, hatuna hizo vitu sisi hatushirikiani n majiji yashindwe katika jina kuu la yesu😂😂😂😂😂😂😂
Hujui unachoongea ww uelewa mbele itikadj zako baadae huyu anaelezea namna mambo hayo yalivyo solo kwamba wa2 wafanye afu wee n kama mpuuz2 kwanza hiyo biblia n kitabu cja nano unavyofikiaria ni nani kaandika yesu kashuka uarabun kwann wanaoipromote hiyo biblia n wazungu tena wao ndo waandike hiyo biblia afu kila kitabu kimejitaja katafute kama biblia imeandikwa katika ktabu crochet n hakuna alas soma iyo Bible yote uielew soyo unapiga 2mistar 2wili tu3 afu unapiga makelel etuislam ndo unafuga majin
Siyo poa Acha tuuu wawe matajiri, nawafuatilia toka Durban kwazulu natal
Nasaha kwenu mnaohojiwa, na elimu mnayotoa, Litafakarini LENGO la mahojiano haya na elimu hiyo n Nini hasa Kwa mustakabali wa dini ya kiislam na Kwa wasikilizaji Kwa ujumla!, YAEPUKENI HAYA
unamtusi Ahu nawewe umo ? hongea ukweli baba
Wakristo wanadhani mtu akona kanzu maumini
SHEIKH WANGU SIMU KIWEKA KIFUANI APO KISAYANSI UNIJIUMIZA KIAFYA
Mtu yeyote anaye shirikiana na ma jini, ila kwa "wema" au maovu nimshirikina. Nabi suleiman peke yake ndo aliyemuomba mwenyezi mungu ampe uwezo wa kumiliki ma jini na akamwambia Mungu asimpe yeyote baada yake. Quran 88:35 Kueni makini waislam, msije mkamshirikisha Allah.
Washirikiana Hawa hamna shekh humu.....Hawa ni washirikina....khassa
Aachauoongo😂😂
Namba zako dokter
Hizo mada mnajidhalilisha na mnadhalilisha uislamu.
.
Wanajianika tu wenyewe, ukimsikiliza vizuri yeye mwenyewe anakwambia ili jini akufanyie jambo lake ni lazima utimize masharti yake ambayo ni kumkufuru Allah. In a simple language, anakiri kuwa yeye mwenyewe amemkufuru Allah.
Hazalilishi mtu Wala usilaam Bali elewa kua nielimu kubwa anayotoa Bali akili kichwani mwako Ila ukubali haha Mambo yapo pia Tina ipo na uchawi upo
Jamaa muongo Sana kakilemu kwenye vitabu vya Babu haji Hana lolote kasoma vitabu vya Babu haji ukimskiliza Hana jipya
Hauna tofaut na mwamposa😂 mnatumia jina la Allah kufanya ushilikina
Jina pls kwa utub
Huyu jamaa tapeli mkubwa sana sana
Anajifanya anajuwa dawa ya kunenepesha uume kumbe muongo sana sana
Huyu kaka namuombea neema naheri y'a muumbaji wa arzi na mbingu.usemi naujuzi anao inaonekana niyayake hafurahiye kumpoteza muumba.basi hekima na ufunuo wakweli naomba umpate
😂😂😂😂 No Comment,,,!!
Ushilikina ndo asili yetu binadam,hizo dini wazungu walituletea
hatarii
Uislam ni dini ya kwl ila wanatumiw kuchafua uwislam ila uwislam ni dini ya haki dunian kataa usikatae ila uwislam ni dini yakwl na allah ndie mungu mweny ila njaa mbay san daaa
Wewe unapotea uwislamu ni ushirikina mtupu
Auwez kukupeleka popote ila yesu kristo ndio njia pekee ya kwenda mbinguni
Hawa watu wanatuchanganya mungu tu ndie mlizi wetu jini bila ya mungu hana uwezo
Nakumbuka dimond alivoibiwa kofia yke dodoma alipanic kinoma
Mapete je? Yeye anavaa pete ya kichawi!!
Ushirikian umejifich sana na huyu pia ameingia katika hiyo fitna yakufru
Nilikuw naomb no ya uyo shekh
WALE WALE
Naomba namba ya cm shekhe
Shekh nilikuw naomb namb ya please
We azazili sio jin n malaika aliasii [ the watcher] na amepewa azabu n mungo kupitia malaika Gabriel na amefungiwa jangwa lenye giza mpaka kiama
Yesu Si Mungu
Sawa
Lakini ndio bingwa wa majini yoote mnayoyaabudu break yao ni Yesu Kristo pekeee
Nyinyi kukurukeni lakini kutokana na maandiko matakatifu wote Nyinyi jehanamu ya moto inawasubili.
Sisi tuna lala kama wafalme kwa kutumia huyo huyo ambae unamwita sio Mungu ndio anatulinda sisi.No uchawi Nguvu za giza wala majini ya aina yoyote.Mumefungwa ufahamu kwa maana Nyinyi ni wa upande wa pili yaani wa ibilisi mungu wa waovu.
