WAKRISTO WAMSHANGAA YESU KUONGEA NA KUNDI LA MAJINI BAADA YA KUSINGIZIA QURAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 461

  • @FatmaAboubakar-z7o
    @FatmaAboubakar-z7o 4 หลายเดือนก่อน +11

    Pole sana shekhe kwakazi iyo unayofanya,Allah akulipe kheri.

  • @SharifaKarim-w8r
    @SharifaKarim-w8r 4 หลายเดือนก่อน +6

    Hakika sheikh unafany kazi nzur san hakika Allah atawalipa

  • @RamadhanRamadhan-cx3tj
    @RamadhanRamadhan-cx3tj 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ramadhan una subra ya hali ya juu sana .Allah akuneemeshe zaidi kwa kutuwakilishia sisi waislam. Wenye uwezo wa mali wamuwezeshe yeye na wenziwe kutangaza dini kiurahisi na iwe ndio kazi rasimi. Na ndio hasaa kazi ya Mali mutaikuta mtaikuta mali zaidi here after AMEEN

  • @HabibalKalbi
    @HabibalKalbi 5 หลายเดือนก่อน +8

    Mashallah tabaraqallah mungu awahifadhi

  • @isahbarasa
    @isahbarasa 5 หลายเดือนก่อน +4

    Asalam aleikum waramtulah wabarakatu brother KAZI safi ya mwenyezi mungu

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv8856 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu awazidishie jaman mnajitahidi saana

  • @ZsbAlbarwani
    @ZsbAlbarwani 5 หลายเดือนก่อน +12

    Allah awabarikia Insha'Allah

  • @minhajsahal4467
    @minhajsahal4467 4 หลายเดือนก่อน +5

    Allahu Akbar.

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 5 หลายเดือนก่อน +8

    Juma Ndugu ngu umepata ukweli nakuamua uamuzi mzr Allah akuogoze apa n kesho akhera

    • @Noorein-ws8wk
      @Noorein-ws8wk 5 หลายเดือนก่อน +1

      Allahumma aamiin Yaa Rabb Al 'alamiin ❤

  • @FatwimaZahrau
    @FatwimaZahrau 5 หลายเดือนก่อน +2

    ❤mashaLLAH SHEIKH WANGU

  • @fatmaali6780
    @fatmaali6780 5 หลายเดือนก่อน +3

    Pastor ana munkar kweli MashaAllah Ramadan una subra sana mm mwenyewe nimechemka

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 5 หลายเดือนก่อน +6

    Ma sha Allah tabaraka Rahman kazi nzuri walim ngu Allah amtagulie Kila kitu

  • @abdigabgos6298
    @abdigabgos6298 5 หลายเดือนก่อน +3

    JazakaAllah mwalimu

  • @nasramusaro
    @nasramusaro 5 หลายเดือนก่อน +6

    Dah! Kaka Ramadhani mwenyezi Mungu amekujaalia akili Masha Allah unawahangaisha mpaka wanataka kulia

  • @MohamedMaliwata-i5j
    @MohamedMaliwata-i5j หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU akuongoze wew na wengine katika utoaji wa dam

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk 5 หลายเดือนก่อน +8

    Baada ya mchungaji kuupinga uislam, Alhamdulillah kipindi kimeishia na shahada na kidume mr Juma'a amekuwa muuslam na kumuacha pasta kuendelea na kufuru yake lkn tunamuombea kwa Allah amuongoze.

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 5 หลายเดือนก่อน +2

    Masha ALLAH ❤❤🎉

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ma Shaa Allah Tabarakallah kazi Allah awaongoze

  • @SalimOmary-w8j
    @SalimOmary-w8j 5 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah maalim kulia nakupenda kwaajili ya Allah kwajinsi unavo tambua maandiko

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah maalim ramadhan allah akuongoze

  • @JohnMunyua-fr8jt
    @JohnMunyua-fr8jt 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli ni jacaranda things really hot 🔥 masha Allah

  • @JamaMohamed-xi7uk
    @JamaMohamed-xi7uk 4 หลายเดือนก่อน +1

    MASHA ALLAH

  • @salmaminja7714
    @salmaminja7714 5 หลายเดือนก่อน +1

    Allah Akbar. Uctadh Allah akupe subra kwn ni ngumu kuwalingania wasijua din ya haq Allah akupe maisha marf na afya tele ili uweze kuwapa waadh na kusilimu. Allah ni mjuz utapata malipo dunian na kesho akhra. Upo vzrr mnoo. Subhanallah Allahu Ma'anaa. Jazakallah khaira wajazaa. Idhaa Aradallah

  • @zaitunirashidi5532
    @zaitunirashidi5532 3 หลายเดือนก่อน +1

    Subra yako ostadhi ni ya kiwango, mm ningepiga uyo pastor makofi

  • @mzamomwangome4961
    @mzamomwangome4961 5 หลายเดือนก่อน +2

    sheikh wangu Ramadhan Allah akuhifadhi na akulinde pia ya husda za majini na watu.

