KABLA YA KUUMBWA DUNIA ALLAH ALIKUA WAPI?// SHEIKH OTHMAN MAALIM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ค. 2023
  • Ni swali zito lakini hata Mtume wetu aliulizwa swali hili
    ambalo limejikita sana katika TAUHID
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 514

  • @jeremiahmoemi9606
    @jeremiahmoemi9606 9 หลายเดือนก่อน +286

    Nilisilimu mimi na familia yangu yote kwa ajili ya haya mawaidha ya kupendeza hivy😊❤

    • @aishawangui-pr4ye
      @aishawangui-pr4ye 9 หลายเดือนก่อน +36

      Neema kumbwa iyo Allahu Akbar..mimi peke ata watoto wangu bado ..yarabbi fungua roho ya watoto wangu waseme shade kabla mauti

    • @HASSANNGOME-ow3ob
      @HASSANNGOME-ow3ob 9 หลายเดือนก่อน +15

      Mashaallah! Allah akupe ucha mungu wewe pamoja na familia yako

    • @adijarashidswedi6979
      @adijarashidswedi6979 9 หลายเดือนก่อน +8

      Manshallah 🤲

    • @abdullakhalfan31
      @abdullakhalfan31 9 หลายเดือนก่อน +4

      MASHAA ALLAH

    • @yaedlifemedia3203
      @yaedlifemedia3203 9 หลายเดือนก่อน +5

      ​@@aishawangui-pr4yehakika watakuwa kwa uwezo wa Allah

  • @Seifchui007
    @Seifchui007 3 หลายเดือนก่อน +19

    Sheikh Athuman maalim ni mtu WA maana kabisa Allah akupe umri mrefu

  • @jumannembaraka5528
    @jumannembaraka5528 3 หลายเดือนก่อน +14

    Mungu akujaalie umri mrefu uzidi kutupa elimu

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 10 หลายเดือนก่อน +38

    Shekh Othman Allah akupe umri mrefu na afya njema❤

    • @fatmaomar2996
      @fatmaomar2996 7 หลายเดือนก่อน

      Amiiiiiiiiiiiin Amiiiiiiiiiiiin thumma AmiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinN

    • @user-ie7yt9db6f
      @user-ie7yt9db6f 5 หลายเดือนก่อน

      Ameen ya rabi

    • @badruboy__
      @badruboy__ 3 หลายเดือนก่อน

      Amin 🤲

    • @nassorali1034
      @nassorali1034 3 หลายเดือนก่อน

      Amiiin walahi laadhim ishaallah amjaalie

    • @seiffakir8694
      @seiffakir8694 3 หลายเดือนก่อน

      Amin 🤲

  • @Felice_Dubet
    @Felice_Dubet 3 หลายเดือนก่อน +5

    Alhamdullilah suala la mungu watu wengi wanajiuliza. Sheekhe wewe umejibu vizuri masha Allah. Allah akupe baraka

  • @mrishosudi1896
    @mrishosudi1896 11 หลายเดือนก่อน +16

    Allah Allah Allah Mawaidha Matam sana Allah azidi kumpa Afya Shekh wetu lakini pia na wanao fatilia darsa hili kwa nia ya kheri😊

  • @EstherKomba
    @EstherKomba 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu akubariki naomba t uniombee mm ni mkristo lakini nimeprndezwasana na mafundisho naomba unidlim

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mtafute sheikh kwa namba hizo zilizoandikwa hapo juu in shaa Allah utaufahamu zaidi Uislam na utasilimu

    • @dennisezakiel3380
      @dennisezakiel3380 2 หลายเดือนก่อน

      Hivi unajua hadidhi maana yake nini?

    • @user-ei3ps8dw8h
      @user-ei3ps8dw8h หลายเดือนก่อน

      Mungu atakuongoza amin sisi some wangonjjwa hata ni waislàmu mungu atutibu

  • @AhAu2-oi5wn
    @AhAu2-oi5wn 2 หลายเดือนก่อน +1

    Barak llah....Allah akulipe kwa kutoa darsa

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 2 หลายเดือนก่อน +1

    Allah namuomba anikutanishe nawe live kabla ya kufa nimuombe Allah akupe ninachokipeda kutoka kwake akupe maana wewe ni wa kuombewa jema wala siyo baya inshaallah

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali1136 9 หลายเดือนก่อน +16

    Mashaallah, sheikh wetu Allah akulipeni pepo ya firdaus aalaa, Ameen!
    tumeilimika kwa darsa hi!

