Mchungaji ainua mikono hali yakuwa nzito maswali yaletwa leo kama mvua kimeeleweka kivumbi mchana

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 156

  • @hassanlibingai8811
    @hassanlibingai8811 ปีที่แล้ว +9

    Sheikh Salim na Ustaadh Ally, Mwenyezi Mungu awalipe Kila lililo jema Amin!

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk ปีที่แล้ว +9

    Maa shaa Allah masheikh wetu Muna akili majibu yanatoka kama computer kwa fadhila za Allah.Allah awahifadhi awazidishie kheri zote

  • @rahilyas254
    @rahilyas254 8 หลายเดือนก่อน +3

    MashaAllah ❤❤❤
    Allah akuhifadhini
    Ameen

  • @suleymanali431
    @suleymanali431 ปีที่แล้ว +6

    Mashaalah sheikh salim, una jua hawa hawafahamu hua wana changanyikiwa, badala waseme wameongoka hua hawajui wanasema wameokoka, kwa hivyo uwa elimishe ya kua sio kuokoka bali ame ongoka.ndiyo una ona wana ngagana na kusema ame kuokoka.sisi waisilimu tunasema ni hidaya,na pia wana ngngana yakua hati yesu ametumwa kwao na wana amini yakua yeye ni mwana wa mungu aw pia wanasema yeye ni mungu suratul maida isha wajibu(MAIDA 116. Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana)

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 ปีที่แล้ว +3

    Asalam alaikum sheikh salim masha Allah tuko pa 1 mkono kwa mkono hadi peponi ishallah

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin

  • @Hudeifaabdikani
    @Hudeifaabdikani 10 หลายเดือนก่อน +2

    mashaallah sheikh salim na sheikh Ali❤

  • @d.m.k9990
    @d.m.k9990 7 หลายเดือนก่อน +1

    😂 iyo 19 ;23 iyo Kali sana nawakubali hao walimu

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah tabaraqaAllah mambo ni ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥 kume Waka walim wetu poleni sana hikazi ni ngumu sana kudili nawatu wengine niwabishi ALLAH awa hifadhi na mabalah

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 ปีที่แล้ว +3

    ustad Ali Sheikh uko sawa kabisa. His short and quick answers are on point and hillarious

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 ปีที่แล้ว +3

    😂😂 nmecheka hapo kwa kuchinja , jaman kila cku kuna mpya

  • @teamsales-g5l
    @teamsales-g5l 11 หลายเดือนก่อน +2

    Allah awalipe kheriiiiiii

  • @nin-geed-saaran
    @nin-geed-saaran ปีที่แล้ว +2

    Sheikh salim mungu akuzidishe ilimu جزاك الله خيرا يا أستاذ سالم

  • @aishaally6602
    @aishaally6602 ปีที่แล้ว +2

    Mbona shekh hassan karioki hatumuoni ALLAH awazidishie mashekh wetu kwa ujasiri

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk ปีที่แล้ว +3

    Sheikh Salim unakohoa kunywa tangawizi pia yai na asali Allah akupe afya kamil na kila Muslim.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Inn shaa Allah nitatumia aamiin amiin amiin

  • @MussaMohammed-g6o
    @MussaMohammed-g6o 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mashaa Allaah,, Tabaarak'llah
    Allaah awalipe kheiry nyiiingi hapa Duniani na kesho AKHERA,,

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  13 วันที่ผ่านมา

      Aamiin amiin amiin sote

  • @gubogarro4151
    @gubogarro4151 ปีที่แล้ว

    Masheik wetu Allah Awape maisha marefu, mnafanya kazi nzuri saana

  • @amsodewiz4901
    @amsodewiz4901 ปีที่แล้ว +3

    ❤❤❤❤❤Jazzakaallah sheikh salim ed ustadh Aliy

    • @amsodewiz4901
      @amsodewiz4901 ปีที่แล้ว +1

      ❤❤❤

    • @Noorein-ws8wk
      @Noorein-ws8wk ปีที่แล้ว +1

      ❤❤❤❤❤

    • @aishahazary4097
      @aishahazary4097 ปีที่แล้ว +1

      Maasha Allah.Da,awa ilikuwa nzuri sana sikutamani hata iishe.Ila wanaelewa Alhamdulillah.ALLAH awape hidaya na kuingia katika dini ya haki.

