NYUMBA YA MILIONI 600 INAYOUZWA PALM VILLAGE MIKOCHENI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 667

  • @kessikigogo4955
    @kessikigogo4955 3 ปีที่แล้ว +49

    Mgawanyo wa milioni 600 uko iv kwa uku kwetu LINDI... Milioni 5 kiwanja, Milioni 20 dangote cement, milioni 8 mchanga, Milioni 7 mafundi kufyatua matofali, Milioni 10 mafundi kujenga, Milioni 30 bati za msauzi, Milion 20 finishing na wiring , Milion 10 swimming pool, Milioni 5 fance, hapo nyumba itakuwa imeisha na bonge la nyumba jumla ni Milioni 115. Kwenye milioni 600 inabaki milioni 485. inayobakia xaxa milioni 85 V8 moja, hapo unakuwa na nyumba kali sana na unatamba kitaa na Maela yako yamebak benki kama mstaafu ubunge tu.

    • @enamwangama4203
      @enamwangama4203 3 ปีที่แล้ว +4

      Hesabu zako hazipo sawa hakuna fence ya milion 5 ingawa uko sahihi kuhusu mil 600 vs mjengo. Mjengo haulipi kama ulivyosema naweza tumia mil 300 au 400 kutoa stand alone house ya kibabe

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 ปีที่แล้ว +2

      @@enamwangama4203 zipo fensi za makuti😀😀😀

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 3 ปีที่แล้ว

      😹😹 umetisha

    • @pettyjongera1295
      @pettyjongera1295 3 ปีที่แล้ว

      Umetisha

    • @soloartist_ivanvespalusind1609
      @soloartist_ivanvespalusind1609 3 ปีที่แล้ว

      Umetisha

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 3 ปีที่แล้ว

    Ayo TV, ebu niulize, kuna uwezekano mkenya kununua nyumba Tanzania??

  • @thebarzbreaker3520
    @thebarzbreaker3520 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwa M600 unaweza kujenga Ghorofa kufuru na sio kujibana hivyo. PALM VILLAGE WANAUTANI SANA😂😂😂

  • @Zaikadena
    @Zaikadena 3 ปีที่แล้ว +11

    Cwez nunua kinyumba cha vumba nne kwa m 600 naenda jenga bangaloo moja matata

  • @hasyno9805
    @hasyno9805 3 ปีที่แล้ว +42

    apo kwenye bafu milard nimecheka ulivyosema kuna space alafu ukajikuta umeshika ukuta

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo5032 3 ปีที่แล้ว +2

    Mmmh ila kwa mimi apo harakaharaka nikipata milioni 600 nyumba yangu nagarimu milioni 20000 gari milioni 7 shamba na shamba la kulima milini 30 na nyengine najenga msikiti milioni 50 abayo itakua sadaka yangu kwa alonijalia riski hii ya milioni 600 uo ni mchizamo wangu kwa alonazo aaaa mbona ize nyumba ipo powa

  • @tittoskeysproject3651
    @tittoskeysproject3651 3 ปีที่แล้ว +7

    Hapa ndipo ninapojuaga wasanii wetu miayusho kwa quarty hii ingekua mbele wasanii wangekimbilia ila huku tunaishia kuwaona insta na fake life yao pumbafu hakua cha simba wala chui 😊😊😊😊😊

    • @malikzafarani172
      @malikzafarani172 2 ปีที่แล้ว

      Shuwa bro umeongea fact saana wanaigiza maisha tuh insta mie pia nawachekigi hv nabaki kucheka tuh wafafek maisha had bas 😄🇹🇿🇶🇦👊✌

  • @brayanjames9953
    @brayanjames9953 3 ปีที่แล้ว +10

    Ushawai miliki nyumba bila kiwanja tena ya milioni 600 .lakin kiwanja huna 😅😅😅😅😅 thanks brother Miradi.. wacha nitafute kiwanja kwanza nyumba nita jenga tu

