Ramadhan una subra ya hali ya juu sana .Allah akuneemeshe zaidi kwa kutuwakilishia sisi waislam. Wenye uwezo wa mali wamuwezeshe yeye na wenziwe kutangaza dini kiurahisi na iwe ndio kazi rasimi. Na ndio hasaa kazi ya Mali mutaikuta mtaikuta mali zaidi here after AMEEN
Baada ya mchungaji kuupinga uislam, Alhamdulillah kipindi kimeishia na shahada na kidume mr Juma'a amekuwa muuslam na kumuacha pasta kuendelea na kufuru yake lkn tunamuombea kwa Allah amuongoze.
Allah Akbar. Uctadh Allah akupe subra kwn ni ngumu kuwalingania wasijua din ya haq Allah akupe maisha marf na afya tele ili uweze kuwapa waadh na kusilimu. Allah ni mjuz utapata malipo dunian na kesho akhra. Upo vzrr mnoo. Subhanallah Allahu Ma'anaa. Jazakallah khaira wajazaa. Idhaa Aradallah
Mara nyingi wakristo wanapinga ili kubisha uislamu tu lakini hawana maandiko ya uhakika. Pastor anajazba sana ili kuzuia kusafahamishwe watu wakafahamu
Yeah, he isa very FLUENT and coherent LIAR who changes the meaning of EVERY Bible Verse read out by Kuria.! Your 'Nusu Mkate Brain' beeds a reset, Omera!
Mashaalah mungu awzidishiye,Ramadhan mungu akupe kheri ila ningiliomba mapasta kaa hawa wanaoRopika maneno za vichwa zao usiwape muda mwingi wa kuwasikiza wanapoteza tu mda hawa ni wale mwenyezi mungu amesema hawasikii ni viziwi hawaoni ni vipofu na hawatarejea mpaka mungu awaongoze. Kwa hivyo huyu jama amekuja na maneno ya paulo yuko katika kila mihadhara na ubishi please ungemtolea hile andiko ilioko bibilia inasema mimi paulo ni mwongo na kuna mwingine pia amesema nimejifanyia kua kalamu ya waandishibkuwa ya uwongo nami ikanibidi nijitungiye tungiye. Ume wapa mdanmrefu warope bila maandishi .
ASSALAM alaykum warahmatullah wabarakatuh 😂😂😂😂😂😂 hao jamaa ningumu sana kuelewa. ALLAHU alisha maliza kwakusema katika sura til baqara yakua .HAO NI VIZIWI NI MABUBU NA TAYARI WALISHA FUNIKWA NA VIFUNIKO VIKUBWA
Nimejifunza kitu katika haja masemezano ! Funzo nililolipata kwamba muislamu anapomzungumzia mwenyezimungu basi hasubutu kusema uwongo .ila mkristo anapomzungumzia mwenyezimungu basi hutumia uwongoo ndio maana unapomuuliza yesu ni mungu anakwambia ni mtoto wa mungu na unapomujliza je mungu anazaa anakwambia oohh maana mungu mungu hazai ila kwa kuwa amekuja duniani kimwili basi ndio tunasema yesu ni mtoto wa munguu 😂😂 yaani uwongoo mtupuu kazi kudanganya watu basi 😂 coz kama kweli ukristo ni dini kweli ya mungu sasa mbona wnajichanganyaa ! Mara waseme yesu ni mungu sijui mara waseme ni mtoto wa mungu yaani tafrani tu ! Namshukuru sana mola wangu kunijaalia kuwa muislamu imani yangu ni thabiti hina kujichanganya wala ubabaishaji ❤
Yohana 3:14-15 [14]Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa; [15]ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye. Yesu aliteseka, kufa na kufufuka kwa ajili ya dhambi zetu.. Bila hivyo hakuna msamaha... Wakolosai 1:14 [14]ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi;
This pastor is talking too much anahitaji sauti ya salim Ngugi ndo anafaa kuwa mwalimu wake, mashaAllah Ramadhan una subra sana na huyu pastor ambaye anaongea mambo ya kichwa tu Allah awape mwongozo eti Mungu anafanana na sisi Subhana-Allah
Kila kitabu Mungu kakichagulia lugha yake kulingana na mtume mwenyewe na watu wake,mf Kuna mpaka bible za kinyakyusa lakini Mungu hakuturemsha kwa kinyakyusa kweli si kweli,Mungu ametemsha Qur-an kwa kiarabu sababu mtume aliyempa jukumu Hilo ni Muarabu km injili na torati zilivyoshushwa kulingana na lugha za mitume hao hivyo qur an kushushwa kwa kiarabu:- 1. Ndio uchaguzi WA Allah alioutaka. 2.Mtume aliyemshushia na jamii yake lugha Yao kiarabu. 3.Qur-an kushuka kiarabu na hamna kutengeneza kwa lugha nyengine Ili isiweze kubadilishwa badilishwa km walivyofanya ubande WA pili. 4.ndio identity ya uislaam wote kokote utakapoenda Duniani mfanano ni Mmoja kisomo kilekile iwe urusi iwe marekani uwe mzungu uwe machina uwe Afrika ume Masai uwe jaluo lugha Moja tu
Jini ukumuacha ajiondokea bila mpango,ataataenda kuingia kwa mtu mwengine,na wengine wanasema toka na uende katika shimo la giza,,akienda gizani,si ataenda kuendelea kubaki mbaya
Majini walimuuliza Yesu mbona umewai mapema kuja kutuhukumu ...tuamuru basi tuingie wale Nguruwe...waislam Wana Argument za mtoto wangu wa grade 2 ...wasoma Biblia kama Quran
Pole sana shekhe kwakazi iyo unayofanya,Allah akulipe kheri.
