Vladimir Putin Anavyotumia Uzoefu Wa Ujasusi Kuimarisha Diplomasia ya Urusi. Ni Jasusi Mbobevu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Mwezi Machi mwaka huu 2024, Rais wa Urusi, Vladimir Putin alitangazwa kushinda uchaguzi ambao umemuwezesha kuendelea kuongoza Urusi kwa awamu nyingine ya tano. Putin anaingia katika historia ya taifa hilo kuwa kiongozi aliyeongoza kwa muda mrefu tangu enzi za Shirikisho la Usovyeti chini ya Joseph Stalin.
Kiongozi huyu wa taifa hilo kubwa lenye nguvu za silaha za nyuklia, amekuwa gumzo duniani hivi sasa. Hasa tangu Urusi iingize majeshi yake nchini Ukraine Februari 2022 kufuatia chokochoko za muda mrefu baina ya mataifa hayo jirani ambayo yana historia kubwa sana ya kuwahi kuwa sehemu ya nchi moja, wakati wa utawala wa kifalme wa dola la Urusi na badae Shrikisho la Jamhuri za Usovyeti.
Pamoja na mashinikizo mbalimbali ambayo Urusi iliyapata kuanzia vikwazo vya kiuchumi, kidiplomasia na kisiasa, vilivyowekwa hasa na mataifa ya magharibi yakiongozwa na Marekani na Umoja wa Ulaya, bado taifa hilo limeonekana kuendelea kuwa imara na kuzidisha ushirikiano wa diplomasia na mataifa nje ya yale ya magharibi.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Raisi mwenye akilinyingi duniani Mungu akulinde na akuongezeye maisha marefu
Good
Licha ya yote Putin ni mshikirika wa kuaminika!!
Putin mwamba Mungu amlinde
Shafii makala zako ziwe za mara kwa mara
Huchoki kusikiliza😂😂
Asante sana Elia! Tutajitahidi kulifanikisha hili
👍👊✌️.
Umenena vyema na kweli
🥳🥳
Uraaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
tupatie stori ya jasusi stefan bandera
Putin piga magasho hao,hawana faida.