NIMEWAHI KUFELI BREKI NIKAILENGA HOSPITALI| MLIMA KITONGA CHA MTOTO KUNA DOWN INAITWA K '9'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 มิ.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 176

  • @kuriaeric3073
    @kuriaeric3073 7 วันที่ผ่านมา +2

    toka kenya hapa. nimepatana na video zake kule facebook. ikabidi nimemsaka huyu mzee. yeye ni true comedian

  • @abrahammichael642
    @abrahammichael642 15 วันที่ผ่านมา +28

    Huyu jamaa angepata nafasi CHEKA TU ingekuwa poa sana

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 12 วันที่ผ่านมา

      Hahaha

    • @solomondanny-1507
      @solomondanny-1507 11 วันที่ผ่านมา

      Duuuh

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 10 วันที่ผ่านมา +1

      BABA LEVO ALIMPELEKA KUANGALIA HIVI MAJUZI NDARO NA LEONRALDO

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 10 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@salimmalaka256nadhani ni Leonardo sio Ronaldo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 10 วันที่ผ่านมา +2

      @@nancyg8664 YES NDIE HUYO LEONARDO

  • @thetas08
    @thetas08 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mpeni deal mzee mkongwe comedy mzuri bila kufikiria anajibu hapo kwa hapo mpeni matangazo anapendwa sana na pia anaburudisha sana
    Kilubwa kwake code zake kuziielewa big up mkongwe bondei in air

  • @emmanuelalfred140
    @emmanuelalfred140 14 วันที่ผ่านมา +4

    Baba levo mtafutie kipindi huyo ana faida katika fani ya uchekezaji na atatoa elimu katika udereva kwa njia ya comedy 😎😎😎😎🙏🏿🙏🏿🙏🏿👍

  • @EmmanuelMachupa-st4zh
    @EmmanuelMachupa-st4zh 15 วันที่ผ่านมา +17

    Nimekubali sana hiyo ya mahimahu ya nairobi na hiyo ya Nakuru kweli nihatari sanaaa

  • @Heyumjunior119
    @Heyumjunior119 15 วันที่ผ่านมา +10

    Dah unyamaaa sana

  • @theresialumato2281
    @theresialumato2281 15 วันที่ผ่านมา +7

    Daah uyu mzee kiboko yaan nilikuwa nime vurugwa lakin nimejikuta nacheka

    • @harunichambo4658
      @harunichambo4658 15 วันที่ผ่านมา

      KO Mzee kakutoa mvurugo😂

  • @ramadhanurassa2410
    @ramadhanurassa2410 15 วันที่ผ่านมา +7

    Mzee anaongea kwa code balaa eti ushuke na kaseja kama huna D 2 huwezi elewa

  • @raymondswed7358
    @raymondswed7358 15 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu mzee fala san😂😂😂
    Namkubali sana ana kipaji kikubwa sana😂😂😂

  • @Mu_ALI254
    @Mu_ALI254 8 วันที่ผ่านมา

    Wow, I love the conversation. Huyu Mzee is So experienced. Why not Make him an Officer In Truckers association. He will do a Good Job

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 13 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu jamaa ni comedy anafaa sana udereva alivamia

  • @Kevworx
    @Kevworx 14 วันที่ผ่านมา +3

    K9 balaa sana mzee hiyo unaelekea Kabanga sio mchezo ukishafika shuleni tu pale unaanza kuishuka ni hatari sana na hiyo ya rusumo inaitwa machinjioni nayo hailali na njaa mpaka gari ndogo zinakomaga hapo

  • @roseurio503
    @roseurio503 15 วันที่ผ่านมา +9

    Haki huyu mzee mpeeni kazi yaani kuchangamsha kipindi😂😂😂😂

  • @HamidaHamisi-ej8kz
    @HamidaHamisi-ej8kz 15 วันที่ผ่านมา +8

    Rusumo machinjioni kiboko sana

  • @sportskijiwe781
    @sportskijiwe781 15 วันที่ผ่านมา +7

    Ebwaaaaa mzee epewe matangazo jaman apige mpunga kidogooo

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 15 วันที่ผ่านมา +1

      NDIOOOOOOO
      ALLAH AMRAHISISHIE ❤🎉

  • @hamisindaro330
    @hamisindaro330 8 วันที่ผ่านมา +2

    Hio salgaa ukweli huo mlima mwamba

  • @bensonpaul3672
    @bensonpaul3672 5 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa kanikumbusha mbali sana,TULIKUWA STAFF 11, KUFIKA RUSUMO TUKASHTULIWA NA WATU WALIOKUWA WAKIPIGA KELELE WAKISEMA GARI INAUNGUA,kumbe ni Landcruiser yakwetu,wakati wa kushuka huo mlima ilishika break mpaka taili ikaanza kuwaka moto...

