Mwabhukusi tafadhali, Mwabhukusi ndio rais wa TLS ajaye kulialia kutaisha kwa mawakili na sisi wana nchi....!!!! Hatutaki siasa .....!!!! Mawakili mtuelewe!
" Ili serikali ipate mdau muhimu wa kusimamia sheria nchini " busara kubwa . TLS hakika saidieni kusimamia sheria nchini.hasa kipindi cha uchaguzi tupate viongozi bora wa kusimamia uhuru, haki na amani ya kweli sio amani dola.
TLS wamebakiza alama ya Utanganyika na Zanzibar nako kuna chama cha Mawakili Zanzibar. Kumbe ndo maana kila mara wanasheria wengi wanadai Tanganyika. Taaluma zingine nazo zina Tanganyika na Zanzibar?
Miaka 70 ya Chama cha Wanasheria Tanganyika sasa inakuwaje sheria hakuna Muungano na wanasheria ndio wanasaidia wananchi kutafsiri sheria inapokuwa na mkwamo wa kisheria?
Unaweza kutoa maoni page 45 na yasichukuliwe hata moja. Ila muhimu endelea utoe maoni. Hayakuchuliwa pengine kuna mengine kwa wengine yamechuliwa bora zaidi. Swala ni je hayo yaliyochukuliwa yana ubora ama tija zaidi kuliko hizo page 45?
Hawa hawa akina Biteko ndio shida,hapa anaongea kama mtu mwema sana,Mwambukusi akishaanza kuwabana watakimbilia bungeni kutunga sheria ya kumbana mwambukusi,kiongozi mzuri ni yuke atakae leta katiba mpya,haya mengine yote ya akina biteko ni porojo tu za kufurahisha nafsi huku mwili ukiteketea
Kama ungepewa nafasi ya kushiriki uchaguzi na ungemchagua wakili mwana sheria mwambukusi, gonga Like yako hapa.
Mwabukusi ndiyo jibu
Wana badilika ga
Hongera mwambukusi
Viva Mwambukusi Allah asimame na Mwambukusi na mawakili wote vote for Mwambukusi ❤
Asante doto upo vizuri
Mwabukusi❤
Hongera sana Doto Biteko waziri kweli mh Samia alikujua uwezo wako kisiasa
Hatutaki saisa shida yetu ni Mwabukusi tuu, hatuhitaji chawa
Mwambukusi anafiti sana kwenye uraisi huo wa Chama cha mawakili TLC na baadaye Raisi wa Tanzania au jaji mkuu au waziri wa sheria na katiba
Una hekima kijana. Mungu akubariki sana.
Mwabhukusi tafadhali, Mwabhukusi ndio rais wa TLS ajaye kulialia kutaisha kwa mawakili na sisi wana nchi....!!!! Hatutaki siasa .....!!!! Mawakili mtuelewe!
Nawaombeni wawakili tuleteeni mwabukusi
Mgeni rasmi mwenyewe kateuliwa kinyume Cha sheria alaf anasisitiza maswala ya sheria, nchi hii ovyo sana 😂
DOTTO BITEKO big up sana Akili nyingi sana..
MWABUKUSI ANATOSHAAAAAA ✅✅✅✅✅
Deputy prime minister nimeipenda hotuba yako sana nadhani hapo Mwabukusi hapo anastahili nafasi hiyo
Mwambukusi is better more
Mama anakuagiza kazi hizi kwa sababu unamwakilisha vizuri...."KUSEMA NA KUTENDA"
Hongera sana Mwabukusi
Hongera sana
Mungu wa mbinguni tunakuomba usimamie huo uchaguzi ili Mwabukusi ashinde kwa utukufu wa jina lako
Katika jina la Yesu Amen.
Tunataka katiba mpya ndio haki ipatikane
Mwambukusi Tunaomba wasomi mtusaidie
Mh Naibu waziri mkuu mh Biteko hotuba Yako Ina matumaini hongera sana umeongea vzr sana
Biteko ni Kiongozi Mnyenyekevu na Mwadilifu sana Sawa Sawa na Majaliwa Majaliwa Tunao Viongozi Wa Zuri sana
Wanasheria, mchagueni mwabukusi Kanjunjumele.
Mwabukusi 💯
Saf kiongozi🎉
Hongereni mawakili tunawaombea
Mwabukusi
Unahekima sana
Umetulia kiongozi
Mkuu wewe huna siasa za ccm wee uko poa sn
Ni mwabukus
MWABUKUSI
Tuleteeni mwabukuzi
Mwambukusi tunamuombea apite MUNGU awatie nguvu 🙏
Mwambukusi oyeee
Mwambukusi saf
Mwambukusiiiiii!! Nikushauri Mwaisa ukipata hicho kiti tenda waliyokusudia wananchi na mawakili Wako Imani hiyo ukailinde Kwa kutenda mahitajio
Doto unafaa kuwa President
Ni hotuba nzr saaaana kiongozi
10000 mwambukusi yeeeee
Wewe ni mnyarwanda siku zitaongea
NINAFURAHIA SANA KUSIKIA NENO TANGANYIKA
" Ili serikali ipate mdau muhimu wa kusimamia sheria nchini " busara kubwa . TLS hakika saidieni kusimamia sheria nchini.hasa kipindi cha uchaguzi tupate viongozi bora wa kusimamia uhuru, haki na amani ya kweli sio amani dola.
Mwabikusi ndio Rais
TLS wamebakiza alama ya Utanganyika na Zanzibar nako kuna chama cha Mawakili Zanzibar. Kumbe ndo maana kila mara wanasheria wengi wanadai Tanganyika. Taaluma zingine nazo zina Tanganyika na Zanzibar?
Haki ni mama wa amani Tanzania haina usimamizi mzuri wa haki
namuona nyerere ajaye
Miaka 70 ya Chama cha Wanasheria Tanganyika sasa inakuwaje sheria hakuna Muungano na wanasheria ndio wanasaidia wananchi kutafsiri sheria inapokuwa na mkwamo wa kisheria?
Serikali huwa hainavnia ya dhati kuwasikiza wataalamu hasa wanapokizana nao
Umeongea kwa ubyenyekevu mkumbwa, tunawqomba mawakili watuletee Mwabukusi
Chama hicho sio chama hiko, sipendi neno dogo kama hili likikosewa
Kikubwa umeelewa. The rest yaache yalivyo.
Mwabukusi kama namuelewa 😂
Unaweza kutoa maoni page 45 na yasichukuliwe hata moja. Ila muhimu endelea utoe maoni. Hayakuchuliwa pengine kuna mengine kwa wengine yamechuliwa bora zaidi. Swala ni je hayo yaliyochukuliwa yana ubora ama tija zaidi kuliko hizo page 45?
Huyu muongo asifia Kila jambo
Hawa hawa akina Biteko ndio shida,hapa anaongea kama mtu mwema sana,Mwambukusi akishaanza kuwabana watakimbilia bungeni kutunga sheria ya kumbana mwambukusi,kiongozi mzuri ni yuke atakae leta katiba mpya,haya mengine yote ya akina biteko ni porojo tu za kufurahisha nafsi huku mwili ukiteketea
Ninamuona siku moja isiyojulikana Sasa, mwaka, mwezi na saa huyu Dotto atakuwa Rais wa nchii hii.
Mwambukizi naye pia ni chawa wa watu fulani
Mwambukizi.kwanza ni mkabila pia ni mtu mwenye jaziba
Angekuwa mkabila asingewatetea wamasai Ngorongoro
Mwabukusi