  • @user-so9rn6ld3n
    @user-so9rn6ld3n 7 หลายเดือนก่อน +4

    Sheikh hongera sana kwa kazi nzuri, Mungu kakujaalia Mungu akuzidishie kheri

  • @jeremiahmoemi9606
    @jeremiahmoemi9606 9 หลายเดือนก่อน +14

    Uìslamu ndio Dini ya haki waaAllahu akbar

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 8 หลายเดือนก่อน

      Na ndiyo maana majini yalisilimu kuwa waislam.

    • @user-ce4ec5vc7j
      @user-ce4ec5vc7j 8 หลายเดือนก่อน

      Naona kafiri unateseka sana😂😂😂

    • @leedsoldat4189
      @leedsoldat4189 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa Nan kafir apo????​@@user-ce4ec5vc7j

    • @handsomembuvi
      @handsomembuvi 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@mwassamwassa7264 Ndio, majini yanaona haki na binadamu aliyeahinda jini akili anashindwa kufutata haki

  • @user-eq9yi7pz4i
    @user-eq9yi7pz4i 9 หลายเดือนก่อน +4

    Shukran shekhe wetu Kwa kutuelimisha,Allah akuzidishie kila la kher na tuzidi uelimishana na kuongozana katika mambo ya Kher In Sha Allah 🤲

  • @user-ck3gw7ok7r
    @user-ck3gw7ok7r 2 หลายเดือนก่อน

    Allah akulipe na akutunze❤

  • @user-he1bj6kt6y
    @user-he1bj6kt6y 11 หลายเดือนก่อน +9

    Innalillah wainnailaih rajiun Allah tulinde tusiwe iblisi mpinga ukweli, ukifa 2ukweli utauona na utajutia kila lililohaqi ukalipinga.

  • @kimwanachangani3922
    @kimwanachangani3922 11 หลายเดือนก่อน +12

    SUBHANA LLAH WALAILAHA ILA LLAH ..AL MALIK QUDUUS

  • @user-ct6ml1iz4z
    @user-ct6ml1iz4z 11 หลายเดือนก่อน +9

    Shukrn shehe kwa darsa ya mola wetu wa haki

  • @mussakantumba9914
    @mussakantumba9914 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hata mimi swali hilo la mungu alikuwa wap lilinisumbua sana!!

  • @user-zz1mf2st5g
    @user-zz1mf2st5g 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mwenyezi mungu azidi kukuongoza na kukuhifadhi kwa ajili ya mawaidha mazuri

  • @Happy-be8hh
    @Happy-be8hh 11 หลายเดือนก่อน +4

    Kiufupi
    كان الله قبل خلق الزمان والمكان، وهو الآن على ما عليه كان
    Allah alikuepo kabla ya kuumba nyakati na sehemu, na yeye sasa hivi yupo alipokuepo

  • @abdaladelo371
    @abdaladelo371 11 หลายเดือนก่อน +8

    Allahu akbaru lahhawla Wala quwata ila bilahi

  • @evordluanda5184
    @evordluanda5184 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe karamu nayo Mungu aliiumba. Nikajua imetengenezwa na Binadamu.

    • @user-vg7sh1qi5j
      @user-vg7sh1qi5j 2 หลายเดือนก่อน

      Allah(s.w) ameumba kila ktu kilichomo Mbinguni na ardhini! Allah ametupa elimu tu sisi wanaadamu ya kutengeneza vitu kwa uwezo wake yy! Alimfundish adam majina ya vitu vyotee vilivyomo duniani kwahyo tayar Allah aliumba kila ktu.