wakrixto ni no wapumbavu
Hakika sheikh unafany kazi nzur san hakika Allah atawalipa
Ramadhan una subra ya hali ya juu sana .Allah akuneemeshe zaidi kwa kutuwakilishia sisi waislam. Wenye uwezo wa mali wamuwezeshe yeye na wenziwe kutangaza dini kiurahisi na iwe ndio kazi rasimi. Na ndio hasaa kazi ya Mali mutaikuta mtaikuta mali zaidi here after AMEEN
Mashallah tabaraqallah mungu awahifadhi
Asalam aleikum waramtulah wabarakatu brother KAZI safi ya mwenyezi mungu
Mungu awazidishie jaman mnajitahidi saana
Allah awabarikia Insha'Allah
Allahu Akbar.
Juma Ndugu ngu umepata ukweli nakuamua uamuzi mzr Allah akuogoze apa n kesho akhera
Allahumma aamiin Yaa Rabb Al 'alamiin ❤
❤mashaLLAH SHEIKH WANGU
Pastor ana munkar kweli MashaAllah Ramadan una subra sana mm mwenyewe nimechemka
Ma sha Allah tabaraka Rahman kazi nzuri walim ngu Allah amtagulie Kila kitu
JazakaAllah mwalimu
Dah! Kaka Ramadhani mwenyezi Mungu amekujaalia akili Masha Allah unawahangaisha mpaka wanataka kulia
Wanatakakulia
MUNGU akuongoze wew na wengine katika utoaji wa dam
Baada ya mchungaji kuupinga uislam, Alhamdulillah kipindi kimeishia na shahada na kidume mr Juma'a amekuwa muuslam na kumuacha pasta kuendelea na kufuru yake lkn tunamuombea kwa Allah amuongoze.
Masha ALLAH ❤❤🎉
Ma Shaa Allah Tabarakallah kazi Allah awaongoze
MashaAllah maalim kulia nakupenda kwaajili ya Allah kwajinsi unavo tambua maandiko
Mashaallah maalim ramadhan allah akuongoze
Kweli ni jacaranda things really hot 🔥 masha Allah
MASHA ALLAH
Allah Akbar. Uctadh Allah akupe subra kwn ni ngumu kuwalingania wasijua din ya haq Allah akupe maisha marf na afya tele ili uweze kuwapa waadh na kusilimu. Allah ni mjuz utapata malipo dunian na kesho akhra. Upo vzrr mnoo. Subhanallah Allahu Ma'anaa. Jazakallah khaira wajazaa. Idhaa Aradallah
Subra yako ostadhi ni ya kiwango, mm ningepiga uyo pastor makofi
sheikh wangu Ramadhan Allah akuhifadhi na akulinde pia ya husda za majini na watu.
Mashallah
Laahaula walaa kuwwata illaa Billahi! ata voice procedure pia shida.duuh!
Assalam Aleikum sheikh Ramadhan mashallah Allah awahifadhi hawa watu kuelewa ni wagumu but hawajui
MashaaAllahu
Subhanallah jamani hawa watu ni wakaid na maandiko hawayataki wanabadilisha😢😢😢😢Allah awaongoe wallah 😢
SubhanaAllahLeoNimechekaNipojkon.hapaOman.mimi.shagara🤣🤣🤣
MashaAllah nimefurahi Daawah Mitaani inaedelea in shaa Allah Kila la kheir waalimu wetu
Allah Mlezi Wetu Akulipe Kila La Her Shekh Ramadhani
Ma sha Allah
Manshallah
ALLAHU AKBAR ❤
MashAllah kaka Ramma
Pole Shehe Ramadhani kwa kelele ya huyo pastor asiye na hekima.
