TANZANIA BARA INAFAIDIKA NA ZANZIBAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
  • #SERIKALITATU #KATIBAMPYA #MFUMOWASERIKALI #MUUNGANO #MAKAMUWAKWANZARAISWAZANZIBAR #OTHMANMASOUD
    "Nini Zanzibar inaweza kushirikiana na Tanzania Bara katika misingi ya kiuchumi ukitazama Tanzania Bara inaweza kufaidika Sana na Zanzibar Kwa sababu ya historia yake, mahali ilipo. Kama walivyoona wenzetu wa Wachina Wana Visiwa vyao kama Macau ni Visiwa ambavyo havijawahi kuwa nchi huru ni sehemu ya China miaka yote lakini Kwa sababu ya mahitaji ya kiuchumi wameweza kuvifanya vile ndio maana wana policy ya nchi moja mifumo tofauti. Kwa mazingira ya Visiwa viachwe vijiendeshe Kwa misingi inayokubalika Kwa uchumi wa visiwa na wamefaidika Sana. Ukitazama China uwekezaji mkubwa umetoka kwenye Visiwa hivyo" Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Mhe Othman Masoud.
    #HakunaKuleft
    #LiveOnClouds360
    Tazama LIVE 📺 @Cloudstv kupitia | Azam channel no 403| Dstv no 387| Startimes no 109| antenna/497

ความคิดเห็น • 59

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 2 ปีที่แล้ว +9

    Hakuna haki ZANZIBAR. Serekali ina jeshi la nato la CCM. Linaitwa mazombi. Au watu wasio julikana. Hebu muulizeni kuhusu LUKUVI kule kanisani. Mulizeni vipi kuhusu jecha. .

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*.

  • @saidmohd7240
    @saidmohd7240 2 ปีที่แล้ว +6

    Hongera Me. Othman Kwa kuusema Wazii Muungano! Huu ni muungano WA nchi mbili huru zilizo ungana! Wanachama WA Umoja wa mataifa!

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@sleemhamoud4394Sasa waarabu na Zanzibar wapi na wap? Mbon unakuwa pimbi ww

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 ปีที่แล้ว +2

    nakukubali sana makamu wangu Allah akuhifadhi, unaufasaha mashaallaah.

  • @w4058
    @w4058 2 ปีที่แล้ว +2

    Na pia uuzwaji wa pombe pia una sababisha Wazanzibar kutokuajiriwa

  • @edwardleonard7402
    @edwardleonard7402 11 หลายเดือนก่อน

    Wapeni Zanzibar yao bhanna Kila siku Zanzibar Zanzibar Kuna nn Kwan apo

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 2 ปีที่แล้ว +1

    Yupo very straight forward

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 ปีที่แล้ว +3

    Ilove Zanzibar

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 ปีที่แล้ว +1

      I love Tanganyika

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*.

  • @sirborybravo6249
    @sirborybravo6249 2 ปีที่แล้ว

    Hongera

  • @hasbunakhamis487
    @hasbunakhamis487 2 ปีที่แล้ว

    Hongera omo

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim830 2 ปีที่แล้ว

    Kazi njema mh

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 2 ปีที่แล้ว +1

    Kiongozi huyu Ana maono mazuri nchi lazima ibadilike kisiasa zaidi kuelekea kibiashara ndiyo italeta matokeo bora

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 2 ปีที่แล้ว +1

    Wanasema nchi hawajaipata kwa makaratasi na hawaitowi kwa makaratasi akili kichwani mwenu tafuteni njia nzuri ya kushuhulikia hilo tatizo

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*.