  • @HamisaSimon
    @HamisaSimon หลายเดือนก่อน

    mungu akuzidishiye kira raheri hakika mawaidha mazuri kwer

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 6 หลายเดือนก่อน +1

    SUBHANALLAH
    ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
    Barakallahu Feek

  • @HadjatiMayidiya
    @HadjatiMayidiya 19 วันที่ผ่านมา

    Jazakallah Kheir sheikh

  • @Issa_negro
    @Issa_negro 7 หลายเดือนก่อน +3

    God is great fr😢

  • @husseinabdille1004
    @husseinabdille1004 หลายเดือนก่อน

    Mashallah ❤❤❤

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 11 หลายเดือนก่อน +3

    Swallalah Allayhi Wasalam
    Jazzakumllah Khery

  • @swalehalaidaroos6074
    @swalehalaidaroos6074 10 หลายเดือนก่อน +8

    TAKBIIIIR...ALLAHU'AKBAAR
    Jazakallah kher'inshallah yaa sheikhuna,

  • @shinayzashiraaz4588
    @shinayzashiraaz4588 หลายเดือนก่อน

    Jazakumullah kheirun

  • @rukiyakibera76
    @rukiyakibera76 9 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh tafadhali record Quran yote, ili tusikilize sisi na vizazi vijavo, tabaraka Allah

  • @mohamedswadiq6732
    @mohamedswadiq6732 11 หลายเดือนก่อน +6

    Darsa Ya Elimu MashaAllah

  • @user-rz5no7us8e
    @user-rz5no7us8e 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ma Shaa Allah Tabarakallah Allah (S.W.T) akuhifadhi nakila Shari

  • @user-mb3fk4kb8n
    @user-mb3fk4kb8n 11 หลายเดือนก่อน +3

    Masha Allah jazaakallhahu-lkhair.

  • @user-dl1ju4ge3x
    @user-dl1ju4ge3x 9 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akutunze shekhe Othman, nimejifunza

  • @abdulimaliki
    @abdulimaliki 7 หลายเดือนก่อน +3

    ❤laailaaha illallhu.. muhamad. Rasulu llh

  • @NeemaAlly-hu1rd
    @NeemaAlly-hu1rd หลายเดือนก่อน

    At me nina mshukuru sana sheeh angu

  • @user-eq9yi7pz4i
    @user-eq9yi7pz4i 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ma Sha Allah,kisa kizur nimejifunza mengi Alhamdulillahi

  • @abdulimaliki
    @abdulimaliki 7 หลายเดือนก่อน +2

    Maasha. Allh. Ummat. Muhammd. S. W. S.

    • @user-zt6re1dr5f
      @user-zt6re1dr5f 7 หลายเดือนก่อน

      Shekh Allah akulipe kesho akhera,biidhinlah

  • @fatmehfaraj5188
    @fatmehfaraj5188 11 หลายเดือนก่อน +3

    Shukran wa jazakallah kheir.Darsa nzuri yenye manufaa mashaallah

  • @universitylink
    @universitylink 5 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah kama unesilimu kwa mawaidha kama haya ya sheikh Othman Maalim Allah akulipe kheir na yeye katika hii dunia na Akhera maana ukimuongoza mtu mmoja ni bora kuliko ngamia Mia wekundu kwa sasa magari ya thamani yawe Mia ndio uone ubora wake.
    Pia Mashaallah Sheikh Othman Maalim ni mfasaha sana na anafundisha kwa njia iliyo nyepesi kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mmpeni

  • @user-hj9wd4nc2y
    @user-hj9wd4nc2y 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaalla othuman. Mungu akupe umri mrefu tuendele kujifunza darasa

  • @mwanarusiali4430
    @mwanarusiali4430 10 หลายเดือนก่อน +3

    Masha Allah.....Allahu Akbar❤

  • @mrsahmadhajraah1550
    @mrsahmadhajraah1550 5 หลายเดือนก่อน

    Mashalah shukran sn shekh wwtu ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA, SHEKHE ZANGU OTHMANI MAALIM NA OTHMANI MICHAEL MNAFANANA USOMAJI MPAKA UONGEAJI

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 11 หลายเดือนก่อน +3

    Alhamdulilah. nakumbuka nikiwa mdogo nilimuuliza ili swali mama yangu.Nakumbuka nilimsumbua sana kila akinielewesha ndipo nilizidi kumuuliza zaidi.Mwisho akaniambia nilale , nikiamka atanipa jibu sahihi.

