Huyu ni mjinga Kenny na kazi yake iwe mbovu iwe safi Diamond anampendeya hiyo haangejuwa lolote Diamond angemtumbua zamani uyu kaka ana wivu za kijinga na ushamba kama Mwinjaku kama unataka kazi kwa Mondi muendeye umuombe, na siyo ku disi wafanya kazi wake ambaye wamefanya kazi kwa mda na wame success kwa kila kazi
Jamaa alikua smart sana...full confidence
Ila nisher bonge la handsome 😜😍😍😍
Huyu ni mjinga Kenny na kazi yake iwe mbovu iwe safi Diamond anampendeya hiyo haangejuwa lolote Diamond angemtumbua zamani uyu kaka ana wivu za kijinga na ushamba kama Mwinjaku kama unataka kazi kwa Mondi muendeye umuombe, na siyo ku disi wafanya kazi wake ambaye wamefanya kazi kwa mda na wame success kwa kila kazi
Jamani wabongo wacheni wivu na maneno mengi
Sasa kama anasaidiwa sio mbaya team work sio kitu kibaya but nachokiona ni 50% ya 50% ila sio 95%
Muaceni anaongea ukweli
Lnazingua hli
Kweli 🐘🐘🐘🐘🐘💯💯🙏🙏🙏🙏
Huyu bweke Sana!! Afu kibri na chuki za kijinga
Akwende uko ....hater uyo
Mjinga, Kenny analipwa ukiwa unabweka tu hapo