CHUMBA KILICHOBEBA HISTORIA HALISI YA PEMBA - ZAIDI YA MIAKA 200

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • Unaijua Ngome kongwe iliopo Unguja, lakini je waijua Ngome kongwe ilio Pmeba? Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

ความคิดเห็น • 87

  • @ktvtzonline
    @ktvtzonline  5 ปีที่แล้ว +7

    Kama unapenda harakati z KTV zinazoendelea Pemba, comment neno Hakika hii ni Fahari yetu

    • @clovetv_pba
      @clovetv_pba 5 ปีที่แล้ว

      Hakika hii ni fahari yetu

  • @rukiajuma8338
    @rukiajuma8338 5 ปีที่แล้ว +30

    Nyumbani ni nyumbani tu Kama unaipnda pmba comment love you pemba

  • @MbaroukKhalifa
    @MbaroukKhalifa 6 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah nashkr san kuwa mpemba na nashkr kufika eneo hili nikiwa form one nilifurahi san ❤❤❤ pemba nikwetu pemba niyetu tunaipenda sana ❤❤❤❤

  • @saydbarakismailiya1515
    @saydbarakismailiya1515 5 ปีที่แล้ว +11

    Jasiri haachi asili pembe ni kwetu

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 5 ปีที่แล้ว +3

    Ni muhimu sana kujua historia ya maeneo yetu

  • @sheyluupinky6061
    @sheyluupinky6061 5 ปีที่แล้ว +4

    Naipenda pemba ni kwetu nina haki ya kuithamini na nimezaliwa huko🥰🥰

  • @maidasaid947
    @maidasaid947 5 ปีที่แล้ว +1

    Niliwahi kuitembelea miaka y Zaman tangu nasoma shule y msingi...nafurah kuiona pemba na naipenda sn pemba...nakuomba
    Mungu niwe mmoja Kati y watu wataojaaliwa kuibadilisha pemba kimaendeleo

  • @mohammedmbarouk7711
    @mohammedmbarouk7711 3 ปีที่แล้ว +1

    Nilizaliwa pemba nikakulia pemba nikasoma pemba na inshaallah namuomba Allah wakati wa kunichukua kwenda kwake anichukue wakati nikiwa pemba inshaallah,najisifu kua miongoni mwa watu waliopata kuitwa watu wa"PEMBA"

  • @husseinali9760
    @husseinali9760 3 ปีที่แล้ว +1

    Love u Pemba

  • @maryammakungu8800
    @maryammakungu8800 5 ปีที่แล้ว +6

    jamani mimo mzaliwa Wa unguja lakini napenda kutembea Pemba kwa marafiki zangu

    • @clovetv_pba
      @clovetv_pba 5 ปีที่แล้ว

      Nice, welcome i will be your host

    • @suleimanmazrui6942
      @suleimanmazrui6942 4 ปีที่แล้ว

      MZEE wetu uko vizuri sana kihistoria Mwenyezi ukupe umri mrefu na wenye Afya.

    • @omarabeid7490
      @omarabeid7490 4 ปีที่แล้ว

      Unguja ndo nn?

  • @ysherahmad652
    @ysherahmad652 5 ปีที่แล้ว +5

    Najisikia fakhari kuwa na asili ya kipemba...Pemba nkwetuuuu I love it

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 9 หลายเดือนก่อน

    Wapemba kweli tutabaki na Mahistoria yetu maana tunawachumia karafuu Maendeleo yanaletwa kwenu sisi Munatuona ni wajinga lakini kumbuka jinga ukilierevua utajua katika maisha yako

  • @mejubaraza9415
    @mejubaraza9415 5 ปีที่แล้ว +3

    Mwazo kuvuka ncwezi labda niende na ndege😛

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu 3 หลายเดือนก่อน

    Yani wapemba sisi tumebarikiwa Sana

  • @nohatredbutlove5786
    @nohatredbutlove5786 5 ปีที่แล้ว +3

    Like kama umepaona miembeni

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 5 ปีที่แล้ว +2

    Love you PEMBA

  • @aliyhamim1683
    @aliyhamim1683 5 ปีที่แล้ว +1

    nikiwa italy nime miss pemba ilove pemba

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 ปีที่แล้ว

    Hakika hii ni Fahari yetu.

