NASAHA NZURI: TUACHE MATUSI KWA NJIA YEYOTE ILE,,, KAMA MTU HAPENDEZEWI NA CHOCHOTE KILE BASI ANYAMAZE... TUKIFANYA HIVYO TUTAKUWA WAVUMILIVU NA MASHUJAA KTK USTAWI WA JAMII ZETU,,,, AHSANTENI
Matusi sio dawa ,au kujua sana, teteeeni hoja,sio matus ,kwani sisi ni binadam kesho haupo au Leo haupo,je M,mungu ambae nyote mkipata matatizo mnamlilia atawapokea na matusi yenu?
Wanaokushangaa ni wale walikuwa wadogo Sana wakati unaandika Makala zako. Hawajui ulikotoka. Sasa wamevunja ungo na akili imeanza kukua ndo wanajikuta wakikutilia mashaka.
Kila ukitoa clp najitahidi kukufuatilia unaongea mambo mazuri na yenye kujenga nchi yetu sasa hawa wanatuongoza yani hata hawastuki bado wanakomaaa maisha yao bila kujali wananchi wao nasi wananchi hata hatujitambui ipasavyo tunawoga wa kutoshaaa
Kosoa sana unaruhusiwa. Mbona Musiba anatukana watu hovyo. Mimi nasema kesi za kuishitaki Serekali bado ndio zimeanza na bado kesi za kumshitaki Magufuli mwenyewe. Anamlipa Musiba mamilioni atukane watu na kuwachafua huku akimfanyia kampeni. Ndege zimenunuliwa kwa fedha za watu waliofilisiwa. Kila mmoja afungue kesi popote Duniani kudai fedha zake. Musiba ni mjinga fulani tu. Bila kuacha hiyo tabia yake kesi zitajaa kote kuidai Serekali ya anayejiita Magufuli.
@@evansmlalo4049 una maana yoyote wewe katika nchi ii wewe umelaaniwa namimi sikuzote zamaisha yako apa nduniani utokuja kupata akili wewe na uzaowako milele mtakua watumwa atakizazi cha3 na cha4 kwakua unaadabu na watanzania.
Sio kujipa ukimbizi mbuzi wewe,kwani hujui Watu wnaauwawa na wengine wanapotezwa kimya kimya kwa kuikosoa Serikali?Kuna Uhuru gani Tanzania au kuna Amani ipi zaidi ya utulivu wa kinafiki tu sababu ya uoga wetu na ndio maana Umasikini umeweka Kambi hapa Nchini,Acha watu wakatafute maisha sehemu binaadam anathaminika sio Hapa Tunaishi kama misukule,
Tunamshukuru Mungu kwa ukuu wake wa kutuonyesha Leo,Sasa na hata Jana. Kesho hatuijui. Nasikitika kukusikia kwa majidai eti umepata zawadi. Je unawasaidiaje wanyonge Watanzania?.Naona maneno maneno tuweke chini ya karpeti ibaki ,HAPA NI KAZI TU.
Hata wewe Ni mshamba mkubwa zaidi na uso huruma Wala ubinaadamu, munataka kuiharibu Tanzania kuwa Ruanda . Mushindwe kabisa Mungu awalani ndio musiojulikana nyie sasa munajulikana mmoja mmoja.
Hahaha Ona sasa unavyoishi maisha ya taabu na upweke, huna rafiki huna ndugu huko huna uhuru uliodai Tanzania haikupi, matokeo yake unaishi kama bundi mwenyewe huku ukifanya kazi ya kitumwa kuihujumu taifa lako, wewe, kibendera lissu, wale makatibu wa ccm na mahaini mengine mtakufa vifo vibaya sana sababu ya kuihujumu Tanzania na chaguo la Mungu JPM, na hiyo ni bado mtapitia wakati mgumu sana sababu uhaini hauna mafao bali aibu maisha yote
Mimi nilikuwa nasoma saana makala zako tangu enzi hizo na nilizipenda kwa kudhani ulikuwa unaandika kwa kumaanisha. Nimepata mashaka kama kweli ulikuwa ukimaanisha uliyokuwa ukiyaandika baada ya ujio wa RAIS Magu. Rais JPM ameaddress mapungufu mengi saana ya serikali zilizomtangulia. Amehuisha matumaini ya wanyonge wengi saana ambao hapo awali walijua haki zinapatikana kwa wenye fedha na nafasi fulani kwenye serikali au chama tawala tu. Chini ya JPM hakuna mtu anaweza kumtishia mtanzania yeyote kwa sababu ya utajiri wake, cheo chake, au kujuana kwake na fulani. Na kiukweli waathirika wakubwa wamekuwa ni wanaCCM waliokuwa wakifaidika na mfumo uliokuwa unawapendelea na kuwapa fursa za kufisidi Nchi. Ni dhahiri kama binadamu anaweza kabisa akawa na mapungufu yake, lakini kwa mpinzani honest kabisa atakiri kuwa JPM anafanya kazi nzuri saaana kwa nchi yetu. Pengine utakaporudi utakuja kukiri utakapojionea kazi ya JPM.