    • @utaani1
      @utaani1 3 ปีที่แล้ว

      Hiyo million 100 ni nyingi. Anaumwa sana ni kama kujenga nyumba ya chini ukiwa na kiwanja mbona unaweza ukajenga mjengo kama huo kwa million 100 tu

    • @rahmamollely5296
      @rahmamollely5296 ปีที่แล้ว

      😂

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 3 ปีที่แล้ว +5

    Apo nanunua view 😀😀
    600 si naujengea nyumba moja kufuru mjini...
    Poleni wavuvi msiopenda kuibiwa cement na fundi Michael 😀😀

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 ปีที่แล้ว +1

    Yani aptment zinauzwa ghali kuliko hata dubai

  • @herosofthecentury
    @herosofthecentury 3 ปีที่แล้ว +10

    Million 600 najenga gorofa moja yenye vyumba 10 na yenye furniture kali,,,apo sijaona furniture yeyote kali inayoendana na pesa hiyo,,,,HII NI JANJA JANJA TU,,,Weka Like kama unakubaliana na mimi

  • @ndagiletv521
    @ndagiletv521 3 ปีที่แล้ว +22

    one day Mungu atanipa nyumba kama ioo mirald ayo

    • @deega1234
      @deega1234 3 ปีที่แล้ว +4

      Amiin na afya pia.

    • @dotahamad6640
      @dotahamad6640 3 ปีที่แล้ว

      Amiin thuma amiin

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza4926 3 ปีที่แล้ว +17

    Sasa basi una nunuaje milioni 600 sehemu kama hiyo kwasababu ya ya view ya mikocheni?unajua 600 millions nikijenga yakwangu natoa kasri?hebu acheni upuuzi

    • @frankdepiere2477
      @frankdepiere2477 3 ปีที่แล้ว +3

      Zina wenyew hizo, wakitifuana wanajirusha hewani tu, 😂😂

    • @jamesswai1683
      @jamesswai1683 3 ปีที่แล้ว

      Umemaliza KILA kitu..milioni mia nanunua kiwanja sehemu nzuri nitakayo..mia tatu najenga ghorofa..milioni mia unaweka KILA kitu cha anasa ndani...mia sita nyingi sana na huna hata sehemu wa kufanya shughuli

    • @fahmy3hamed799
      @fahmy3hamed799 3 ปีที่แล้ว +1

      Yani ni kweli kabisa hawa wanaumwa sana 🤣

    • @razackkambi8318
      @razackkambi8318 3 ปีที่แล้ว

      @@jamesswai1683 sehem ya kufanya shughuli hakuna 😂😂😂😂

  • @ernestmbwana6282
    @ernestmbwana6282 3 ปีที่แล้ว +3

    Mimi Maskini wa bush part nimezoe nyumba yangu ni pande mipera,mapapai na makomamanga ..nyumba hizi za matajiri hazifai kuchinja kuku.wala mbuzi hazifai kula ubwabwa wakufunikia Wa mkaa
    Hapa full kula madude ya plastic surgery...

  • @charotelimo5026
    @charotelimo5026 3 ปีที่แล้ว +5

    Yani 600ml huku kwetu unanunua kiwanja na unajenge nyumba 15@ room3

  • @Donrugi
    @Donrugi 3 ปีที่แล้ว +44

    Dah hii inanipa hasira kutafta pesa 🤭🤗😕😕😕

    • @busta_malik5971
      @busta_malik5971 3 ปีที่แล้ว +1

      😂😂

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 3 ปีที่แล้ว +1

      Hahaaa aliyejaliwa kajaliwa

    • @rashidpweka4325
      @rashidpweka4325 3 ปีที่แล้ว

      Kabsa kabda bro yan inaleta hasira ya kutafuta pesa

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 3 ปีที่แล้ว +1

      Hata wewe waweza kukopa kuwekeza, huyo kakopa kuwekeza

    • @lucasmogoile7097
      @lucasmogoile7097 3 ปีที่แล้ว

      misingi Ni muhimu sana watu wako na raha ila wengine wako na shida sana Mungu atusaidie

  • @selemanichiga5828
    @selemanichiga5828 3 ปีที่แล้ว +66

    Dah! Na mimi Eti wakiitwa watu wenye nyumba nitoke hata kwa dawa sitoki Ila namshukuru mungu na mm nina pa kujistiri 🙏🙏🙏

  • @alexmihayo5723
    @alexmihayo5723 3 ปีที่แล้ว +3

    ...Ni ngum saaana kufanya kaz kwa muhind kutwa unalipwa elfu8 kula kwako naul kwako, afu unawaza kuwa kutafuta mil.600 Aaaisee labda ubebe sembe. Kuwa km mm tu naangalia muundo mpya wa sofa niweke geto.

