"Kuna Mapadre Wametoka Njia Kuu lakini Bado ni Mapadre" Homilia ya Askofu Mkuu Ruwa'ichi, Kipunguni

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ย. 2022
  • 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
    Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/GDS87FVmKB5...
    Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
    KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+255757560764?text=NIUN...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
    KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+255757560764?text=Taar...)
    Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

ความคิดเห็น • 42

  • @consolatamushi266
    @consolatamushi266 10 หลายเดือนก่อน +1

    Unanibariki sana na Homilia zako baba, zimejaa uwepo wa MUNGU, hakika MUNGU anakutumia ipasavyo, tusiposikia usemayo, sijui tusikie kwa nani tena. Tukiyaishi haya MUNGU atapendezwa nasi hakika. Tunakuombea baba, MUNGU azidi kukupa hekima, maariafa, afya njema na maisha marefu. Akutumie kwa kadri apendavyo, wewe ni chombo chake kiteule. Barikiwa mnoooo!!

  • @ntezilibajacob
    @ntezilibajacob ปีที่แล้ว +3

    Homilia zako cyo za nchi hii. Nakukubali sana Baba askofu.Mungu akulinde daima.

  • @deomkatoriki3371
    @deomkatoriki3371 ปีที่แล้ว +7

    Asante kwa neno zuri Baba, Mungu azidi kukupa Kibali cha Kuchunga Kondoo wake kwa uaminifu.

    • @primitivagratian3436
      @primitivagratian3436 ปีที่แล้ว

      Homilia nzuri sana, tunabarikiwa!

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 ปีที่แล้ว

      Mungu akusaidie kuijua kweli yake siyo Dini yoyote kwani Dini zipo nyingi sana duniani na haziwezi kukufikisha mbinguni,tuache kuabudu masanamu ,Mungu ni Roho wamuabuduo imetupasa kumuabudu katika Roho na kweli,

    • @amedeuskimario8895
      @amedeuskimario8895 ปีที่แล้ว +1

      @@patsonkyando1732 cjui kinachokuumiza hapo n nn mkuu mbona Kila mtu yupo huru kufanya anachotaka we unaamin hicho unachokiamin kitakupeleka huko unakofkir acha watu waenjoy na iman zao acha machukizo bana

    • @emmanuelshayo4703
      @emmanuelshayo4703 ปีที่แล้ว +1

      @@amedeuskimario8895 wanatafuta wafuasi kwa nguvu, wamehubiri majukwaani bila kupata wafuasi sasa wameamua kujenga chuki na kanisa katoliki

    • @emmanuelshayo4703
      @emmanuelshayo4703 ปีที่แล้ว +1

      @@patsonkyando1732 proud to be Catholic.... Catholic forever.

  • @geoffreyjeff5135
    @geoffreyjeff5135 ปีที่แล้ว +4

    Asante baba Askofu Kwa neno lako nzito Mungu akubariki

  • @reginaldhhayuma6907
    @reginaldhhayuma6907 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana mhashamu baba askofu Ruwaichi

  • @samwelmotika3803
    @samwelmotika3803 ปีที่แล้ว +1

    hongera sana baba kwa homilia yako nzuri nimebarikiwa sana

  • @margaretmkazawadi1290
    @margaretmkazawadi1290 ปีที่แล้ว +1

    Mungu azidi kukubariki

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 ปีที่แล้ว +1

    Amina Baba tunamshukuru MUNGU Kwa uwepo wako baba

  • @samsongechamet5374
    @samsongechamet5374 ปีที่แล้ว

    Nakukumbuka Sana Askofu ulinipa kipaimara 1988 Gallapo Parish.Mungu akubbarikj sana kwani unamtendea.

