Allah namuomba anikutanishe nawe live kabla ya kufa nimuombe Allah akupe ninachokipeda kutoka kwake akupe maana wewe ni wa kuombewa jema wala siyo baya inshaallah
Allah(s.w) ameumba kila ktu kilichomo Mbinguni na ardhini! Allah ametupa elimu tu sisi wanaadamu ya kutengeneza vitu kwa uwezo wake yy! Alimfundish adam majina ya vitu vyotee vilivyomo duniani kwahyo tayar Allah aliumba kila ktu.
Mashaallah kama unesilimu kwa mawaidha kama haya ya sheikh Othman Maalim Allah akulipe kheir na yeye katika hii dunia na Akhera maana ukimuongoza mtu mmoja ni bora kuliko ngamia Mia wekundu kwa sasa magari ya thamani yawe Mia ndio uone ubora wake. Pia Mashaallah Sheikh Othman Maalim ni mfasaha sana na anafundisha kwa njia iliyo nyepesi kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mmpeni
Alhamdulilah. nakumbuka nikiwa mdogo nilimuuliza ili swali mama yangu.Nakumbuka nilimsumbua sana kila akinielewesha ndipo nilizidi kumuuliza zaidi.Mwisho akaniambia nilale , nikiamka atanipa jibu sahihi.
Alhamdulilah shekhe Tunaelimika sana mawaidha yako yote yanatutowa kwenye kiza .Allah akulinde namashaani wakibinadamu na mashaitwaan wa kinijini (Ameen) Allah akupe umri mrefu( Ameen)
Mtakuja kujua siku ikifika ukweli si ukweli mtajua siku iyo mwenyezi mungu ni mjuzi wa kila kitu ni heri tunao amini kabla kuliko msiyo amini kabla yote ya mwenyezi mungu mjuzi wa kila kitu kinacho onekana na kisicho onekana!!!!
Ukitaka kujuwa ukubwa wa Allah jitafakari ulikaa vipi tumboni kisha akaja jiona kushakuwa mkubwa ndoo utajitambuwa kuna mtuu alojijuwa uchanga wake someni sio mpinge na kushangaa kama kalamu imeumbwa
Sheikh,Allah akupe umri mkubwa ,afya,uzima ,lakini pia fursa ya kutufundisha Elimu hii,na nyingine zote njema. Ni Mimi banda HALIFA nchasi wa PahiKondoa
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, أسأل الله أن يجعل الشيخ من أهل الجنة وأن يطول في عمره بالخير والصحة والبركات اللهمّ إني أسألك أن تقابلني في جنات الأمس، اللهمّ الشيخ العثماني معلم، أحبه إليك، قد لا أستطيع الجلوس بجانبه لكثرة الناس، لكن ربي
Niko na suali kwako Sheikh langu Allah akubarikie.... Umesema kua Allah kitu cha kwanza aliumba ni Kiti chake cha enzi, kiti hiki kiliwekwa juu ya maji, na kiumbe cha pili ni kalamu, Jee hiki kiumbe maji kiliumbwa kilikua namba ngapi ? Kwa maana umesema kua kiti cha enzi kiliwekwa juu ya maji jee haya maji yalikuwepo kabla ama ni vipi hapo sijafahamu naomba unifahamishe,, Napenda sana mawaidha yako Sheikh. Allah akujazi killa la kheri daima
Hutopata jibu apo shehe wangu.kuna kiti kuna karamu.sasa hiki kiti kilikaaa wapi? Na maji yalitokea wap Na yeye aliumba kiti kwaajili gani? uliza kama utapata jibu. 😂😂😂
Naam kiumbe cha kwanza kuumbwa na Allaah ni Maji=,(bahari saba) cha pili ni Arshi,=( ndio kiumbe kikubwa kuliko viumbe vyote ni kubwa sana hadi haielezeki) Ama kalamu ni kiumbe cha kwanza kwa maana ya kuwa ni cha kwanza kuumbwa kabla ya kuumbwa viumbe vyote baada ya Maji na Arshi. Maana maji na arshi ni viumbe alivyo jinasibisha navyo na ndio maana kuna; Maji, kisha Arshi ipo juu ya Bahari ya saba na Allaah yupo juu ya hiyo arshi lakini bila ya kuitegemea hiyo Arshi na huku akiwa ni mwingi wa kutenda alipendalo.
