Shukraan Sana sheikh wangu sio kwamba sheikh hatupendi kuswali kuomba madua pia hata kusimama ucku ilitupate radhi za Mola wetu mlezi tatizo wengi hatuna Elim sheikh wangu Allah akuhidh sheikh nahasadi za watu na akuzidishie Elim Mara dufuu Aamiin
Wallah shekh othuman michael mungu akusimamiye🙏daima nimefaidika sana kupitia wewe mungu akusimimamiye daima akuepushe na vijicho vya wanadamu inshaallah🙏🙏👏nimefaidika sana sana snaa mungu akusimamiye daima
Allah Akbar. Wallah Sheigh unatisha!!! Wallah Wabillah wewe sio mchoyo wa elimu! Wallah kuna watu wananuna kwa siri na mbinu hizi ktk uombaji na usomajii kuuweka hadharani. Allah akufanyie wepesi. Uzidi kutupa maarifa. inshaAllah
Barakallahu feekum maalim Allah (s.w.t) akuzidishie rehema na nuru kwenye kila chembe ya kheri yako, akutilie wepesi kwenye kila kheri yako na akujaalie jannahtul firdaous Ma Shaa Allah >>> OTHMAN IBN MICHAEL
asalam alkm sheikh Mola akulipe na akuzidishie akupe umri mreefu uendelee kutufunza tunasoma hadi raha alhamdulillah hakika ww ni zawadi tumepewa kutoka kwa Mwenyez Mungu Allah akbar
Maaashaaa Allaaaah tabaraka Allah , hadi raha ndani ya roho. Sheikh wangu yaani hata sijuwi niseme nn kwa jinsi unavotufukungua macho na kuona mbali kuyajua tusiyoyajua alhamdullillah Allah azidi kukupandisha daraja hapa duniani and hereafter. Amiin Natamani nije nijifunze wallah lkn nimble dua tu in shaa Allah Allah azidi kukulinda.
Allahuakbaru Mashaallah Mashaallah Mashaallah jazaki llahu khaira hostanzi Allah akuhifazi na akupe mwisho mwema nduniani na akhera wallah Allah kakujaalia kipaji Mashaallah Allah akujaalie afya na wakati ulie mwingi iliuzidi kuelimisha ndungu zako waislamu
Shekhe Osman walahi nakupenda kwajili ya mwenyezi mungu unapendeza Sana unavyoyataja maneno ya alhaa mpka mimi nasisimuka walwahi mungu akuzidushie kila la kheri inshallah
Wallah kati ya mashekh ambao hawana uchoyo na elimu ni ww napenda sana kusikiliza darasa zako Allah akuhifadhi
Subhanallah!! Allah akuhifadhi Duniani na Akhera!!
Shukraan Sana sheikh wangu sio kwamba sheikh hatupendi kuswali kuomba madua pia hata kusimama ucku ilitupate radhi za Mola wetu mlezi tatizo wengi hatuna Elim sheikh wangu Allah akuhidh sheikh nahasadi za watu na akuzidishie Elim Mara dufuu Aamiin
Wallah shekh othuman michael mungu akusimamiye🙏daima nimefaidika sana kupitia wewe mungu akusimimamiye daima akuepushe na vijicho vya wanadamu inshaallah🙏🙏👏nimefaidika sana sana snaa mungu akusimamiye daima
Mashaallah shekh nimejifunza vitu vingi ila naomba uniombee dua ya mafanikio dunian na akhera🤲🤲🤲
Waislamu tuna raha walahi Alhamdulila
tenaaaa raha haina mfanowe kwa kweliiiii I'm proud to be a Muslim
Tena neema limaula alhamdulillah
Alhamdulilah ala neemat Islam
Allah Akbar. Wallah Sheigh unatisha!!!
Wallah Wabillah wewe sio mchoyo wa elimu!
Wallah kuna watu wananuna kwa siri na mbinu hizi ktk uombaji na usomajii kuuweka hadharani.
Allah akufanyie wepesi. Uzidi kutupa maarifa.
inshaAllah
Hakika umesema kweli! Allahumma'Amiin!!
