Mnaangaika kumtafuta mchawi,adui namba moja wa watanzania woote ni chama chakavu cha CCM na family zao,bola ukimwi kuliko CCM kuwepo Tanzania,bandari imeuzwa watanzania tutateseka sana.
sina maana yakupigia chama chochote kifua ila CCM aisee mnaharibu mbayaaaa huo mgomo ni jambo dogo sana kulinganisha na kero nyingiiiii zilizo kwa wananchi..acheni kudharau wa Tanzania kwani watawafanya nini..ishini kwenye ilani yenu ya chama..
Wanainchi wanalipa Kodi alafu majizi yanaiba mabilioni ya walipa Kodi, na serikari inabariki wezi na inawalinda , Kodi itumike ipasavyo kumechoka na lipoti za CIG Kila siku wizi na serikari haipiki atua
Chawa huyo mama achane na machawa aongeye na vijana jeshishi wasomi wafutwe machinga na jina Hilo lisisikike unapangaje watu balala? Wajengeye masolo siyo kuweka chini
Vilevile wageni kuwa hutu kufungua maduka kila kama sisi wazawa na kufanya biashar kama sisi wazawa inatuondoa wazawa kweny mfumo kabisaa hakuna ushindan
Chalamiya anajifanya mkali ajuwi kama wezake wanaumiya asilete ujingaa hapo mishavu ilee
Chalamila usitumie mabavu hayajengi, wasikilizeni wafanyabiashara wana hoja.
African winter is spreading in East Africa
sasa kwa nin kachalamila kanakuwa kakali kasisikile wafanya biashara kakatatuwa hiyo changamoto baadala ya kufoka foka
We legeza macho tu 😂😂😂
🙏🏽🥺
Mnaangaika kumtafuta mchawi,adui namba moja wa watanzania woote ni chama chakavu cha CCM na family zao,bola ukimwi kuliko CCM kuwepo Tanzania,bandari imeuzwa watanzania tutateseka sana.
Serikali ijiangalie sana
Watu wanachoka
😂😂😂 mtanyoka nyoko nyie,
Bandari imeuzwa mtakoma
pameanza kuchangamka sasa baada ya muarabu kushika bandariii😂😂😂😂😂😂😂😂
Ata ikinyesha mvua c mnasema anaupiga mwingi
Funga maduka uzieni inje basi sindio charamila amesema owote tuwe machinga tusilipe Kodi chalamila alifauluje kukali au
Yule mashavu analeta mzaha kwenye masuala sensitive
Biashara ni ngumu chungu naniTamu wakati mwingine
Tuliwambia msiiuze bandari mkatuona wapuuza sasa pambaneni na hizo kodi
Maisha magumu sana
Basi selikali iwe inatutafutia mitaji itupatie alafu kodi wanapandixhe wanavyo taka nyoko xana nyoooooooo😢😢😢😢
Yaani Tanzania hii bado sana
sina maana yakupigia chama chochote kifua ila CCM aisee mnaharibu mbayaaaa huo mgomo ni jambo dogo sana kulinganisha na kero nyingiiiii zilizo kwa wananchi..acheni kudharau wa Tanzania kwani watawafanya nini..ishini kwenye ilani yenu ya chama..
Wanainchi wanalipa Kodi alafu majizi yanaiba mabilioni ya walipa Kodi, na serikari inabariki wezi na inawalinda , Kodi itumike ipasavyo kumechoka na lipoti za CIG Kila siku wizi na serikari haipiki atua
Kwaza huyu mama nchi hii imemshinda SI ajiuzulu apate heshima kuliko kung,Ang,Ania vtu ambavyo haviwez
Chawa huyo mama achane na machawa aongeye na vijana jeshishi wasomi wafutwe machinga na jina Hilo lisisikike unapangaje watu balala? Wajengeye masolo siyo kuweka chini
ila aisee serikali inabidi ifanye jambo kodi haziwezi kuwa hivi..nchi inaanguka hii nainaonekana viongozi hamjali kabisaaaa
Hili Jiji aje makonda huyu mlevi chalamila haliwezi kelele nyingi
👏👏
Exact
Vilevile wageni kuwa hutu kufungua maduka kila kama sisi wazawa na kufanya biashar kama sisi wazawa inatuondoa wazawa kweny mfumo kabisaa hakuna ushindan
Ety chanzo Cha mgomo ni vyama vya siasa 😂😂😂 ila Tanzania
Kazi ya chawa kusifia viongozi hawa angalii nani anae teswa na hawa viongoz
Bunge la mchongo Kila sku maamuzi wanayo amua yanakuwa sum Kwa raia
Aiseeee nchi ya kwetu lakin wanafaidika viongozi ndo mana kina Chalamila ni kupiga porojo tu
Mbona wakat wa makonda sjaskia wafanya biashara kugoma
Mama amesema bandarini kunatakiwa kuongezeka kodi
Hii ndo serikali mnayosema ya mitano tena
Umeongea fact sana kaka
kashauza bandari
Duuuuuuuuuu Aya maisha noma sana
Kura zenu hoooooeee
So sad
Waarabu wameongeza kodi bandarini mara mia tujitahid tuwaondoe. Vinginevyo watataliza
Tatizo jamaa zako wananunua magari ya kifahari kwa kodi zetu
Wakati watu wanapiga kelele kuhusu kubinafsishwa hiyo bandari mliwaita wachochezi tulieni dawa iwaingie