  • @kelvindaudi7330
    @kelvindaudi7330 3 ปีที่แล้ว +1

    Mhh nyumba kama hyo hata jirani yko humjui ,mnaonana parking na supermarket

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 3 ปีที่แล้ว +26

    Hiyo hela mbona ndogo, sisi ni wazee wa migodini, huwa hatupigi hodi.

    • @hassankiboko5349
      @hassankiboko5349 3 ปีที่แล้ว +1

      ayabwana

    • @antoinekatembo8520
      @antoinekatembo8520 3 ปีที่แล้ว +1

      Karibuni hadi mkifika piteni hadi ndani kabisa!

    • @idrisaathumani4891
      @idrisaathumani4891 3 ปีที่แล้ว

      Thaman ya nyumba ndo imekwamia hapo,

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 3 ปีที่แล้ว +2

      Kwani yeye kasema ni nyingi?😂😂😂

    • @noratycharles5772
      @noratycharles5772 3 ปีที่แล้ว

      Usiwaogopeshe watu wape moyo wakutafuta

  • @youngbilioners4631
    @youngbilioners4631 3 ปีที่แล้ว +1

    Nipunguzieni nina200

  • @sumatanjunior231
    @sumatanjunior231 3 ปีที่แล้ว +41

    600 million ni very overpriced kwa build quality hiyo. Hapo ni kwamba unanunua location. Ila nyumba, na finishing ni very basic.

    • @gregorychogelo2013
      @gregorychogelo2013 3 ปีที่แล้ว +2

      Sasa utafanya pricing ya nyumba bila ku take into consideration location/plot..!!

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 3 ปีที่แล้ว

      @@gregorychogelo2013 😜😃😃😃🤔🤔 point

    • @gabrielsanga5313
      @gabrielsanga5313 3 ปีที่แล้ว

      Nikitaka kuama naama napo au

    • @victormneney1475
      @victormneney1475 3 ปีที่แล้ว

      Unauziw floor na vyumba vinne
      600 ukitaka yote x11 = ila itatofautiana bei kulingana na Floor specification

    • @ericknkonya5682
      @ericknkonya5682 3 ปีที่แล้ว +1

      kweli kabisa the only thing you are selling me with the price is the location. otherwise the rest its pretty much way over priced. (Maoni ya maskini lakini)

  • @rosegaston6226
    @rosegaston6226 3 ปีที่แล้ว +6

    Mchicha ntalimia wapi Meku?Unakaa juu ukiachia kitu kinabiringika down mjini noma sana.

    • @celinadulle4104
      @celinadulle4104 3 ปีที่แล้ว

      Hapo sasa, m 600 nikakae mashambani na kulima mboga zote

  • @omaryntagala3740
    @omaryntagala3740 3 ปีที่แล้ว +33

    Milioni 600 najenga mtaa mzima

    • @samniza1763
      @samniza1763 3 ปีที่แล้ว +9

      Ninajenga gorofa with a big garden, mil 600 with no garden? no bath for soaking your body, just shower? no thank you.