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 6 หลายเดือนก่อน +1

    SubhanaAllah.EtiKwauwezoYaYesuNitawezajibu🤣🤣🤣mkristoAnachekesha

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 ปีที่แล้ว +2

    Fantastic debate....... wakristo ni shida saana

  • @BakariKidege
    @BakariKidege ปีที่แล้ว +3

    Mwenyez Mungu atawalipa mema kwa kaz kubwa mnayoifanya

  • @kassimabdilatif1802
    @kassimabdilatif1802 ปีที่แล้ว +4

    Ndugu Salim hebu waeleze hao 😊wanaotaka confirmation kuwa Quran iliandikwa vile mtume alivyosoma. Waambia Mtume sio pekee yake aliohifadhi Quran wakati yuko hai. Maswahaba pia walihifadhi kutoka kwake wakati yeye yuko hai. Wakati kuna tashwishi ikisomwa na sahaba wenzaka yeye ndio mamlaka ya kuwasahihisha. Masahaba walimemorize orally kupitia kusomeshwa kwa mdomo yani kwa kusikiza. A lot of people memorize suras or verses by just listening when it is read by someone else. Wakati wa mtume hii ndio was the main way of memorizing. Hakukuwa na vitabu and most Arabs were illiterate but it didn't mean they couldn't not memoeise things if it were read to them. Mfano watu wana memorize nyimbo kwa kusikiza tuu. So same thing. They used to memorize the quran by listening when others are reading.
    My 4 yrs daughter aliweza soma Fatha kabla ya kujua kusoma herufi.

  • @MohamedAhmed-ns5mi
    @MohamedAhmed-ns5mi ปีที่แล้ว +1

    Asalam Alekum Allah wajalie heri nyingi inshallaha Salim na ndugu yko Ali na tym yko yote ya salim dawa Ameen inshallaha suma Ameen

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin

  • @Ashura-u3x
    @Ashura-u3x ปีที่แล้ว +2

    Wislam nidini yakwer kbsa❤❤

  • @MohamedOmary-f4k
    @MohamedOmary-f4k ปีที่แล้ว +1

    Yaonekana hawa ndugu zetu wanapewa uongozi lakini hawana ujuzi wa kazi yao

  • @shurlaally1686
    @shurlaally1686 ปีที่แล้ว +1

    Maashallah sheikh wataelewa tu

  • @MohamedHassan-q5k
    @MohamedHassan-q5k ปีที่แล้ว

    ❤❤ munafanya Kaz mzur

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 ปีที่แล้ว +1

    Assallam aleikum mashekhe wetu nimefurahi kuwaona tena Allah awahifadhi

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 ปีที่แล้ว +1

    Wachungaji wamekuja darasani walivamia tu makanisa hawana elimu 😂😂🤣🤣

  • @elidaimakaaya9945
    @elidaimakaaya9945 ปีที่แล้ว +1

    Warumi 10:9
    [9]Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
    That if thou shalt confess with thy mouth the Lord Jesus, and shalt believe in thine heart that God hath raised him from the dead, thou shalt be saved.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว +1

      Utaokoka ama umeokoka shule ndio shinda yako

  • @franciswafula4521
    @franciswafula4521 ปีที่แล้ว +1

    Siku mmoja mtanikuta...uongo huu utaisha

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 ปีที่แล้ว +1

    Asalam alikum warahmatulul wabarakatu Allah awazidishie umri na afya nzuri yakuweza yakupambana nahao mabishi wasiojielewa amiin

    • @Noorein-ws8wk
      @Noorein-ws8wk ปีที่แล้ว +1

      Wsalaam warahmatullahi ta'ala wabarakaatuh

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 6 หลายเดือนก่อน +1

    Shekhe.Ally.umenichekesha.etiHii.nayo.inatangaza.Kifo.🤣🤣🤣🤣AngaliaHapa🤣🤣🤣

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 หลายเดือนก่อน

      Mpaka kieleweke inn shaa Allah

  • @elidaimakaaya9945
    @elidaimakaaya9945 ปีที่แล้ว +1

    Mkishindwa mnakimbia😂

  • @abumanshurumusa6015
    @abumanshurumusa6015 ปีที่แล้ว +1

    Asallamu Alleikum salimu mungu awazidishie iman ,ila Ali Anazingua sana yeye anavuruga sana

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @IsmaMgn
    @IsmaMgn 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ali apunguza jazba

    • @bashirmahero7021
      @bashirmahero7021 2 หลายเดือนก่อน

      Huyu Mzee wetu tunampenda kwa ajili ya Allha

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah kaz nzur

  • @Adm9464
    @Adm9464 ปีที่แล้ว +2

    MaashaAllah everything is straight from our sheikhs. Unlike our Christian brothers wanaenda library ama watajiandaa.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Kabisa mpaka kieleweke kazi yetu kufikisha tu