  • @khamisomary7428
    @khamisomary7428 15 วันที่ผ่านมา +7

    Hio K9 asee nikweli ngara hio nibalaa asee😂😂 nilikutana na lori speed yake nisawa na mtoto anavyo tambaa

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 6 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂Mb zangu zimeenda kihalali wallah nimejikuta nipo happy mwanzo wa interview mbk mwisho

  • @alisaadmohammed
    @alisaadmohammed 13 วันที่ผ่านมา +2

    Kongole sana dreva mkongwe

  • @octavianbaragwiha3836
    @octavianbaragwiha3836 13 วันที่ผ่านมา +1

    Huyuu dereva kweriii . . . K9 hatariiii Sana pia Kuna pale panaitwa machinjioniii

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 14 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu jamaa muongo sana anawatia kamba tu wasafi media

    • @didasseveline9013
      @didasseveline9013 14 วันที่ผ่านมา

      Yupo sahihi make kabanga ngara/ rusumo sio poa

    • @maimunaulotu2075
      @maimunaulotu2075 10 วันที่ผ่านมา +1

      Anaongea ukweli.......ila ana namna yake ya kuongea kuchekesha

  • @mrpullover3991
    @mrpullover3991 2 วันที่ผ่านมา

    #Ngarayiwachu #homesweethome #Ngara Kagera tz dah mzeee katembea aseee mteremko unaanzia sehemu inaitwa #lukole Kuna high school hapo shule yangu...

  • @user-ju3nm8oc1c
    @user-ju3nm8oc1c 12 วันที่ผ่านมา +1

    Daah! Huyu dereva mcheshi sana.

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 15 วันที่ผ่านมา +6

    Nimecheka 😅😅

  • @ngayaimkwe5175
    @ngayaimkwe5175 15 วันที่ผ่านมา +1

    Daa mzee tunamkubali sasa sana

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 13 วันที่ผ่านมา +2

    Huyo mzee kanivunja mbavu zangu na story za nyani wa kitonga.

  • @UlomiIsack
    @UlomiIsack 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Pia Barbara mbaya hapa Tanzania ni kutoka mbeya mjini kwenda chunya kuelekea makongorosi to tabora

  • @emmanuelalfred140
    @emmanuelalfred140 14 วันที่ผ่านมา

    Huyo mpeni kipindi cha usafiri na pia ni comedian 🎉❤😂

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 6 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂
    K9 shikamoo aise umejua kunifurahisha mzee wangu

  • @law93king
    @law93king 15 วันที่ผ่านมา +1

    daaaah aisee

  • @georgehajji9790
    @georgehajji9790 15 วันที่ผ่านมา +2

    Duh!

  • @muhinabakali7377
    @muhinabakali7377 12 วันที่ผ่านมา

    Nakubali dachi udevu

  • @kwizeralajoie3619
    @kwizeralajoie3619 13 วันที่ผ่านมา

    Mkogwe umenikumbusha k9❤❤

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 14 วันที่ผ่านมา +1

    dereva nakubali sana

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 15 วันที่ผ่านมา +1

    Ule mlima wa tznia kuingia Burundi siopowa😊

  • @user-fq3mb9yr4x
    @user-fq3mb9yr4x 11 วันที่ผ่านมา +2

    Duuh nilichogundu kuwa madereva wengi wa gali ndogo hawazifahamu alama nyingi za barabaran mfano hapo baba leo swali alilo liuliza nimegundua kuwa angekutana na hiko kibango cha toxicna gia box asijejuwa nini kimemaanishwa

    • @innocentkimisha4993
      @innocentkimisha4993 10 วันที่ผ่านมา

      Ni kweli wengi hawafahamu. Lakini hapo kwenye kipindi lazima mtangazaji aulize kwa faida ya wasikilizaji na watazamaji wake.
      So ilikua lazima aulize fuvu na gearbox na 1 low vinamaanisha nini ili hata ambaye si dereva aelewe.

