Serikali ya Tanzania yafikia makubaliano na wafanyabiashara.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 มิ.ย. 2024
  • Hata baada ya jana serikali kutangaza kufikia makubaliano na wafanyabiashara, taarifa kutoka baadhi ya maeneo hapa Dar es Salaam na mikoa kama Mbeya na Mwanza zinasema wafanyabiashara wamendelea na mgomo.
    Mwandishi wa BBC Sammy Awami alizungumza na Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Dar es Salaam Riziki Ngaga kupata undani wa madai yao.
    #bbcswahili #tanzania #kariakoo
    Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

ความคิดเห็น • 48

  • @marwajoseph8060
    @marwajoseph8060 3 วันที่ผ่านมา +8

    Kweli kabisa me nashangaa sana eti asimilia 18 bila hata kuangalia ni faida gani inapatikana

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 3 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu jamaa ni kichwa. Serikali msikilizeni vizuri mfanye marekebisho maisha yaendelee

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 3 วันที่ผ่านมา +2

    Si kweli kuwa hawa ccm hayo hawayajui kulazimisha kodi huo ndiyo upigaji wao yaani wizi mkubwa kupita kiasi

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 3 วันที่ผ่านมา +1

    Umeongea point sana kuchanganya dagaa na samaki ni ngumu kutofautisha harufu zao.

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 3 วันที่ผ่านมา

    Sahihi kabisa wanazingua sana

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cw 3 วันที่ผ่านมา +3

    UMeongea vizuli sana sana

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 3 วันที่ผ่านมา +2

    Serikali inawatengenezea watu njia ya Kula rushwa na kufanya wizi.
    Kodi nyingi hazifiki serikalini zinaishia mifukoni mwa watumishi wa TRA

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 วันที่ผ่านมา

    Uko sahihi msemaji .serikali ijisahishe

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255 3 วันที่ผ่านมา

    Safi sana

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku วันที่ผ่านมา

    Samia sio mama Yako kwasababu ndiye anatia Saini mnaanza kusumbuliwa na TRA halafu yy anakaambali anajifanya haoni

  • @joshuaburton6599
    @joshuaburton6599 3 วันที่ผ่านมา

  • @tashone7884
    @tashone7884 วันที่ผ่านมา

    Serikali imeshindwa biashara zake zote na zilizopo kila mwaka kuongezewa ruzuku. Bishara ni ngumu tusikilizwe

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 3 วันที่ผ่านมา

    Ila Kenya

  • @amosmangura
    @amosmangura 3 วันที่ผ่านมา

    Mwanza watu wamewekwa ndani 50000 faini 250000 several da ilemela yaani inaumiza yaanu zinauma sana japo nwamelipa basi ukandamizi

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 2 วันที่ผ่านมา

    Wazee wa ndio ni wengi bungeni

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 3 วันที่ผ่านมา +1

    Dogo umeongea vizizuli sana mwigulu na laisi wa chukue mawazo sofi umesahau osha na kushusha kontena mutu anashusha mzigo aliolipiya nakushusha alipe mbumbu hao dawa ni kuzi chapa j.makamba nape lidhiwani hawajasema sawa

  • @peterandrew4910
    @peterandrew4910 3 วันที่ผ่านมา

    Let's try to reduce transactions using cash!

  • @reubenmhagama8164
    @reubenmhagama8164 3 วันที่ผ่านมา

    Tozeni Kodi BANDARINI na VIWANDANI Kwa kiasi mtakacho ili bidhaa ikifika mitaani isibugudhiwe iwe ni kuuza tu. mfano mkitoza kilo Moja ya sukari sh. 500 kiwansani iwe imeishia kule huku mitaani ikauzwa 3000 sisi tutajua ni elfu 3.

  • @andreap.assenga8480
    @andreap.assenga8480 3 วันที่ผ่านมา

    Hizo sheria mbovu zinaonyesha kwamba rushwa tz haiwezi kuisha kutokana na mfumo mbovu fain ambazo hazilipiki milele

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255 3 วันที่ผ่านมา

    Ulipe City service halafu ulipe malipo ya kuzoa takataka parking .halmashauri wanafanyia nini hizo pesa?

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 3 วันที่ผ่านมา

    HIZI TAARIFA DODOMA ATUNA. NDIYO TUNAZISIKIA KWENU

  • @Digitalhhhhhgfgg
    @Digitalhhhhhgfgg 2 วันที่ผ่านมา

    BBC leo mnashindwa kusema ukweli hali si shwari yaani tushwa mbaya sanaa mmelishwa nini mbona kwa JPM mlikuwa wanazi sanaaa

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 3 วันที่ผ่านมา

    Subili Wana cheza na machinga watahalibu nchi hii

  • @sirajimsuya6226
    @sirajimsuya6226 3 วันที่ผ่านมา

    Kinachonikera ni service levy

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wasenge hawa. Wafanyakazi Sekta binafsi wanalipa kodi kubwa sana; PAYE (pay as you earn). Hawalipi kodi wanalilia tu. WAFANYABIASHARA NI WADANGANYIFU LINAPOKUJA SUALA LA ULIPAJI KODI. UKISEMA WALIPE KODI BAADA YA FAIDA, SAHAU. NEVER EVER WATALIPA HIZO KODI. KILA SIKU WATASEMA WANAPATA HASARA

