#MEDANIZASIASA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2023
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day ! - บันเทิง
The real dokta we can be proud of. Achilia mbali ya siasa, huyu ni kiongozi
Odemba you are the King of Political Interview...Safi sana !!
Asante sana ndugu mwandishi kwakumuuliza maswali muhimu ,ila Mzee anakwepa
The best politician left in Tanzania
Chief odemba apewe maua yake aseeee ni 🔥🔥🔥🔥
Anzisha chama chako Mzee bado wengine tumekumiss sana mm nakupenda mismamo yako mungu akubaliki
Well said Doctor
Safi sana dr silaa,..na hiyo mikataba ya bandari iandikwe kwa lugha ya kiswahili ili wananchi wote waelewe,.waache upuuz wao hakuna kuuza bandar
NENDA SHULE WEWE NA AKUTAFSRIE KIKOJOZI WEWE NENDA KAKOJOE 😢😢😢😢
@@OmmyJames-xn7jiBasi utakuwa umeona umejibu sahihi !!!!!! Huzuni sana aiseeh .
@@OmmyJames-xn7ji we ndo uende shule fala wewe!..hata maandshi yako yanaonyesha ubongo wako umejaa mavi hata std7 ulfel!.lugha ya Tz ni kiswahili hvyo ni muhimu kiswahili kitumike kwa wananchi wote sawa na lugha yao ilivyo,..shoga wewe
@@angelsgabriely3575 WAGALATIA HAKUNA TENA KUIBA KWENYE BANDARI YETU 👍 INABIDI MUKARUDI KULIMA MAANA MJINI HAMUWEZI TENA
@@angelsgabriely3575 WEWE ANGELS 👼 BIASHARA YA UMALA IMEKWISHA RUDI MACHAME UKACHEZE KAMARI NA KUNYWA MBEGE HAHAHAHA 😀😀😀😀
Star tv natumaini hii tv ni mashuhuri sana tanzania na ulimwengu . Mtume wetu Rais pombe Magufuri alifunga mikutano ya dharura baada ya Chana cha chadema kuandamana pale jijini dar es salama. Kipenzi chetu dada yetu Aqurina alipo uwawa na wahuni wa chadema kwa kupigwa risasi hadharani ndipo mtume wetu Rais wetu alipofunga mikutano ya hadhara Tanzania.
Thanks @Odemba kwa kufanyia kazi maoni yangu kuwaita watu Kama doctor slaa, Waite na akina shivji, Lisu na ikiwezekana wafanye mdahalo studio
Tatizo la main stream media ni kwamba hawafanyi 'live' coverage kwa hao watu.. ni machawa. Vipindi mubashara ni kwa lusinde,'Dr ' musukuma et al.
Huu mkataba hatari sana kitaifa bila shaka hautapitishwa ukipita lazima Mungu ataingilia kati isaya 18:7
Binafsi namkubali sana huyu mzee.
Dr nakuaminia sana Uko vizuri
Odemba namkubaaali sanaa..
Sema pia hapa kakutana na mwamba kichiiz yaan. Dr. Slaa yuko deeep kichiiz
Wee huaminiki bwana ndumilakuwili mbinafsi tu huna lolote. Leo hiihii ikitokea Samia huyohuyo akikupa nafasi hutoskika tena ukiongea utakaa kimya. Huna ishu danganya wajinga wajinga
Umemuoji vizuti san broo ftpm27
1. Ili tusiipasue nchi kwa misingi ya udini, Ukanda, tutmie lugha yenye hekima na busara.
2. Tujizuie kudharau watu wenye mitazamo tofauti n ya kwetu.
3. Wale ambao wana mawzo mbadala, wayaw4ke kimaandishi kifungu kwa kifungu na kuwakilisha maandishi hayo kwa AG.
4. Tuheshimu mamlaka kama tulivyoagizwa na Mwenyezi Mungu kupitia vitabu vitakatifu.
5. Tujizuie na ihemko na hasira kwani tabia hizi siyo sehemu ya uongozi bora.
Mwenye nyumba hana viatu , Odemba anaviatu !!😅😅😅😅
Dr slaa unahekima sana nakukubali sana lowasa hakustahili kupokelewa chadema na kuteuliwa kugombea urais kupitia chadema kinyesi ukitoa sehemu Moja nakuhamisha bado iitanuka
Mzee anakiri sanaa❤❤❤❤❤❤❤❤
Docta vipi njoo basi upewe ubalozi,punguza njaa mzee kalee wajukuu.
Mzee ni kijana zaidi kuliko umri wake.. ukiishi ukweli utaishi miaka mingi.. huyu baba haumizi nafsi yake kwa kuishi unafiki.. mwanafalsafa hasa
Kalime Mzee tulikuamin
mzee jasiri kinoma🙌
🇹🇿👏👏👏👏
Umetumwa kuharibu mjadala wa Bandari umepewa hela na watu ivuruge mjadala
Poor mindset
Wewe mzee muongo tena muongo usituongopee , wewe una chuki binafsi ,wewe siulisema Tundu Lisu alipigwa na genge la Mboe , unakataa acha ubandidu
Alaaaaa kumbe walitunyima huduma ya mafuta 🙄🙄🙄🙄🙄
Mwishoni nimekuelewa mzee
Asante sana baba kwa letuteral,huu ndio ubobevu na sio blabla za akina CC........
