Mashaalah ❤❤ nakupenda shke kwa ajili ya ilmi ya kutupa taufig shke osman alaah akupe maisha marefu inshaalah.wabilahi taufiq mashaalah alaah akulinde na hasan inshaalah.
Yaani mungu anakulipa mara nyingi sababu unatupa faida nyingi sababu ata kama mtu ajui kusoma surat furani lazima atajifunza mungu akulipe kwa hilo pia sababu unatupa faida nyingi tunajua na kusoma Quran sasa shukran kasillah
Mashaallah alhamdulillah nimefanya zikir moja kati ya izo ulizotufundisha alhamdulillah leo nimepata majibu ALLAH AKBER mungu akulipe kher sheikh wangu nakupenda kwaajili ya ALLAH
@@sistertrashid2488 asalam aleykum sister t yaan hiyo dua unaisoma pindi umemaliza kuswa swala yoyote eiza ya dhuhur , alasir magharib ishaa au alfajir na wakati huo ushamaliza kuswali na umeshasoma dhikir SUBHAN ALLAH , ALIHAMNDU LILLAH, na ALLAHU' AKBAR hapo unakuwa ushamaliza swara harafu unasoma hizo au waweza kuzitaja mahara popote pasafi nifahamishe
Ma sha allah sheikh , Ahsante sana kwa kutupatia hazina ya dunia fil akhera, Allah S.W akupe umbri mrefu, wa afya nzuri na furaha, akupe jannah firdausi - AMIN DUA YA NABII MUSSA (A.S) : QUR-AN 28 Surah Al-Qasas Ayat 24 Rabbi inni lima anzalta ilayya min khairin faqir ("My Lord, Truly I am in need of whatever good You Bestow on me ") Mola wangu Mlezi! Hakika mimi ni mhitaji wa kheri utakayo niteremshia. DUA YA NABII AYYUB (A.S ): QUR -AN 21 Surah Al-Anbya AYA 83 Annii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin or ( Rabbi innii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin ) "Indeed, adversity has touched me, and you are the Most Merciful of the merciful." Mimi yamenipata madhara. Na Wewe ndiye unaye rehemu kuliko wote wanao rehemu. DUA YA NABII Zakariya ( A.S ) QUR-AN 21 Surah Al-Anbya AYA 89 rabbi la tatharnii fardan waanta khayrul warithiin "My Lord, do not leave me alone [with no heir], while you are the best of inheritors." Mola wangu Mlezi! Usiniache peke yangu, na Wewe ndiye Mbora wa wanao rithi. DUA YA NABII ADAM (A.S): QUR-AN 7 SURAH AL-A`RAF AYA 23 rabbana thalamna anfusana wain lam taghfir lana watarhamna lanakoonanna mina alkhasiriin "Our Lord, we have wronged ourselves, and if You do not forgive us and have mercy upon us, we will surely be among the losers." Mola wetu Mlezi! tumejidhulumu nafsi zetu, na kama hutusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa katika wenye kukhasirika.
@@saadabulanga6440 DUA YA NABII AYYUB (A.S ): QUR -AN 21 Surah Al-Anbya AYA 83 Annii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin or ( Rabbi innii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin ) "Indeed, adversity has touched me, and you are the Most Merciful of the merciful." Mimi yamenipata madhara. Na Wewe ndiye unaye rehemu kuliko wote wanao rehemu. DUA YA NABII Zakariya ( A.S ) QUR-AN 21 Surah Al-Anbya AYA 89 rabbi la tatharnii fardan waanta khayrul warithiin "My Lord, do not leave me alone [with no heir], while you are the best of inheritors." Mola wangu Mlezi! Usiniache peke yangu, na Wewe ndiye Mbora wa wanao rithi. DUA YA NABII ADAM (A.S): QUR-AN 7 SURAH AL-A`RAF AYA 23 rabbana thalamna anfusana wain lam taghfir lana watarhamna lanakoonanna mina alkhasiriin "Our Lord, we have wronged ourselves, and if You do not forgive us and have mercy upon us, we will surely be among the losers." Mola wetu Mlezi! tumejidhulumu nafsi zetu, na kama hutusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa katika wenye kukhasirika.