  • @sasi_tv6702
    @sasi_tv6702 2 ปีที่แล้ว +3

    Ipo vyema Hii Nimeikubali Maswali yake na majibu yake... Ila narejeya Tena kwa ushauri iyo meza ondoeni apo HAIENDANI na location ya apo🤔

    • @dadaagnes4483
      @dadaagnes4483 2 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂 hata mimi nimeiangalia sana nikaitafakari sikupata jibu

    • @musasabuu2808
      @musasabuu2808 2 ปีที่แล้ว +1

      Wanasulibili chakula

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 2 ปีที่แล้ว

      @@dadaagnes4483 th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @samirsamir7177
    @samirsamir7177 2 ปีที่แล้ว +1

    Wacheni Ujinga uwo semeni Tanganyika. Yani mumelishwa ujinga mpaka kuita nchi yenu jina lake imekuwa mnaona dhambi au aibu? Ndo maana Watanganyika wengi wanakuwa wajinga sana katika historia hawajui chochote kwa kusomeshwa mambo ya uwongo. Ni upumbavu ulopitiza mpaka vyombo vya habari badala ya kutoa elimu sahihi na wao ndo wanazidi kulisha watu matango pori.

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 ปีที่แล้ว

    Kivip ?Zanzibar! Kuna arhdi uko Kuna madini uko Kuna misitu uko Kuna ziwa uko

    • @MuhammedAliOmar-c9u
      @MuhammedAliOmar-c9u ปีที่แล้ว

      Zanzibar Hakuna chochote Kuna watanganyika tele na kila siku wanajazana tu huku. Sijui wanafata mini huku hali ya kuwa hakuna kitu cha maana.

  • @mzeesuliman3158
    @mzeesuliman3158 2 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania na Zanzibar twafauti Bora muungano uvunjike

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว

      Ungemwambia Kwanza aondoke studio maana Yuko bara huku, halafu ndio ufikirie kuuvunja Muungano

    • @omarhababuu3159
      @omarhababuu3159 2 ปีที่แล้ว

      @@jumakapilima7295 kwanza waodoshe wakenya wakongo wachina wahindi wazungu waburundi waganda wasomali warwanda nk mulokuwa hamujaungana ikisha mungano uvunjwe ndomuwaondoshe wazanzibari

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว

      @@omarhababuu3159 hahahaha,,,,,wahindi hawajataka Muungano uvunjike

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 ปีที่แล้ว

      @@jumakapilima7295 Hawa wanajidai utafikiri Zanzibar ni Mbinguni..!!!

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว

      @@mamboshepea8888 wana umasikini wa akili,,,,,

  • @mzeesuliman3158
    @mzeesuliman3158 2 ปีที่แล้ว

    kwasababu aiwezekani Mali zinatoka Tanzania bara Zinajenga Zanzibar

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 2 ปีที่แล้ว

      Mali gani iyo inayo jenga Zanzibar

  • @masoudali2163
    @masoudali2163 2 ปีที่แล้ว

    WATU WAZIMA MNAKAA KITAKO MUNAJADILI TANI 2000.HAHAHAHA

  • @ommymehmed8880
    @ommymehmed8880 2 ปีที่แล้ว

    wanapenda sana kumuhoji hyu mtu

    • @hamadali3231
      @hamadali3231 2 ปีที่แล้ว

      Vp kwani haifai kumuuliza

    • @ommymehmed8880
      @ommymehmed8880 2 ปีที่แล้ว

      Inafaa sana ...ila ni kwann hatupati ladha nyengine ...wahojiwe na waupande mwengine ,tuwasikie kauli zao je zinaendana na haya tuliyonayo sasa Zanzibar???

  • @mzeesuliman3158
    @mzeesuliman3158 2 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania Bara wamasai wanauwawa kwa bunduki wananyan'qanywa maeneo yao

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว

    Hamna kitu huyu!!

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 2 ปีที่แล้ว

      Ww una nn hata hao mabosi wko hawamfikii

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว

      @@salehkhalfan7345 Hahahaha,,,,,,hamna kitu hapo!

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 2 ปีที่แล้ว

      @@jumakapilima7295 Nlijua tu utakuja hapa

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 ปีที่แล้ว

      @@salehkhalfan7345 na Mimi nilijua Tu , ungekuja hapa!!

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 2 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/cUTZj5i_gLM/w-d-xo.html
      👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*..

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 ปีที่แล้ว

    Wakitaka kufahamu unachokisema waweke zanzibar kujitegemea wenywe