WASANII WANAOVAA MISALABA WANAITA JINI ILI IWASAIDIE KWENYE MVUTO"WANA SIFA HIZI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 125

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa หลายเดือนก่อน +12

    Huyu kijana anaongea kweli....kabisa lakini yote tisa 10 anaelimisha sana ,hayo mambo niya kweli ktk dunia hii tunayoishi,, uamuzi wa maisha yako yaweje utajua wewe,,,yeye anachoongelea ni elimu dunia,mimi binafsi nimejifunza kitu.

    • @dseven7094
      @dseven7094 หลายเดือนก่อน

      umeongea point kk

  • @omarbinjaa2801
    @omarbinjaa2801 หลายเดือนก่อน +8

    Jini yoyote hawezi kukufanyia chochote ila mpaka umuasi Allah na lengo lake mukutane makaoni jahannam( motoni)

  • @samxx411
    @samxx411 หลายเดือนก่อน +3

    Muislamu hamshirikishi Mwenyezi Mungu ila baadhi ya watu wanatumia dini kama kivuli katika kumshirikisha Allah..Pete ukiivaa urembo inafaa zaidi ya hapo ni ushirikina na unashirikisha Allah..

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana3829 หลายเดือนก่อน +7

    Umaskini bye bye kumbe very simple hivi nimechelewa kweli 😂😂 hata iwe kufunga mwez Frsh tu 😊😊😅

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb หลายเดือนก่อน +12

    Huyu nae anamatatizo,Hana tofauti na sule ,wanapromoti ushirikina,sio msomi wa dini huyu jamaaa ,labda aseme nae ni mganga

    • @user-ht8po7un8p
      @user-ht8po7un8p หลายเดือนก่อน

      Sio aseme ni mganga

    • @DavidMapunda-ge6ff
      @DavidMapunda-ge6ff หลายเดือนก่อน +3

      Huo ndio uislamu tatizo Waislamu wengi hawaijui dini yao, kazi ubishi waki senge tu,. Hawa dini Wana ijua kuliko nyie mbwa mnao wabishia

    • @SaidKondo-rw8wb
      @SaidKondo-rw8wb หลายเดือนก่อน +1

      @@DavidMapunda-ge6ff yaani wee mbwa Mla nguruwe ndio ujue dini yetu sisi waislam ambao tunalelewa nayo na kufundiswa,wee kunguni hapa mjini,tusikilize sisi wenye jambo letu ,utapigwa nje ndani.huyo ni mchawi bwana mdogo utaibiwa

    • @mwinyiabdallah4383
      @mwinyiabdallah4383 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@DavidMapunda-ge6ffwe pimbi mbwa na nguruwe umewaacha nyumbani kwenu huko unaleta uchoko hapa kenge we

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy หลายเดือนก่อน +1

      ​@@DavidMapunda-ge6ffwe mjinga nenda kausome kwanza Uislamu acha kukurupuka. Uyo jamaa kaamua kukufuru kama alivosema m/mungu ndani ya Quran kwamba imma tushukuru au tukufuru kutokana na neema alizotuneemesha.

  • @Putin331
    @Putin331 หลายเดือนก่อน +1

    Bongo touch na huyo azzazaziru unayemhoji watu mnafirwa❤au mnafirana

  • @Putin331
    @Putin331 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo unayemuhoji azaazir mdg 😅😂

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 หลายเดือนก่อน

    Mfano uyo vala itwa Dotto Magari🇰🇪

  • @joseaugust2805
    @joseaugust2805 หลายเดือนก่อน +3

    Ila sio mbaya nyie akina Azazel na samyaza mnawaita ni majini , ila sisi wakristo hao wote ni malaika waasi (fallen angel).

    • @pharmkiksi7463
      @pharmkiksi7463 หลายเดือนก่อน

      Azazel sio malaika, yeye ni mmoja wa kundi la iblis, kwenye dini ya kislamu ilo ni jina la iblis..... Hahusiki kabisa na malaika,

    • @joseaugust2805
      @joseaugust2805 หลายเดือนก่อน

      @@pharmkiksi7463 Kwa mujibu ya dini yenu ni sawa alikuwa jini, ila Kwa mujibu wa ukristo alikuwa malaika muasi