Maashaaallah shekh wetu Othman Michael Mwenyezi Mungu azidi kukuweka ili tuzidi kunufaika na elimu yako na akuongoze vyema wewe pamoja na familia yakooo na baraka telee🙏🙏
Mashallah Allah akupe mwisho mwema akupe uhai akupe hitaji la moyo wako na yapenda sana mawaidha yako Allah ka kujalia kipaji Allah atujalie nasi kizazi chetu
Mashallah Mashallah Mashallah,Jazzaka Allahu kheyr cna budi na mm ni comment tu coz zlikua 199 na mm ya kwangu itakua ya 200 Inshallah Allah atufanyie wepec ktk kila zto kwa sote waislamu inshallah 🤲
Wandamu tuna matatizo sana ......sasa mtu kwa mfano ana dislike mawaidha kama haya anahitaji nini sasa katika dunia hii....hao ndio makafiri wenyewe la'anatullaahi alayhim...sheikh othmani michael allah akuweke tuzidi kustafiid na mawaidha yako baaarakallaahu fiykah
Maashaashallah maashaallah shekh Allah akuhifadhi
ALLAH akuzidishie sn sheikh wng
Alhamndulillah shekhe Allah akuzidishie umri uendelee kutupa dawaa
Mashaalah ❤❤ nakupenda shke kwa ajili ya ilmi ya kutupa taufig shke osman alaah akupe maisha marefu inshaalah.wabilahi taufiq mashaalah alaah akulinde na hasan inshaalah.
Jazakalahu kheir Allah akupe jannahtul firdhows
Shukran sheikh wetu Allah atufanyie wepesi tuwe wepesi wenye kufanya adhkara
Shukran Mungu akulipe kheri
Allah akuongezee umri uzidi kutupatia ilmu
JazzakalahU khayra sheikh wetu allah akuzidishie kwa kutumbusha yalo mazuri inshallah🙏
Allah akupe nguvu na afya Sheikhe wetu wallah tunashukuru sana mnoo hujui tu jinsi gan unafusaidia kwenye maswala ya kujifunza katika dini yetu
Shukran jazakallah khairan
Wallahi nimeinua mikono yangu umesema kweli kabisa
Yaani mungu anakulipa mara nyingi sababu unatupa faida nyingi sababu ata kama mtu ajui kusoma surat furani lazima atajifunza mungu akulipe kwa hilo pia sababu unatupa faida nyingi tunajua na kusoma Quran sasa shukran kasillah
shukran shukran shekhe
Shukran Sheik ❤
Mashaallah alhamdulillah nimefanya zikir moja kati ya izo ulizotufundisha alhamdulillah leo nimepata majibu ALLAH AKBER mungu akulipe kher sheikh wangu nakupenda kwaajili ya ALLAH
Assalam alaykum naomba uniambie zikri gani hiyo mwenzetu ulosoma na kufanikiwa
@@mwanaidiramadhan3919 alaykum msalam warhamatullah wabarakatu LAA ILLAH ANTA SUBHAANAKA INNI KUNTU MINAZALIMINI nilisoma mara 110 habibti kisha nikamuomba ALLAH nilifanikiwa alhamdulillah
@@sistertrashid2488 mashaAllah
Ahsante Sana sister t rashid jazakallahul kheyr
@@sistertrashid2488 asalam aleykum sister t yaan hiyo dua unaisoma pindi umemaliza kuswa swala yoyote eiza ya dhuhur , alasir magharib ishaa au alfajir na wakati huo ushamaliza kuswali na umeshasoma dhikir SUBHAN ALLAH , ALIHAMNDU LILLAH, na ALLAHU' AKBAR hapo unakuwa ushamaliza swara harafu unasoma hizo au waweza kuzitaja mahara popote pasafi nifahamishe
Shukraaan sana shekhe
MashaAllah shukran
Ya Allah mlipe kheri duniani na akhera ustadh Othman Michael ameen ameen ameen
Yaa ALLAH mlipe kila la kheri duniani na akhera ustadh wetu othman Michael
Allahumma Ameen yaa Rabb
Aamin
Ameen
Amiin
Shukran ustadh Allah akubariki kwa mawaidha
اللهم صل على سيدنا محمد وآله وصحبه وسلم
Alhamdulillah Allah akuhifadh sheikh wetu,uzidi kutuelimisha
A w w Allah akuhifadhi siku hizi mm nashukuru kuna duwa na adhkari nimejifunza kwako shukran Allah barik
Alhamndulillah Alhamndulillah Alhamndulillah ya Allah
ITTAKI LWAHA HAITHU MAAKUNTA -MUOGOPE MWENYEZI MUNGU pOPOTE ULIPO . RAWAHU TRIMIDHIYU.
