Banda Bora la Kuku wa Nyama | Kuku wa Mayai | Kuku Chotara

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ส.ค. 2019
  • Banda Bora la Kuku wa Nyama | Kuku wa Mayai | Kuku Chotara
    Kujenga Banda Bora
    Banda bora ni banda ambalo linakidhi mahitaji ya kuku wako na liendane na idadi ya kuku unaofuga.
    Sifa za banda bora.
    I. Lijengwe sehemu isoyotuama maji
    II. Likinzane na uelekeo wa upepo na mvua
    III. Liruhusu mzunguko wa hewa
    IV. Liwakinge kuku wako dhidi ya baridi
    V. Liwe na vichja kwaajili ya kupumzika, kufanya mazoezi na kulala, pia Liwe na viota vya kutagia ambavyo huwekwa kuku wakifikisha miezi 3
    VI. Liwe rahisi kusafishika
    VII. Liendane na idadi ya kuku bandani
    Hapa sasa watu wengi hua wanafeli na kujisababishia changamoto za magonjwa, kudonoana na kula mayai.
    Kuku anahitaji sehemu ya kutosha ili aweze kuwa huru na kufanya mazoezi ndio maana wanaofuga huria au nusu ndani nusu nje wanapata matokeo mazuri.
    Kila aina ya kuku anahitaji nafasi yake.
    1m square inahitaji kuku chotara 4/5
    1m square inahitaji kuku wa mayai 6/8
    1m square inahitaji kuku wa kienyeji/nyama 8.
    Mfano unataka kujenga banda la kuku chotara 100, unachukua 100÷4=25m square au 100÷5=20m square, sasa hii 25/20m square ndio ukubwa wa banda. 25=6.25x4 na 20=5x4.
    Ukizingatia vipimo utapunguza changamoto.

ความคิดเห็น • 61

  • @changamkiafursa
    @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว +1

    Ujenzi wa banda bora la kuku 👉 th-cam.com/video/0XmXo-8o5DY/w-d-xo.html

    • @hadasaisraeli2971
      @hadasaisraeli2971 3 ปีที่แล้ว

      Vipi kuhusu kinyesi, nimeona mabanda mengi yanakuwa yapo juu, kinyesi kinaenda chini kupitia wavu, je aina hii ya Banda haiathiri afya za kuku? Asante

  • @SAMUELGEORGE-so3qj
    @SAMUELGEORGE-so3qj 29 วันที่ผ่านมา

    Nimejifunza kwako mambo mengi sana siku moja nitakualiaka kwangu your my role model

  • @aishaathuman9589
    @aishaathuman9589 4 ปีที่แล้ว +10

    Very informative video. Ningekua nafanya kazi TH-cam hii video ingeingia kwenye trends za Tanzania

  • @abdallahmlilapi
    @abdallahmlilapi 3 หลายเดือนก่อน

    Hilo ni somo tosha kwa mfugaji

  • @hamzabakari6160
    @hamzabakari6160 4 ปีที่แล้ว +3

    Liko poa sana hilo Banda ufugaji unagharama sana unahitaji kujioa kwa moyo mmoja

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Yap, ili ufanikiwe kwenye biashara ya ufugaji wa kuku unatakiwa kuwa na hobi ya ufugaji wa kuku

  • @gideonmwakibinga8108
    @gideonmwakibinga8108 2 หลายเดือนก่อน

    gharama za ujenzi wa banda hilo ni shilingi ngapi

  • @eradolyamuya3929
    @eradolyamuya3929 4 ปีที่แล้ว +2

    Hakika nimependa sana hili somo,Mungu awabariki sana.

  • @mosesdeogratius6482
    @mosesdeogratius6482 3 ปีที่แล้ว

    Napenda kuuliza kwa banda kwa ajili ya broiler unaweza weka nyavu chini

  • @azamansur7086
    @azamansur7086 4 ปีที่แล้ว +2

    Banda shafii hewa ya kutosha yaingia na kutoka

  • @esthermadauda3012
    @esthermadauda3012 3 ปีที่แล้ว

    Njoo uninengee Banda la kufugia kuku wa kisasa na wa kienyeji , broiler

  • @juliusmatiko1051
    @juliusmatiko1051 4 ปีที่แล้ว +3

    You people real doing gud.........mbalikiwe

  • @azamansur7086
    @azamansur7086 4 ปีที่แล้ว +5

    Ubarikiwe kaka nikapo aanza nahitaji ushauri kutoka kwako

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Unakaribishwa sana

    • @allyfaki8773
      @allyfaki8773 4 ปีที่แล้ว

      Lina ukubwa wa mita ngapi hilo banda?

    • @saudauwimana2523
      @saudauwimana2523 4 ปีที่แล้ว

      @@allyfaki8773 natowa jambo kaka naitwa Eric niyungeko mimi niwa burundi ila naishi korea du sud naitaji kufuga kuku ila nataka kujuwa wapi nitazipata zile nyumba zao kwasasa mabanda niko namaliziya

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Njoo what's 0752209073

  • @nahonyomtanda8153
    @nahonyomtanda8153 4 ปีที่แล้ว +2

    safi sana

  • @latestkabeja5457
    @latestkabeja5457 4 ปีที่แล้ว +3

    Kiongozi hongera kwa darasa zuri.