Alhamdulillah ala neematul Islam kama wewe ni muislam sema alhamdulillah
MASHA ALLAHA tunawapenda
MANSHAALLAH ,
Eti yesu ni mungu jamni hii dunia mungu atusamee
❤Tatizo ndugu zetu kitabo chao hawakisomi. Hua wanasoma yale yanao wapa advantage
Mara nyingi wakristo wanapinga ili kubisha uislamu tu lakini hawana maandiko ya uhakika. Pastor anajazba sana ili kuzuia kusafahamishwe watu wakafahamu
Kazi nzuri napenda hii
Allah akbar
❤❤
Keep going ✌️
This pastor really understands what he's saying I like his coherence
Yeah, he isa very FLUENT and coherent LIAR who changes the meaning of EVERY Bible Verse read out by Kuria.!
Your 'Nusu Mkate Brain' beeds a reset, Omera!
hili pastor pumbavu Sana
Subhannallaj eti wakiristo wanasema yesu nimungu innalillah wainna ilaykh lajiun
Wewe unasema Yesu ni nani??
@@Majiifande yesu ni mtume wa mwenyezi mungu
Sheikh Ramadhani ukona subra kweli, mwenyezi mungu akupe maisha marefu
MASHAALLAH ♥️ TABARAKALLAH
MaaShaaAllah
MASHAALLAH
Mashaalah mungu awzidishiye,Ramadhan mungu akupe kheri ila ningiliomba mapasta kaa hawa wanaoRopika maneno za vichwa zao usiwape muda mwingi wa kuwasikiza wanapoteza tu mda hawa ni wale mwenyezi mungu amesema hawasikii ni viziwi hawaoni ni vipofu na hawatarejea mpaka mungu awaongoze. Kwa hivyo huyu jama amekuja na maneno ya paulo yuko katika kila mihadhara na ubishi please ungemtolea hile andiko ilioko bibilia inasema mimi paulo ni mwongo na kuna mwingine pia amesema nimejifanyia kua kalamu ya waandishibkuwa ya uwongo nami ikanibidi nijitungiye tungiye. Ume wapa mdanmrefu warope bila maandishi .
Daah allah awaongoz kwakaz
Allahu Akbar
MashAllah
Yesu ni Muisilam .
Dhibitisha
SubhanaAllah yaani mungu alikuja akaingia kwenye mwili wa mary, 😅😅😅
ASSALAM alaykum warahmatullah wabarakatuh 😂😂😂😂😂😂 hao jamaa ningumu sana kuelewa. ALLAHU alisha maliza kwakusema katika sura til baqara yakua .HAO NI VIZIWI NI MABUBU NA TAYARI WALISHA FUNIKWA NA VIFUNIKO VIKUBWA
Yesu ni mtume sio Mungu
Ni sawa na Muhammad??
@@MajiifandendyoIlamtumeNizaidi.kwaniyeyeNiwaulimwenguwooteYahnWatuWoote
Kongole Sheikh wetu
😊
Mungu wa kweli hakuzaa wala hakuzaliwa
Pastor anawachanganya watu wasielewe maandiko.
Nimejifunza kitu katika haja masemezano ! Funzo nililolipata kwamba muislamu anapomzungumzia mwenyezimungu basi hasubutu kusema uwongo .ila mkristo anapomzungumzia mwenyezimungu basi hutumia uwongoo ndio maana unapomuuliza yesu ni mungu anakwambia ni mtoto wa mungu na unapomujliza je mungu anazaa anakwambia oohh maana mungu mungu hazai ila kwa kuwa amekuja duniani kimwili basi ndio tunasema yesu ni mtoto wa munguu 😂😂 yaani uwongoo mtupuu kazi kudanganya watu basi 😂 coz kama kweli ukristo ni dini kweli ya mungu sasa mbona wnajichanganyaa ! Mara waseme yesu ni mungu sijui mara waseme ni mtoto wa mungu yaani tafrani tu ! Namshukuru sana mola wangu kunijaalia kuwa muislamu imani yangu ni thabiti hina kujichanganya wala ubabaishaji ❤
Jeshi la mtu mmoja
MashaAllah muslim itaeleweka
Pastor anachanganya maneno
Luka cpt 4 vrs 41 Yesu kaukataa u wana wa Mungu. Pia awakemea wamwitao mwana Mungu. Kwa kuwa yeye ni nabii
Soma mathayo 16:16
Sawa Shehe.
Huyo pastor yuwahisi mkojo
Wakristo ni kelele tu hakuna kitu wanajua. Wanasoma maandiko na kuyatasfiri kama fasihi simulizi.
Manadanyana waislamu
Yohana 3:14-15 [14]Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa; [15]ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye.
Yesu aliteseka, kufa na kufufuka kwa ajili ya dhambi zetu.. Bila hivyo hakuna msamaha...