Lailaha illa anta subhanaka inniy kuntu minadhdhwalimiyn
Shukran ya sheykh
Jazakallahu khayra
Shukran
Ali
Mashaallah shukran sana shekhe wetu tume jifunza mengi sana ambayo hatukuwa tuna yajuwa Allah akuzidishie
Allah akulipe😢😢😢😢
Ma sha allah sheikh , Ahsante sana kwa kutupatia hazina ya dunia fil akhera, Allah S.W akupe umbri mrefu, wa afya nzuri na furaha, akupe jannah firdausi - AMIN
DUA YA NABII MUSSA (A.S) : QUR-AN 28 Surah Al-Qasas Ayat 24
Rabbi inni lima anzalta ilayya min khairin faqir
("My Lord, Truly I am in need of whatever good You Bestow on me ")
Mola wangu Mlezi! Hakika mimi ni mhitaji wa kheri utakayo niteremshia.
DUA YA NABII AYYUB (A.S ): QUR -AN 21 Surah Al-Anbya AYA 83
Annii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin or ( Rabbi innii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin )
"Indeed, adversity has touched me, and you are the Most Merciful of the merciful."
Mimi yamenipata madhara. Na Wewe ndiye unaye rehemu kuliko wote wanao rehemu.
DUA YA NABII Zakariya ( A.S ) QUR-AN 21 Surah Al-Anbya AYA 89
rabbi la tatharnii fardan waanta khayrul warithiin
"My Lord, do not leave me alone [with no heir], while you are the best of inheritors."
Mola wangu Mlezi! Usiniache peke yangu, na Wewe ndiye Mbora wa wanao rithi.
DUA YA NABII ADAM (A.S): QUR-AN 7 SURAH AL-A`RAF AYA 23
rabbana thalamna anfusana wain lam taghfir lana watarhamna lanakoonanna mina alkhasiriin
"Our Lord, we have wronged ourselves, and if You do not forgive us and have mercy upon us, we will surely be among the losers."
Mola wetu Mlezi! tumejidhulumu nafsi zetu, na kama hutusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa katika wenye kukhasirika.
asante kwa kuiandika dua hii kumsikiliza shehe inakuwa shida Allah akulipe inshaallah
asante kwa kuiandika dua hii kumsikiliza shehe inakuwa shida Allah akulipe inshaallah
othman omari shukrani kwakuandika dua hii kumsikiliza shehe kidogo inakazi kweli kuinasa,dua 4 mwisho kabisa nimeshindwa kuiandika.
@@saadabulanga6440 DUA YA NABII AYYUB (A.S ): QUR -AN 21 Surah Al-Anbya AYA 83
Annii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin or ( Rabbi innii massaniya dhurru waanta arhamur Rahimiin )
"Indeed, adversity has touched me, and you are the Most Merciful of the merciful."
Mimi yamenipata madhara. Na Wewe ndiye unaye rehemu kuliko wote wanao rehemu.
DUA YA NABII Zakariya ( A.S ) QUR-AN 21 Surah Al-Anbya AYA 89
rabbi la tatharnii fardan waanta khayrul warithiin
"My Lord, do not leave me alone [with no heir], while you are the best of inheritors."