    • @DhaharaniJongo-gt2un
      @DhaharaniJongo-gt2un หลายเดือนก่อน

      Hakuna malaika ambaye anamuasi mungu

    • @joseaugust2805
      @joseaugust2805 หลายเดือนก่อน

      @@DhaharaniJongo-gt2un kwa mujibu wa uislam ni sawa , ila kwa mujibu wa ukristo kuna malaika baadhi waliasi

  • @almasmkoko1591
    @almasmkoko1591 หลายเดือนก่อน

    Hao wanatoa mafundisho mwenye hiyari anaweza kwenda au asiende kwa sababu mwenyezi mungu ameumba binadamu na majini wote tumuabudu yeye tu

  • @calendecalende9289
    @calendecalende9289 หลายเดือนก่อน +1

    naomba no ya simu shekhe

  • @RachaelMchanda
    @RachaelMchanda หลายเดือนก่อน +1

    Sasa mnamkataza n kitabu cha majini wanacho waislam mwataka akasome wapi, kwa bibilia😢😢😢😢😢 ?, hatuna hizo vitu sisi hatushirikiani n majiji yashindwe katika jina kuu la yesu😂😂😂😂😂😂😂

    • @wharang-hg2yx
      @wharang-hg2yx หลายเดือนก่อน

      Hujui unachoongea ww uelewa mbele itikadj zako baadae huyu anaelezea namna mambo hayo yalivyo solo kwamba wa2 wafanye afu wee n kama mpuuz2 kwanza hiyo biblia n kitabu cja nano unavyofikiaria ni nani kaandika yesu kashuka uarabun kwann wanaoipromote hiyo biblia n wazungu tena wao ndo waandike hiyo biblia afu kila kitabu kimejitaja katafute kama biblia imeandikwa katika ktabu crochet n hakuna alas soma iyo Bible yote uielew soyo unapiga 2mistar 2wili tu3 afu unapiga makelel etuislam ndo unafuga majin

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv หลายเดือนก่อน +1

    Siyo poa Acha tuuu wawe matajiri, nawafuatilia toka Durban kwazulu natal

  • @allymafita1985
    @allymafita1985 หลายเดือนก่อน

    Nasaha kwenu mnaohojiwa, na elimu mnayotoa, Litafakarini LENGO la mahojiano haya na elimu hiyo n Nini hasa Kwa mustakabali wa dini ya kiislam na Kwa wasikilizaji Kwa ujumla!, YAEPUKENI HAYA

  • @RusiaSalehe
    @RusiaSalehe หลายเดือนก่อน +1

    unamtusi Ahu nawewe umo ? hongea ukweli baba

  • @English-SomaliTranslationHub
    @English-SomaliTranslationHub หลายเดือนก่อน +1

    Wakristo wanadhani mtu akona kanzu maumini

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 หลายเดือนก่อน

    SHEIKH WANGU SIMU KIWEKA KIFUANI APO KISAYANSI UNIJIUMIZA KIAFYA

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700 หลายเดือนก่อน +3

    Mtu yeyote anaye shirikiana na ma jini, ila kwa "wema" au maovu nimshirikina. Nabi suleiman peke yake ndo aliyemuomba mwenyezi mungu ampe uwezo wa kumiliki ma jini na akamwambia Mungu asimpe yeyote baada yake. Quran 88:35 Kueni makini waislam, msije mkamshirikisha Allah.

    • @tahiyasaidi6532
      @tahiyasaidi6532 หลายเดือนก่อน

      Washirikiana Hawa hamna shekh humu.....Hawa ni washirikina....khassa

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone หลายเดือนก่อน

      Aachauoongo😂😂

  • @SelemaniAbuu-nm3sx
    @SelemaniAbuu-nm3sx หลายเดือนก่อน

    Namba zako dokter

  • @SaidiBakari-kl1gu
    @SaidiBakari-kl1gu หลายเดือนก่อน +2

    Hizo mada mnajidhalilisha na mnadhalilisha uislamu.
    .

    • @user-xz8mm5kt5m
      @user-xz8mm5kt5m หลายเดือนก่อน

      Wanajianika tu wenyewe, ukimsikiliza vizuri yeye mwenyewe anakwambia ili jini akufanyie jambo lake ni lazima utimize masharti yake ambayo ni kumkufuru Allah. In a simple language, anakiri kuwa yeye mwenyewe amemkufuru Allah.