Elimu ya jini ndani ya uislamu wewe unasema YESU
Ongera shee kwa elimu yako tupe namba zako
UPUUZI MTUPU TU.. WEWE KAMA NI MUISLAM WA KWELI HUWEZI KUMSIKILIZA HUYU MSHIRIKINA.
😮mwenyewe naomba zake naomba maana kataja haraka hataka
Kumekucha sas 😊😊😊😂
😂😂😂😂 nenda ukatapeliwe😂😂😂
Sara wa Diamond si alisema Diamond anapendaga kulala ghafla ie usingizi...mmmh mbona sheikh kama naanza kusadiki maneno yako😂
'Satanic Verses '😂😂😂😂😂
Pumbavu !!
Sheikh No:yako tafadhali
wee nan kakwambia huy ni shee
Kwa nn huwa tuna swali sunat haja na nimudagani unatakiwa kuswali
Huyu Kaka ukiachana na hayo mambo yake anayo yafahamu alivyo tu anafaa kuwa mume
😂😂😂😂😂
Asalam hivi mbona unamohoji huyu kijana kwanza Hana elimu yeyote ya sini nakushauri wewe muliza maswali tafuta watu wemye kujua dini sio wangamga kama Hawa kwa huyo azazel anaye mtaja anamjua huyu elimu za kuambiwa huyu sindio alikuwa anasema Sule vibaya Sasa anaongea nini alafu acha kufatuta waru kama wewe mtangazaji upo Sawa huyo ana elimu bali amekariri acha kuhoji kama kama na hiyo sio dini
É verdade irmao mesmo eu tou asofrer muito mal as vezes fico nervoso sem querer e também às vezes faço algo derepente parece alguém mi mandou irmao eu preciso da sua ajuda para poder aprender muitas coisas por favor🙏
Anaitwa nan? Tafadhali
Huyu jamaa kanyooka kunavitu anaongea anawabyoosha waongo😁 ila usikazi kul chm ich
😮😮
Ni elimu ya Quran ama ni elimu ya kishirikina.
Tapeli mkubwa yeye na huyo suleiman wake wanata gisi wataibiya watu pesa
huyu ni mshirikina kama wengine shenzi huyu
Ameshikisha nn hapo ww siyo muelewa
Nilijua2 ntakukuta ukipinga apa@@DhaharaniJongo-gt2un
Naijua it h
Namba ya huyu maalim tafadhali
huyu tapeli jinga wewe
TUNAOMBA TUWEKEE JINA LAKE LA UTUBE
Usimguate mshirikina huyo, dini haijafundisha hivyo.
Sio tiba hiyo ila ni uchawi
@@zulekhaa6817 ASANTE
Tutafute elimu hata kama ipo umbali wa China ila tu tusimshirikishe mwenyezi mungu
Sheikh twataka No Zakoo
Eeweeeeeh_🤔
Za kaz gan
Bas ucpanic Sheikh Naona ushakua Star ⭐ Mganga mkuu
Kwa nini mnampinga? Mbona wakriato wakisemwa mnashabikia kasoro? Acha yasemwe yote
Yesu sio mungu kwa mujibu wa maandiko 8:40 yohana.wapi uislam umehalalisha ushirikina?
Yani wewe unawapigia ramli wazi kabisa alafu unamsema shekh Sule vibaya huyu kijana ukimtaxama akili Hana uongo mtupu
Njooni kwa Yesu akunaga mambo ya hivyo
Na msalaba uko wap
Ww ni fala nani aje sehemu mnasema Kuna mungu watatu
Yesu ni mtu, na huyo msemaji pia ni mtu, sisi tumuamini Allah ambae ni Mungu sio mtu.
Elimu gani hapo mnafundishwa Kama si uchawi yote hayo ni shirki tu
Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake hayo mengine mtazidishiwa
Ombeni lolote kwa jina langu nami nitalitenda hayo ndo maneno ya Bwana Yesu Kumbukeni Mungu ndie mtoa riski
hiyo misalaba ipo wapi msikitini au??? washirikina wapo katika waislam na nyie ndo wote
Huyu ustadh anaitwa Nani na mawasiliano yake napataje
Namjua A to Z yuko vizuri sana alishawahi kutufundisha elimu ila kwa sasa yupo Yemen namba zake ninazo
Hv jamani huyo mganga anapewa nguvu na nani km sio mungu
Shetani ndio anampa nguvu ni jini sio M'mungu
Miye naamini Allah pekee yes ninani kam yeye ni mungu mbon alikufa duniya ilibaki nanani wakilistu acheni kuzarau dini za we zenu mungu ndoajuaye walio sahihi na wasiyo sahihi
Hiyo sio tiba ila ni uchawi.
Usidanganye watu.
Mche Allah.
Namuomba Allah atuongoze sote.
Allahuma Amiin