Mola wangu Mlezi! Usiniache peke yangu, na Wewe ndiye Mbora wa wanao rithi.
DUA YA NABII ADAM (A.S): QUR-AN 7 SURAH AL-A`RAF AYA 23
rabbana thalamna anfusana wain lam taghfir lana watarhamna lanakoonanna mina alkhasiriin
"Our Lord, we have wronged ourselves, and if You do not forgive us and have mercy upon us, we will surely be among the losers."
Mola wetu Mlezi! tumejidhulumu nafsi zetu, na kama hutusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa katika wenye kukhasirika.
shukran kk kwa kuziandika dua Izi inshaallah mola akujaalie kila la kher
Maashaaallah shekh wetu Othman Michael Mwenyezi Mungu azidi kukuweka ili tuzidi kunufaika na elimu yako na akuongoze vyema wewe pamoja na familia yakooo na baraka telee🙏🙏
Shukraan sana shekh wetu tunakupenda kwa ajili ya Allah
Masha Allah mungu akulipe kheri kwa elimu unayo tupa insha allah
Ustadh Allah akupe jannahtul firdhows
shukran shekhe
Manshallah mungu akupe kila la kheri
Shukran sana ostaz mungu azidi kukujaza kheri inshaallah
Barakaalaah wabarak mina waminikum
Shukran sana Shehe Othman Kwa da rasa Allah akuzidishe kheri na hekima
Isha Allaha mola akupe umri mrefu kwa zawadi ulio tupatia na akujibu pia duwa zako , na akulipe wema wako🤲 Amiin.
Mashaallah shukran mwenyezi mungu akulinde sheikh wetu wallahi unatugaia faida mungu akulipe kher twakuombea kher wallahi
Jazzakumullah khairy,, Allah akuhifadhi duniani na Akhera sheikh wetu unaeleweka
Masha Allah sheikh Authuman kwa kutufunza hizi Adhkar.. shukran Sheikh wetu lnsha Allah mungu akubareek wewe na familia yako..Ma Salam
Amin Amin
Shukran jazakallah kheri.Niko Kenya napenda sana darsa zako
Maashaallah tabaraqallah..shukran kwa Darsa sheik wetu..allah akuzidshie umri mrefu inshallah
Mashaallah shekh kwa elimu yako
Amiin
Masha Allah
Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah. ALLAH Akijaalie mema duniani na kesho Peponi Ameen
Masha allah asant san mwalim wetu mungu akulipe
Mashaallah nakukubali sn sheikh Allah akulipe kl LA kheir fidunia wal akhera ishaallah
Jazaka Allah kheri shekhe 😊
Mashallah Allah akupe mwisho mwema akupe uhai akupe hitaji la moyo wako na yapenda sana mawaidha yako Allah ka kujalia kipaji Allah atujalie nasi kizazi chetu
Amiin yarabi
Nimeshtuka kutolewa tasbih dah lailaha illaanta subhanak innikuntum minadhwalimiin , 😍😍😍
Shukran al akhy,na in sha Allah Mungu akupe jaza njema
Alhamdulilah tunakushukuru shekhe wetu mungu akuzishie' kheri insha allah
Shukran mwalim othman michael
Wallah siichoki kuisikiliza hii crip Allah akulipe khery inshaallah
Allah akujarye umri mrefu wenye manufaa
Shukuran sheh wangu
Allah akukubari duniani na kesho akhera shekh
Amiin yarabi
Othman maalim na othaman Michael wote kutoka tz.. Asante Allah kwa elimu uliyowapatia ..by shabaaz nour
Mashallah wallah ALLAH gives you jannat Firdausi
Mashaallah jazzakum llah khaira allah akulipe kheri
Mashaallah shukran Allah akulipe kheri tunakupenda pia kwa ajili ya Allah
Mashallah shukrain sheikh wetu allah akujalie afya njema akuifaidhi allahuma meen🤲
Shukran sheikh tabarak Allah. Nimejifunza mengi.