MAGU ALIJUWA KULA NA VIPOFU (HAO WANAOMSIFU SIFU KAMA MAZUZU.) MNAIKUMBUKA HOTUBA YA MWAL. NYERERE YA MEI MOSI 1995 JIJINI MBEYA? KTK HOTUBA ILE ALITOA MFANO MMOJA WA TAPELI: ALISEMA ANAWEZA KUJA TAPELI, ANA ALMASI BANDIA IKO NDANI YA KICHUPA INANG'AA KAMA ALMASI HALISI NA WEWE UNAYO ALMASI HALISI LAKINI HAING'AI HALAFU TAPELI ANAKUAMBIA ALMASI YAKE NDIYO HALISI YA KWAKO NI BANDIA ANAKUAMBIA CHUKUWA YAKE UMPE YAKO NA WEWE UNAMPA YAKO HUKU UKISHANGILIA KAMA ZUZU!!! HAKIKA MFANO ULE AMBAO MIMI NAUITA UNABII WA MWAL. WA MEI MOSI 1995 ULITIMIA 2015 TUKAMPATA TAPELI!!!! NAJUWA ZUZU HAWEZI KUKUBALIANA NAMI, LAKINI NAKUHAKIKISHIA KUWA UKIFANYA JAMBO JEMA SANA LAKINI HUKU UKIKUSUDIA JAMBO OVU NDANI YAKE NI SIFURI!!! WAJINGA WENGI HUDHANI KUWA AKIDHILUMU(AKIIBA) HALAFU AKAJENGA NYUMBA YA IBADA MSIKITI AU KANISA ATAPATA DHAWABU, LAHASHA, ILA JEHANUM INAMSUBIRI KWA UWIZI WAKE!!! NI KWAMBA UKITENDA JEMA KIASI GANI KWA KUVUNJA SHERIA JAMBO HILO HUWA NI BATILI. HUYU MNAYEMSIFU KWA MAENDELEO NA KUPITIA MAENDELEO HAYO ALIJINUFAISHA BINAFSI KWA KUZITUPILIA MBALI KABISA SHERIA ZA MANUNUZI AMBAZO NI MAALUMU KUDHIBITI UBADHIRIFU!! KAMA SI ZUZU NAWEZAJE KUMSIFU MTU ANAYE JENGA DARAJA I KWA GHARAMA YA MADARAJA 2 KWA MFANO? HAPA KAZI HUYU ALISIMAMA JUKWANI NA KUTUAMBIA KUWA DUNIANI KOTE HAWANUNUI NDEGE KWA TASLIMU (CASH) YEYE ANANUNUA KWA TASLIM HOJA NI PESA IPO WAKATI HUKU MTU HUYU HUYU ANAKOPA FEDHA KWA SIRI NA HIYO ILIKUWA NDIYO SABABU YA KUTHIBITI VYOMBO VYA HABARI NCHINI ILI VISIANDIKE MAOVU YAKE KAMA HAYO!!! MSISAHAU ILI UPATE TENI PA SENTI LAZIMA UNUNUE CASH HAPA DHAHIRI KILICHOKUWA KINAKUSUDIWA NI KUJIPATIA TEN PER CENT HUKU AKIJUWA ANALIUMIZA TAIFA MASIKINI KWA MANUFAA YAKE BINAFSI LAKINI MAZUZU WALIKUWA WAMEKODOREA MACHO KASI YA MAENDELEO WAEREVU WAKISHUHUDIA KASI YA UBADHIRIFU WA KUTISHA PAMOJA NA MAISHA YA AKINA ANSIBERT NGURUMO KUWA HATARINI KWA SABABU YA KUUPIGIA KELELE UOVU WA MTU YULE TAPELI WA KUTISHA!!! OGOPA KUMPENDA MTU KULIKO MUNGU.