Wakolosai 1:14 [14]ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi;
This pastor is talking too much anahitaji sauti ya salim Ngugi ndo anafaa kuwa mwalimu wake, mashaAllah Ramadhan una subra sana na huyu pastor ambaye anaongea mambo ya kichwa tu Allah awape mwongozo eti Mungu anafanana na sisi Subhana-Allah
Pasta anaspeed sna
MashaAllah kwani kipi hapo mwakristo wanabisha?
😂😂😂😂 wakristo wabishii hatariii daah Allah awaongowee
: وَإِذْ صَرَفْنَا إِلَيْكَ نَفَرًا مِنَ الْجِنِّ يَسْتَمِعُونَ الْقُرْآنَ فَلَمَّا حَضَرُوهُ قَالُوا أَنْصِتُوا فَلَمَّا قُضِيَ وَلَّوْا إِلَى قَوْمِهِمْ مُنْذِرِينَ قَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا كِتَابًا أُنْزِلَ مِنْ بَعْدِ مُوسَى مُصَدِّقًا لِمَا بَيْنَ يَدَيْهِ يَهْدِي إِلَى الْحَقِّ وَإِلَى طَرِيقٍ مُسْتَقِيمٍ يَا قَوْمَنَا أَجِيبُوا دَاعِيَ اللَّهِ وَآمِنُوا بِهِ يَغْفِرْ لَكُمْ مِنْ ذُنُوبِكُمْ وَيُجِرْكُمْ مِنْ عَذَابٍ أَلِيمٍ
Hahaha et mungu hakuumba majini
Wanosema Yesu mungu kwenye bblia ni maneno yakusemewa lakini mwenyewe sehemu zote kajiita kuwa yeye ni binadamu
Wanamlazimisha japo kakataa yaani ni mwendo wa kijitoa ufahamu tu
Mimi nauliza Kwani uislam uje kwa lugha ya kiarabu na siyo lugha tofauti
Kila kitabu Mungu kakichagulia lugha yake kulingana na mtume mwenyewe na watu wake,mf Kuna mpaka bible za kinyakyusa lakini Mungu hakuturemsha kwa kinyakyusa kweli si kweli,Mungu ametemsha Qur-an kwa kiarabu sababu mtume aliyempa jukumu Hilo ni Muarabu km injili na torati zilivyoshushwa kulingana na lugha za mitume hao hivyo qur an kushushwa kwa kiarabu:- 1. Ndio uchaguzi WA Allah alioutaka. 2.Mtume aliyemshushia na jamii yake lugha Yao kiarabu. 3.Qur-an kushuka kiarabu na hamna kutengeneza kwa lugha nyengine Ili isiweze kubadilishwa badilishwa km walivyofanya ubande WA pili. 4.ndio identity ya uislaam wote kokote utakapoenda Duniani mfanano ni Mmoja kisomo kilekile iwe urusi iwe marekani uwe mzungu uwe machina uwe Afrika ume Masai uwe jaluo lugha Moja tu
Pasta kichefu, kelele nyingi na hataki kuelewa.
ma sha allah
Jini ukumuacha ajiondokea bila mpango,ataataenda kuingia kwa mtu mwengine,na wengine wanasema toka na uende katika shimo la giza,,akienda gizani,si ataenda kuendelea kubaki mbaya
😂 kuria atawadanganya mpaka mwingie box. Chunga sana
Kimbikimbi at 39:24😂😂😂this guy said mashuwali
Pastor kelele. Unga ita mwagika.
SADAKA ina tetewa kwa UWONGO wa Pastor wote!
Huyu pastor Ako confused 😂😂
Mim8 ninamke wangu anao majini na nimkristo Ivo majini ha wakristo wanayo
🤣🤣🤣
Uyu mchungaji ni kizibo tu amna anachojua anawapoteza wafuasi wake apo anakata ado mauno elimu hana
Huyo jamaa hajielewi anasema kuja kwa kirsto kumetabiriwa sasa mbona anasema yesu ni mungu yaani mungu katabiriwa na nani
Msiba kweli
Yani it's funny.
Binadamu aki asi kwa hiyo hakui kiumbe cha Mungu tena?
Majini walimuuliza Yesu mbona umewai mapema kuja kutuhukumu ...tuamuru basi tuingie wale Nguruwe...waislam Wana Argument za mtoto wangu wa grade 2 ...wasoma Biblia kama Quran
Aman Kweli wafuasi wa Wazungu na Waarabu hamumjui kabisa Bwana YESU.Sisi Tunasema Yesu Ni MUNGU.
Yes sie mugu
huyu pasta hajielewi yuajifanya ni msomi lakini Hana lolote walizowea kanisani kudanganya watu kuitisha tu sadaka
Pasta mshindani kweli aisee
Yesu atawaumiZa vichwa mpaka kufa,