Shukrani shekhe letu mungu akulinde. Na kila shari naakupe umri mrefu ln. Shaallah
MaashaAllah tabaarakallah ,jazakallahu khaira ustadhi
Shukran Sheikh wetu mpendwa Othman nakupenda kwa ajili ya Allah
Sub hanallah.... shukran kwa darsa . LAKO
Subhanallah mashallah udtadh
Mashallah Allah akuhifathi
Alhamndulillah,Hasbunallah waneima liwaqil
Mashallah skukran Allah akulipeni duniani na akhera.
Mashaallah Allah mlipe kl LA kheir sheikh Othman Michael na mzidishie umri mrefu wenye kher nae Ameen Ameen
Asalaam Aleikum walahmatuilahi wabarakatu.Namuomba Allahakufungulie Milango ya. Kheri naBaraka Allahuma Amiina.
Baraka llah fii ahlika wamaalika jazaka llah feeq Allah akulipe kheri inshallah kwakutupa mafaida makubwamakubwa pia tuombeane du'a kwaajiri yake Allah..!!!
Jazzakhallahu khayran may Allah bless you Ameen
Mansha Allah
MashaaAllah.shukran jazeelan sheikh darsa zuli sana.Allah barik fik
Tuachen uvivu jaman shukran tutayafanyia kaz
Shukran jazeelan jazak Allah khayran 💕 ♥️ ❣️ ❣️ ❣️ ❣️
Mashallah Mashallah Mashallah,Jazzaka Allahu kheyr cna budi na mm ni comment tu coz zlikua 199 na mm ya kwangu itakua ya 200 Inshallah Allah atufanyie wepec ktk kila zto kwa sote waislamu inshallah 🤲
Mashaallah Allah akuongoze
Shukran shekhe wetu kwa mafunzo
shukran sana sheikh.. jazakaAllahu kher
Aallaah tupe mwisho mwwema yarab
Mashaaallah tabarakallah shukrani Sana shekh
Da shekh wangu unaongea point sana Allah akupe nguvu utupe mafunzo zaidi
Mashallah shekhe wetu shukran sana kwa swadaqa yko kwetu hakika tumeipnda na itatufaa
MashaAlla Allah akubarw sheikh wetu
Shukran. MashaAllah tabarakaAllah jazakaAllah khaira
Maa shaa Allah jazaka Allah kheir sheikh tunakupenda pia kwa ajili ya Allah
Elmu kubwa Allah akuogoze kwa kila hatua na akujaalie mwisho mwema
JazakaAllahu lkheir shekh!
Shukran shekhe kwa ukumbusho
Aslm alkm ww... clip hii ilinipa nguvu Masha Allah 🌹. Allah akulipe Jannah firdous Yaa Rabb 🙏. Jazakallah kheir 🙏
MashaAllah...Hakika uislamu ni neema tupu
Allah akujaze kheri akuongoze kwenye elimu upate kutuelimisha tunashukuru tunaelimika sana
Shukran shekhe Allah akulipe kheir nyingi InSha'Allah
xxx
Shukuran shekhe
Kwa faida
Munguakupe mwisho
Mwema..inshaallah
Tuna kupenda pia kwa ajili ya allah
Ma sha Allah ,tunakuombea kheri,Allah akupe umri mrefu kwenye kheri na akulipe janatu Firdaus ksho akhera
Shukran wajazakALLAH kheyr
Wandamu tuna matatizo sana ......sasa mtu kwa mfano ana dislike mawaidha kama haya anahitaji nini sasa katika dunia hii....hao ndio makafiri wenyewe la'anatullaahi alayhim...sheikh othmani michael allah akuweke tuzidi kustafiid na mawaidha yako baaarakallaahu fiykah
Amin
Mashaallah sheikh
Manshallah
Swadqata hao ni makafiri
Shukra sana sheikh Mola akubariki n atakabali kila dua unayoiomba pmj n familia yk in sha Allah🤲
Mashallah allah atujalie maisha zenzotajwa..