DUDUBAYA AMKAANGA CHIEF GODLOVE MAMBO YA UFRIMASONI APANIA SHOW YA CONGO ALIPWA MILIONI 20

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny

ความคิดเห็น • 100

  • @zeroconscious1916
    @zeroconscious1916 หลายเดือนก่อน +3

    Nipo hapa Botswana, nakuelewa sana Dudu & all my family

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff หลายเดือนก่อน +6

    Watoto wadogo hawawezi kukuelewa dudu mungu akutangalie katika harakati zako

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone หลายเดือนก่อน +4

    Anaongeaga poa saw huyu msukuma ❤

  • @evawilliamchatila8211
    @evawilliamchatila8211 หลายเดือนก่อน +1

    Mwamposa alimuombea hadi ufahamu sai anaongea ponti sana n milango imefunguka❤
    Mungu yupo

  • @Patrick-n2u
    @Patrick-n2u หลายเดือนก่อน +5

    Congo unajulikana ni inchi ya kiswahil😂i goma bukavu uvira Baraka mpaka ubwari

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 หลายเดือนก่อน +3

    Dudu is very smart

  • @TIZZOBOYOFFICIAL
    @TIZZOBOYOFFICIAL หลายเดือนก่อน +1

    uyu ni Mr nice

  • @revocatusawadhi6550
    @revocatusawadhi6550 หลายเดือนก่อน +18

    Kuna watu wasenge hun et kw nyimbo zp,watu wanaoulizia hivi nadhan mmezaliw mwk 2009

    • @Mbaley
      @Mbaley หลายเดือนก่อน

      Sasa kk génération yake ingeli unajua hâta kuruka?😂

    • @charleskaozya9924
      @charleskaozya9924 หลายเดือนก่อน +1

      Hawajui madude ya dudubaya lipigwe cheka kidogo nione wako mwanya aiiiii weee watoto wadogo awajuiiii

  • @fezabillionea9398
    @fezabillionea9398 หลายเดือนก่อน +1

    Ila kwa Zambia 🇿🇲 hapana aisee

  • @bossmtoto133
    @bossmtoto133 หลายเดือนก่อน +1

    Komoro nakujuwa mimi na mdogo wangu tuu haki ya mungu konki😂

  • @masacha_dichampionbway
    @masacha_dichampionbway หลายเดือนก่อน

    Dudu Baya aka mambaz ati huyo kama anaweza pita nae kama upepo 😂😂😂😂😂 Mungu azidi kukuinua bro

  • @Diskava14
    @Diskava14 หลายเดือนก่อน +2

    Wote mnao mkundia dudu baya wote machoko

  • @IsackManene-gt2ym
    @IsackManene-gt2ym หลายเดือนก่อน +1

    Bro, your wisdom will live . Mungu akutunze

  • @Directorchusseyt1637
    @Directorchusseyt1637 หลายเดือนก่อน +1

    Jaman hao mafara wanao sema hawa mjui dudu baya hiv wanaishi dunia gani

  • @DivineWisdom-o8y
    @DivineWisdom-o8y หลายเดือนก่อน

    Anza kumuimbia Mungu achana na bongo fleva haiwez kukusaida

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 หลายเดือนก่อน +2

    Kama vile imani ni nyingi, ukristo umegawanyika vikundi vingi ambavyo kila kimoja kinajitetea kivyao. Freemason=waashi huru.
    Waache kivyao wawe huru kama ninyi mrivyo huru. Freemason ilianzishwa na warumi

    • @beatricejohn1659
      @beatricejohn1659 หลายเดือนก่อน

      Watu hawajui dini kazi kuhukumu ndio maana wanashindwa kufurahia dunia.

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk หลายเดือนก่อน +1

    Eeeeh jamaniiiii nyie wasaniiiii si mtawauaaaaa hao wachezaaaa show eti mnabana matumiziiii gharama wachezeee kwa zuchu mbosso lavalava queen darlin achezeee usiku hadi asubuhiiii mtawaua madancer mtamuuaaa angel nyigu na iyoboooo

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga หลายเดือนก่อน +1

    Kusaga mchawi sana

  • @user-jg6hm9cr9t
    @user-jg6hm9cr9t หลายเดือนก่อน

  • @PatrickKenga-ls8ty
    @PatrickKenga-ls8ty หลายเดือนก่อน

    Ww unafakuwa presoo wa wasanii wote tanzania unakili sana DuDu

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai หลายเดือนก่อน +2

    Kwa nyimbo zipi tisheti badilisha au kauka nikuvae

    • @abelmwakipesile9868
      @abelmwakipesile9868 หลายเดือนก่อน

      Mjinga wew

    • @jamesjoseph6825
      @jamesjoseph6825 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe ni mchaga kweli au umeiba jina? Hebu kasikilize nyimbo zake halafu urudi tena hapa, enzi za mr nice ndo waliwika sana na huyu mwamba, kuna wasanii wakubwa leo walikuwa wanavutiwa na huyu mwamba, bila shaka umezaliwa mwaka 2005