  • @oromiyaajittu7188
    @oromiyaajittu7188 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah

  • @MaryamIssa-y7v
    @MaryamIssa-y7v 4 หลายเดือนก่อน +1

    Laahaula walaa kuwwata illaa Billahi! ata voice procedure pia shida.duuh!

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 5 หลายเดือนก่อน +2

    Assalam Aleikum sheikh Ramadhan mashallah Allah awahifadhi hawa watu kuelewa ni wagumu but hawajui

  • @ibnusleyyum9743
    @ibnusleyyum9743 5 หลายเดือนก่อน +1

    MashaaAllahu

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 5 หลายเดือนก่อน +9

    Subhanallah jamani hawa watu ni wakaid na maandiko hawayataki wanabadilisha😢😢😢😢Allah awaongoe wallah 😢

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 4 หลายเดือนก่อน

      SubhanaAllahLeoNimechekaNipojkon.hapaOman.mimi.shagara🤣🤣🤣

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 5 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah nimefurahi Daawah Mitaani inaedelea in shaa Allah Kila la kheir waalimu wetu

  • @BastAbdallah
    @BastAbdallah หลายเดือนก่อน

    Allah Mlezi Wetu Akulipe Kila La Her Shekh Ramadhani

  • @Zainab-f9w5x
    @Zainab-f9w5x 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ma sha Allah

  • @Abu-tasnim
    @Abu-tasnim 5 หลายเดือนก่อน +1

    Manshallah

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk 5 หลายเดือนก่อน +2

    ALLAHU AKBAR ❤

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja4398 5 หลายเดือนก่อน +1

    MashAllah kaka Ramma

  • @Nangaikalumekenge
    @Nangaikalumekenge หลายเดือนก่อน

    Pole Shehe Ramadhani kwa kelele ya huyo pastor asiye na hekima.

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 5 หลายเดือนก่อน +5

    Alhamdulillah ala neematul Islam kama wewe ni muislam sema alhamdulillah

  • @yassiinabdi3807
    @yassiinabdi3807 22 วันที่ผ่านมา

    MASHA ALLAHA tunawapenda

  • @IddyMzuri
    @IddyMzuri 3 หลายเดือนก่อน

    MANSHAALLAH ,

  • @HabibuMuhunzi
    @HabibuMuhunzi หลายเดือนก่อน

    Eti yesu ni mungu jamni hii dunia mungu atusamee

  • @shabaniramadhan6751
    @shabaniramadhan6751 2 หลายเดือนก่อน

    ❤Tatizo ndugu zetu kitabo chao hawakisomi. Hua wanasoma yale yanao wapa advantage

  • @samxx411
    @samxx411 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mara nyingi wakristo wanapinga ili kubisha uislamu tu lakini hawana maandiko ya uhakika. Pastor anajazba sana ili kuzuia kusafahamishwe watu wakafahamu

  • @AngoSheriff-be5mq
    @AngoSheriff-be5mq 5 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri napenda hii

  • @AyubuIkaku
    @AyubuIkaku 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akbar

  • @MohamedMaliwata-i5j
    @MohamedMaliwata-i5j หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤

  • @comarcabdall1564
    @comarcabdall1564 5 หลายเดือนก่อน +2

    Keep going ✌️

  • @kennedykimutai2298
    @kennedykimutai2298 5 หลายเดือนก่อน

    This pastor really understands what he's saying I like his coherence

    • @Sal.0
      @Sal.0 5 หลายเดือนก่อน +2

      Yeah, he isa very FLUENT and coherent LIAR who changes the meaning of EVERY Bible Verse read out by Kuria.!
      Your 'Nusu Mkate Brain' beeds a reset, Omera!

  • @MohammedMohammed-gp9xq
    @MohammedMohammed-gp9xq 5 หลายเดือนก่อน

    hili pastor pumbavu Sana

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 5 หลายเดือนก่อน

    Subhannallaj eti wakiristo wanasema yesu nimungu innalillah wainna ilaykh lajiun

    • @Majiifande
      @Majiifande 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe unasema Yesu ni nani??