  • @zeindaws6643
    @zeindaws6643 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 ปีที่แล้ว +1

    Shekh Ally unachekesha unavyowajibu juu juu🤣🤣🤣

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 6 หลายเดือนก่อน

      MashaAllah..shekhWrtuAlly..Allah.awalinde.mashekhe.wetu..tunawaidhika..Alhamdulilah

  • @elidaimakaaya9945
    @elidaimakaaya9945 ปีที่แล้ว

    Kiswahili hamjui, tumia kingereza chenu

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah masheikh huyu ameelewa but hataki kuelewa

  • @nancyruguru653
    @nancyruguru653 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mash Allah alhamdulilah

  • @opakhatibu5021
    @opakhatibu5021 ปีที่แล้ว +1

    Shekh Salim, Aya ya 44-52 ya Suratul Al Haaqqah naona kama inazungumzia hiyo hojà ya huyo ndugu muulizaji. Ndugu yako Opa(TZ)

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Masha Allah shukuran kwa ukumbusho Allah akuzidizie

  • @HisMajesty64
    @HisMajesty64 ปีที่แล้ว +2

    Assalamu Alaykum. Barakallah fikum

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @dani72130
    @dani72130 ปีที่แล้ว

    Yesu Kristo alitumwa kwa ulimwengu mzima, aliingia kila nyumba ya kuabudia na akawa anafundisha, kwenye masinagogi na mahekalu. Alipokuwa akifundisha ktk sinagogi walikataa mafundisho yake na wakataka kumpiga akawatoka ktkt yao.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว +1

      Wapi Yesu aliingia kanisa because umesema aliingia kila nyumba????

  • @HillaryKhamalishi
    @HillaryKhamalishi ปีที่แล้ว

    wakristo tunajielewa sana katika bibilia kuliko waisilamu, juu unaambiwa mohammed ni Mungu lakini hakuna hata muujiza mmoja amewahi fanya ndio tuamini. lakini Mungu wetu Bwana wa majeshi ni Mkuu na ametenda mengi ya ajabu. lazima siku moja hapo jacaranda itakuja julikana kua Mungu tunaye mwaabudu sisi kama wakristo ndiye Mungu aishiye milele.

    • @aburaasmedia3682
      @aburaasmedia3682 ปีที่แล้ว +2

      Thubutu!!! hamna popote Waislamu wamesema Mohammad ni mungu bali wanasema Muhammad ni mtume wa Mungu na Yesu pia ni mtume wa Mungu. Lakini nyinyi wakristo munafanya kila mtu ni mungu mpaka hata unazinzia waislamu wamesema Muhammad ni mungu.

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 ปีที่แล้ว

      Hakuna muislamu hata mmoja anaeamini mtume Muhammad Sallaahu alaihi wasallam kuwa ni Mungu au mwana wa Mungu, Sote tunaamini kuwa Mungu ni mmoja na mtume Muhammad rehema na amani ziwe juu yake ni mtume wa Mwenyezi Mungu kama alivyotumwa Mussa, Daudi na Issa rehema na amani ziwe juu yao wote. Jambo muhimu Mungu ni mmoja na Mungu sio mwanaadamu.

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 ปีที่แล้ว +3

    MASHAALLAH

  • @ameirmuhombwa
    @ameirmuhombwa ปีที่แล้ว +3

    Sh ally tulia usipende kuongeza maneno mwachie sh salim aongee ukiingilia unahalibu

    • @sophiajuma6798
      @sophiajuma6798 ปีที่แล้ว

      Hata ingelikuwa ni wewe uko hapo ungeongea tu juu hawa wenzetu nao wanachanganya sana najua Sheikh Salim anawezana nao hii kazi siyo rahisi kama unavyo fikiria acha mwenyezi Mungu awafanyie wepesi inshaallah 🙏

    • @HisMajesty64
      @HisMajesty64 ปีที่แล้ว

      Ila anaharibu tu na kupunguza views

    • @aburaasmedia3682
      @aburaasmedia3682 ปีที่แล้ว

      ati anaharibu na kupunguza views? @@HisMajesty64

  • @d.m.k9990
    @d.m.k9990 7 หลายเดือนก่อน +1

    Allah awaifadhi walimu kama hawa wallai

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 หลายเดือนก่อน

      Aamiin amiin amiin sote

  • @salimiddi7583
    @salimiddi7583 ปีที่แล้ว +2

    Sheikh Salim somo wangu asalaam alaykum waratulahyh wabarakatuh

  • @achimoramadhanimataka1208
    @achimoramadhanimataka1208 ปีที่แล้ว +2

    ❤❤❤

  • @isahbarasa
    @isahbarasa ปีที่แล้ว +1

    Huyu alikua ana search hapati kitu ukweli inauma 😅

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 ปีที่แล้ว +1

    nimegundua kua,haya maneno mawili yanawasumbua Wakristo 1.KUOKOKA NA KUTUBU bado hawajajua kabsaa...hapa duniani tunatubu dhambi zetu ila kuokoa ni siku ya mwisho pale mtu akiambiwa unaenda uzima wa milele ndio anaweza kujipiga kifua kua ameokoka