Nilisilimu mimi na familia yangu yote kwa ajili ya haya mawaidha ya kupendeza hivy😊❤
Neema kumbwa iyo Allahu Akbar..mimi peke ata watoto wangu bado ..yarabbi fungua roho ya watoto wangu waseme shade kabla mauti
Mashaallah! Allah akupe ucha mungu wewe pamoja na familia yako
Manshallah 🤲
MASHAA ALLAH
@@aishawangui-pr4yehakika watakuwa kwa uwezo wa Allah
Sheikh Athuman maalim ni mtu WA maana kabisa Allah akupe umri mrefu
Mungu akujaalie umri mrefu uzidi kutupa elimu
Shekh Othman Allah akupe umri mrefu na afya njema❤
Amiiiiiiiiiiiin Amiiiiiiiiiiiin thumma AmiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinN
Ameen ya rabi
Amin 🤲
Amiiin walahi laadhim ishaallah amjaalie
Amin 🤲
Alhamdullilah suala la mungu watu wengi wanajiuliza. Sheekhe wewe umejibu vizuri masha Allah. Allah akupe baraka
A.alyekum
Allah Allah Allah Mawaidha Matam sana Allah azidi kumpa Afya Shekh wetu lakini pia na wanao fatilia darsa hili kwa nia ya kheri😊
Mungu akubariki naomba t uniombee mm ni mkristo lakini nimeprndezwasana na mafundisho naomba unidlim
Mtafute sheikh kwa namba hizo zilizoandikwa hapo juu in shaa Allah utaufahamu zaidi Uislam na utasilimu
Hivi unajua hadidhi maana yake nini?
Mungu atakuongoza amin sisi some wangonjjwa hata ni waislàmu mungu atutibu
Barak llah....Allah akulipe kwa kutoa darsa
Allah namuomba anikutanishe nawe live kabla ya kufa nimuombe Allah akupe ninachokipeda kutoka kwake akupe maana wewe ni wa kuombewa jema wala siyo baya inshaallah
Mashaallah, sheikh wetu Allah akulipeni pepo ya firdaus aalaa, Ameen!
tumeilimika kwa darsa hi!
Sheikh hongera sana kwa kazi nzuri, Mungu kakujaalia Mungu akuzidishie kheri
Uìslamu ndio Dini ya haki waaAllahu akbar
Na ndiyo maana majini yalisilimu kuwa waislam.
Naona kafiri unateseka sana😂😂😂
Sasa Nan kafir apo????@@user-ce4ec5vc7j
@@mwassamwassa7264 Ndio, majini yanaona haki na binadamu aliyeahinda jini akili anashindwa kufutata haki
Shukran shekhe wetu Kwa kutuelimisha,Allah akuzidishie kila la kher na tuzidi uelimishana na kuongozana katika mambo ya Kher In Sha Allah 🤲
Allah akulipe na akutunze❤
Innalillah wainnailaih rajiun Allah tulinde tusiwe iblisi mpinga ukweli, ukifa 2ukweli utauona na utajutia kila lililohaqi ukalipinga.
SUBHANA LLAH WALAILAHA ILA LLAH ..AL MALIK QUDUUS
Shukrn shehe kwa darsa ya mola wetu wa haki
Hata mimi swali hilo la mungu alikuwa wap lilinisumbua sana!!
Mwenyezi mungu azidi kukuongoza na kukuhifadhi kwa ajili ya mawaidha mazuri
Kiufupi
كان الله قبل خلق الزمان والمكان، وهو الآن على ما عليه كان
Allah alikuepo kabla ya kuumba nyakati na sehemu, na yeye sasa hivi yupo alipokuepo
Allahu akbaru lahhawla Wala quwata ila bilahi
Kumbe karamu nayo Mungu aliiumba. Nikajua imetengenezwa na Binadamu.
Allah(s.w) ameumba kila ktu kilichomo Mbinguni na ardhini! Allah ametupa elimu tu sisi wanaadamu ya kutengeneza vitu kwa uwezo wake yy! Alimfundish adam majina ya vitu vyotee vilivyomo duniani kwahyo tayar Allah aliumba kila ktu.
mungu akuzidishiye kira raheri hakika mawaidha mazuri kwer
SUBHANALLAH
ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
Barakallahu Feek
Jazakallah Kheir sheikh
God is great fr😢
Mashallah ❤❤❤
Swallalah Allayhi Wasalam
Jazzakumllah Khery
TAKBIIIIR...ALLAHU'AKBAAR
Jazakallah kher'inshallah yaa sheikhuna,
Jazakumullah kheirun
Sheikh tafadhali record Quran yote, ili tusikilize sisi na vizazi vijavo, tabaraka Allah
Darsa Ya Elimu MashaAllah
Ma Shaa Allah Tabarakallah Allah (S.W.T) akuhifadhi nakila Shari
Masha Allah jazaakallhahu-lkhair.