    • @user-jc8jo2po9g
      @user-jc8jo2po9g หลายเดือนก่อน

      Hazalilishi mtu Wala usilaam Bali elewa kua nielimu kubwa anayotoa Bali akili kichwani mwako Ila ukubali haha Mambo yapo pia Tina ipo na uchawi upo

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 หลายเดือนก่อน

    Jamaa muongo Sana kakilemu kwenye vitabu vya Babu haji Hana lolote kasoma vitabu vya Babu haji ukimskiliza Hana jipya

  • @RahimaJames
    @RahimaJames หลายเดือนก่อน +1

    Hauna tofaut na mwamposa😂 mnatumia jina la Allah kufanya ushilikina

  • @faridaAli-td1fo
    @faridaAli-td1fo หลายเดือนก่อน

    Jina pls kwa utub

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa tapeli mkubwa sana sana
    Anajifanya anajuwa dawa ya kunenepesha uume kumbe muongo sana sana

  • @NkurunzizaKevin-vs5lk
    @NkurunzizaKevin-vs5lk หลายเดือนก่อน

    Huyu kaka namuombea neema naheri y'a muumbaji wa arzi na mbingu.usemi naujuzi anao inaonekana niyayake hafurahiye kumpoteza muumba.basi hekima na ufunuo wakweli naomba umpate

  • @georgenjeri8547
    @georgenjeri8547 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 No Comment,,,!!

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone หลายเดือนก่อน

    Ushilikina ndo asili yetu binadam,hizo dini wazungu walituletea

  • @joemeika3020
    @joemeika3020 หลายเดือนก่อน

    hatarii

  • @allymohd5855
    @allymohd5855 หลายเดือนก่อน

    Uislam ni dini ya kwl ila wanatumiw kuchafua uwislam ila uwislam ni dini ya haki dunian kataa usikatae ila uwislam ni dini yakwl na allah ndie mungu mweny ila njaa mbay san daaa

    • @PaulinaJohn-ox5hl
      @PaulinaJohn-ox5hl หลายเดือนก่อน

      Wewe unapotea uwislamu ni ushirikina mtupu

    • @PaulinaJohn-ox5hl
      @PaulinaJohn-ox5hl หลายเดือนก่อน

      Auwez kukupeleka popote ila yesu kristo ndio njia pekee ya kwenda mbinguni

  • @user-zk3ql9th2c
    @user-zk3ql9th2c หลายเดือนก่อน +1

    Hawa watu wanatuchanganya mungu tu ndie mlizi wetu jini bila ya mungu hana uwezo

  • @fahadrashid9754
    @fahadrashid9754 หลายเดือนก่อน

    Nakumbuka dimond alivoibiwa kofia yke dodoma alipanic kinoma

  • @kipchorngwonektiroto457
    @kipchorngwonektiroto457 10 วันที่ผ่านมา

    Mapete je? Yeye anavaa pete ya kichawi!!

  • @AbdillahFauz
    @AbdillahFauz หลายเดือนก่อน

    Ushirikian umejifich sana na huyu pia ameingia katika hiyo fitna yakufru

  • @KhamisMohammed-vr4hz
    @KhamisMohammed-vr4hz หลายเดือนก่อน

    Nilikuw naomb no ya uyo shekh

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 หลายเดือนก่อน

    WALE WALE

  • @AboubacarcastingKassim
    @AboubacarcastingKassim หลายเดือนก่อน

    Naomba namba ya cm shekhe

  • @KhamisMohammed-vr4hz
    @KhamisMohammed-vr4hz หลายเดือนก่อน

    Shekh nilikuw naomb namb ya please

  • @IvanBenjamin-fy9lg
    @IvanBenjamin-fy9lg หลายเดือนก่อน

    We azazili sio jin n malaika aliasii [ the watcher] na amepewa azabu n mungo kupitia malaika Gabriel na amefungiwa jangwa lenye giza mpaka kiama

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu หลายเดือนก่อน +3

    Yesu Si Mungu

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 หลายเดือนก่อน

      Sawa

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 หลายเดือนก่อน

      Lakini ndio bingwa wa majini yoote mnayoyaabudu break yao ni Yesu Kristo pekeee
      Nyinyi kukurukeni lakini kutokana na maandiko matakatifu wote Nyinyi jehanamu ya moto inawasubili.
      Sisi tuna lala kama wafalme kwa kutumia huyo huyo ambae unamwita sio Mungu ndio anatulinda sisi.No uchawi Nguvu za giza wala majini ya aina yoyote.Mumefungwa ufahamu kwa maana Nyinyi ni wa upande wa pili yaani wa ibilisi mungu wa waovu.