    • @jamilajamila4572
      @jamilajamila4572 4 หลายเดือนก่อน

      @@Majiifande yesu ni mtume wa mwenyezi mungu

  • @Bintiiiiiiiiii
    @Bintiiiiiiiiii 5 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Ramadhani ukona subra kweli, mwenyezi mungu akupe maisha marefu

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA 5 หลายเดือนก่อน +3

    MASHAALLAH ♥️ TABARAKALLAH

  • @Al-hidaya.tv.burundi
    @Al-hidaya.tv.burundi 5 หลายเดือนก่อน

    MaaShaaAllah

  • @AbdirahmanhHalakhe-pn2zd
    @AbdirahmanhHalakhe-pn2zd 5 หลายเดือนก่อน

    MASHAALLAH

  • @suleymanali431
    @suleymanali431 5 หลายเดือนก่อน

    Mashaalah mungu awzidishiye,Ramadhan mungu akupe kheri ila ningiliomba mapasta kaa hawa wanaoRopika maneno za vichwa zao usiwape muda mwingi wa kuwasikiza wanapoteza tu mda hawa ni wale mwenyezi mungu amesema hawasikii ni viziwi hawaoni ni vipofu na hawatarejea mpaka mungu awaongoze. Kwa hivyo huyu jama amekuja na maneno ya paulo yuko katika kila mihadhara na ubishi please ungemtolea hile andiko ilioko bibilia inasema mimi paulo ni mwongo na kuna mwingine pia amesema nimejifanyia kua kalamu ya waandishibkuwa ya uwongo nami ikanibidi nijitungiye tungiye. Ume wapa mdanmrefu warope bila maandishi .

  • @ROGUESON-wb2ts
    @ROGUESON-wb2ts 2 หลายเดือนก่อน

    Daah allah awaongoz kwakaz

  • @muminaroba9122
    @muminaroba9122 5 หลายเดือนก่อน

    Allahu Akbar

  • @josemu870
    @josemu870 5 หลายเดือนก่อน

    MashAllah

  • @RamadhanRamadhan-cx3tj
    @RamadhanRamadhan-cx3tj 4 หลายเดือนก่อน

    Yesu ni Muisilam .

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 5 หลายเดือนก่อน

    SubhanaAllah yaani mungu alikuja akaingia kwenye mwili wa mary, 😅😅😅

  • @saniairadukunda4400
    @saniairadukunda4400 4 หลายเดือนก่อน

    ASSALAM alaykum warahmatullah wabarakatuh 😂😂😂😂😂😂 hao jamaa ningumu sana kuelewa. ALLAHU alisha maliza kwakusema katika sura til baqara yakua .HAO NI VIZIWI NI MABUBU NA TAYARI WALISHA FUNIKWA NA VIFUNIKO VIKUBWA

  • @DanKanu-ox4hx
    @DanKanu-ox4hx 4 หลายเดือนก่อน

    Yesu ni mtume sio Mungu

    • @Majiifande
      @Majiifande 4 หลายเดือนก่อน

      Ni sawa na Muhammad??

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@MajiifandendyoIlamtumeNizaidi.kwaniyeyeNiwaulimwenguwooteYahnWatuWoote

  • @abdisalammohamed3691
    @abdisalammohamed3691 4 หลายเดือนก่อน

    Kongole Sheikh wetu

  • @Yusufualawi
    @Yusufualawi 3 หลายเดือนก่อน

    😊

  • @ShabaniHaruna-ul6yu
    @ShabaniHaruna-ul6yu 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu wa kweli hakuzaa wala hakuzaliwa

  • @samxx411
    @samxx411 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pastor anawachanganya watu wasielewe maandiko.