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW 4 หลายเดือนก่อน +1

    MANSHALLAH ❤️

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 11 หลายเดือนก่อน +4

    Nyienaopinga maneno ya Allah someni mtajuwa kelele za nini yeye kasoma na anatowa darsa kutokana na alivosoma kama hamjasoma keleleni

  • @MohamedDahir-hj2oq
    @MohamedDahir-hj2oq 3 หลายเดือนก่อน

    Mansha Allah sheikh othman maalim mungu akuweke wacdi hii kwa mizani yako wakati ya aqira.

  • @user-lc5wf4ly3i
    @user-lc5wf4ly3i 6 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulilah shekhe Tunaelimika sana mawaidha yako yote yanatutowa kwenye kiza .Allah akulinde namashaani wakibinadamu na mashaitwaan wa kinijini (Ameen) Allah akupe umri mrefu( Ameen)

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 3 หลายเดือนก่อน

    Shekhe mungu akupe umri mrefu nimependezewa Sana na mawaidha yako,

  • @AthmanMasini
    @AthmanMasini 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akuzidishie umri mrefu uzidi kutunaswia😊😊

  • @khalidirashidi2196
    @khalidirashidi2196 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulipe pepo shekhe wangu mi nitakuwa Askari wako wa peponi ishaallah

  • @user-lh8uc4re6o
    @user-lh8uc4re6o 2 หลายเดือนก่อน

    Allah akupe heri nyingi

  • @user-no8yh4ub7l
    @user-no8yh4ub7l 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallh Mungu akipenda umri mrefu na afya njema amen

  • @mariamahmed6859
    @mariamahmed6859 11 หลายเดือนก่อน +2

    Allahumma Amiin jazakallah kheyr shekhe wetu

  • @ashajumasaid7285
    @ashajumasaid7285 11 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran Sana shekhe, kwa elimu..Barakallahu fiikum

  • @user-xc4ml1qh9v
    @user-xc4ml1qh9v 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mtakuja kujua siku ikifika ukweli si ukweli mtajua siku iyo mwenyezi mungu ni mjuzi wa kila kitu ni heri tunao amini kabla kuliko msiyo amini kabla yote ya mwenyezi mungu mjuzi wa kila kitu kinacho onekana na kisicho onekana!!!!

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 3 หลายเดือนก่อน

    Umur twawil ya shekh othmani maalim .....na Akher twayib inshaallah ...yaatikil.afya

  • @Khalifaibrahim-oh7ti
    @Khalifaibrahim-oh7ti 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifandhi sheikh othuman maalim

  • @hatibumabote190
    @hatibumabote190 2 หลายเดือนก่อน

    Allah akbar

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 11 หลายเดือนก่อน +3

    Ukitaka kujuwa ukubwa wa Allah jitafakari ulikaa vipi tumboni kisha akaja jiona kushakuwa mkubwa ndoo utajitambuwa kuna mtuu alojijuwa uchanga wake someni sio mpinge na kushangaa kama kalamu imeumbwa

  • @user-pu2mp6th3s
    @user-pu2mp6th3s 11 หลายเดือนก่อน +7

    Sheikh,Allah akupe umri mkubwa ,afya,uzima ,lakini pia fursa ya kutufundisha Elimu hii,na nyingine zote njema. Ni Mimi banda HALIFA nchasi wa PahiKondoa

    • @minabuelysee8
      @minabuelysee8 11 หลายเดือนก่อน

      Amin

    • @thuleythasule7036
      @thuleythasule7036 10 หลายเดือนก่อน

      Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie

    • @thuleythasule7036
      @thuleythasule7036 10 หลายเดือนก่อน

      Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie

    • @thuleythasule7036
      @thuleythasule7036 10 หลายเดือนก่อน

      Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie

    • @thuleythasule7036
      @thuleythasule7036 10 หลายเดือนก่อน

      Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie

  • @LinconLopez
    @LinconLopez 3 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah laah ilah anta subhana khain kuntu mina dhwalimin