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 หลายเดือนก่อน

      Elimu ya jini ndani ya uislamu wewe unasema YESU

  • @BoniphaceKisokola
    @BoniphaceKisokola หลายเดือนก่อน

    Ongera shee kwa elimu yako tupe namba zako

  • @abulfidaamedia
    @abulfidaamedia หลายเดือนก่อน

    UPUUZI MTUPU TU.. WEWE KAMA NI MUISLAM WA KWELI HUWEZI KUMSIKILIZA HUYU MSHIRIKINA.

  • @neemakassan6538
    @neemakassan6538 หลายเดือนก่อน

    😮mwenyewe naomba zake naomba maana kataja haraka hataka

    • @ramadhanimmana3829
      @ramadhanimmana3829 หลายเดือนก่อน

      Kumekucha sas 😊😊😊😂

    • @user-hy9pp5rp9i
      @user-hy9pp5rp9i หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 nenda ukatapeliwe😂😂😂

  • @bushbabytz
    @bushbabytz หลายเดือนก่อน

    Sara wa Diamond si alisema Diamond anapendaga kulala ghafla ie usingizi...mmmh mbona sheikh kama naanza kusadiki maneno yako😂

  • @taichi5370
    @taichi5370 หลายเดือนก่อน +1

    'Satanic Verses '😂😂😂😂😂

  • @DavidMatata
    @DavidMatata หลายเดือนก่อน +1

    Pumbavu !!

  • @FridayKyanndo
    @FridayKyanndo หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh No:yako tafadhali

    • @ismailysaidy884
      @ismailysaidy884 หลายเดือนก่อน

      wee nan kakwambia huy ni shee

  • @almasmkoko1591
    @almasmkoko1591 หลายเดือนก่อน

    Kwa nn huwa tuna swali sunat haja na nimudagani unatakiwa kuswali

  • @LatifaMusa-dy3id
    @LatifaMusa-dy3id หลายเดือนก่อน

    Huyu Kaka ukiachana na hayo mambo yake anayo yafahamu alivyo tu anafaa kuwa mume

    • @nimefikaulipo
      @nimefikaulipo หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @abdulmgassa7848
    @abdulmgassa7848 หลายเดือนก่อน

    Asalam hivi mbona unamohoji huyu kijana kwanza Hana elimu yeyote ya sini nakushauri wewe muliza maswali tafuta watu wemye kujua dini sio wangamga kama Hawa kwa huyo azazel anaye mtaja anamjua huyu elimu za kuambiwa huyu sindio alikuwa anasema Sule vibaya Sasa anaongea nini alafu acha kufatuta waru kama wewe mtangazaji upo Sawa huyo ana elimu bali amekariri acha kuhoji kama kama na hiyo sio dini

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu หลายเดือนก่อน

    É verdade irmao mesmo eu tou asofrer muito mal as vezes fico nervoso sem querer e também às vezes faço algo derepente parece alguém mi mandou irmao eu preciso da sua ajuda para poder aprender muitas coisas por favor🙏

  • @thebroski9763
    @thebroski9763 หลายเดือนก่อน

    Anaitwa nan? Tafadhali

  • @Itsblackghost
    @Itsblackghost หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa kanyooka kunavitu anaongea anawabyoosha waongo😁 ila usikazi kul chm ich

  • @SebitAbubakar-iy8ve
    @SebitAbubakar-iy8ve หลายเดือนก่อน

    Ni elimu ya Quran ama ni elimu ya kishirikina.

  • @user-ie3lw9eb6p
    @user-ie3lw9eb6p หลายเดือนก่อน +1

    Tapeli mkubwa yeye na huyo suleiman wake wanata gisi wataibiya watu pesa

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu หลายเดือนก่อน +1

    huyu ni mshirikina kama wengine shenzi huyu

    • @DhaharaniJongo-gt2un
      @DhaharaniJongo-gt2un หลายเดือนก่อน

      Ameshikisha nn hapo ww siyo muelewa

    • @RizoBwedo
      @RizoBwedo หลายเดือนก่อน

      Nilijua2 ntakukuta ukipinga apa​@@DhaharaniJongo-gt2un

    • @RizoBwedo
      @RizoBwedo หลายเดือนก่อน +1

      Naijua it h

  • @athumanally8493
    @athumanally8493 หลายเดือนก่อน

    Namba ya huyu maalim tafadhali

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu หลายเดือนก่อน

      huyu tapeli jinga wewe

  • @aminasalum-yh4fh
    @aminasalum-yh4fh หลายเดือนก่อน +1

    TUNAOMBA TUWEKEE JINA LAKE LA UTUBE

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 หลายเดือนก่อน

      Usimguate mshirikina huyo, dini haijafundisha hivyo.
      Sio tiba hiyo ila ni uchawi