  • @eradolyamuya3929
    @eradolyamuya3929 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana kiongozi kwa kazi nzuri sana ,nami najipanga and then nitakutafuta

  • @ahmedmohd4644
    @ahmedmohd4644 3 ปีที่แล้ว

    endeleeni kutuunza mungu awabark sana

  • @brezworks3748
    @brezworks3748 4 ปีที่แล้ว +1

    NAMBA HAZIPATIKANI HIZO..NAHITAJI KUJUA GHARAMA ZA HAYO MABANDA NA KUJENGA PIA

  • @dicksondannyben9819
    @dicksondannyben9819 4 ปีที่แล้ว +2

    ASANTE KWA MAELEZO MAZURI YA KITAALAMU KTK UJENZI WA BANDA LA KUKU. NAOMBA TU TUREKEBISHANE MATUMIZI YA MANENO YA KISWAHILI FASAHA.... NENO HIKI NI CHOO SI SAHIHI SANA, NENO SAHIHI NI HUU NI MSALA (NAENDA CHOONI,, HAPANA SEMA.... NAENDA " MSALANI ")
    KISWAHILI LUGHA YETU.

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว +1

      Shukrani sana kwa marekebisho ya lugha yetu

  • @loympangala4330
    @loympangala4330 4 ปีที่แล้ว +4

    Kwa kawaida kuku anafungwa muda gani mpaka kumtoa/kuzeeka

  • @godlivinjoachim872
    @godlivinjoachim872 2 ปีที่แล้ว

    Je kuku (100) wa mayai wanakula kilo ngapi kwa siku

  • @benjaminmgaya1478
    @benjaminmgaya1478 4 ปีที่แล้ว +2

    Naomba kufaham makadirio ya gharama za ujenzi kwa banda kma hilo 120sqm

  • @producerswedy1578
    @producerswedy1578 4 ปีที่แล้ว

    Nahitaji kujiunga na group la changamkia fursa mkuu naomba utaratibu wake.

  • @husseinmadundo1483
    @husseinmadundo1483 2 ปีที่แล้ว

    Naitaji kama hilo tuwasiliane

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 4 ปีที่แล้ว +1

    hao aina ya kuku anavyo wataja wangine tunashindwa kuelewa

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      1. Broiler ni kuku wa nyama wa kisasa (wale weupe)
      2. Layers ni kuku wa mayai wa kisasa (mayai ya kisasa)
      3. Chotara mfano kuroiler, sasso n.k

  • @joelmollel565
    @joelmollel565 4 ปีที่แล้ว +1

    VIP kuhusu garama yake inakuaje ?

  • @joelnyarkoh2664
    @joelnyarkoh2664 4 ปีที่แล้ว +2

    Can the language be translated into English for us to understand since we are interested in project

    • @Lobo-Lobo
      @Lobo-Lobo 4 ปีที่แล้ว

      Buddy, I understand him just fine.... I speak Zero Swahili All I know is the word KUKU :)

  • @jasminamir884
    @jasminamir884 4 ปีที่แล้ว

    Nahitaji kujua gharama za ujenzi wa banda moja km hilo inagharimu kiasi gani

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว

      Chukua namba ya fundi mwisho wa video

  • @husseinmadundo1483
    @husseinmadundo1483 2 ปีที่แล้ว

    Hilo banda linagharimu shilingi ngapi?

  • @habibummakota556
    @habibummakota556 4 ปีที่แล้ว +2

    Kiongozi Naomba kuuliza kuku wa bloier(kuku wanyama) unaweza kuwafuga kwakutumia cages?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว +1

      Ndio huwa zipo cages za kuku wa nyama

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 ปีที่แล้ว

    Nipo mwanza fundi wa kunidizainia hili Banda ntampataje???

  • @erickphocus1822
    @erickphocus1822 4 ปีที่แล้ว

    Gharama ya hili banda ni kiasi gani?

  • @ibrahimkinogo5842
    @ibrahimkinogo5842 4 ปีที่แล้ว

    Je ukihitajikufuga wa kienyeji kabisa inakuaje kwenye banda hilo

  • @priscajackson7085
    @priscajackson7085 4 ปีที่แล้ว

    Tunaomba namba ya simu ya huyo mtaalam wa mabanda

  • @rebecakwaleka8029
    @rebecakwaleka8029 4 ปีที่แล้ว +2

    Kipindi cha mvua lipo wazi hivyo inakuaje?na mvua zingine huwa na upepo

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 ปีที่แล้ว +1

      Amesema linawekewa nailoni madirishani kipindi cha baridi na mvua

    • @rebecakwaleka8029
      @rebecakwaleka8029 4 ปีที่แล้ว

      Ok

    • @saidhamisi2795
      @saidhamisi2795 4 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa ndugu mimi niko Kenya lailoni hazitumiki zikipigwa marfuku nitaeka nini?

    • @muhammedwakif6216
      @muhammedwakif6216 3 ปีที่แล้ว

      @@saidhamisi2795 Tafuta japo turubali au kitu chochote cha kuzuia baridi na upepea