Huyu mwandishi ni genius sna,anamchimba slaa ajue anafikiria nn na yeye anajileta inawezekana huyu jamaa ni usalama na anasema kabisa wananchi wapindue nchi
Kwanza wewe mzee muongo kwanza hakuna ukumbi wa Jakaya Nyerere
Tanzania naona kiza kinene mbele yako eeeh MUNGU ingilia kati jambo hili wanyonge tunakandamizwa hata pale ambapo hatuko tayari kwa hilo MUNGU tulindie watu kama hawa watetezi wa wanyonge
We mzee mbatia alikua ccm
Odemba ujipange unapomhoji mtu makini Kama Dr slaa, Ni aibu kuuliza maswali ambayo huna evidence, kuja na porojo za mtandaoni
Startv tafuteni camera bora.
Ujinga kabisa. Unauliza kitu cha 2015 baada ya miaka 8? Bahati mbaya mwandishi hajui kwamba Dr. Slaa ana PhD ya Philosophy
mwandishi umenifurahisha kwa namna maswali unavyo uliza kwa kutulia
Kwa uchambuz wa doctor na Muuliza swali kam mtangazaji utajua Nini maana ya taaluma kwa kweli ni watu ambao wameenda shule maswali yana tija majibu yana tija this is what we want in politics no blabla like mwita waitar I hate him as he reacts bungen yaani asiyempend Samia atafute chama chake nonsense in politics
Nimesikiliza jambo...nimenote neno mapinduzi
Doctor slaa hakika kwa mtu anayefikiria na kutumia ubongo vizur atakuelelew na kwakweli unastahili kuwa kiongoz wa nchi tena ngazi ya juu kabisa sijui ni ipi ila ikiwezekn mfalme na siyo rais.
"UKWELI UTATUWEKA HURU"
Hongera baba
Huyu chama gani
Shida uyuvjamaa anayemuhoji dk slaa alizunguka mbali sana akachelewa kuhoji hoja za msingi
Slaa mnafki sialipewa ubalozi uyo mbona alitulia
Lazima hata ukisema ukweli utapingwa.Wenye akili na busara wataamua.Hata Yesu alikataliwa na wakamuua.Dr.Slaa wapuuze endelea .
Jamani huyu mwandishi WA medani ni WA chama ganii
Wanataka kukugombanisha na tundulisu katika nguvu ya mjadala wa Bandari tumia hekima Mzee Dr slaa...usijibu mada za miaka sita iliyopita
Maskini hujui hata kesho yakoo
Ni ushabiki tuu na mihemuko. Mzee amepoteza busara. Hata kama unaweza kuwa unaongea mambo sahihi lkn chunga mipaka na ukizingatia yeye ni kiongozi wa Dini.
Odembaaaa kwenye misimamo yakee
Hujui majizi hayo WEWE umeandikiwa MASWALI namajjizi bila kujua
Ndio maana JPM Alikuona wewe unakitu na utafika mbali ''Mtu mwenye akili timamu hawezi kusaini mkataba huo" na "ikishindikana ni KUMPINDUA Rais🤐🤫😂" mwisho wa kumnukuu. Kwa maneno uliyo yaongea na kujiamini Umenikumbusha JPM.Chukua form ya Urais uchaguzi ujao 🤫🤐
Mzee una uroho wa mamlaka kama ulishindwa kuwachunga kondoo. Nyumbu huwaweza.
WEWE acha kutaja KAniSA Wala msikiti WEWE na huyu wa star tv NI darasa MOJA hamsomi hovyo kabisaaaaaa
Huyu slaa hana akili kabisa
Heshimu mawazo ya mtu
Tutashinikiza serikali ijitoe
Samia msaliti mkubwa wataifa si muzarendo haswa tulikua namashaka name m ukumbuke a ll ipotemberea kagera aliwambia wananaichi eti Magufuri anamasalimia wakati anajua kwamba aishafaliki hata anajitambulisha kwavitendo huyo ndiye aliondoa pombe John Mgufuri masaliti mukubwa huyo
Wabunge kazi yake nini mbona hata hawajui au makusudi, kazi yabunge nikusimamia serekari au kuipongeza tu hata kwa mabaya? Msemaji wa serekari alinichosha kusema tutapata mahela, dp yeye hayataki hayo mahela, pesa nzuri niile ulio ipambania bwana, msiiuze nawaomba mtapigwa na MUNGU kwajinsi watanzania wanavyo lia kuhusu bandari zao, wandishi hayo maneno ya slaaa haywaumi kweli?
Mwandishi pekee mwenye kuliza maswali kwa umakin
DR.SLAA SAFI SANA, NI BOLA HATA UNGEKUWA RAIS WETU.