  • @user-lh2eg7xm9d
    @user-lh2eg7xm9d หลายเดือนก่อน +2

    Wewe wa 2005 kaa kimya uwezi mjua

    • @Maboki265
      @Maboki265 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂🔥🔥

  • @Zaikadena
    @Zaikadena หลายเดือนก่อน

    Mungu mwema akuinue tena

  • @japhetsilungwe4719
    @japhetsilungwe4719 หลายเดือนก่อน +2

    GOD time is the best

  • @FelistatituschuwaTituschuw-b8h
    @FelistatituschuwaTituschuw-b8h หลายเดือนก่อน

    Sasa ata kama umeisha kimziki ndoujiweke rafu rafu ivyo???

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z หลายเดือนก่อน +1

    unaenda kutumbuiza nyimbo zipi?? Tutajie

    • @Lilmbunah
      @Lilmbunah หลายเดือนก่อน +1

      Unaijua mpenzi wew mtoto wa 2000 nyamaza

  • @khamis9187
    @khamis9187 หลายเดือนก่อน

    Akutake nani dudu, unaanza kukimbilia kwa mwamposa, mwisho wa siku utaenda kwa kalumanzila, lakini bado vyuma vimekaza...sauti yenyewe ishpotea!!!.

  • @ashantinicas
    @ashantinicas หลายเดือนก่อน +1

    corona ikaiingia wakkafunga mikapa 😂

  • @AthumaniBakari-o6r
    @AthumaniBakari-o6r หลายเดือนก่อน

    Congo ipi kaka KINSHASA AMA LUBUMBASHI

    • @SundayMbatia-hr8qp
      @SundayMbatia-hr8qp หลายเดือนก่อน

      Anasema anapitia Rwanda bila shaka itakua lubumbashi

    • @DannyAlfred-yx4jc
      @DannyAlfred-yx4jc หลายเดือนก่อน +1

      ​@@SundayMbatia-hr8qpnon siyo lubumbashi ni goma town kwenye stadium afia

  • @LEONARDMPEMBA-e8u
    @LEONARDMPEMBA-e8u หลายเดือนก่อน +1

    WATAZANIA WOYEEEEEEEE😮

  • @TumainiMchomvu-zv3sv
    @TumainiMchomvu-zv3sv หลายเดือนก่อน

    Jamaaaa anaa akili sanaaaa

  • @user-sx1ln4yg8k
    @user-sx1ln4yg8k หลายเดือนก่อน

    Malawi let's gather here aliyese waku Blantyre kuchilobwe

  • @GODBLESSINGS-hs6yj
    @GODBLESSINGS-hs6yj หลายเดือนก่อน

    Akili ndo kilakitu siyo ngoho america

  • @MerrySamsoni
    @MerrySamsoni หลายเดือนก่อน

    Damu ya YESU ikatende mema juu yako.

    • @lucympelembwa7836
      @lucympelembwa7836 หลายเดือนก่อน

      Hapa damu ya Yesu imeingiaje Sasa???

  • @KIDUCHUCASHPOINT
    @KIDUCHUCASHPOINT หลายเดือนก่อน

    Mh 😂,zombi weeh

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 หลายเดือนก่อน

    Dude baya acha kuzingua

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l หลายเดือนก่อน +1

    Huyu nae kachoka machine na vjn

  • @DanielSumuni-mh4hn
    @DanielSumuni-mh4hn หลายเดือนก่อน

    Sasa nyie wandishi wapumbavu apo dudubaya ame kaanga nini

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Kiganja
    @Kiganja หลายเดือนก่อน

    hivi ni sawa kwa Bongo5 kurekod video kamera ikiwa outfocus?
    Na ukubwa wote huo? that so shame aisee

    • @W1T647
      @W1T647 หลายเดือนก่อน

      Ubaya wake Nini Sasa kaka

  • @amrimkamba
    @amrimkamba หลายเดือนก่อน

    Anamuiga Andrew Tate

  • @BuhetySharia
    @BuhetySharia หลายเดือนก่อน

    Condition zake ni zipi😅😅😅

    • @alibachirofficial3939
      @alibachirofficial3939 หลายเดือนก่อน +2

      Bro acha dharau o sio mpeda wezio wananampenda.kwanfano huku Mozambique anapendwa sanaaa . watu wanapenda mzink nayeye anahitizake kibawo. Nyie uwa amupendi viyakuweno...

