Bwege, Wabunge kama Mbumbumbu Kila Kitu Ndio/Wabunge Wapigwa Ganzi/CCM Itashinda Kama Itafanya Hivi.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2020
- Mhe. Bwege alichangia mchango wake katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2019.
- บันเทิง
Who's still watching this till now???
Mie naangalia leo 1-1-2023
2023
Am here
jamaa alitabiri kuhusu 2020 #ccm kua wenyewe #bungeni dah!😭
Mtu mzima uyu anaona mbali
Pole sana mheshimiwa jipange2025
Mzee anaongea point san
Tulio kuja hapa baada ya uchaguzi 2020 tujuane kwa likes. Mungu ibariki Tanzania.
Nipo
Npooo
Jamaa kaongea point kweli ila watakaomuelewa wachache Sana..
Sio wachache tu pia wenye uelewa zaidi sio juu juu tu
Na ndio mana wame mtoa. Sidhani alishindwa
hehe this guy......I would like to catch Tanzanian live parliamentary seatings....love from +254.
Nimekupenda bwege unaweza sana siasa
Mnangalia nanikasema sio nn kasema noma sana point mzee
Chuma hicho naomba watu wa kusini helua mleteni tena
Kabisa waache mambo ya uchama mjenge nchi, mnanjaaa eeeeeh mmeshiba eeeeeh
Yametimia sasa kweli bwege ambao wasiokujua n wanakujua kwa hiki kilichotokea uchaguzi wa Oct.28 2020 uchafuzi mtupu
Sahz bunge sijuiiiii.
Hawa Ndo wabunge wanaotakiwa sio wagonga meza
Taarifa ya kuforce hiyo
hehe the best speaker ever.......
Yaani hili jamaa huwa nalipenda sana linaongeaga point tupu hadi raha
Bwege umetishaa
Raha ya bunge lichangamke na uchangamfu wa bunge nikusema ukweli sio kufcha maovu
Imekaa pow
Mnaangalia nani kasema hamuangali nini kasema🏃🏃🏃
Wewe unaona kuna jipya gani toka kwake? Jamani kweli hata jambazi hakosi rafiki.
@@epafrangweshemi4014 Kwan yy kakuambia yy nirafk yake, nilip Bay hyo mbunge kaongea, niwale wale mbumbu
@@makongoronyerere2595 sawa kbs hao ndo wamejaa uchama uchama tu je anachoongea sio chaukweli?
Yametimia ni ccm wote
Wataanza kupigana
Asante kwa maneno yako na ujumbe murua
Tunaimani 2025 Dhulma haitokuepo tena tutakuona tena Mjengoni Bwege tumekimc sana mzee
Mheshimiwa ndugai ukimsimasha mheshimiwa bwege/bungala Atoe Hoja zake Aaaaa! Huwaga anachangamsha Ukumbi mzima wa bunge. Hata alienuna Lazima Aonyeshe Tabasam... 😂😂😂😂😂
Sasaivi watakua wanafiki watupu sio bunge tena
Nakukubali sana mbunge bwege
Hili ndo lilikuwa bunge bhana hii imeenda
Nimeangalia tena leo baada ya kuwaona wabunge wa Kenya wakimpongeza Ruto kwa kukataa kusaini sheria ya kodi waliyopitisha bungeni
bwege yuko vizuri
we ulisikia wapi 😂😂
Speech hii inaa maana leo hii baada ya matokeo ya uchaguzi
I like this man
Yametimia dah any way you saw it coming😌
Yaan we Acha tu kaka😭😭
Dah!! Bwege kumbe unapoint bhana
Mungu ampe afyaah njema bungara
Bring Back Bungala bwege
Good speech
Mungu akutangulie
Mnaaangalia nani kasema hamwangalii nini kasema
Alitabiri kweli
Bwege una akili nyingi San ulitabili vizur
Ukweli ndio huu, 2020 kura zote zitakua hivi.
Kugombea kupitia chama hiki si lazima ufanye lolote ukiishachaguliwa. Serikali itafanya. Useme usiseme, serikali ipo. Wewe tulia na ule nchi kwa miaka mitano. Kusemasema si vizuri wakati wa kula. Hiyo ni kazi ya wasio na chakula.
Kwa nini kuna ukame wa wagombea katika vyama vingine? Nimesikia mbili zikisemwa na wengi kati ya nyingi:
1. Hawatapitishwa na tume kugombea. Fomu zitachafuliwa. Wafuasi wao watazuiwa kupiga kura. Wakijitokeza vituoni watazuiwa. Wakilalamika watakamatwa. Wakipiga kura hazitahesabiwa. Zikihesabiwa hazitatangazwa. Ni utitiri wa visa.
2. Kugombea kupitia upinzani ni maisha ya roho mkononi kila wakati. Kufutiwa uraia, kubambikiwa kesi, kufilisiwa, kutekwa, kujeruhiwa, kuuawa, na kuteswa kisaikolojia. Ni utitiri wa visa na hofu. Unashika fomu ya kugombea mkono mmoja na mkono wa pili unaandika wosia.