Allah akutunze shekhe Othman, nimejifunza
❤laailaaha illallhu.. muhamad. Rasulu llh
At me nina mshukuru sana sheeh angu
Ma Sha Allah,kisa kizur nimejifunza mengi Alhamdulillahi
Maasha. Allh. Ummat. Muhammd. S. W. S.
Shekh Allah akulipe kesho akhera,biidhinlah
Shukran wa jazakallah kheir.Darsa nzuri yenye manufaa mashaallah
Mashaallah kama unesilimu kwa mawaidha kama haya ya sheikh Othman Maalim Allah akulipe kheir na yeye katika hii dunia na Akhera maana ukimuongoza mtu mmoja ni bora kuliko ngamia Mia wekundu kwa sasa magari ya thamani yawe Mia ndio uone ubora wake.
Pia Mashaallah Sheikh Othman Maalim ni mfasaha sana na anafundisha kwa njia iliyo nyepesi kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mmpeni
Mashaalla othuman. Mungu akupe umri mrefu tuendele kujifunza darasa
Masha Allah.....Allahu Akbar❤
Mashalah shukran sn shekh wwtu ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA, SHEKHE ZANGU OTHMANI MAALIM NA OTHMANI MICHAEL MNAFANANA USOMAJI MPAKA UONGEAJI
Alhamdulilah. nakumbuka nikiwa mdogo nilimuuliza ili swali mama yangu.Nakumbuka nilimsumbua sana kila akinielewesha ndipo nilizidi kumuuliza zaidi.Mwisho akaniambia nilale , nikiamka atanipa jibu sahihi.
MANSHALLAH ❤️
Nyienaopinga maneno ya Allah someni mtajuwa kelele za nini yeye kasoma na anatowa darsa kutokana na alivosoma kama hamjasoma keleleni
Mansha Allah sheikh othman maalim mungu akuweke wacdi hii kwa mizani yako wakati ya aqira.
Alhamdulilah shekhe Tunaelimika sana mawaidha yako yote yanatutowa kwenye kiza .Allah akulinde namashaani wakibinadamu na mashaitwaan wa kinijini (Ameen) Allah akupe umri mrefu( Ameen)
Shekhe mungu akupe umri mrefu nimependezewa Sana na mawaidha yako,
Mungu akuzidishie umri mrefu uzidi kutunaswia😊😊
Mungu akulipe pepo shekhe wangu mi nitakuwa Askari wako wa peponi ishaallah
Allah akupe heri nyingi
Mashaallh Mungu akipenda umri mrefu na afya njema amen
Allahumma Amiin jazakallah kheyr shekhe wetu
Shukran Sana shekhe, kwa elimu..Barakallahu fiikum
Mtakuja kujua siku ikifika ukweli si ukweli mtajua siku iyo mwenyezi mungu ni mjuzi wa kila kitu ni heri tunao amini kabla kuliko msiyo amini kabla yote ya mwenyezi mungu mjuzi wa kila kitu kinacho onekana na kisicho onekana!!!!
Umur twawil ya shekh othmani maalim .....na Akher twayib inshaallah ...yaatikil.afya
Allah akuhifandhi sheikh othuman maalim
Allah akbar
Ukitaka kujuwa ukubwa wa Allah jitafakari ulikaa vipi tumboni kisha akaja jiona kushakuwa mkubwa ndoo utajitambuwa kuna mtuu alojijuwa uchanga wake someni sio mpinge na kushangaa kama kalamu imeumbwa
Sheikh,Allah akupe umri mkubwa ,afya,uzima ,lakini pia fursa ya kutufundisha Elimu hii,na nyingine zote njema. Ni Mimi banda HALIFA nchasi wa PahiKondoa
Amin
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
Subhanallah laah ilah anta subhana khain kuntu mina dhwalimin
Natamani niwemwnafunzi wa huyu sheikh anajua sana nimsomi hassa
عسى أن أكون ممن يتقربون إليه في الجنة
Allahu akbar
Mashaallah Allah akulipe jaza njema
Ni suala gumu kujibu lakini umejibu vizuri sana Mashaalah
Allah kullipe shekhe kwa ellimu unaito kwa jamio
Mashallah,Shukran sana kwa mawaidha haya
Allah akulinde kama alivyomlinda mtume wetu katika pango
Takbiiir Allah Akbar...Suburban Allah...!!!!
