HISTORIA NA MAISHA YA ASKOFU MKUU RUWA'ICHI,AZUNGUMZIA KUZALIWA,UBATIZO,ATAJA SABABU YA KUHAMAHAMA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 พ.ค. 2024
  • Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
    INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
    FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
    Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
    Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

ความคิดเห็น • 24

  • @georgemasanja3750
    @georgemasanja3750 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli tuna kila sababu ya kukutakia maisha mema baada kufikisha miaka 25 ya kichungaji kama Askofu. Mungu akupe maisha zaidi na zaidi

  • @yungeelias9339
    @yungeelias9339 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Askofu wetu Mkuu JUDDE RUWAICHI kwa utume wako! Mungu azidi kukubariki na kukulinda uishi miaka mingi yenye furaha na Amani teleeeee. AMINA

  • @albertmaneno
    @albertmaneno 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera Baba.... wewe ni kichwa

  • @LevinusMbuya
    @LevinusMbuya หลายเดือนก่อน +1

    Tunakuombea daima. Mungu amekupaka mafuta utumikie ufalme wake. Atakulinda na kukubariki daima

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nakukumbuka sana Mhashamu Askofu Mkuu Ruwa'ichi... umeacha alama katika maisha yangu. Tunamshukuru Mungu kwa maisha yako..nakuombea afya njema na umri mrefu

  • @raymondlaurent9403
    @raymondlaurent9403 2 หลายเดือนก่อน +4

    Asante Mungu kwa Zawadi ya Baba Askofu wetu...

  • @rehemamwaisumo6261
    @rehemamwaisumo6261 2 หลายเดือนก่อน +2

    Amina Baba Mungu aendelee kukutunza vema,udumu katika utumishi wako,Nakukumbuka Sana, Dodoma,ulitujengea kikanisa cha kuabudia Ekaristi Takatifu,masaa yote,ishi Maisha marefu yenye Baraka tele Baba

  • @wiseofficial5491
    @wiseofficial5491 2 หลายเดือนก่อน +4

    Amina zawadi ya uwepo wako ni tunu kwa kanisa letu.

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 2 หลายเดือนก่อน +2

    Very true especially the last point... May God bless him!!! 🙏🙏🙏

  • @YohanaMbano
    @YohanaMbano 2 หลายเดือนก่อน +3

    Asante MUNGU akutunze ulisimamie Jimbo letu kuu la DSM isonge mbele Kwa maendeleo hususan ujenzi Wa kanisa mpya la gezaurole tulikamilishe Kwa wakati asante Baba askofu

  • @vickyedward-jo1fe
    @vickyedward-jo1fe 2 หลายเดือนก่อน

    Tunamshukuru Mungu kwa ajili yako Baba Askofu. Mungu azidi kutusimamia na kutubariki sote tuimarike katika Imani yetu Katoliki.

  • @ReginaChileka
    @ReginaChileka 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana Askofu wetu, Mungu akupe maisha marefu baba

  • @liberathershao2150
    @liberathershao2150 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Askofu wetu mkuu RUWAICHI.Mungu akupe afya njema utuongoze vema katika kazzi ya Mungu.

  • @desderipatrick8392
    @desderipatrick8392 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ee Yesu tunakushukuru kwa zawadi ya mtumishi wako baba askofu watu mkuu Yuda Thadeus Rwaichi, tunakuomba umjalie afya njema na maisha marefu katika utume.

  • @ibanzatvonline
    @ibanzatvonline 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Baba Askofu Mkuu kwa utume wako huu

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 2 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana katika safari yako ya u Injilishaji Baba Askofu

  • @faustaedward2696
    @faustaedward2696 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ee Mungu umjalie afya njema azidi kulichunga kundi la kondoo wako.

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Mungu aendelee kukulinda na kukubariki

  • @lgf7297
    @lgf7297 2 หลายเดือนก่อน +4

    Baba Askofu hajasema akiwa Mwanza akipewa pia kushikilia Dayosisi ya Shinyanga alihudimu hadi Vijiji ndanindani kabisa. Katumia muda huo kujifunza na kuongea Kisukuma cha kuridhisha kabisa. Ni mtu wa Mungu.

  • @YohaniSulle
    @YohaniSulle 2 หลายเดือนก่อน

    Karibu Tena mbulu baba

  • @MartinChawangula
    @MartinChawangula 2 หลายเดือนก่อน

    Bravo

  • @cedricinkoramutima992
    @cedricinkoramutima992 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera Baba