  • @husseinbakari8903
    @husseinbakari8903 5 ปีที่แล้ว +1

    Daaah miss sana home kitambo sana nimeondoka ila nyumbn nyumbn tu

  • @madievaratz1684
    @madievaratz1684 2 ปีที่แล้ว

    pemba khalisii na watu wake poa sana

  • @SaidHamad-f3r
    @SaidHamad-f3r 5 หลายเดือนก่อน

    Waume wa kipemba wako tele si lazima uishi pemba

  • @faahusali4689
    @faahusali4689 5 ปีที่แล้ว +1

    kwetu uko jmn

  • @moodkhamis3850
    @moodkhamis3850 5 ปีที่แล้ว +1

    Nyumbani ni nyumbani nitarudi tu

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 5 ปีที่แล้ว +1

    Ndio nikasema DNA za kireno zipo bado Pemba. Hebu angalia machotara wa Brazil na machotara wa Kipemba utaona hawana utofauti. Haiwezekani wareno wakae miaka zaidi ya mia tatu wawe hawajazaa na wenyeji. History ndio hivyo tupende tusipende ndio history

  • @sheebqpsheebqp8314
    @sheebqpsheebqp8314 5 ปีที่แล้ว +1

    Fika na makangale ipo historia

  • @sheebqpsheebqp8314
    @sheebqpsheebqp8314 5 ปีที่แล้ว +1

    Hakik ni fahar yt

  • @mejubaraza9415
    @mejubaraza9415 5 ปีที่แล้ว +2

    Natafuta mume walipemba lkn maisha kwetu kenya pemba ckuwezi

    • @shukranahsante2395
      @shukranahsante2395 5 ปีที่แล้ว +1

      Mimi hapa

    • @mejubaraza9415
      @mejubaraza9415 5 ปีที่แล้ว +1

      Hahaha jamani je kama mm jini au kilema

    • @nacert1754
      @nacert1754 5 ปีที่แล้ว

      ww alie kwambia jini anatumia social media ni nani, ila hata hivyo umentisha naondoa mobile No. yangu

    • @mejubaraza9415
      @mejubaraza9415 5 ปีที่แล้ว

      Hahahaha

    • @shukranahsante2395
      @shukranahsante2395 5 ปีที่แล้ว

      Kama wewe ini mimi Doctor wako

  • @hatourmohamed1234
    @hatourmohamed1234 3 ปีที่แล้ว

    Assalmu alaykum warahmatullahi wabarakatuhu niependa hili ni jambo zuri kutujuza historia yetu.

  • @maryammakungu8800
    @maryammakungu8800 5 ปีที่แล้ว +2

    bora walivofukuzwa hao wareno

  • @naslamgollowatuacheee9852
    @naslamgollowatuacheee9852 5 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @albait5227
    @albait5227 5 ปีที่แล้ว +2

    jaman pemba inanikatisha Tamaa ya kimaisha natama nirud nyumban lakin duuui

    • @maryammakungu8800
      @maryammakungu8800 5 ปีที่แล้ว

      usikate tamaa mpendwa uko wapi kwani kaka

    • @yassirrashid7802
      @yassirrashid7802 5 ปีที่แล้ว

      Unacomment nini ww....?

    • @yassirrashid7802
      @yassirrashid7802 5 ปีที่แล้ว

      Comment zako za kibuuzi sana brother

    • @galayagalaya48
      @galayagalaya48 5 ปีที่แล้ว

      al bait mkataa kwao mtumwa usikate tamaa m

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 5 ปีที่แล้ว

      Mhh tangia kale wapemba wakipata upenye harudi kwao, huolea ugenini na baadae huwachukia waliowapokea na kuwapa makaazi

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 4 ปีที่แล้ว

    Bora Wende kuwepo wawo
    Kuliko Saiz tulivyo banwa na maisha

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa1069 5 ปีที่แล้ว +1

    I love you so much pba

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505
    @hamnakituumupumbatupumohd8505 5 ปีที่แล้ว

    mpaka Leo sipati picha kama bakhresa angekua mpemba kuna wapuuzi wangetusumbua waenda kwa mjombaees