  • @paulmlasi2101
    @paulmlasi2101 11 หลายเดือนก่อน +1

    Aminaa

  • @paulomalema6384
    @paulomalema6384 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa neno ubalikiwe baba

  • @albertokindole4454
    @albertokindole4454 ปีที่แล้ว +2

    Senior Bishop. Thanks Bishop for your blessings

  • @theresiakaruhanga364
    @theresiakaruhanga364 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki

  • @paulomalema6384
    @paulomalema6384 ปีที่แล้ว +2

    Ami na amiina

  • @michaelmagembe5069
    @michaelmagembe5069 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @innocentsilvanus1328
    @innocentsilvanus1328 ปีที่แล้ว

    Tena wapo wengi sana

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 ปีที่แล้ว +13

    Waja wako tunamshukuru Mungu kwa kutuletea Kuhani mkuu km wewe, nimekufuatilia tangia ukiwa Dodoma, Mwanza na Sasa Dar. hakika uinjilishaji wako u juu ya kiwango. Tutabalikiwa km unavyobarikiwa. Barikiwa baba.

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 ปีที่แล้ว

      Hiyo Ni kuhani wa Dini ya Roman Catholic siyo Mungu wa mbinguni ,Mungu Hana Dini

    • @jonathanntare4787
      @jonathanntare4787 ปีที่แล้ว +3

      Bwana paston kyando shida yako nini ?? Au umekosea channel ukajikuta upo huku kwetu.

    • @justinemathiasngwandu7715
      @justinemathiasngwandu7715 ปีที่แล้ว

      @@patsonkyando1732 NAONA KAMA UNAHAHA SAANA KUSIKIA NENO KUHANI WA MUNGU, POLE HIYO NDIYO FAIDA YA UASI WENU, LAITI MSINGEASI LEO NAWE UNGEFURAHUA KUITA KUHANI, MAANA NAJUA UKIKO UNAABUDU KWENYE KANISA LA.... ILA SISI TUPO HUKU TUNAMTUMIKIA MUNGU KWA AMANI TUKIWA NA MAKUHANI NA MAHALIFA WA KRISTO, HUJACHELEWA NJOO TU WALA USIHOFU.

    • @emmanuelshayo4703
      @emmanuelshayo4703 ปีที่แล้ว

      @@patsonkyando1732 kumbe ndio mnakuja kutafuta mahubiri na mafundisho kwenye channel za kikatoliki

    • @emmanuelshayo4703
      @emmanuelshayo4703 ปีที่แล้ว

      @@jonathanntare4787 hajakosea, yuko kazini wameshahubiri kwenye majukwaa wamechoka bila mafanikio sasa wameamua kuingia kwenye channel za kikatoliki, hawa ndio wale wanaozunguka dunia kupoteza roho za watu

  • @fidelenzambimana6980
    @fidelenzambimana6980 ปีที่แล้ว +1

    MOLTE GRAZIE ECCELLENZA.DIO LA BENEDICA.

  • @josevictor59
    @josevictor59 ปีที่แล้ว +2

    Huwa nakunali nipitwe na mengine lakini si mahubili ya Askofu mkuu hakika unatumika vyema

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 ปีที่แล้ว

      Anatumiwa na Nani?

    • @josevictor59
      @josevictor59 ปีที่แล้ว

      Tumsifu Yesu Kristo, nilimanisha anatumika vyema kwenye utume wake.

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 ปีที่แล้ว

      @@josevictor59 watu wengi wanaishi kwa kuzipendeza Dini zao na viongozi wa Dini zao na kufuata Sheria za Dini zao ,wakifikiri wanampendeza Mungu ,kweli Bible inasema hawajui Wala hawafahamu wanatembea gizani Zaburi 82:5

    • @silvanusmagwira6162
      @silvanusmagwira6162 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@patsonkyando1732hiyo Biblia unayojifanya kuirejea umeitoa wapi? Biblia ni mali ya Kanisa moja Takatifu na la kitume.

  • @serapiusmwalongo2482
    @serapiusmwalongo2482 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @paulomalema6384
    @paulomalema6384 ปีที่แล้ว

    Am

  • @deokrasisjosephat5857
    @deokrasisjosephat5857 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana baba Askofu mkuu

  • @paulomalema6384
    @paulomalema6384 ปีที่แล้ว +1

    Ami na amiina

    • @stevennyilawila7830
      @stevennyilawila7830 ปีที่แล้ว

      steffen
      Ana karama ya pekee kt kuhubiri.

    • @gabrielshani3476
      @gabrielshani3476 ปีที่แล้ว

      Baba mungu akupe nguvu daima katika utumishi uliotukuka mungu akupe maisha marefu