  • @qtrqtr8016
    @qtrqtr8016 หลายเดือนก่อน

    KENYA HATUKUTAKI TENA

  • @michaelmndeme-jc7md
    @michaelmndeme-jc7md หลายเดือนก่อน

    Dudu baya alikuja mpimbwe katavi huku kwenye ukumbi WA kaparare kama darasa mwamba huyuuuu mmmmm

  • @Mbaley
    @Mbaley หลายเดือนก่อน +1

    Sasa dudubay uta perfom wimbo gani sasa ?🇨🇩🤷

    • @paulsanga7591
      @paulsanga7591 หลายเดือนก่อน +1

      Ttz mtt wa 2009 ww

    • @DennisFandi
      @DennisFandi หลายเดือนก่อน +1

      We unachekesha shida hamtembei, hizi nchi za jirani wasanii wazamani wameacha alama wanakubalika kuliko wapya.

    • @RaphaelMuhindo-fg8el
      @RaphaelMuhindo-fg8el หลายเดือนก่อน

      Kongi

    • @Marwawilliam
      @Marwawilliam หลายเดือนก่อน

      Sasa mtoto wa 2012 utamjua konk master kweli

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 หลายเดือนก่อน

    Kaka Piga kazi tunakukubali

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 หลายเดือนก่อน

    bro kapige hela hizo

  • @muchirifredrick4674
    @muchirifredrick4674 หลายเดือนก่อน +3

    Sijui nyimbo ata Moja ya dudu

    • @MaulidHaji-tx2gi
      @MaulidHaji-tx2gi หลายเดือนก่อน +1

      Kunguru hafugiki

    • @israelnibigira4990
      @israelnibigira4990 หลายเดือนก่อน +2

      Una myaka mingapi?

    • @bonsondavid5756
      @bonsondavid5756 หลายเดือนก่อน +2

      Umezaliwa 2010

    • @augustinhopastory1142
      @augustinhopastory1142 หลายเดือนก่อน +2

      Kaa kushoto tupishe wakongwe

    • @Directorchusseyt1637
      @Directorchusseyt1637 หลายเดือนก่อน +2

      We kama unasema hujui Wala kusikia wimbo wa dudu baya.hatushangai maana ww ndio kizazi Cha kina marioo ivyo kaa utulie

  • @Aliytwaha
    @Aliytwaha หลายเดือนก่อน

    Kabla ajaenda aende saloon basi

    • @PhilipPhanuel
      @PhilipPhanuel หลายเดือนก่อน

      Watoto wa 2000 hawawezikumjua huyu mwamba

    • @jamesjoseph6825
      @jamesjoseph6825 หลายเดือนก่อน

      Huelewi maana ya msanii

  • @khamis9187
    @khamis9187 หลายเดือนก่อน

    Sasa ww dudu!!! Africa asilimia kubwa ya watu wake ni vjana, wewe uliimba takriban miaka 20 nyuma, huna maajabu tena...tuache kidogo uongo mtupu!!..

    • @DaudiSaid-bj7dh
      @DaudiSaid-bj7dh 20 วันที่ผ่านมา

      Yeye pia analijua hilo na hawezi imbia watu wasioelewa. Watoto wakaimbe nyimbo zao na akina Harmonize

  • @JandaalHaqeem
    @JandaalHaqeem หลายเดือนก่อน +1

    Dudu bay, kipaj huna😅

  • @user-gy3bv7nm7d
    @user-gy3bv7nm7d หลายเดือนก่อน +1

    Kwani huyu nae nimsanii kumbe😂😂😂

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 หลายเดือนก่อน +5

      Mtoto wa elfumbili 15 utajua nini pole😂😂😂

    • @kennethkatanakabui2664
      @kennethkatanakabui2664 หลายเดือนก่อน

      Si Makosa yako, ulizaliwa juzi.

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq หลายเดือนก่อน

      ndio ila nakuelewa maanake wew wa 2000

    • @NyagoIncmedia
      @NyagoIncmedia หลายเดือนก่อน

      Ndio unavunja ungo nini

    • @user-pu6pr5jt4n
      @user-pu6pr5jt4n หลายเดือนก่อน

      Ww mtoto wa elfu 2.tuliza boli
      Hyu ndo msanii wetu mkubwa enzi hzo

  • @user-mg7eb2zb8p
    @user-mg7eb2zb8p หลายเดือนก่อน

    Nguo siyo garama 😢😢😢 ??

  • @The_mediator255
    @The_mediator255 หลายเดือนก่อน

    Uongoo😅

  • @evaristjames9845
    @evaristjames9845 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa muongo alishafanya sho kibamba Tena sio club ni bar mnafiki huyu

    • @user-en5sg8bs4p
      @user-en5sg8bs4p หลายเดือนก่อน +3

      Ww ambae si munafiki wimbo wako unaitwaje au ushafanya nn sa kama munafiki Mbona unamfatilia

    • @resgoldphilays1800
      @resgoldphilays1800 หลายเดือนก่อน +1

      MBONA ASIRA KAKA