ALLAHU AKBAR
Sheikh nakupenda Kwa ajili ya Allah naomba anijalie niwe kama ww
ماشاالله برك الله تعلمين الشيخ أثمن معلم
Mashaalaah Allah akuhifadhi na akupe umri uzidi kutuelimisha
Allahumma bariq
Allah akupe salama mwalimu bali ningependa kisa hiki kiendelee zaidi
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh,
أسأل الله أن يجعل الشيخ من أهل الجنة وأن يطول في عمره بالخير والصحة والبركات
اللهمّ إني أسألك أن تقابلني في جنات الأمس، اللهمّ الشيخ العثماني معلم، أحبه إليك، قد لا أستطيع الجلوس بجانبه لكثرة الناس، لكن ربي
MashaAllah MUNGU awahifadhi nyote mulio silimu mume ufuata njia sahihi
Allah atuzidishie elimu
Mashallah Allah akuifazi maalim
Allahu Akbar masha Allah 🥰❤❤❤❤❤
Jazakhalah kheir shekh
Shukran Shiekh wetu❤
Shukran shekh wetuu
Allah Akbar
Allah Akulinde
Mashaa Allah
Nimepata Darsa zuri kabisaa
Subhanallah Allah atusameh makosa yetu
❤jaazakhallah kheir ❤
Jazakalahu kher nimefaidika barakalahu feel
Niko na suali kwako Sheikh langu Allah akubarikie.... Umesema kua Allah kitu cha kwanza aliumba ni Kiti chake cha enzi, kiti hiki kiliwekwa juu ya maji, na kiumbe cha pili ni kalamu, Jee hiki kiumbe maji kiliumbwa kilikua namba ngapi ? Kwa maana umesema kua kiti cha enzi kiliwekwa juu ya maji jee haya maji yalikuwepo kabla ama ni vipi hapo sijafahamu naomba unifahamishe,, Napenda sana mawaidha yako Sheikh. Allah akujazi killa la kheri daima
Allah akisema kuwa na kina kuwa
Maji yalikuwa hali ya gesi
Hutopata jibu apo shehe wangu.kuna kiti kuna karamu.sasa hiki kiti kilikaaa wapi? Na maji yalitokea wap Na yeye aliumba kiti kwaajili gani? uliza kama utapata jibu. 😂😂😂
Story
MashaaAllah jazakaAllahu khayran
Nilisilimu mimi pia juu ya haya mawaidha but napigwa nyumbani kwetu na familia
Jazzakum kheir
Glory be to God for this revelation
Maana yake Kwa hadithi inaonesha MAJI yaliumnwa mwanzo kabla ya Arsh ndio maana Arsh ikawekwa juu ya MAJI. Ma Shaa Allah. Raha sana
Kweli kabisa maji ndio ya mwanzo kwa maelezo hayo
Nadhani nimeelewa kama wewe.
Naam kiumbe cha kwanza kuumbwa na Allaah ni Maji=,(bahari saba) cha pili ni Arshi,=( ndio kiumbe kikubwa kuliko viumbe vyote ni kubwa sana hadi haielezeki) Ama kalamu ni kiumbe cha kwanza kwa maana ya kuwa ni cha kwanza kuumbwa kabla ya kuumbwa viumbe vyote baada ya Maji na Arshi. Maana maji na arshi ni viumbe alivyo jinasibisha navyo na ndio maana kuna; Maji, kisha Arshi ipo juu ya Bahari ya saba na Allaah yupo juu ya hiyo arshi lakini bila ya kuitegemea hiyo Arshi na huku akiwa ni mwingi wa kutenda alipendalo.
Shukran shekh kwa maelezo mazur yenye faida kubwa
SubhanaAllah
Mashaallah 🎉🎉
MashaAllah Sheikh wetu
Sheikh Othman maalim allah akujaalie jannatufildaus