    • @charlesjonas4412
      @charlesjonas4412 3 ปีที่แล้ว +2

      😂😂😂 kweli mkuu

    • @beatricemrisho8431
      @beatricemrisho8431 3 ปีที่แล้ว

      Knsa yan

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 3 ปีที่แล้ว +1

      @@samniza1763 agree

    • @utaani1
      @utaani1 3 ปีที่แล้ว +2

      Hujengi mtaa mzima ila unaweza ukajenga nyumba yako nzuri na ukaweka mpaka umeme wa jua mkubwa na kisima cha maji pia na electric security fencing na swimming pool pia

  • @mariahshirima1229
    @mariahshirima1229 3 ปีที่แล้ว +15

    million 600 af master room hamna Jacuzzi

  • @anisiaaudax3708
    @anisiaaudax3708 3 ปีที่แล้ว +20

    Mungu wangu unisaidie mm na mume wangu tukajenge yetu na tuweke mahitaji zaidi ya hayo

    • @jokharymasoud7396
      @jokharymasoud7396 3 ปีที่แล้ว

      Ameen

    • @rashmanditmand7373
      @rashmanditmand7373 3 ปีที่แล้ว +1

      Ameen mung akusaidiy

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 3 ปีที่แล้ว +2

      Unajenga nzuri , kubwa na gari yako unaegesha mvungu wa kitanda 🤣🤣🤣🤣

    • @marcusgray2559
      @marcusgray2559 3 ปีที่แล้ว

      Amen,. MUNGU awabariki mkidhi kiu ya ndoto zenu na mue na amani daima.

    • @Kaizirege
      @Kaizirege 3 ปีที่แล้ว

      Amina

  • @itsjonahfather7941
    @itsjonahfather7941 3 ปีที่แล้ว +8

    Apartment ni nzuri kiukwelii, Ila kwa sisi mafundi kwa hiyoo Mill 600, unamvuaa mtu mjengoo kwa mill 300 pale mikadi beach pembeni tena barabarani na mia 3 iliyobakia unatoaa kitu cha laana , Ni mawazo tu maselaa

    • @mybrain8940
      @mybrain8940 2 ปีที่แล้ว +1

      Sasa wewe huoni huko ni karibu na mbinguni, tena unaenda kwa lift 🤣 hicho ni kiota chini kuna shopping, hakuna uswahili, 🤣🤣🤣🍺

    • @itsjonahfather7941
      @itsjonahfather7941 2 ปีที่แล้ว

      @@mybrain8940 Kumbee ww unatakaa Lift za kupanda na kushukaa sio luxury house, haya sawaa nimekuelewa ilaa kumbukaa mill 600 unaenda kuishi kwenye chumba na sebule na jiko, ilaa mimi nazungumziaa vyumba vitano na vyoote master bedroom pamojaa na ndinga iliyohifadhiwa laundery space/ parking space na swiming ya kwako kwa nyumaa ambayo ni simple tu, Hii ndo Nyumbaa ila hapoo unaishi kwenye chumba na sebule mzee kisa Lift

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 6 หลายเดือนก่อน

      Kwel kabisaaa

    • @shanibaniyas6308
      @shanibaniyas6308 หลายเดือนก่อน

      ​@@mybrain8940😂

  • @selemanichiga5828
    @selemanichiga5828 3 ปีที่แล้ว +6

    Thamani ya choo Cha pablic ni thamani ya nyumba ya mtu ashukuruwe mungu kwa yote.

  • @Imfura_Iriho
    @Imfura_Iriho 3 ปีที่แล้ว +12

    I am coming to buy this room. From Toronto 🇨🇦! I hope it will still available.

    • @johlet9212
      @johlet9212 3 ปีที่แล้ว +5

      You are living my dream bro! Congratulations in advance... I wish I can comment like this one day

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 8 หลายเดือนก่อน +1

      You can apply Iam in toronto too

    • @MwajumaRashidi-tx6ks
      @MwajumaRashidi-tx6ks 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@tanzcanmediatv4473😂😂😂

  • @husseinjbigo3847
    @husseinjbigo3847 3 ปีที่แล้ว +20

    Wengine tunaishi kwenye chumba kimoja kitanda hapohapo jiko unga kochi unaweza sema unalala sto lakin 1day yes inshallah tutamiliki

  • @mosesnyirenda6359
    @mosesnyirenda6359 3 ปีที่แล้ว +13

    Million 600?halafu niishi kwenye hizo Hostel?

