MZEE MANGUNGU HAUSIKI NA HIKI KINACHOENDELEA NDANI YA KLABU YA SIMBA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mashabiki tubaki imara na SIMBA YETU hata kama viatu na nguo zetu zitachakaa baadhi ya sehemu na iwe hivo 💪💪💪♥️♥️🦁🦁
Yanga imesaidia kuyaonyesha haya yaliyo jificha ndani ya simba heshima kwenu yanga. Tusipo angalia awam ya pili watatunyoosha tena ili akili itukae sawa. Nguvu moja💪💪💪
Sikuzote mtini hutundikwa wasiohusika🤔🤔🤔🤔 MANGUNGU Mungu atakulipa hapa ni Duniani tu.🙏🙏🙏
Mkono ndio tatizo sio mangungu .mpira ni kushinda na kufungwa au draw makolo bwana
Ww kwel ujui mpira ndugu yangu wachezaji awajitumi mechi ya Simba na yanga walioelekwa sana mana max akishika mpira anakimbia wao wako nyuma
Simba inakosaa mwekezaji sahihi,,, hatoi pesa...Jambo jingine.. viongozi hawana weledi kwann wasiseme kama mo hatoi helaa?
Ao watulie 2 kwanza wafanye usajili mpya waze wamechoka miaka 10 ni hao hao
SASA KM KUNA MTU MKUBWA ANASABABISHA TIMU KUHARIBIKA C MTAJE? KM NI MO KWANN AFANYE HVYO? SASA C WAONDOKE? KWANINI HAMUIGI WENZENU WA YANGA? KUMBE NYIE OVYO KABISA.
Mashabiki wa Simba wamechanganyikiwa Sasa Mangungu anacheza mpira wachezaji Wana cheza wamechoka sn
Acha akatae mo akitoa pesa zina liwa na hao wawili
Mfukuzeni Moo mtakuja kunishukur. Mangungu ni mfungua vikao tu jamani 😅
Uo mgogoro na muharibifu wa timu anatakiwa mangungo atoke aseme ata kama atajiuzuru aseme fulan na fulan wanafanya 123 uo ndo uongoz
Hapa mnamlenga MO msemeni hadharan aondoke,mm nitaidhamin smba
MANGUNGU ATOKE HADHARANI ASEME KINACHOFANYIKA WATU WANAMHUKUMU BILA KUJUA
Sasa mangu ngu sio aliwahidi kuifunga Yanga kwenye uchaguz wake
Dirisha dogo lisifunguliwe Hadi mzunguko wa kwanza uishe
Huyo anashilikiana na mangungu
👊👍✌️。
Duh 🙄 me sijui muundo wa Uongozi wa Simba ila mmh migogoro haijengi bali kubomoa.
Kanjibahi na football wapi na wapi😂😂
😅😅😅😅😂bc bc
mpaka waseme
Msenge aondoke
02 Uyo Mwamba Too Much
Bundi kaingia msimbazi
Mangungu atoke
Mzee Mangungu hana baya ila shida ni huyo Mo, ebu jikumbusheni history ya Mo kwenye soka la bongo, kabla hajatia mkono pale simba, alitia Mkomi Singida je ilikuwaje, alilohalibu akahamia Africa lion akjifanya anataka kuinunua, imeishia vp yaani nako kaharibu na sasa yuko Simba we unazani ni nn kitatokea 😷😷😷😷😷
ila miaka 4 ile ya ubungwa Mo alifaa cyo... binadam hanaga jema hata umfanyiee nn
Kwani mangungu ni nani si atoke
Shida yote iyo kono la nyani
😂😂😂😂😂