    • @aminasalum-yh4fh
      @aminasalum-yh4fh หลายเดือนก่อน

      @@zulekhaa6817 ASANTE

  • @betinvestment3204
    @betinvestment3204 หลายเดือนก่อน

    Tutafute elimu hata kama ipo umbali wa China ila tu tusimshirikishe mwenyezi mungu

  • @user-xy4kt8wk6l
    @user-xy4kt8wk6l หลายเดือนก่อน

    Sheikh twataka No Zakoo

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 หลายเดือนก่อน

      Eeweeeeeh_🤔

    • @ramadhanimmana3829
      @ramadhanimmana3829 หลายเดือนก่อน +1

      Za kaz gan

    • @user-xy4kt8wk6l
      @user-xy4kt8wk6l หลายเดือนก่อน

      Bas ucpanic Sheikh Naona ushakua Star ⭐ Mganga mkuu

  • @christianmwabukusi8366
    @christianmwabukusi8366 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa nini mnampinga? Mbona wakriato wakisemwa mnashabikia kasoro? Acha yasemwe yote

    • @HamzaMakobanice
      @HamzaMakobanice หลายเดือนก่อน

      Yesu sio mungu kwa mujibu wa maandiko 8:40 yohana.wapi uislam umehalalisha ushirikina?

  • @abdulmgassa7848
    @abdulmgassa7848 หลายเดือนก่อน

    Yani wewe unawapigia ramli wazi kabisa alafu unamsema shekh Sule vibaya huyu kijana ukimtaxama akili Hana uongo mtupu

  • @samuellubunga1728
    @samuellubunga1728 หลายเดือนก่อน +1

    Njooni kwa Yesu akunaga mambo ya hivyo

    • @fahadrashid9754
      @fahadrashid9754 หลายเดือนก่อน

      Na msalaba uko wap

    • @hamismohamed3541
      @hamismohamed3541 หลายเดือนก่อน

      Ww ni fala nani aje sehemu mnasema Kuna mungu watatu

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 หลายเดือนก่อน +1

      Yesu ni mtu, na huyo msemaji pia ni mtu, sisi tumuamini Allah ambae ni Mungu sio mtu.

    • @samuellubunga1728
      @samuellubunga1728 หลายเดือนก่อน

      Elimu gani hapo mnafundishwa Kama si uchawi yote hayo ni shirki tu
      Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake hayo mengine mtazidishiwa
      Ombeni lolote kwa jina langu nami nitalitenda hayo ndo maneno ya Bwana Yesu Kumbukeni Mungu ndie mtoa riski

    • @samxx411
      @samxx411 หลายเดือนก่อน

      hiyo misalaba ipo wapi msikitini au??? washirikina wapo katika waislam na nyie ndo wote

  • @BarreMushi-yz4wt
    @BarreMushi-yz4wt หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ustadh anaitwa Nani na mawasiliano yake napataje

    • @emaneman7899
      @emaneman7899 หลายเดือนก่อน

      Namjua A to Z yuko vizuri sana alishawahi kutufundisha elimu ila kwa sasa yupo Yemen namba zake ninazo

  • @user-zk3ql9th2c
    @user-zk3ql9th2c หลายเดือนก่อน +1

    Hv jamani huyo mganga anapewa nguvu na nani km sio mungu

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 หลายเดือนก่อน

      Shetani ndio anampa nguvu ni jini sio M'mungu

  • @user-jh1vr1vt2k
    @user-jh1vr1vt2k หลายเดือนก่อน

    Miye naamini Allah pekee yes ninani kam yeye ni mungu mbon alikufa duniya ilibaki nanani wakilistu acheni kuzarau dini za we zenu mungu ndoajuaye walio sahihi na wasiyo sahihi

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo sio tiba ila ni uchawi.
    Usidanganye watu.
    Mche Allah.
    Namuomba Allah atuongoze sote.

    • @Unkown30476
      @Unkown30476 หลายเดือนก่อน

      Allahuma Amiin