  • @husseinbakari8903
    @husseinbakari8903 5 ปีที่แล้ว +1

    fika na kambini kichokochwe

    • @ahmedsaidi850
      @ahmedsaidi850 4 ปีที่แล้ว

      Nyumban kichokochwe mkambaya Jr hapa

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 ปีที่แล้ว

    Dah yan huo wimbo unanikumbusha mbali

  • @issamakameissa7446
    @issamakameissa7446 ปีที่แล้ว

    I love Pemba big up

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 5 ปีที่แล้ว

    Inshaallah mwaka nikakokuja pemba lazima nikatembelee hio ngome kongwe

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 2 ปีที่แล้ว

    Nice pemba islands

  • @hidayaali8619
    @hidayaali8619 5 ปีที่แล้ว

    Nikienda pemba sitamani kurudi lakini da nimeolewa

  • @mohdsalum5836
    @mohdsalum5836 3 ปีที่แล้ว

    mh mtihani wallah badala ya kulilia dini unaenda kulilia maendeleo maendeleo so kitu kesh akhera

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 ปีที่แล้ว

      Nyinyi wengine asa maendeleo nimuhimu baba

  • @khamisally5436
    @khamisally5436 5 ปีที่แล้ว

    nyumbani ni nyumbani , kwetu kisiwa cha marash ya karafuuu.

  • @omarbyz8695
    @omarbyz8695 3 ปีที่แล้ว

    ILOVE YOU PEMBA

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 5 ปีที่แล้ว

    Mm na taka niiyone santuri jamani siijui

  • @ashamakame1812
    @ashamakame1812 4 ปีที่แล้ว

    Ilove pemba

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 5 ปีที่แล้ว

    Ahsante ktv kwa kutukumbusha kwetu hio ngome kongwe ya pemba ndio nimesikia leo nilikua sijui na iko sehemu gani chake

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505
    @hamnakituumupumbatupumohd8505 5 ปีที่แล้ว

    hamna kitu hapo kisiwa round about unazihesabu, Pemba nyumba mbele mjini ila kwa nyumba kijijini full migomba

    • @omarabeid7490
      @omarabeid7490 4 ปีที่แล้ว

      Na kwenu vipi hakuna migomba?

    • @khamishamad5044
      @khamishamad5044 2 ปีที่แล้ว

      Hamna sehemu isiyo na migomba acha uongo na ushamba tutajie ww unatoka mkoa gani kusiko na pori

  • @firstname600
    @firstname600 5 ปีที่แล้ว

    Naipenda PEMBA

  • @BESTTV1LIVE
    @BESTTV1LIVE 5 ปีที่แล้ว

    Kaz nzuri ktv

  • @abdijuma2435
    @abdijuma2435 5 ปีที่แล้ว

    mbon hujaatuoneshaa fahari zeetu

  • @idrisasalum8013
    @idrisasalum8013 5 ปีที่แล้ว

    Mtabakia na mahistoria yenutu Ila maendeleo mtayasikiatu kwenye radio na vigoma vyenu vya kibati

    • @ridhiwaniridhiwan4497
      @ridhiwaniridhiwan4497 5 ปีที่แล้ว

      Vzr wewe uliko kwny matajir ingja lakn kmbka bila ya wapmba haujawa

    • @عايشهسعيد-ض5ذ
      @عايشهسعيد-ض5ذ 5 ปีที่แล้ว

      Apo unguja mji unanuka mwenyew nimepakimbia unguja niko ughaibuni nikirudi unguja hua naona kam nimeingia shimoni

    • @hamnakituumupumbatupumohd8505
      @hamnakituumupumbatupumohd8505 5 ปีที่แล้ว

      nani alokuambia unguja imejengwa na wapemba

    • @hamnakituumupumbatupumohd8505
      @hamnakituumupumbatupumohd8505 5 ปีที่แล้ว

      mmmh kojan micheweni kusafi

    • @talibmuhsin5221
      @talibmuhsin5221 2 ปีที่แล้ว +1

      Ww hujielewi mpumbav nn , iyo unguja yenu kma hakuijenga MPEMBA au wafany biashara wakubwa wapemba isingekua Ivo nyau ww