  • @abuually-ol2xc
    @abuually-ol2xc 7 วันที่ผ่านมา

    Nimejifunza kitu katika haja masemezano ! Funzo nililolipata kwamba muislamu anapomzungumzia mwenyezimungu basi hasubutu kusema uwongo .ila mkristo anapomzungumzia mwenyezimungu basi hutumia uwongoo ndio maana unapomuuliza yesu ni mungu anakwambia ni mtoto wa mungu na unapomujliza je mungu anazaa anakwambia oohh maana mungu mungu hazai ila kwa kuwa amekuja duniani kimwili basi ndio tunasema yesu ni mtoto wa munguu 😂😂 yaani uwongoo mtupuu kazi kudanganya watu basi 😂 coz kama kweli ukristo ni dini kweli ya mungu sasa mbona wnajichanganyaa ! Mara waseme yesu ni mungu sijui mara waseme ni mtoto wa mungu yaani tafrani tu ! Namshukuru sana mola wangu kunijaalia kuwa muislamu imani yangu ni thabiti hina kujichanganya wala ubabaishaji ❤

  • @seifissa9705
    @seifissa9705 5 หลายเดือนก่อน +2

    Jeshi la mtu mmoja

  • @SalimOmary-w8j
    @SalimOmary-w8j 5 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah muslim itaeleweka

  • @bahsansheikh6042
    @bahsansheikh6042 5 หลายเดือนก่อน +3

    Pastor anachanganya maneno

  • @RamadhanRamadhan-cx3tj
    @RamadhanRamadhan-cx3tj 4 หลายเดือนก่อน

    Luka cpt 4 vrs 41 Yesu kaukataa u wana wa Mungu. Pia awakemea wamwitao mwana Mungu. Kwa kuwa yeye ni nabii

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 3 หลายเดือนก่อน

      Soma mathayo 16:16

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 5 หลายเดือนก่อน

    Sawa Shehe.

  • @rizikiwilliam-eh3oi
    @rizikiwilliam-eh3oi 5 หลายเดือนก่อน

    Huyo pastor yuwahisi mkojo

  • @kennedymanyonge6170
    @kennedymanyonge6170 5 หลายเดือนก่อน +13

    Wakristo ni kelele tu hakuna kitu wanajua. Wanasoma maandiko na kuyatasfiri kama fasihi simulizi.

    • @sammganga6865
      @sammganga6865 5 หลายเดือนก่อน +1

      Manadanyana waislamu

  • @bibleknowledge-b1y
    @bibleknowledge-b1y หลายเดือนก่อน

    Yohana 3:14-15 [14]Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa; [15]ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye.
    Yesu aliteseka, kufa na kufufuka kwa ajili ya dhambi zetu.. Bila hivyo hakuna msamaha...
    Wakolosai 1:14 [14]ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi;

  • @Idysalim
    @Idysalim 5 หลายเดือนก่อน +1

    This pastor is talking too much anahitaji sauti ya salim Ngugi ndo anafaa kuwa mwalimu wake, mashaAllah Ramadhan una subra sana na huyu pastor ambaye anaongea mambo ya kichwa tu Allah awape mwongozo eti Mungu anafanana na sisi Subhana-Allah

  • @AftinWarsame-w8c
    @AftinWarsame-w8c 4 หลายเดือนก่อน +1

    Pasta anaspeed sna

  • @ikujoitambu2712
    @ikujoitambu2712 5 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah kwani kipi hapo mwakristo wanabisha?

  • @ABUUALLY-z6x
    @ABUUALLY-z6x หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 wakristo wabishii hatariii daah Allah awaongowee

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 5 หลายเดือนก่อน

    : وَإِذْ صَرَفْنَا إِلَيْكَ نَفَرًا مِنَ الْجِنِّ يَسْتَمِعُونَ الْقُرْآنَ فَلَمَّا حَضَرُوهُ قَالُوا أَنْصِتُوا فَلَمَّا قُضِيَ وَلَّوْا إِلَى قَوْمِهِمْ مُنْذِرِينَ ۝ قَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا كِتَابًا أُنْزِلَ مِنْ بَعْدِ مُوسَى مُصَدِّقًا لِمَا بَيْنَ يَدَيْهِ يَهْدِي إِلَى الْحَقِّ وَإِلَى طَرِيقٍ مُسْتَقِيمٍ ۝ يَا قَوْمَنَا أَجِيبُوا دَاعِيَ اللَّهِ وَآمِنُوا بِهِ يَغْفِرْ لَكُمْ مِنْ ذُنُوبِكُمْ وَيُجِرْكُمْ مِنْ عَذَابٍ أَلِيمٍ

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599 4 หลายเดือนก่อน

    Hahaha et mungu hakuumba majini

  • @AshamMussa
    @AshamMussa 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wanosema Yesu mungu kwenye bblia ni maneno yakusemewa lakini mwenyewe sehemu zote kajiita kuwa yeye ni binadamu

    • @bassambashirou4604
      @bassambashirou4604 5 หลายเดือนก่อน

      Wanamlazimisha japo kakataa yaani ni mwendo wa kijitoa ufahamu tu

  • @HusnaSharifu
    @HusnaSharifu 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi nauliza Kwani uislam uje kwa lugha ya kiarabu na siyo lugha tofauti