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 ปีที่แล้ว +1

    Subhannallah hawa wakristo hawataki kusoma kitabu chao

  • @ShamsudynJunada-d6c
    @ShamsudynJunada-d6c ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 ปีที่แล้ว +3

    Wallahi wakristo hawaelewi hata sijui wana nini

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 ปีที่แล้ว +1

    Wallahi kila siku raha na moto

  • @F.j84
    @F.j84 ปีที่แล้ว +2

    Kuhusu mbwa ustadh waambie sisi waislam tuko na vipengele kwenye ibada kama kushika udhu na mskiti ue safi kusiwe na najis mbwa akiingia atakua ameharibu ile udhu na usafi.. Na tutakua hatuna sala mpk tujitwahirishe.. Sio km kanisani wanaingia na janaba zao na kutamba hawatambi waenda tu km hawajielewi

  • @Sal.0
    @Sal.0 ปีที่แล้ว +1

    HUYU Odero Hana ELIMU yeyote!
    NA Tena BONGO YAKE, ni kama Mtoto wa Primary!
    Music poteze Wakati na MaKURUTU Hawa wa WESTERN!
    Ame kuwa ChiefPastor, HOW?
    TabarakAllah Team Mzima.
    MAFUNDISHO BORA, as usual!
    Ati Ngoma ya hali ya Waluhya? Ha oni HAYA Aki SEMA UWONGO!
    It is obvious huyu Idera ana DANGANYA Watu Katika KIOSK yake

  • @zohramariga6678
    @zohramariga6678 ปีที่แล้ว +1

    Asalam alakumu mashala mungu amulidi

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 ปีที่แล้ว +1

    Mkikaa juani camera video inakuwa na chenga chenga

  • @kassimabdilatif1802
    @kassimabdilatif1802 ปีที่แล้ว +9

    Ndugu Salim,
    Kuhusu history ya compilation of the Quran.
    Khalifa Abubakar ( The first Khalifa) is the one who compiled the Quran . Aliwakusanya masahaba wrote waliohifadhi Quran ( more than 30 memorizers) na akaitisha all the written records available at that time from all sahabas ( skins, tablets etc) and formed a committee which authenticated the written records with the memorizers. Anything which was not corraborated by all the memorizers was not included.
    This first copy of the Quran was kept by mother Hafsa the wife of the prophet. During the time of Khalifa Uthman He ordered that another seven copies be produced from the first copy compiled by Abubakar . He then sent this copies the provincial governors in the caliphate. The reason for this was because the new non Arab Muslims were mispronounced the words when reading the quran. The new copies started to include the fathas , saunas etc to help the non Arab muslims pronounce the words correctly.
    The compilation of the Quran is regarded as one of the greatest achievements of khalifa Abubakar may Allah be pleased with him. Allah blessed him with wisdom to save the Muslim Ummah.

  • @MohamedHassan-q5k
    @MohamedHassan-q5k ปีที่แล้ว

    Inshala Allah akupen maisha malef

  • @elidaimakaaya9945
    @elidaimakaaya9945 ปีที่แล้ว

    Duh, kwa wanadamu kwamaana ya uwezo, ability

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli.huyu.mfupi hayuko.sawa

  • @Adm9464
    @Adm9464 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Kimani ako India.

  • @Maryam-h4y1q
    @Maryam-h4y1q ปีที่แล้ว +1

    Mashalla ♥️😘🙏🙏

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂😂😊😊😊😊😊

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 ปีที่แล้ว +1

    Usipeperushe Kitabu hivo tafadhali.

  • @elidaimakaaya9945
    @elidaimakaaya9945 ปีที่แล้ว

    Hamjui kiswahili. Kwahiyo wayahudi ni waisilamu? Yaan dini ni kitu ovyo sana hakitawahi msaidia mtu yeyote

  • @bausifarouk1798
    @bausifarouk1798 7 หลายเดือนก่อน +1

    Dr salim ngugi wapi vitu vyipia

  • @BakariKidege
    @BakariKidege ปีที่แล้ว +1

    Mashaa Allah

  • @HisMajesty64
    @HisMajesty64 ปีที่แล้ว +3

    Ustadh Ali mos mos tafadhali usivuruge daawah

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 ปีที่แล้ว +1

    Huyu evangelisti hajui chochote. amelemewa tangu jana

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ali anaudhi sana na maneno maneno yake ya kutupa, yanini utaje babu ya mtu? Be respectful and wise.