Slaa achana na Hawa waandishi wanakuomba interview Ili kukubana maswali hayo kukuchafua Ili walipwe😮
Ila huyu mzee ni kiboko kuanzia dk ya 45 mpk mwisho odemba katulia kama kamwagiwa maji
Samia hakusaini Katiba, kasaini nani? Au haikusainiwa? Akiyesaini anapata wapi madaraka hayo? Huyu interviewer ni very weak, hafai, anatukanwa bado hana maswali ya msingi. He is mesmerised, a complete idiot.
Vipimo vipo baada ya kutolewa ubalozi ,ndio maana unachuki
Chuki ipii,,??
Wewe ndie Rais wangu ajaye,
Vyombo vyote mmelamba asali
Mwandishi umesahau loliondo,
Hii ccm bila moto kuwaka hawawezi kuwa na nidhamu watanzania tuodokane na woga hawa wajinga watatutesa sana tusipoamka
Siuwashe wewe uo moyo
Baba,njo,ccm,,ndochama,chetu,tawala,upinzani,ndo,unatugawa
Kapindue wewe na wtoto acha kudanganya wtu
Slaa anatafuta riziki sasa kama kanisani kakosa, c.c.m., kakosa, chadema kakosa, anarudi tena chadema. Tusubiri tuone hizi tamaa na njaa za wanasiasa uchwara
Poor mindset,,,,mpaka ujee uuzwe ndo utajuaa
Lisu haingii ata robo kwa huyu mzee, alaf mwandishi ana pretend sana .
Jibu maswali wewe mzee acha fitna
Fitina IPi???
DP WORLD WANAKUJA NO MORE MAJIZI SERIKALI ITAPATA KODI NA BANDARI ITABORESHWA NA AJIRA ITAONGEZEKA. NA BAA ZITAPUNGUA INACHOHITAJIKA NI ELIMU WATANZANIA WAPEWE UJAMAA UMEPITWA NA WAKATI 😇😇😇😇😇
unafilwa kumamako wewe na hao unaowakuwadia.
Hujui unachoandika. Pole
@@josephrutta6834 WAGALATIA NO MORE UWIZI BANDARINI
SLAA UMEJULIKANA UKO NA MASLAHI YA MAJIZI BANDARINI NA KANISA LA KATOLIKI WAMEIBA KWA MIAKA60 SASA WANAFANYA PROPAGANDA KUPOTOSHA WATU NO MORE EXEMPTIONS KWENYE BANDARI YETU WAGALATIA WACHACHE WALIKUWA WANAIBA NA WANASIASA UCHWARA
Ommy ..Kanisa katoliki limeiba limeiba nini kwa hiyo miaka uliyoitaja, ?
Yaani pamoja na malizake nyingi kutaifishwa na serikari kanisa katoliki limeiba?
@@wilsonsikahanga1761 LIMEIBA PESA NYINGI SANA SANA NA VIONGOZI WANAJUA ILA WANAOGOPA LABDA UTUSAIDIE TUINGIE DEMOSTRATION kkkkkkkkk
@@wilsonsikahanga1761 MPAKA KESHO WANAIBA PALE BANDARINI NGOJA SYSTEM MPYA IFUNGWE NA DP WORLD UTASIKIA MA PASTOR WAKIANGUKA KKKKKK
No BODY TRUST YOU MZEE MLANGO WA BANDARI UMEFUNGWA RUDI KANISANI KAUZE MAPAPAI USEME YAMETOKA MBINGUNI AMA UFUNGASHE VIRAGO UWENDE UKALIME NO BODY LISTENING TO YOU HAKUNA DILI NA MAJIZI YALIYO BAKI 😅😅😅
Inatakiwa tujibu hoja siyo kukashifu...
@@Swahili_Digital_World problem hamuelewi hamuko OPEN MINDED mnachosikia kwa watu majizi muna amini MIMI NILIKUWA NAJUA WAGALATIA WASOMI KUMBE NI RAHISI KUPOTOSHWA EASY 🤪🤪🤪🤪🤪
Nmegundua huna darasa kichwani!!! Endelea tu kuandika ujinga wako!!!
Namuhurumia mama yako aliyeleta kitu cha ajabu duniani!!!
@@EL-DAD. KWANI WAGALATIA SIKU HIZI WAMEKUWA KONDOO KWENYE NYUMBA YA HAHAHAHA LOVE IT
@@EL-DAD. TUKUTANE MWENGE KWENYE MISA YA SAA NNE PASTOR LEO ANAUZA PAPAI MILION LIMETOKA MBINGUNI 😍😍😍😍HALAFU TUNAKUTANA NA HOLY GOST LIVE FACE TO FACE
mwandishi anamaswali kama wakili kizimbani😂😂😂😂
🤣🤣anaitwa chief odemba noma sana
Kapindue wewe na wtoto acha kudanganya wtu
Kapindue wewe na wtoto acha kudanganya wtu