    • @mustaphagairo1936
      @mustaphagairo1936 3 ปีที่แล้ว

      Ha haaaa

    • @Donrugi
      @Donrugi 3 ปีที่แล้ว

      Unaweza kununua kwaajiri ya biashara

    • @hisanmwakijungu10
      @hisanmwakijungu10 3 ปีที่แล้ว +2

      @@Donrugi siwez nunua ata kama ni biashara,, wew unaifaham ml 600

    • @elinamilyatuu7493
      @elinamilyatuu7493 3 ปีที่แล้ว +1

      Hayo maisha huyawezi kausha

    • @hisanmwakijungu10
      @hisanmwakijungu10 3 ปีที่แล้ว +1

      @@elinamilyatuu7493 aya maisha nayawexa ndo maana nimekujibu,,
      You don't know nothing,,, idiot

  • @khaleedahmedsaidkione5977
    @khaleedahmedsaidkione5977 3 ปีที่แล้ว +3

    Nyumba kama hizo hata wachawi hawaingii....😂😂

    • @ruthusinde966
      @ruthusinde966 2 ปีที่แล้ว

      Nimecheka jamn bongo kuna viruko

  • @fadhilifredrick4115
    @fadhilifredrick4115 3 ปีที่แล้ว +2

    Wajanja tunaiba ramani tu 😂😂😂😂😂

  • @feysalismail4768
    @feysalismail4768 3 ปีที่แล้ว +5

    Ninunue nyumba m 600 Alf IPO ewani sijaribu

  • @hamisisha
    @hamisisha 3 ปีที่แล้ว +21

    Npo geto hapa punde nimekosakosa kumwaga unga wangu duh...haya maisha ya kuishi store sio😂😂

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 2 หลายเดือนก่อน

    Hizo Apartment quality yake ya kawaida sana. Hata vitu vyake vya kawaisa sana kwa milioni 600.
    Hapo mtu ananunu tunaita "Goodwill" kwa maana ya ushawishi wa eneo. Ni kwa sababu zipo mikocheni, ukijenga Apartment kama hzo hzo mbagala au gongo la mboto huwezi ziuza milioni 600. Hapo mtu anaunua location tu

  • @evancekessy592
    @evancekessy592 2 ปีที่แล้ว

    600M...kisha pangisha kwa 5M per month..ndan ya 1 year una 50M..kwa miaka 10 unakaribia kurudisha ..na thaman inaongezeka...shida ubora na wapangaj wauhakika🤣🤣

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 3 ปีที่แล้ว +12

    My dreams house dah pesa uko wapi😠

  • @rachelbahahazo6362
    @rachelbahahazo6362 3 ปีที่แล้ว

    Ningenunua lakini milango haijanifurahisha😀😀😀😀😀😀🤣🤣🤣🤣

  • @faustinebupamba271
    @faustinebupamba271 3 ปีที่แล้ว +6

    milioni mia sita najenga gorofa moja yenye vitu bora na mwonekano mzuri zaidi ya hii...

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 7 หลายเดือนก่อน

    We acha hayo mahesabu. 😂😂 kama mfanyabiashara yupo anapata faida milioni 150 kwa siku.
    Hiyo si ni sawa na bure kwake?
    Hatulingani maisha.

  • @edwarddavid8076
    @edwarddavid8076 3 ปีที่แล้ว +1

    Dah! starehe yake kuona bahari tu kwa millioni 600

  • @antoinekatembo8520
    @antoinekatembo8520 3 ปีที่แล้ว +10

    Uali gani hapo ulipo Millard! Napataje mawasiliano yako?
    Ahsante sana!

  • @abeljohnsonnaman.7635
    @abeljohnsonnaman.7635 2 ปีที่แล้ว

    Vyoo vya kukaa ni hatari sana kwa kuambukizwa magonjwa kama UTI kwann apo kwa hadhi hiyo wameviweka ivyo???? Kwan vya kuchuchumaa vina tatizo gan aise????

