Naomba unifundishe jinsi ya kuweka effect zilie vzr kwenye vocals Zilizo rekodiwa na cubase 5 yaani vocals ziwe zinalia kama nyimbo za akina alikiba na wengine wengi kaka Mi nakukubali sana nadhani utakua umenipa utaalamu sana na sitakusahau kwa chochote kaka
Brother upo vizuri asante
@@sharkboymusictz5337 shukrani sana kiongozi kwa feedback 💯💯
Mic gani hiyo unayorekodia?? Nimependa quality yake
Hapo nilitumia Takstar boss wangu
Mimi ninatumia v8 afu nikirecord vocal inatoka na vimikwaruzo shida ni nini? hap?
Pole sana boss, tuwasiliane tujaribu kutatua tatizo: 0763312251
Naomba unifundishe jinsi ya kuweka effect zilie vzr kwenye vocals Zilizo rekodiwa na cubase 5 yaani vocals ziwe zinalia kama nyimbo za akina alikiba na wengine wengi kaka
Mi nakukubali sana nadhani utakua umenipa utaalamu sana na sitakusahau kwa chochote kaka
Sawasawa kiongozi nitaweka tutorial nyingi zaidi hapa zinahisu Mambo ya mixing
Okay kiongozi
brother nitumie namba ako
Hii hapa kiongozi, 0763312251
Naomb namb zako
Hizi hapa kiongozi, 0763312251