  • @Ashura-u3x
    @Ashura-u3x ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂ohhh islam naipenda sana kwer manshaallah.eti kafiri😂😂😂

  • @elidaimakaaya9945
    @elidaimakaaya9945 ปีที่แล้ว

    Kwani ikiandikwa ndo kweli?😂

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Wewe hukusoma ndio tatizo lako

    • @bmxsports581
      @bmxsports581 ปีที่แล้ว

      Alhamdullilah sheikh may Allah grant you jannah firdaus

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 ปีที่แล้ว +1

    Anakataa biblia mkiini ataandika mwenyewe

  • @Adm9464
    @Adm9464 ปีที่แล้ว +2

    They are cheated by their pastors. Ati they need roho which only the pastors posses.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว +1

      Hahaaaaaaa ili wasijue ukweli that why wanaambiwa wasisome hawataelewa

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 ปีที่แล้ว +1

    Watakula billa luchinja

  • @NimoJama-iw6tg
    @NimoJama-iw6tg ปีที่แล้ว +2

    I live in UK every one who has dog they kiss the dog mouth to mouth

  • @jumaraha
    @jumaraha 10 หลายเดือนก่อน +1

    TATIZO HAWAJUI KUTAFAUTISHA YA KUTUBU NA KUOKOKA

  • @elidaimakaaya9945
    @elidaimakaaya9945 ปีที่แล้ว

    Kumbe mnagoogle? Malaika toka lini wanaandika? Walio andika mlijuaje kama wameongeza? Haha sikuile utakufa, huyo mwamba ni moto. Musa ndiye aliye andika

  • @amsodewiz4901
    @amsodewiz4901 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 ปีที่แล้ว +1

    Alhamdulillah ala neematul islam

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 ปีที่แล้ว +1

    Mlokole kasahau ankili nyumbani

  • @elidaimakaaya9945
    @elidaimakaaya9945 ปีที่แล้ว

    Utaokoka ni wakati ujao kwa maana ya condition yaani baada ya hilo tendo ndo unapokea wokovu, endelea kuisoma hiyo warumi uone

  • @NimoJama-iw6tg
    @NimoJama-iw6tg ปีที่แล้ว +1

    They kiss the dogs

  • @elidaimakaaya9945
    @elidaimakaaya9945 ปีที่แล้ว

    Mkibanwa mnasema hakuna

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Hahaaaaaaa hueleweki

    • @JamilaJumanne-u7q
      @JamilaJumanne-u7q 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@salimdaawah123yaan cjui point yake ninin😂

  • @elidaimakaaya9945
    @elidaimakaaya9945 ปีที่แล้ว

    Kwani wenye haki ni nani? Mbinguni hakuna uisilamu

  • @elidaimakaaya9945
    @elidaimakaaya9945 ปีที่แล้ว

    Naona jamaa anakimbilia bible asome " usiwape mbwa kilicho kitakatifu" kwaakili zenu mnafikiri ni mbwa huyo, mbwa ni mtenda dhambi wala sio hao wanyama. Sasa watendao mabaya ni wanyama au watu? Huyo mstar

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Hahaaaaaaa ukristo ni kuchanganyikiwa tu

  • @elidaimakaaya9945
    @elidaimakaaya9945 ปีที่แล้ว

    Sio Mbwa mnyama. Mbwa anaye tajwa hapo sio huyo mnyama ni mtu. Yan nyie hamjui bible , mnafikiri ni gazeti hilo

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  ปีที่แล้ว

      Kwani bibilia ni nini kama sio gazeti???

  • @ilyasadhan3914
    @ilyasadhan3914 ปีที่แล้ว +2

    𝙎𝙝𝙚𝙞𝙦𝙝 𝙖𝙡𝙞 𝙥𝙤𝙡𝙚 𝙥𝙤𝙡𝙚 𝙠𝙞𝙙𝙤𝙜𝙤

  • @MohamedHassan-q5k
    @MohamedHassan-q5k ปีที่แล้ว

    ❤❤ munafanya Kaz mzur

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 ปีที่แล้ว +2

    MaashaAllah

  • @MohamedHassan-q5k
    @MohamedHassan-q5k ปีที่แล้ว

    ❤❤ munafanya Kaz mzur