  • @dotahamad6640
    @dotahamad6640 3 ปีที่แล้ว +1

    Yaan nitoe mil 600 kisa mjini na ghorofa ama, kwa mm ningenunua viwanja kigambon ama mhagala nikajenga nyumba za maana na kupangisha baada ya miaka kadhaa pesa inazid ya hiyo ml 600

  • @timotheokomba5493
    @timotheokomba5493 3 ปีที่แล้ว

    pakuanikia nguo spaon pako wap mbona uzush

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 ปีที่แล้ว +5

    kwa ela hiyo,siishi kwenye flats!!! ntachomea wapi nyama kwenye grill ya mkaa,hamna garden, watu wengine ni musiki wa nguvu kwa mbele,si nitagombana na block nzima?..hizo za mabachela..lol.They are nice though

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 3 ปีที่แล้ว +36

    Apartment million 600!!
    Najenga nyumba yangu sehemu kimya hakuna zogo ..

  • @jimboulaya
    @jimboulaya 3 ปีที่แล้ว +2

    Appartment Millioni 600 ghorofa ya 11? hio ni sawa na dola laki 2 sitini, najua ni sababu ya location ila kwa hela hio unaweza kununua nyumba na eneo kubwa private sio appartment, kumbuka ukinunua nyumba ama kiwanja ni kwamba unamiliki eneo, ila appartment huuziwi eneo ni jengo tu.

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 2 ปีที่แล้ว

    Millard chukua mjengo

  • @mursallusinde9189
    @mursallusinde9189 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli unabaki pale pale pamoja na yote hayo nyumba uliyokuta ipo tyr kma hiyo huwez jua kuna nin kimewekwa humo bora ujenge yako kila kitu unakijua.. Unaweza kuta kuna camera kila sehem zinakufatilia kila unacho fanya na huwez kuziona

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 3 ปีที่แล้ว +1

    nyumba ziko ghali.

  • @sosthenesjairo7995
    @sosthenesjairo7995 2 ปีที่แล้ว

    Dah nyumba iko poa kama Mimi nimepnda bafu ilivyowekwa iko poa sana

  • @xiwuyan457
    @xiwuyan457 3 ปีที่แล้ว +1

    600M Najenga Nyumba ya chini Ghorofa 2 Na Magari kadhaa na full ulinzi na viwanja nazungushia...kuliko kujibana huko juu eti kisa ni palm village....Unaweza kununua kwa ajili ya kukodishia lkn Mbona wao wauze 😒 wakodishe

  • @kainimlowe7555
    @kainimlowe7555 3 ปีที่แล้ว

    sisi tunaojenga za milioni mbili hatujakuelewa

  • @jovinathasavoie8018
    @jovinathasavoie8018 3 ปีที่แล้ว +2

    Master bedroom no tub,usually wanaweka shower ana tub.

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 3 ปีที่แล้ว +1

    Milad milioni mia sita nakujengea nyumba vyumba vitatu sebule ya maana jiko la maana na nyumba itakuwa gorofa mbili kudadeki,millioni mia sita acha utani wa ngumi wewe

  • @kato_tz
    @kato_tz 3 ปีที่แล้ว +16

    Milard nimekundua una kipaji kingine kizuri sana cha kuwa dalali, Yaani ni vile tu hujatutoza 10,000/= ya kuona kama wale madalali wa maani ah ah ah ah ah ah ah ah h. Bless youu

  • @samirahassan3212
    @samirahassan3212 3 ปีที่แล้ว

    hapa masikini nawalehawawezi kumiliki ml 600 ndio watakao coment na hashuokibao masikini anamaneno hapabilionea hutoiona koment yake wengi kinakajambehuko

  • @suleimansalim7194
    @suleimansalim7194 3 ปีที่แล้ว

    Mm nahitaji hiyo sehemu nipe detection tafdhalii

  • @khalidhamis5811
    @khalidhamis5811 3 ปีที่แล้ว +2

    Ukiwa na pesa unaweza kufanya chcht utakacho ila mzee @millad ayo vyumba 4 kwa M 600 duh to much ila kwa sababu ya location Ni saw

