Hyu makame anaonekana ana matatizo, huwezi ww kuwa na matatizo namna hyo alafu unamwita mkeo ktk wakati mgumu namna hyo ,kwa nini usipigane uweke mambo sawa alafu ndio umwite mkeo ,,fala kweli hyu
Mjinga kweli ww hiv unajua thamani ya mke au unaskia tu TH-cam sasa anajua maisha yatakaa sawa lini na uko so kwao alaf mtu anafurajika kuona ampendae wakati wa shida anakua karibu yake.
Fala ni ww usiejua kutumia akili yako vzuri huo ni mtihani kaupata ndg yetu tumuombee kwa Allah amsaidie yy na wenzake waliopitia madhila haya jee ww unajua lipi litakufika ? Jaribu kutumia kauli nzuri kutoka mdomoni mwako
Aliegundua Kama mzee Makame Buga Ali kazidiwa na mapenzi ya Mtoto wa kimakonde agonge like za kutosha hapa 🥰🥰
😂😂😂 chezea miuno ya kimakonde
Shukran ktv tz online kwa kua karibu na hali hii iliotugusa wa zanzibar
Kwa kweli ni mtihani wamepitia ndg zetu
Allah awafanyie wepesi ktk safari yao ila inahitaji subra nzito poleni sana kaka zetu muliopitia madhila haya
Nakubali wema unaoza, Mtanzania anafanyiwa haya msumbiji ! !
Pole cn ndio mambo ktk dunia utakutana na mambo meng muhimu uvumilivu t na kumuomba Allah atufanyie wepes ktk safari yetu
Dah! inauma sana 😭 majeshi wa msumbiji hawanaimani hata kidogo Poleni sana.
Nafatilia hii video....
pole sana anko salam zako kutoka uturuki istanbul Europe
Mimi nafatilia nduguyagu makame mimi yamenikuta Somalia my.brothe never loss hop salam zangu kutoka USA marekani 🇺🇸
Daaa polen sana
Polesana Kaka inaniuma yani Sana Allah akulipe KWA uwezo wake mtihani umepata
wa Kwanzaa mie leo
Pole kaka
Mungu akupeni penye kheri nanyi
Mnachelewesha sana
Mmmh muwezesheni sasa na kumsaidia
Mnakaa sana jamani
Pole sana
Asikudanganye mtu wanawake wa msumbiji hawatosheki na mtu mmoja mm yalimkuta mumewangu
👂👂👂👂
Mnakawia kuleta muendelezo pole kaka
Ama kweli maisha yanakamilika kwa kuwepo "Adam na Hawa!!!".
Naomba namba yake nipate kumsaidia kaka Yangu daaah inasikitisha saana
Daaah mitihan kaka unajua ,wahenga walisema masikin mtu kwao, ugeni sio kitu chema,polen ndio ukubwa huo
Mtihani kweli
Simulizi nzuri sana
Usisheze na moçambique utakufha msenge
Bi siwema
Niko ktk sayari ya nubiru ila nafumfulitia jembe langu makame buga ally.
Siku kibaooooooo mbona haiyendelei mnAtuboa banaaaa
Makame anamaguvu wallah kma Mimi ningeshindwa hata kuelezea
Baharia huyo maisha ya pwani yana afya sana na nguvu
Musikawie kutoa habari inayo Fuatia mwatukatiza hamu...
Ni week
Sasa na nyie makame mnajua kabisa msumbiji kunawaka moto na magaidi mnaenda kufanya nini? Mbona kujiingiza matatizoni?
Makame buga Ally Naam😀
🤣🤣🤣🤣😁😁
Pole Sana kaka namitihani
Hakika mungu yupo pamoja na wenye kusubiri
Dah ama kwel Leo ndo nimeipata tafsir kamil ya NGUO YAKUSTIRI HAISTIRI MAKALIO ,
Lakini makame NAWE hayo machangamoto uliopitia BADO unashikilia upewe siku tatu tena za kukaa huko🙄
Duuh
Siku Nyengine Ukiulizwa kwenu Wapi Ujuwe vya kujibu Vizuri...
Hyu makame anaonekana ana matatizo, huwezi ww kuwa na matatizo namna hyo alafu unamwita mkeo ktk wakati mgumu namna hyo ,kwa nini usipigane uweke mambo sawa alafu ndio umwite mkeo ,,fala kweli hyu
Umesikia mpaka mwisho au unacoment tu
Mjinga kweli ww hiv unajua thamani ya mke au unaskia tu TH-cam sasa anajua maisha yatakaa sawa lini na uko so kwao alaf mtu anafurajika kuona ampendae wakati wa shida anakua karibu yake.
Fala ni ww usiejua kutumia akili yako vzuri huo ni mtihani kaupata ndg yetu tumuombee kwa Allah amsaidie yy na wenzake waliopitia madhila haya jee ww unajua lipi litakufika ? Jaribu kutumia kauli nzuri kutoka mdomoni mwako
hawa ndio wanaume wasalini wakati wa raha na shida
Pole sana