CHUMBA KILICHOBEBA HISTORIA HALISI YA PEMBA - ZAIDI YA MIAKA 200
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- Unaijua Ngome kongwe iliopo Unguja, lakini je waijua Ngome kongwe ilio Pmeba? Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Kama unapenda harakati z KTV zinazoendelea Pemba, comment neno Hakika hii ni Fahari yetu
Hakika hii ni fahari yetu
Nyumbani ni nyumbani tu Kama unaipnda pmba comment love you pemba
Love u pemba
Alhamdulillah nashkr san kuwa mpemba na nashkr kufika eneo hili nikiwa form one nilifurahi san ❤❤❤ pemba nikwetu pemba niyetu tunaipenda sana ❤❤❤❤
Jasiri haachi asili pembe ni kwetu
Pmba ni nyumbn
Ni muhimu sana kujua historia ya maeneo yetu
Naipenda pemba ni kwetu nina haki ya kuithamini na nimezaliwa huko🥰🥰
Niliwahi kuitembelea miaka y Zaman tangu nasoma shule y msingi...nafurah kuiona pemba na naipenda sn pemba...nakuomba
Mungu niwe mmoja Kati y watu wataojaaliwa kuibadilisha pemba kimaendeleo
Nilizaliwa pemba nikakulia pemba nikasoma pemba na inshaallah namuomba Allah wakati wa kunichukua kwenda kwake anichukue wakati nikiwa pemba inshaallah,najisifu kua miongoni mwa watu waliopata kuitwa watu wa"PEMBA"
Love u Pemba
jamani mimo mzaliwa Wa unguja lakini napenda kutembea Pemba kwa marafiki zangu
Nice, welcome i will be your host
MZEE wetu uko vizuri sana kihistoria Mwenyezi ukupe umri mrefu na wenye Afya.
Unguja ndo nn?
Najisikia fakhari kuwa na asili ya kipemba...Pemba nkwetuuuu I love it
Aisha Ahmed
@@Neighborsjiran naam
Wapemba kweli tutabaki na Mahistoria yetu maana tunawachumia karafuu Maendeleo yanaletwa kwenu sisi Munatuona ni wajinga lakini kumbuka jinga ukilierevua utajua katika maisha yako
Mwazo kuvuka ncwezi labda niende na ndege😛
Yani wapemba sisi tumebarikiwa Sana
Like kama umepaona miembeni
Love you PEMBA
nikiwa italy nime miss pemba ilove pemba
Hakika hii ni Fahari yetu.
Daaah miss sana home kitambo sana nimeondoka ila nyumbn nyumbn tu
pemba khalisii na watu wake poa sana
Waume wa kipemba wako tele si lazima uishi pemba
kwetu uko jmn
Nyumbani ni nyumbani nitarudi tu
Ndio nikasema DNA za kireno zipo bado Pemba. Hebu angalia machotara wa Brazil na machotara wa Kipemba utaona hawana utofauti. Haiwezekani wareno wakae miaka zaidi ya mia tatu wawe hawajazaa na wenyeji. History ndio hivyo tupende tusipende ndio history
Fika na makangale ipo historia
Hakik ni fahar yt
Natafuta mume walipemba lkn maisha kwetu kenya pemba ckuwezi
Mimi hapa
Hahaha jamani je kama mm jini au kilema
ww alie kwambia jini anatumia social media ni nani, ila hata hivyo umentisha naondoa mobile No. yangu
Hahahaha
Kama wewe ini mimi Doctor wako
Assalmu alaykum warahmatullahi wabarakatuhu niependa hili ni jambo zuri kutujuza historia yetu.
bora walivofukuzwa hao wareno
Nice
jaman pemba inanikatisha Tamaa ya kimaisha natama nirud nyumban lakin duuui
usikate tamaa mpendwa uko wapi kwani kaka
Unacomment nini ww....?
Comment zako za kibuuzi sana brother
al bait mkataa kwao mtumwa usikate tamaa m
Mhh tangia kale wapemba wakipata upenye harudi kwao, huolea ugenini na baadae huwachukia waliowapokea na kuwapa makaazi
Bora Wende kuwepo wawo
Kuliko Saiz tulivyo banwa na maisha
I love you so much pba
Mambo
mpaka Leo sipati picha kama bakhresa angekua mpemba kuna wapuuzi wangetusumbua waenda kwa mjombaees
fika na kambini kichokochwe
Nyumban kichokochwe mkambaya Jr hapa
Dah yan huo wimbo unanikumbusha mbali
I love Pemba big up
Inshaallah mwaka nikakokuja pemba lazima nikatembelee hio ngome kongwe
Nice pemba islands
Nikienda pemba sitamani kurudi lakini da nimeolewa
mh mtihani wallah badala ya kulilia dini unaenda kulilia maendeleo maendeleo so kitu kesh akhera
Nyinyi wengine asa maendeleo nimuhimu baba
nyumbani ni nyumbani , kwetu kisiwa cha marash ya karafuuu.
ILOVE YOU PEMBA
Mm na taka niiyone santuri jamani siijui
Ilove pemba
Ahsante ktv kwa kutukumbusha kwetu hio ngome kongwe ya pemba ndio nimesikia leo nilikua sijui na iko sehemu gani chake
karibu na spitali ya chake
hamna kitu hapo kisiwa round about unazihesabu, Pemba nyumba mbele mjini ila kwa nyumba kijijini full migomba
Na kwenu vipi hakuna migomba?
Hamna sehemu isiyo na migomba acha uongo na ushamba tutajie ww unatoka mkoa gani kusiko na pori
Naipenda PEMBA
Kaz nzuri ktv
mbon hujaatuoneshaa fahari zeetu
Mtabakia na mahistoria yenutu Ila maendeleo mtayasikiatu kwenye radio na vigoma vyenu vya kibati
Vzr wewe uliko kwny matajir ingja lakn kmbka bila ya wapmba haujawa
Apo unguja mji unanuka mwenyew nimepakimbia unguja niko ughaibuni nikirudi unguja hua naona kam nimeingia shimoni
nani alokuambia unguja imejengwa na wapemba
mmmh kojan micheweni kusafi
Ww hujielewi mpumbav nn , iyo unguja yenu kma hakuijenga MPEMBA au wafany biashara wakubwa wapemba isingekua Ivo nyau ww