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 14 วันที่ผ่านมา +1

    MZEE comedian huyu🤣🤣🤣

  • @mariamhamissi4428
    @mariamhamissi4428 15 วันที่ผ่านมา +3

    Noomaa sanaa😅

  • @kelvinmuuwo6733
    @kelvinmuuwo6733 5 วันที่ผ่านมา

    Any other Kenyan who saw his reel on facebook and came here looking for him
    Kwanza niko hiyo taxin anasema😂😂😂😂

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 15 วันที่ผ่านมา +3

    Hiyo K9 naijua saana ni balaaa

    • @lukasjelamisanana6770
      @lukasjelamisanana6770 15 วันที่ผ่านมา

      Sawa lakin hiyo k9siyo Kama anavosema huyu mzee km 38 kweli labda kutoka Kona ya benako had ngara hapo sawa

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 14 วันที่ผ่านมา

      @@lukasjelamisanana677038 ni nyingiiii sanaaa !!! Ila panaogopeshaaa jmb

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 7 วันที่ผ่านมา

    Huyu Mzee uwa namkubali sana inabidi aandike kitabu cha historia ili Sisi madereva chipukizi tuendelee kupata muendelezo

  • @feliudmasimba625
    @feliudmasimba625 15 วันที่ผ่านมา +4

    K NINE NOMA MZEE

  • @aminielimushi8709
    @aminielimushi8709 13 วันที่ผ่านมา +1

    Aina mpya ya usanii TZ

  • @rajabhassan6966
    @rajabhassan6966 15 วันที่ผ่านมา +2

    Mzee mpeni kipindi coz kipindi kimenoga mwanzo meisho

  • @SAKAYONZA
    @SAKAYONZA 14 วันที่ผ่านมา +1

    salgaaa hatari ....watu daily wazikwa pale

  • @lukasjelamisanana6770
    @lukasjelamisanana6770 15 วันที่ผ่านมา +1

    Lakin pia mteremko mkar upo burundi huo wenyewe ukianza kushuka ni unashuka km zaid ya 30 bugarama hiyo

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 15 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂 simchezo aisee

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 15 วันที่ผ่านมา +5

    Namkubali sana huyu mzeee

  • @user-ju3nm8oc1c
    @user-ju3nm8oc1c 12 วันที่ผ่านมา

    Hahaha, dah ! Anachekesha.

  • @hassanmatata9335
    @hassanmatata9335 14 วันที่ผ่านมา +2

    Baba Levo leo umekutana na chizi kuliko wewe

  • @HamidaHamisi-ej8kz
    @HamidaHamisi-ej8kz 15 วันที่ผ่านมา +2

    K9 kiumeeni kabisa tena kabisa

  • @omarylugojo9970
    @omarylugojo9970 15 วันที่ผ่านมา +2

    K9 naijua babu

  • @user-tk4tc6bv5g
    @user-tk4tc6bv5g 12 วันที่ผ่านมา +1

    K9 ni hatari sana

  • @user-um5uw9yo5q
    @user-um5uw9yo5q 15 วันที่ผ่านมา +6

    Hapo kwenye k9 umetupiga inakilomita 9 tu Ila ni mporomoko mkali sana

    • @samidquiz6316
      @samidquiz6316 15 วันที่ผ่านมา +1

      Hiyo ni sifa ya fasihi simulizi inakuwa na chuku nyingi

    • @MarckyCholla
      @MarckyCholla 15 วันที่ผ่านมา

      Kakosea wapi mbona hapo tunapajua wengi

    • @user-ul9df5ko2r
      @user-ul9df5ko2r 15 วันที่ผ่านมา

      Si ndy k9 ww mbege

    • @Bruno4cus
      @Bruno4cus 15 วันที่ผ่านมา +1

      K9 siyo kilometer 9 ni Kona 9 mzee

    • @namaraalexmbeikya1491
      @namaraalexmbeikya1491 13 วันที่ผ่านมา

      Hata mm nimeshangaa Kutoka Benaco mpaka mjini Ngara ni 36Km halafu yeye anasema K9 ni 38Km 😂

