Miraji some time unajichanganya wewe unataka ujue ya yanga ya nini ndio maana mna jipa tabu mno wewe isaidie timu yako sisi tuna jicho la mbali baba,achana na yanga
Hakuna mashaka yoyote kuhusu uongozi Wala wachezaji, kama ni hivyo mechi zijazo watachezea wapi? Dua Haina nafasi katika hili, Dua ni sehemu ya maisha ya kawaida
Miraji kwani imeandikwa wapi kwamba kila mechi za kimataifa za yanga lazima zichezwe Kwa mkapa? Hayo ni mawazo yako na hayana uhalisia kuhusu yanga kupeleka mechi Zanzibar
Miraji wew mwenyew umeingizwa kwenye mtego na umejaa maan hakuna intaviyuu uliyofanya ikawa usiwazungumzie yanga wao umewaon lini wakiizungumzia timu yako wao wenyew wameshindwa kuizungumzia timu yao
@@emmanuelmacha7138 humsikilizi vzr kama unatak kujuwa kama hata yeye anaingia kwenye mtego rudi nyuma kaskilize intaviyuu aliyofanya baad ya yanga kusema kuwa kagoma ni mchezaji wao mtazame alivyokuwa na mihemko alisema hatowaamini viongozi wa simba hatimae kagoma yule pale anacheza simba halafu ukisema ni mchambuzi kwani awo wachambuzi hawaingii kwenye mtego Tanzania kuna wachambuzi kuna wapiga debe
Sisi yanga tunahuru sehemu yoyote kucheza hayo ni maneno yetu daima mbele ilove yanga na inshallah tutashinda 💛💚💚💚💛💚💛💚💛💚💚💚💚💚💚💚💛
Miraji upo sahii sanaaa ❤❤❤❤
Anaitwa Miraji mchambuzi wangu pendwa rangi zetu Ishara ya Upendo💚❤️💚❤️💚❤️💚❤️💚❤️💚❤️💚
Miraji ww ni mtu wa mpira sana...big up
Miraji na chagamba muko sahii sana yanga kwenda Zanzibar
Apo sawa miraji Leo nimekukubari uwa uko vizuri best
Ubaya ubwege yanga bingwa💚💛🖤
Na Leo wapo bubwini yanga kabla ya mchezo wao saa 2
We miraji inamana mechi kuhamishwa zanzibar ndo ulalamike,, wananchi nao wa zanzibar pia wanaitaji burudan tuliaa
Miraji sio mnafiki huwa umenyooka
Miraji some time unajichanganya wewe unataka ujue ya yanga ya nini ndio maana mna jipa tabu mno wewe isaidie timu yako sisi tuna jicho la mbali baba,achana na yanga
wew mwenyeo miraji nakuambia tena umeingia kwenye mtego maan huwezi kuwasifia nyuma mwiko kwa kucheza na cbe
Miraj nakubali sn family chagamb
Wewe Mr Miraji ni mchambuzi na si hao wengine wanaoibuka kama uyoga kipindi cha nasikia na jua likichomoza hunyaukaq
Oy miraji ongelea ya timu yako umekazana chagamba chagamba chagamba yanini yote hayo maneno mengi kabla ya mechi subili mechi iishe
Sema miraji unujua kujenga UONGO unao fariji
Hakuna mashaka yoyote kuhusu uongozi Wala wachezaji, kama ni hivyo mechi zijazo watachezea wapi? Dua Haina nafasi katika hili, Dua ni sehemu ya maisha ya kawaida
nakuelewa sana chagamba sio hao wanabwabwaja 2 hawajui wanachokifanya
Sawa kabisa simba mkifungwa mfungwe tu msitafute visingizio vya uwanjani😅😅😅😅
Miraji we muongo hakuna anayeihujumu yanga!
Kwa hiyo leo Dube akifunga magoli zaidi ya moja, mamluki watakuwa wameisha? Siku hiyo timu nzima haikuwa vizuri, leo utaoma
Fact kaka wanookubeza waache2
Kuanzia Leo nimekusamehe Bure kumbe mimi ndoo nilikua sikuelewi
Ni kweli wanasimba wote duniani tumwamini huyuu jamaa tuamkeni tutengeneze ubaya ubwela
Huo ni uwoga wao haoo makolooo wanaogopa kufungwa wanahofia sura zao wataziweka wapiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅
Hebu waulize we changamba nakutumia Kwa hao makolooo siku ya YANGA. DAY. Viwanja 2 vilijazwa na naniiii ??? Nasubilia jibu langu we chagamba
Miraji muongo mpila haupo ivo
Miraji wewe huko sawa
Ok
Miraji unajikanganya vby sana
Miraji acha woga mbona unaingiwa na mchecheto utajidatisha bule
Mimi pia ni mmoja wao nataka Simba wasipite! Wapigwe tu!
Miraji kwani imeandikwa wapi kwamba kila mechi za kimataifa za yanga lazima zichezwe Kwa mkapa? Hayo ni mawazo yako na hayana uhalisia kuhusu yanga kupeleka mechi Zanzibar
Hayo unayosema sio kweli Yanga walitaka kupeleka mechi kabla hata Mashindano hayajaanza kukazushwa kiwanja kimefungiwa na caf.
Nikweri ila watu waongeya uongo
Miraji unatoa maelezo yamenyooka sana Ila nina code za ubaya ubwela yani ni ubaya ubwela kweli kweli.
yani wameona uwanja wa mkapa hawatoweza kujaza uwanja kutokana na mechi yao
Wapi bumbwini giningi kuu wanatengeneza mambo yawe mazuri.
Bro unaakili nyingi sana
Kiukwel mpira wabongo Yan Kuna watu wakiongea hapo niwapinzan wanaongea facts sana Ila wasiojua mpira wanaachama2 big up miraji
Siri iliyopo ni kwenda kumtambulisha fesal zanzibar
11:08 11:08
Miraji ajui kitu chochote uyo
Unayejua kitu basi upewe maikii walau sekunde 47 kama unamudu kuwamalizia Watu MB zaoo..
Miraji wew mwenyew umeingizwa kwenye mtego na umejaa maan hakuna intaviyuu uliyofanya ikawa usiwazungumzie yanga wao umewaon lini wakiizungumzia timu yako wao wenyew wameshindwa kuizungumzia timu yao
Miraji ni mchambuzi zoo mbaguzi la nyeupe husema la nyeusi pia husema
@@emmanuelmacha7138 humsikilizi vzr kama unatak kujuwa kama hata yeye anaingia kwenye mtego rudi nyuma kaskilize intaviyuu aliyofanya baad ya yanga kusema kuwa kagoma ni mchezaji wao mtazame alivyokuwa na mihemko alisema hatowaamini viongozi wa simba hatimae kagoma yule pale anacheza simba halafu ukisema ni mchambuzi kwani awo wachambuzi hawaingii kwenye mtego Tanzania kuna wachambuzi kuna wapiga debe
Acha kutia fitna, mamluki ni nani?
Ok