    • @blambiapapa7188
      @blambiapapa7188 3 ปีที่แล้ว

      Aisee hata kama location sio milioni 600,huu ni wizi aisee

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 3 ปีที่แล้ว

    kitanda cha kamba kina usingizi mwanana you can have that umekuja kwa udongo utarudi kwa udongo

  • @HASASON
    @HASASON 3 ปีที่แล้ว

    Hiyo hapana sababu hata sehemu ya kufugia mifugo yangu Hakuna na hata Nikita kufanya party sina uwanja wa kuwaweka wageni halafu hivi ninunue nyumba million 600 kisha nife wanizike manispaa kweli? No thanks

  • @chimamyzahra3454
    @chimamyzahra3454 3 ปีที่แล้ว +4

    Millard wanaanika nguo wap na sehem ya kufulia nguo je

    • @trumpetoflife7312
      @trumpetoflife7312 3 ปีที่แล้ว +1

      Uko makini sana

    • @area51tv39
      @area51tv39 3 ปีที่แล้ว

      Kwel bhnaa

    • @semenimohamed8156
      @semenimohamed8156 3 ปีที่แล้ว

      Hujaona kwa nje ww unaanika kwa kkutumia vifaa vya kuniakia nguo ukiwa na mashine yako unaweka unafulia hauna mashine unafua kwa mikono

    • @sonofgod1623
      @sonofgod1623 3 ปีที่แล้ว

      Apo lzma uwe na mashine ya kufulia nguo

  • @kennethdc2577
    @kennethdc2577 2 ปีที่แล้ว

    Naweza nikakopeshwa alaf nikawa nalipa mdogp mdogo aisee

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 3 ปีที่แล้ว +3

    Siwezi kunnua sitakuwa huru siwez kulima bustan amna uwanza

  • @deogratiushonest5122
    @deogratiushonest5122 3 ปีที่แล้ว +3

    Hapo unanunua locacation, hiyo million 600 sehemu nyingine unaweza kufanya makubwa, unaweza kumiliki majumba ya kisasa zaidi ya matano.

  • @ramdhaniduru6335
    @ramdhaniduru6335 3 ปีที่แล้ว

    Kama Kuna sehemu ya Kupanda hata matuta mawili ya matembele ..Nalipia

  • @elinamigags4847
    @elinamigags4847 3 ปีที่แล้ว +1

    Hivi unajuwa milioni 300 insjenga nyumba gani lakini 😂😂😂

  • @fahmy3hamed799
    @fahmy3hamed799 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbona hiyo bei haifanani na hiyo flat kwakweli bai kubwa sana haifanani kabisa

  • @gracemadondola7331
    @gracemadondola7331 2 ปีที่แล้ว

    Tutafte Hela milioni 600 sio nyingi

  • @modestmassawe_tangatz
    @modestmassawe_tangatz 3 ปีที่แล้ว

    Mmmh millard umenifanya nione kama nalalaga nje maisha yote

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 ปีที่แล้ว +6

    Mashallah, Tunaziona kila cku, ila kumiliki sasa mmmmh 😜

  • @zenasalum2231
    @zenasalum2231 4 หลายเดือนก่อน

    Nahisi hizi imekusudiwa kwa wageni wajao tz kama wafanya biashara wenye pesa zao ili kuepuka kukaa mbali na mji si mbaya ika kwa sie wazawa kununua hapo utakua na akili fupi

  • @rashidmtindi2339
    @rashidmtindi2339 2 ปีที่แล้ว

    Ukishalipia unamiliki inakuwa mali yako...

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 11 หลายเดือนก่อน

    Bei ni resonable sana ntachukua hapo

  • @omakywazamani6696
    @omakywazamani6696 2 ปีที่แล้ว

    Tatizo ni uwezeshaji wahuo mji

  • @brazanet6916
    @brazanet6916 3 ปีที่แล้ว

    Oya sijaelewa io million mia sita NI gorofa zima au

  • @kelvindaudi7330
    @kelvindaudi7330 3 ปีที่แล้ว

    Na vipi kuhusu makaro ya choo yakijaa nani anaflash

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwa 600 nañunua kiwanja cha million 10 najenga mjengo wa million 300 bonge la jumba eneo la bustani napanda miti na Magali nanuua na bado chenchi inabaki.