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 15 วันที่ผ่านมา +2

    Kumbe mjomba wa Muheza Hahaha

  • @kendwahamisi4903
    @kendwahamisi4903 15 วันที่ผ่านมา +3

    Lala nayo babu

  • @user-wu9zh1hc3i
    @user-wu9zh1hc3i 15 วันที่ผ่านมา +2

    K9 nimepita jana balaa kwel

  • @mwanaidimussa
    @mwanaidimussa 14 วันที่ผ่านมา +1

    Ken9 na loriiii😳 mbn hatariiiii !!!! Nimteremkooo mkal hatariiii

  • @celinaernst965
    @celinaernst965 13 วันที่ผ่านมา

    Yaani sijawahi kucomment .ila napenda kusema watu tunacheka tu huyu jamaa anavyotuchekesha ila watu wenye shule za driving wangemtumia huyu jamaa private kumfanyia mtu driving exam hawa madereva wa maroli hakuna kupita exam ya kuendesha maroli bila kufaulu mtihani huo watu wengi Tz wanatumia kufundisha tu utingo kesho anapewa roli . Hii ingesaidia madereva kuepuka pia ajali za barabarani. Nchi za wenzetu hakuna driving licence bila kupita exams kwa shule zilizodajiliwa siku ya exam kosa 1 tu la barabarani ukifanya na wasimamizi wa exam wakaliona utarudia
    Hakuna kupita hivi hivi. NA Maroli hayaruhusiwi kuovertake hovyo hovyo kisheria

  • @mwitajoseph8315
    @mwitajoseph8315 15 วันที่ผ่านมา +2

    Ngara ata gari dogo kama halina nguvu utakesha

  • @starjay3052
    @starjay3052 15 วันที่ผ่านมา +3

    😁😁🤣🤣 burundu inaiona ile lakini upo tanzania 🇹🇿 bado dah 😁😁🤣🤣

    • @Kevworx
      @Kevworx 14 วันที่ผ่านมา

      Kobero hapo hatari

  • @steramwanakira7183
    @steramwanakira7183 15 วันที่ผ่านมา +2

    Is soo funny

  • @AllyMngoya-ov8fs
    @AllyMngoya-ov8fs 13 วันที่ผ่านมา

    apewe nafasi uyo ataokoa jazz madereva awana bb wala mama mtz ana saman katika kazi yake

  • @zedekiahmagwega8044
    @zedekiahmagwega8044 14 วันที่ผ่านมา

    Mwanamke huyo yeye ANAWAZA HELA TU, kila muda yeye ni hela tu

  • @ernestmillinga7116
    @ernestmillinga7116 12 วันที่ผ่านมา

    Mate ya chumviii noma sana...usiombee aisee..

  • @user-bl3rq8fj9u
    @user-bl3rq8fj9u 6 วันที่ผ่านมา

    Jamaa anakubalika sana ache udele anachekesha sana 😂😂

  • @husseinmwedi7125
    @husseinmwedi7125 15 วันที่ผ่านมา +1

    Baba nakubal San mkongwe

  • @charlesmwaipasi2884
    @charlesmwaipasi2884 14 วันที่ผ่านมา

    Mwamba namuona sana Morogoro

  • @steramwanakira7183
    @steramwanakira7183 15 วันที่ผ่านมา +1

    I laughed so much

  • @patrickkilongo3214
    @patrickkilongo3214 14 วันที่ผ่านมา +1

    Kwan uyu mzee ni cimedian au 😅

  • @nicolasaugustino8449
    @nicolasaugustino8449 14 วันที่ผ่านมา

    Aisee 🤣

  • @haridimnimbo7377
    @haridimnimbo7377 12 วันที่ผ่านมา

    Hapo kwenye kucha kutoka jasho! Kubababake😂

  • @EzekielKamanda
    @EzekielKamanda 5 วันที่ผ่านมา

    Anachekesha sana

  • @Johansenjoshua1271
    @Johansenjoshua1271 15 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂 Ila mandevu

  • @youngweezy3846
    @youngweezy3846 15 วันที่ผ่านมา +1

    Nimecheka kifala😅😅😅😂

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 9 วันที่ผ่านมา

    LIFE EXPERIENCE

  • @dannymoses1882
    @dannymoses1882 15 วันที่ผ่านมา +2

    K9

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 13 วันที่ผ่านมา

    Mzee Sasa staafu

  • @feliudmasimba625
    @feliudmasimba625 15 วันที่ผ่านมา +3

    MKOKAA

  • @MtessaAlly-rd4hf
    @MtessaAlly-rd4hf 12 วันที่ผ่านมา

    Hayo makampuni matatu yaliyo tajwa halo na mzee dereva mkongwe wamuite wamlipe maana kawatangazia biashara.