Wasiwasi tu, nchi hii wapinzani mna raha kulinganisha na nchi nyingi DUNIANI ila mtambue tu kuwa upinzani sio kinga ya kuvunja sheria. Hivi wewe unakwenda fanya vurugu za kisiasa magereza si watafuta ubaya. Kule sio hospitali kuwa manesi watakupa pole nyingi kule mafunzo ni mengine. KUJITAMBUA ndiko kunahitajika.
Point
Nini kasema! Kama huna akili yakuchanganua point zake, huna tofauti na wale wa ndio!
Ulisikia wp
Ni muugwana
Safi sana kuhusu mashehe aisee
Ukiwa msema kweli lazima uchukiwe
Mmeshiba eeeenh mna njaaa eeeenh...🤣
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Hilo dole lipi sasa Bwege 😂
Ndio ilivyokua sasa
We ulisikia wapi?
2025....umepita .
Daa mzee uliona mbali
Safi kbs wabunge km hawa ndo tulikua tunawataka sio baya ndioo zuri ndioo
Hawa watu muhimu sana Tanzania kilichobaki sasa sio bunge unafiki mtupu Demokracia sasa hamna tunadanganyana tu kilichobaki ndio mzee umeshiba Eee unanjaa Eee
Yaan we Acha tu kaka😭😭
Oooolisikia wapiii chadema wakashindwa
Mheshimiwa ndugay tunataka na kigwendu aje bungen hawa wazee wa komedi ni wazur wanatowa hoja na kuchangansha bunge
Daaaah we akili yako mmmmmm
Kule tunatunga sheria na kusaka maendeleo ya wengi sio komedi.
O
Tumekumic bungeni selemani bungala
Jembe sana
CCM DOLEEE
Nafikili huyu mzee ni bunge comedy na hua andaliwa kabisa njoo upoteze muda atuna ajenda anaongea anavyo jisikia vizuli nimeipenda
Weeeee uliskiaa wapi
Kwl kbs
One of big brain in Tanzania bwege old man but has big brain into tanzania palament house although name bwege in Swahili is lschupi ward but has capacity of open this brain in Tanzania Palament house
That was lmotion into Tanzania Palament house soon after bwege jokes mp of ccm when gavment say stomach is full yes when gavment say your hangry yes you don't have to protect gavment your here protect Tanzania people not gavment has capacity of big challenge into palament
Mzee anapiga misumariii hatari😂😂
Hahahahaaha mzee guud sana
Hii ndio maana ya vyama pinzani bungeni lengo ni kuwa challenge chama tawala 👏 ili kizidi kufanya vizuri zaidi katika shughuli zake za kiutawala
Wananchi hamjakosea kumchagua huyu jamaa
True
Nani yuko hapa leo bungeni ccm wote....mzee alisema kweli...
Ulisikia wapi
Kulichangamka sana kwakweli😂😂
Endelea kutupa burudani mi nakukubali mzee
Yametimia
We ulisikia wapi😄😄😄😄
😁😁😁 mheshimiwa bwege daah
Hahahahahahahahahahahaha
Uyu jamaaaah kamlithi lissu
Ila Lisu ni bwege msomi anajijua mwenyewe tu atokako na aendako. Kasumba nyingiii.
huyu bwege aliona mbali leo 2023 aliyoyasema ni yakweli wapinzani wafanye siasa wasivunje amani
Kidogoooooooo Mahakama
Mbunge huyu alikuwa na maono kweli
Leo ccm wanaumana wao Kwa wao
🔥🔥🔥🔥
Hahahahahaha case za kubambikia
Speaker wa bunge is unfair to Bwege, anaingilia tu akose his train of thought.
Aliyoyasema bwege yalikwisha kutumia
Kumbe lilipangwa
mbunge makini sana ana hekima
Namkubali uyuuuu
Daàaah basi tu tumekosa mengi bungeni
🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Job Ndungai....bana😃😃😃
Hayo yalitimia
CCM wanataka watu watakao ficha maovu yao sio kuyatangaza kwa wananchi watachafuliwa CV zao sasa mwaka huu mpo peke enu bunge zima hata mtu akikabwa na vibaka wasitangaze wakae kmy kbs hii nchi bhana yaajabu kbs ila kila chenye mwanzo hakikosi mwisho
Nice
Vzuri bwege
Na hayo ndio tutayaona Sana bunge hilii
Huyu Mp watanzania mumulegeshe kazi mana Ni bingwa simba kabisa. But ningumu kumuludisha mana serikali za frika kuuwa na kufunga waisilamu ndio kazi.hawaezi acha pesa za wamerika wanapewa kama malipo yadamu yawaisilamu
Ndiyoooo,
Namwelewa Huyu
Mmeshiba eeeeeh mnanjaa eeeeeh
jamani watu wa Lindi mleteni uyu mtu
Kutana Na mbunge bwege,mbunge mzitoooo,sana hahaha huyu ndio mbunge ninaye mtaka mimi