    • @MaryamIssa-y7v
      @MaryamIssa-y7v 4 หลายเดือนก่อน

      Kila kitabu Mungu kakichagulia lugha yake kulingana na mtume mwenyewe na watu wake,mf Kuna mpaka bible za kinyakyusa lakini Mungu hakuturemsha kwa kinyakyusa kweli si kweli,Mungu ametemsha Qur-an kwa kiarabu sababu mtume aliyempa jukumu Hilo ni Muarabu km injili na torati zilivyoshushwa kulingana na lugha za mitume hao hivyo qur an kushushwa kwa kiarabu:- 1. Ndio uchaguzi WA Allah alioutaka. 2.Mtume aliyemshushia na jamii yake lugha Yao kiarabu. 3.Qur-an kushuka kiarabu na hamna kutengeneza kwa lugha nyengine Ili isiweze kubadilishwa badilishwa km walivyofanya ubande WA pili. 4.ndio identity ya uislaam wote kokote utakapoenda Duniani mfanano ni Mmoja kisomo kilekile iwe urusi iwe marekani uwe mzungu uwe machina uwe Afrika ume Masai uwe jaluo lugha Moja tu

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 5 หลายเดือนก่อน +3

    Pasta kichefu, kelele nyingi na hataki kuelewa.

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 5 หลายเดือนก่อน

    Jini ukumuacha ajiondokea bila mpango,ataataenda kuingia kwa mtu mwengine,na wengine wanasema toka na uende katika shimo la giza,,akienda gizani,si ataenda kuendelea kubaki mbaya

  • @estakenia
    @estakenia 4 หลายเดือนก่อน

    😂 kuria atawadanganya mpaka mwingie box. Chunga sana

  • @aminmohamad3443
    @aminmohamad3443 2 หลายเดือนก่อน

    Kimbikimbi at 39:24😂😂😂this guy said mashuwali

  • @Adm9464
    @Adm9464 5 หลายเดือนก่อน +2

    Pastor kelele. Unga ita mwagika.

    • @Sai.Mo69
      @Sai.Mo69 5 หลายเดือนก่อน +1

      SADAKA ina tetewa kwa UWONGO wa Pastor wote!

  • @DanKanu-ox4hx
    @DanKanu-ox4hx 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu pastor Ako confused 😂😂

  • @ShabaniHaruna-ul6yu
    @ShabaniHaruna-ul6yu 5 หลายเดือนก่อน

    Mim8 ninamke wangu anao majini na nimkristo Ivo majini ha wakristo wanayo

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 5 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu mchungaji ni kizibo tu amna anachojua anawapoteza wafuasi wake apo anakata ado mauno elimu hana

  • @seifissa9705
    @seifissa9705 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo jamaa hajielewi anasema kuja kwa kirsto kumetabiriwa sasa mbona anasema yesu ni mungu yaani mungu katabiriwa na nani

  • @manakamohammed2469
    @manakamohammed2469 3 หลายเดือนก่อน

    Yani it's funny.

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700 5 หลายเดือนก่อน +1

    Binadamu aki asi kwa hiyo hakui kiumbe cha Mungu tena?

  • @juliusjamanda7313
    @juliusjamanda7313 4 หลายเดือนก่อน

    Majini walimuuliza Yesu mbona umewai mapema kuja kutuhukumu ...tuamuru basi tuingie wale Nguruwe...waislam Wana Argument za mtoto wangu wa grade 2 ...wasoma Biblia kama Quran

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv8856 4 หลายเดือนก่อน

    Aman Kweli wafuasi wa Wazungu na Waarabu hamumjui kabisa Bwana YESU.Sisi Tunasema Yesu Ni MUNGU.

  • @NakyanziChristine-r3s
    @NakyanziChristine-r3s 5 หลายเดือนก่อน

    Yes sie mugu

  • @fatumahamisi1604
    @fatumahamisi1604 5 หลายเดือนก่อน +2

    huyu pasta hajielewi yuajifanya ni msomi lakini Hana lolote walizowea kanisani kudanganya watu kuitisha tu sadaka

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 5 หลายเดือนก่อน

    Pasta mshindani kweli aisee

  • @KoronelioObedi
    @KoronelioObedi 4 หลายเดือนก่อน

    Yesu atawaumiZa vichwa mpaka kufa,