  • @adenmohamed-ew8xw
    @adenmohamed-ew8xw 10 วันที่ผ่านมา

    Astaghfurulaah; mitume hawasaidii na Bilal hasaaidii bali Mungu husaidia; ni Mungu tu si binadam

  • @HamadiBwakame
    @HamadiBwakame 13 วันที่ผ่านมา

    Nisawa anasema Mongok a ukila unasema pekeyako unajikuna kichwa

  • @VeredianaKalembi-gs4vs
    @VeredianaKalembi-gs4vs 13 วันที่ผ่านมา

    K9 sio km 38 bwana tumepita huko acha uongo nimesomea ngara huo mlima naujua vizuri

    • @Kolongojr
      @Kolongojr 12 วันที่ผ่านมา

      Muongo Sana huyu mzee 😂😂

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 10 วันที่ผ่านมา

    Ndio maana mombasa umepigwa marufuku huo mgukaa, unalemaza wa2 kwl kwl

  • @davidchege325
    @davidchege325 13 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂lakini ndugu iyo kitu hailiwi na farasi Nairobi

  • @josephmpunta2662
    @josephmpunta2662 13 วันที่ผ่านมา

    Mzee wa hovyo

  • @maulidiadamu6618
    @maulidiadamu6618 15 วันที่ผ่านมา +3

    Mkongwe

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 15 วันที่ผ่านมา +1

    Dah hatari

  • @peterbradley3248
    @peterbradley3248 12 วันที่ผ่านมา

    Mzee anazidisha chumvi. Kitonga ni mlima wa kawaida sana japo ni mrefu 8 km na hiyo k9 ni mlima mkali ila ni wa kawaida nao. Kwa hapa Tz milima ya kutisha ipo songea tu huko ndio dereva yeyote akipanda au kushuka anatakiwa atulize mzuka...kuna jamaa angu alipanda vikumburu 1st time akafika mahali akapaki presha juu akaenda duka la dawa kuulizia sigara😅

  • @omarhamza9966
    @omarhamza9966 9 วันที่ผ่านมา

    Waniulize mimi maimai nitwawambia mlima wawanaume huo

  • @Hauleshabby
    @Hauleshabby 15 วันที่ผ่านมา +3

    Ha ha ha mzee namkubali sanaa

  • @user-hb3ip9it2j
    @user-hb3ip9it2j 14 วันที่ผ่านมา

    Leo nimecheka Hadi kilio

  • @fadhilimwalongo7564
    @fadhilimwalongo7564 14 วันที่ผ่านมา

    nime chekaa😂😂

  • @EzekielKamanda
    @EzekielKamanda 5 วันที่ผ่านมา

    K9 kali

  • @veronicaally
    @veronicaally 15 วันที่ผ่านมา +2

    Imenikubusha mbali sana mume wangu alifia hapo ndeleve ilimshida Gali akauwa meme wangu

  • @user-dz1dw8pv6c
    @user-dz1dw8pv6c 11 วันที่ผ่านมา

    Mzee mwongoo sasa K9 unakuwa kitega burundi wakat K9 ipo vijiji vya ngara

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 10 วันที่ผ่านมา +1

      KASEMA UKIWA JUU YA MLIMA UNAIONA BURUNDI VP NI KWELI AU KAONGOPA???

  • @hassanshaban-cb1eb
    @hassanshaban-cb1eb 14 วันที่ผ่านมา

    Hapo mahimahu ni noma upande bonde Haina Ata mwisho

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 15 วันที่ผ่านมา +23

    Sijasikiya swali muhimu maswali zote zakiboya tu.ivi hao madereva wamalori wanapo zeeka bila shaka kunakustafu je?wanalipwa.

    • @godsonmngara5722
      @godsonmngara5722 15 วันที่ผ่านมา +3

      Sasa akulipe nani sasa

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 15 วันที่ผ่านมา +1

      Inategemea na company anapofanya

    • @lukasnyabuto5533
      @lukasnyabuto5533 14 วันที่ผ่านมา +1

      Unataka swali gani,, we boya ama ni? Hii ni mambo za madereva sio wewe,, ama unataka wakuulizie bei ya bhachu??

    • @zedekiahmagwega8044
      @zedekiahmagwega8044 14 วันที่ผ่านมา

      Liomuita walikosa content ujue waulizaji wa maswali katika media hawakupi nafasi ukaongea au wakakuuliza cha maana hao wao wanauliza vitu ili kipindi kichangamshee kiende hewani, muda wa madai yako sijui shida za maderrva huo muda hawana

    • @hemedmwandaro1264
      @hemedmwandaro1264 14 วันที่ผ่านมา

      Wanalipwa baadhi ya kampuni kama Simba limited, wanajiriwa maana kulipwa ni kuajiriiwa sababu pesa zako zitatiwa nssf utakatwa alsilmia 7na muajirii asilimia 13

  • @ibrahmenard
    @ibrahmenard 7 วันที่ผ่านมา

    cheka tu pale anaondoka na kijiji