  • @user-fj1cf4fs8b
    @user-fj1cf4fs8b 8 หลายเดือนก่อน +1

    Natamani niwemwnafunzi wa huyu sheikh anajua sana nimsomi hassa

  • @AlhabibMujahiddjibril
    @AlhabibMujahiddjibril 3 หลายเดือนก่อน

    عسى أن أكون ممن يتقربون إليه في الجنة

  • @user-mp8lp6pz6l
    @user-mp8lp6pz6l 2 หลายเดือนก่อน

    Allahu akbar

  • @user-vh5eo7ij4n
    @user-vh5eo7ij4n 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah Allah akulipe jaza njema

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 3 หลายเดือนก่อน

    Ni suala gumu kujibu lakini umejibu vizuri sana Mashaalah

  • @user-dr3mg5ey6f
    @user-dr3mg5ey6f 5 หลายเดือนก่อน

    Allah kullipe shekhe kwa ellimu unaito kwa jamio

  • @hidayashabani5897
    @hidayashabani5897 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah,Shukran sana kwa mawaidha haya

  • @user-fc5ep5ib4p
    @user-fc5ep5ib4p 8 หลายเดือนก่อน

    Allah akulinde kama alivyomlinda mtume wetu katika pango

  • @user-dc3zf2xi8y
    @user-dc3zf2xi8y 10 หลายเดือนก่อน +1

    Takbiiir Allah Akbar...Suburban Allah...!!!!

  • @allysaid6984
    @allysaid6984 6 หลายเดือนก่อน

    Sheikh nakupenda Kwa ajili ya Allah naomba anijalie niwe kama ww

  • @AbdallahYusufu-rc5xu
    @AbdallahYusufu-rc5xu 3 หลายเดือนก่อน

    ماشاالله برك الله تعلمين الشيخ أثمن معلم

  • @user-kz9kk9bw7u
    @user-kz9kk9bw7u 7 หลายเดือนก่อน

    Mashaalaah Allah akuhifadhi na akupe umri uzidi kutuelimisha

  • @allyhassanabdallah4295
    @allyhassanabdallah4295 11 หลายเดือนก่อน +1

    Allahumma bariq

  • @lilatito2816
    @lilatito2816 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akupe salama mwalimu bali ningependa kisa hiki kiendelee zaidi

  • @AlhabibMujahiddjibril
    @AlhabibMujahiddjibril 3 หลายเดือนก่อน

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh,
    أسأل الله أن يجعل الشيخ من أهل الجنة وأن يطول في عمره بالخير والصحة والبركات
    اللهمّ إني أسألك أن تقابلني في جنات الأمس، اللهمّ الشيخ العثماني معلم، أحبه إليك، قد لا أستطيع الجلوس بجانبه لكثرة الناس، لكن ربي

  • @rubbyruu7172
    @rubbyruu7172 8 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah MUNGU awahifadhi nyote mulio silimu mume ufuata njia sahihi

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 11 หลายเดือนก่อน +1

    Allah atuzidishie elimu

  • @seifomary8034
    @seifomary8034 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah Allah akuifazi maalim

  • @MohamedIbrahim-bn8rz
    @MohamedIbrahim-bn8rz 3 หลายเดือนก่อน

    Allahu Akbar masha Allah 🥰❤❤❤❤❤

  • @swalehemhando6921
    @swalehemhando6921 11 หลายเดือนก่อน +1

    Jazakhalah kheir shekh

  • @rabahaburrhan3886
    @rabahaburrhan3886 10 หลายเดือนก่อน

    Shukran Shiekh wetu❤

  • @RahimKhamis-zy3np
    @RahimKhamis-zy3np 11 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran shekh wetuu

  • @kibibijaphary6918
    @kibibijaphary6918 9 หลายเดือนก่อน

    Allah Akbar
    Allah Akulinde
    Mashaa Allah
    Nimepata Darsa zuri kabisaa

  • @SalmaSalim-ch5gt
    @SalmaSalim-ch5gt 3 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah Allah atusameh makosa yetu