Allahumma Amiin
Mwenyezimungu akuzidishie Iman kaka,nakukubali
Othuman 🕊dua zangu kwako daima sichoki umenifungulia mengi ni nimefidika sana kwa kaset zako mungu awe nawe daima 🙏🙏🙏👏tunasimama daima inshaallah
Shukran
Barakallahu feekum maalim Allah (s.w.t) akuzidishie rehema na nuru kwenye kila chembe ya kheri yako, akutilie wepesi kwenye kila kheri yako na akujaalie jannahtul firdaous Ma Shaa Allah >>> OTHMAN IBN MICHAEL
Allah akupe khery inshaallah za dunia na akhera.nakupenda kaka angu kwa ajili ya allah.allah atupe mwisho mwema inshaallah (AMIIN)
Mashaallah shekhe wangu mungu akupe pepo firdaus inshaallah
Masha Allah ....wallah uislam rahaa I'm proud to be a Muslim alhamdulilah 🙏 ALLAH tujalie Umma wa kislam 🤲
Barakala
Ahsante sheikh unatufundisha mengi Alla akubarik.akupe Afya njema na umri mrefu.
Mungu azidi kukupa heli ya dunia na akhela Amin
Shukran sana Sheikh wangu Allah akuzidishie elimu na akupe mwisho mwema
asalam alkm sheikh Mola akulipe na akuzidishie akupe umri mreefu uendelee kutufunza tunasoma hadi raha alhamdulillah hakika ww ni zawadi tumepewa kutoka kwa Mwenyez Mungu Allah akbar
Yaaani ustadh mashaaallah mashaaallah mashaaallah
Nashukuru shehewetu kwadua naswala zausiku umemifungua akili kwakiwango kikubwa Allah akuongezee hekma nautuombee tuwezekusimama kisimamo Cha usiku.
Allah akubark shehe wetu
Allah akupemaishamaref🤲🙏 uzidikutupadaaw
Allah akuzidishiye sheikh..nimefaidika
ALLAH akupe kher dunia wafil akherat, na kujalie mwisho mwema weye pamoja nasie umat muhamad s.w.s
Mungu akijalia nikirudi salama nitawatafuta ishallah. Nakupenda sana kwa ajali ya AllAh
Mashaallah nakupenda kwaji ya Allah shukran 🙏
Masha Allah ....shekhe nimeijifunza mengi na nimefarijika Allah akujaalie hapa dunian na akhera .....jazzakka llah khailaa
Sheikh mawaiza maashallah
Ustadh wallahi nakufatilia sana nakupenda kwa ajili ya Allah
Nakukubali sana swala za usiku zina majibu ya haraka
Mimi
Jazzakallah.kheri
Insha Allah mwenye ez mungu akuzodishie ilmu na Imani ya ustaadh.
Jazakarahu hairy
Ta Allah awape shifa
Shekhe shukrani kwa darsa zako nzuri zinatufanya tujengeke kiimani zaidi pia naomba utuletee majina ya Allah, maana yake na faida yake inshaallah
Hakika umesema kweli!!
MashaAllah MashaAllah
Jazaka Allah khaira shekh othman
Allah akulipe pepo 🤲
Mashallah Allah atufanyie wepesi sote shukuran shekhe
Maaashaaa Allaaaah tabaraka Allah , hadi raha ndani ya roho. Sheikh wangu yaani hata sijuwi niseme nn kwa jinsi unavotufukungua macho na kuona mbali kuyajua tusiyoyajua alhamdullillah Allah azidi kukupandisha daraja hapa duniani and hereafter. Amiin
Natamani nije nijifunze wallah lkn nimble dua tu in shaa Allah
Allah azidi kukulinda.
Allahumma'Amiin!!
Maa shaa Allah
Allah akulipe kheri za dunia na akhera
Manshaallah sheh wetu mungu akupe Maisha maref naafya Zuri akupe pepo ya FRIDAY
MashaAllah ALLAH akuzidishie umri uzidi kutupa darsa InshaaAllah, Yaa Rabbih tufanyie wepesi katka ibada zetu Amiin
Allahumma'Amiin!!
Aslm alkm wtw... Mashaaa Allah, wapendeza ulivyo i soma hiyo duaa. Kweli Sheikh wetu, kupendwa ni neema wallah. Mashaaa Allah unaji proud ukitaja adhkar yasssalam nafrahi kukutazama. Wallah Sheikh wetu wapendeza mbele ya Allah. Nafrahi nikiskia jina Darwesh. Allah akulinde akupe furaha na mafanikio Sheikh Othman. Twakupenda sanaaaa. Mungu akufurahishe.
