Rais Magufuli Akizungumzia Mishahara ya Peponi, Ambapo Watu Wanaishi Vuzuri Kuliko Malaika

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
  • Hii ni News Clip Rais Dr. John Pombe Magufuli, akiahidi kuipunguza mishahara minono ya 'peponi' na kuwaongeza wale wanaopata mishahaa ya 'motoni'.
    Rais Magufuli alizungumzia uwezekano wa baadhi ya bodi kuhongwa na menejiment ili kupitisha mishahara hiyo!. Kama ni kweli bodi zilihongwa, then pia kuna uwezekano mawaziri wa bodi hizo nao walihongwa ili kuileta mishahara hiyo kwenye cabinet, inawezekana cabinet yote pia ilihongwa, ili kuipitisha mishahara hiyo, na kubwa kuliko, kuna uwezekano hata mkuu wa cabinet naye alihongwa ili kupitisha viwango vya mishahara hiyo!.
    Mkuu wa nchi akiishasema posibility ya wateule wa rais kuhongwa na huku ni rais huyo huyo aliyeridhia viwango hivyo kupitia cabnet yake, then kuna open posibility ya huyo mkuu wa cabinet kuhongwa!.
    Tuhuma za kuhongwa zikitolewa kisha ukasikia kimya, ujue ukimya huu ni ama bado wanatafakari, au ni ule ukimya wa kukubali ukweli!.
    Paskali.
    Source: Ripped from TH-cam "Kipindi Maalum cha Rais Chato" kwa hisani ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.

ความคิดเห็น •