  • @marietheresenyandwi8671
    @marietheresenyandwi8671 5 หลายเดือนก่อน

    ❤jaazakhallah kheir ❤

  • @zainabuabdi8549
    @zainabuabdi8549 11 หลายเดือนก่อน

    Jazakalahu kher nimefaidika barakalahu feel

  • @abdallaismail2427
    @abdallaismail2427 9 หลายเดือนก่อน +1

    Niko na suali kwako Sheikh langu Allah akubarikie.... Umesema kua Allah kitu cha kwanza aliumba ni Kiti chake cha enzi, kiti hiki kiliwekwa juu ya maji, na kiumbe cha pili ni kalamu, Jee hiki kiumbe maji kiliumbwa kilikua namba ngapi ? Kwa maana umesema kua kiti cha enzi kiliwekwa juu ya maji jee haya maji yalikuwepo kabla ama ni vipi hapo sijafahamu naomba unifahamishe,, Napenda sana mawaidha yako Sheikh. Allah akujazi killa la kheri daima

    • @ramadhaniayoub8171
      @ramadhaniayoub8171 8 หลายเดือนก่อน

      Allah akisema kuwa na kina kuwa

    • @kipangatz19
      @kipangatz19 3 หลายเดือนก่อน

      Maji yalikuwa hali ya gesi

    • @zangzang1574
      @zangzang1574 3 หลายเดือนก่อน

      Hutopata jibu apo shehe wangu.kuna kiti kuna karamu.sasa hiki kiti kilikaaa wapi? Na maji yalitokea wap Na yeye aliumba kiti kwaajili gani? uliza kama utapata jibu. 😂😂😂

    • @zangzang1574
      @zangzang1574 3 หลายเดือนก่อน

      Story

  • @jeremiahmoemi9606
    @jeremiahmoemi9606 9 หลายเดือนก่อน

    MashaaAllah jazakaAllahu khayran

  • @michaelmwangi3669
    @michaelmwangi3669 หลายเดือนก่อน

    Nilisilimu mimi pia juu ya haya mawaidha but napigwa nyumbani kwetu na familia

  • @nooraahmed6948
    @nooraahmed6948 11 หลายเดือนก่อน

    Jazzakum kheir

  • @jannffer
    @jannffer 3 หลายเดือนก่อน

    Glory be to God for this revelation

  • @mshamuwadhamira8346
    @mshamuwadhamira8346 8 หลายเดือนก่อน +1

    Maana yake Kwa hadithi inaonesha MAJI yaliumnwa mwanzo kabla ya Arsh ndio maana Arsh ikawekwa juu ya MAJI. Ma Shaa Allah. Raha sana

    • @sama-_8368
      @sama-_8368 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa maji ndio ya mwanzo kwa maelezo hayo

    • @yasinabdulkadir1925
      @yasinabdulkadir1925 5 หลายเดือนก่อน

      Nadhani nimeelewa kama wewe.

    • @mussakantumba9914
      @mussakantumba9914 3 หลายเดือนก่อน

      Naam kiumbe cha kwanza kuumbwa na Allaah ni Maji=,(bahari saba) cha pili ni Arshi,=( ndio kiumbe kikubwa kuliko viumbe vyote ni kubwa sana hadi haielezeki) Ama kalamu ni kiumbe cha kwanza kwa maana ya kuwa ni cha kwanza kuumbwa kabla ya kuumbwa viumbe vyote baada ya Maji na Arshi. Maana maji na arshi ni viumbe alivyo jinasibisha navyo na ndio maana kuna; Maji, kisha Arshi ipo juu ya Bahari ya saba na Allaah yupo juu ya hiyo arshi lakini bila ya kuitegemea hiyo Arshi na huku akiwa ni mwingi wa kutenda alipendalo.

  • @user-rc7yr9hf6g
    @user-rc7yr9hf6g 3 หลายเดือนก่อน

    Shukran shekh kwa maelezo mazur yenye faida kubwa

  • @asharamadhan710
    @asharamadhan710 11 หลายเดือนก่อน +2

    SubhanaAllah

  • @rajabukimosa3377
    @rajabukimosa3377 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah 🎉🎉

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 11 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah Sheikh wetu

  • @user-bm2wo9jl4f
    @user-bm2wo9jl4f 4 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Othman maalim allah akujaalie jannatufildaus