Hawakatazwi kuwa vyama vyengine je wana fungu la kumlipa msanii mmoja mmoja zaidi ya milioni kumi tano mpaka ishirini? Wasanii hawaangalii swala la kubanwa kimuziki tumeshavuka huko swala la maokoto tu ndio wanachoangalia wanajua uchaguzi ukianza kila shoo hakosi m15 je mikoa ipo mingapi hata kama atalupwa chini ya hapo hawakosi kuingiza juu ya ml 100 kila mmoja, chama gani kitathubutu kufanya hivyo? Na venye wabongo tunapenda burudani aaagh mteremko tu kwa mama baada ya hapo tunalalamika😂so funny, tufanyeni kazi kwa bidii hakuna serikali itakuleyea kazi nyumbani au pesa ama chakula.
Hii niwimbo ufaawo pahala popote waheshima ya MAMA ,sikuzote utafaa
njaaa bwana
Ommy Lina Hela ila hata kama ukiwa ni ww unaakaa upande wa utawala Ili usiminywe kwenye biashara *zako* pamoja na music
Mtampeleka nyinyi ,,,
Imekaa poa
Kwahiyo wasanii wote ni CCM
Hawakatazwi kuwa vyama vyengine je wana fungu la kumlipa msanii mmoja mmoja zaidi ya milioni kumi tano mpaka ishirini? Wasanii hawaangalii swala la kubanwa kimuziki tumeshavuka huko swala la maokoto tu ndio wanachoangalia wanajua uchaguzi ukianza kila shoo hakosi m15 je mikoa ipo mingapi hata kama atalupwa chini ya hapo hawakosi kuingiza juu ya ml 100 kila mmoja, chama gani kitathubutu kufanya hivyo? Na venye wabongo tunapenda burudani aaagh mteremko tu kwa mama baada ya hapo tunalalamika😂so funny, tufanyeni kazi kwa bidii hakuna serikali itakuleyea kazi nyumbani au pesa ama chakula.