Shukrani shekh
Walllah sichoki kusikiliza na kuyafanyua kheri mwalimu wetu adhimu
Jazzakum llahu kheir,faida inapatikana kwa kweli
maishalla ongela ostazi mungu akuzidishie kutupa elimu yadunia
Barakallah fik yaa shekhe othman nimejifunza mengi
Mashaallah Allah akuzidishie umri tuzidi kufaidika
Allahuakbaru Mashaallah Mashaallah Mashaallah jazaki llahu khaira hostanzi Allah akuhifazi na akupe mwisho mwema nduniani na akhera wallah Allah kakujaalia kipaji Mashaallah Allah akujaalie afya na wakati ulie mwingi iliuzidi kuelimisha ndungu zako waislamu
Shukurani
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu Mashaa Allah
Sheikh wangu umenimaliza mashallah
Shekhe Osman walahi nakupenda kwajili ya mwenyezi mungu unapendeza Sana unavyoyataja maneno ya alhaa mpka mimi nasisimuka walwahi mungu akuzidushie kila la kheri inshallah
Shukran sana shekhewetu
Masha Allah nakupenda sana kwa ajili ya Allah hadi Raha
Subahanallah,, Alhamundulilah
Allah akulipe Sheikh wetu mpendwa Othman Michael
Allah Akbalu mungu mimkubwa . Shukran ya shek
Inshallah mwenyezimungu akuzidishie uzima xhehe uendelee kutupa darsa xhehe, amina
Allahumma'Amiin!!
Jazakhillah khairaa
Bismilaiiii
Ma Shaa Allah Tabaraqallah
Aaallah atumfanyiye wepesi yarab
Mashallah
Jazaka Allah kheri..MashaaAllah
Mwenyezi mungu atusamehe makosa yetu naatuongoze mwisho mwema
Mashaallah mawaidh mazuri kweli mashaallah
Masha Allah shekh mwenyezi mungu akuzidishie innshaallah
Maashaallah Allah akulipe heri nimejifunza kitu kwanza unaelezea uzuri hadi raha unaeleweka
Umesema kweli!!
Allah akuzidishie
Jazzakallah..asantee sheh
Allah akuhifadhi sheikh tunakupenda kwa ajili ya Allah 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Mashahllah shekh othman
Allah abarik yaarab
Mashaallah shukran sheikh Maneno yako matam sana. Ungetusaidia madrasa ya live kwasisi Atukujaliwa kusoma madrasa.
Kweli kabisaa
Baraka Allah fik
mashaalalh mashaalalh❤️
manshaa Allah jazakallah khair
Mashaallah shekhe
Allah akujaze yalio mema inshaallah ila nataka kufahamu kama hujahifadhi sura ndefu katika kisimamo inakuwaje na unania ya kuswali
ASALAAM ALAYKUM SHEIKH WETU SHUKLAN SANA KWA MAFUNDISHO YAKO TUNAFAIDIKA SANA KWA KWERI ALLAH AKILIPE KILA JEMA INSHALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA
Allah awalipe kheri nying ,kwakwel nimekuelewa vizur na nimefurah sana.
Maasha allah shehe shukuraan
Allah akupeuhaimref hkikawwe niwakpekee
Masha.ahla
Mashaallah shukrani kwa mafunzo jazkallah kheyr
Allah ukizidishie kila la kheri akupe nguvu ili tuendelee kupata darasa zako inshallah
Masha Allah ustadh mungu akulinde
Baarakallahu fish Shekh wetu
Waalekum warahmatullah wabarakatu.barakallah fik yaa sheikh
Thanks thanks thanks alot
Allah akuhifadhi na akupe umri mrefu wenye kheir
Allahumma'Amiin!!
Maashallah allah akupe Kilauea la khera
Wallah Allah akulinde natamani kufanya hayo ila sikusoma madrasa Mimi nataabika kwa hilo
Shukrani jazzaAllah kher.
Asante Shekhe
Allah akuhifadh sijawah pata elimu hii tokea nijalie unaishia kulia tu😭😭😭
Mashallah mawaidha kimbo
Shukran jadhila
MAA SHAA ALLAH
Shukran saana
Mashaallah, shukran sheikh Allah akuhifadhi,akupe umri tuwili ulo na kheir nawewe,na barka
Mashallah!!!!!
Baaraka Allah fiik, yakhfadhuka Allah biidhni Allah inshaallah
Subhanallah wabihamdi
Mashaallah ALLAH akulipe kher
Tutajitahid kuyafanyia kazi inshaallah
ya ashekhe Allah protect you all do
Mashaallah ALLAH akulipe kheiri inshaallah