  • @HamiduChamboko
    @HamiduChamboko 3 ปีที่แล้ว +4

    Kudadeki chanika napata uwanja wa heka 4 kwa milioni 20 najenga vigorofa vinne vya million 100 na inabaki million 200

  • @asternjulius890
    @asternjulius890 3 ปีที่แล้ว

    Kwani hizi nyumba huaga anamiliki Nani wazee

  • @samwelkisaka6754
    @samwelkisaka6754 2 ปีที่แล้ว

    Mim huko juu ckai stak naogop we

  • @batulialmass8914
    @batulialmass8914 2 ปีที่แล้ว

    Hapana nitajenga mwewe ya million 2o

  • @thelistener8357
    @thelistener8357 3 ปีที่แล้ว

    Mbuvavu alipae hela hio kwa flat hizo

  • @ibrahimmohamed1994
    @ibrahimmohamed1994 3 ปีที่แล้ว +4

    Kunywa kikombe kimoja cha kahawa kila akisema AMAZING

  • @MwanamkuluShabani
    @MwanamkuluShabani 8 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo ml 600 mm nanunua mkoa mzima na vilivyomo

  • @vero57
    @vero57 3 ปีที่แล้ว +9

    Hamna mmbu huko?? Mimi na mmbu sipendi, maji hayakatiki??

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 3 ปีที่แล้ว +1

    Milion 600 haiwezi kujenga nyumba ya namna hio! Mwache mauongo jamani! Hio nyumba inagalimu mabilioni! Hamjajenga jamani?

    • @alvinbexton6338
      @alvinbexton6338 3 ปีที่แล้ว

      Hujaelew sio gorofa ni hivyo vyumba jiko na sebule ndo M 600... Alafu kwingineko ni vyumba vya wengne pia.....afu kwanz elewa maana ya apartment

  • @Predictor2023
    @Predictor2023 ปีที่แล้ว

    Vinauzwa au vinapangishwa

  • @stellamajura4593
    @stellamajura4593 3 ปีที่แล้ว +1

    Hzo nyumba za kununua unaweza usilale usiku

    • @UzalendoNaUtu
      @UzalendoNaUtu 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂 waswahili mna nini lakiniii!???

  • @chaulachaulaya5259
    @chaulachaulaya5259 3 ปีที่แล้ว +1

    Baada ya kulipa 600 million hamna kitu kingine utachangia? Umeme ulinzi maji? Kwenye viwanja tunalipaga umiliki wa ardhi kwa 33 au 99 years hapo ikoje?

  • @selemanilyimo4098
    @selemanilyimo4098 3 ปีที่แล้ว

    Tunauza viroba kariakoo

  • @AmaniRazalo
    @AmaniRazalo 7 หลายเดือนก่อน

    Inamana kila kitu unakikuta humo au?

  • @frankyohana5617
    @frankyohana5617 3 ปีที่แล้ว

    Sijapenda vitanda vyai

  • @mybrain8940
    @mybrain8940 2 ปีที่แล้ว

    Milioni mia6 siwezi oga nime simama 🤣🍺

  • @prosperkonokono5716
    @prosperkonokono5716 3 ปีที่แล้ว

    Wapunguze bei kidogo jamani. Fanyeni ata milion 3

  • @youngbilioners4631
    @youngbilioners4631 3 ปีที่แล้ว

    Mnierekeze vizuli swimming pool ni ya wote au niyakulipia

  • @sanurikibaya3254
    @sanurikibaya3254 3 ปีที่แล้ว +6

    We milla unashindwa namilion 600 siungeinunua ww

    • @gloxmax8388
      @gloxmax8388 3 ปีที่แล้ว

      😁😁😁😁😁😂

  • @majeje655
    @majeje655 3 ปีที่แล้ว +5

    Nikitaka kupikia kuni napikia wapi mzee mwenzangu