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 2 วันที่ผ่านมา

    Serekali in ubaguzi inabagua raia zake kuna wanaostahiki kulipakodi na wanaopewa huruma na serekali wasilipe kodi

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 3 วันที่ผ่านมา

    Hao machinga wengine mitaji yao mikubwa kuliko wanaolipa kodi

  • @JundikiFoodproduction
    @JundikiFoodproduction 2 วันที่ผ่านมา

    Hapo kwenye kukadiriwa mauzo ghafi inaumiza, hawaju una losse una wafanyakazi,kodi ya pango, osha, fire, manispa, mishahara,bili za maji umeme nk, malipo ya nssf kwa wafanyakaz gharama za uendeshaji marejesho ya bank nk

    • @mchungajimpigauzitv5703
      @mchungajimpigauzitv5703 2 วันที่ผ่านมา

      Yesu awape loho ya huluma watu pesa za kausha damu ni shda tena halimashauli nazo zina kuwa kausha damu

  • @user-df7xo5nu9z
    @user-df7xo5nu9z 3 วันที่ผ่านมา

    Kweli service levy ya nn nikama kodi ndogo ulipe tra ulipe manispaa kwel

  • @reubenmhagama8164
    @reubenmhagama8164 3 วันที่ผ่านมา

    Kodi itozwe BANDARINI na VIWANDANI Kwa kiasi watakacho ili bidhaa ikifika mitaani izwe bila kugudhiwa hapo migomo hii isingekuwepo kabisa!

  • @hurumalunda2490
    @hurumalunda2490 3 วันที่ผ่านมา

    Nisikilizenii watanzania,,TRA sio tatizo. Tatizo no
    Wawekezaji wa kihindi na kichina ndio wameharibu biashara ,,tunashindwa kusimamia bei kwa sababu Yao wawekezaji Hadi wateja wamekuwa na kiburi..

    • @samirhumud7408
      @samirhumud7408 2 วันที่ผ่านมา

      Uwo ni ubaguzi jee wew ukibaguliwa utaridhika?Kwani awo ndio wameweka kodi?Usikurupuke kutoa maoni akili ndogo

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 2 วันที่ผ่านมา

    Mpaka gari bovu linaandamwa na tre pale mwandege kucha magari yanaparasuwa pale bagamoyo kutwa tre inaparasa madereva dhuluma imezidi

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k 3 วันที่ผ่านมา

    Tanzania ni ya ajabu utakuta.wanayafikia hadi maduka ya mitaani,haya maduka pipi,,ambayo hata mtaji wake haufikii millions mbili,watu wanakamatwa wanachukuliwa hela zao,rushwa imetamaraki

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k 3 วันที่ผ่านมา

    Hivi nisawa kitu kimoja kitozwe naTra mara nne, bandalini kitozwe, kwenye duka la jumla kitozwe kikifika kwa wa rejareja kitozwe, ndiyo maana vitu bei.

  • @zully756
    @zully756 3 วันที่ผ่านมา

    Beira msumbiji bandari ipo

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 3 วันที่ผ่านมา

    Umesema vizuli sheliya na sela ya biashara awepo mufanya kazi mukulima mfanyabiashara kama sela inavyasema Sasa machinga halipi Kodi mama lishe halipi Kodi zaidi ya kuchagua Jiji anae taka kujiaajili ajiajili Kwa vitu hivyo vitatu bila hivo ccm mutasambalatika

  • @ChancellorFelix-vm5yp
    @ChancellorFelix-vm5yp 2 วันที่ผ่านมา

    Uchaguz wa mwakan inatakiwa wapiga kula wawe na TN number na uchaguz usimamiwe na wafanyabiashara kusudi mbunge na rais atakaeingia madarakan awe na uchungu wa Kodi znazokusanywa na matumiz yawe yenye tija sio Leo hii rais anaenda kukopa nje then pesa znaenda kwenye matumiz yakawaida badala yakuzalisha faida itumike kulipa den

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255 3 วันที่ผ่านมา

    Ndugu City service inabidi ibakie kwa Impoter au waagizaji wa mizigo viwanda mahoteli any wauzaji huduma siyo maduka ya jumla na rejareja.

  • @mariamshaban4518
    @mariamshaban4518 3 วันที่ผ่านมา

    Nyinyi wakinga semeni shida zenu msituchanganye na sisi machinga kama mmegoma rudini kwenu mbea kenge nynyi

    • @karimjuma4019
      @karimjuma4019 3 วันที่ผ่านมา +1

      Akili huna kenge ww

    • @SaimonJohn-fi8tp
      @SaimonJohn-fi8tp 3 วันที่ผ่านมา +3

      we huelewi kitu mamba ww unadhani wamaduka makubwa wakifunga we utanunua wap hizo takataka zako

    • @mariamshaban4518
      @mariamshaban4518 2 วันที่ผ่านมา

      @@karimjuma4019 endeleeni kufunga wachawi wakubwa nyinyi mnaacha kufanya biashara muneleta umbea mjini hizo flemu zenu mulizo ficha misukule ndani kama zimewashinda ludini kwenu mbeya kariakoo ni ya kila mtu fisi wakubwa nyinyi

  • @Digitalhhhhhgfgg
    @Digitalhhhhhgfgg 2 วันที่ผ่านมา

    Hakuna makubaliano bado BBC sema ukweli angalia mtangazaji anajificha