Kwani mataifa yanayokosoa serikali mbali mbalimbali na wakati mwingine kuwekea vikwazo wanakuaga ndani ya hizo nchi nafikiri tunaongea na wachanga sana wapiganaji wa uhuru walifanya hivo wakiwa nje ya nchi zao Samora ni mfano Mseveni pia nk nk walikuwa hapa Tanzania na kwingineko LAKINI waliweka pressure mpaka Mreno akaondoka shida ni kwamba hakuna somo la historia ya waliokomboa nchi zao ili kizazi hiki kijue tumetoka wapi tuko wapi na tunaelekea wapi ukikosolewa unajifunza unajitambua unakubali unabadilika unaleta mtazamo chanya wenye kuonyesha njia hongera kwa kuwa mvumilivu kwa kutojibu kwa matusi
Hivi Huyu mnamuelewa kweli? Eti anasema kazi yake ni kukosoa Maraisi, halafu Mbona Kama unaropoka vitu ambavyo vinatudhalilisha Kama taifa, halafu ukamwangalia kwa umakini anaonekana Kama mmbea mmbea tangu utotoni mwake, na hii itawezekana ikawa ni madhara ya mtoto kuwa karibu Sana na mama kuliko baba, mala nyingi wanakuwa na vitabia vya umbea umbea Kama Huyu mwandishi, maneno yake yanaonyesha ana tabia ya kebehi iliyopitiliza, unajua kukosoa siyo tatizo, tatizo ni namna unavyowasilisha ukosowaji katika mamlaka za juu. Ukosoaji ni lazima uendane na uungwana, staha, uzalendo na heshima Kama ilivyo desturi ya watanzania.
ukosefu wa elimu ,uwezo mdogo wa kufikili na kupambanua mambo ,uduni wa akili na I q ndogo in chanzo kikubwa cha komenti nyingi za kumpinga na kumzodoa mwandishi anayezungumza.nasikitika sana kusema kuwa watu wenye ufahamu wa panzi na wasiojua tulipo na tunapoelekea hukosoa na kukashfu watu wenye busara.
Nadhani ni vema kukosoa maoni kwa hoja badala ya matusi, tuepuke fallacy wapendwa, hoja ni je yanayosemwa na mhariri yapo na yanatokea au ameyatunga hayapo nchini hapa?!!!
Una akili hekima busara na ufahamu ukiona mtu anayetoa matusi tena machafu ujue kuanzia malezi yake ni ya kutukana vinginevyo unamjibu mtoa hoja kwa kutoa mwelekeo na kukanusha maelezo yako kwa hoja na mifano matusi hutolewa na wasioelimika
Wewe kaa huko huko usirudi tena Tz , hamna anayekuzuia kuongea pumba mdomo ni wakwako fanya unavyo tako lakini iko siku utapatikana usifikili huko uliko ni mbinguni hakufikiki mjinga mkubwa.
Hongera sana, Kazi nzuri mzee wangu🙏
Hongera sana Ansbert ngurumo. Kukuelewa wewe kunahitaji mtu mwenye afya njema ya akili.
Ongea baba
❤Saluti kijana.ndio Wajibu wa Mwana habari.Shujaa.Tupe Uelimisho wa Taamuri..
Kweli mkuu, serikari hii imejaa mavi kichwani.
Nimekuelewa sana baba
Kaka nakuelewa sana ww ni mwandishi nguli sana
Unazeeka vibaya mzee rudi nyumban uongelee huku kama kweli uko sahihi unachokifanya
Mmuue! kazi yenu
Wewe ni kamanda Kama wengine na Hawa Akili ndogo hawajitambui br
Freedom of expression
Wewe nimpumbavu midevu yako kanyoe kwanza
Mwehu tu Hao ndo viranza. Rudi bongo tukunase nyooo
😂😂😂 Anacheza cheza na laptop 3:44
Ukiona jitu lina mimvi kwenye ndevu basi pana mashaka kichwani
NASAHA NZURI: TUACHE MATUSI KWA NJIA YEYOTE ILE,,, KAMA MTU HAPENDEZEWI NA CHOCHOTE KILE BASI ANYAMAZE... TUKIFANYA HIVYO TUTAKUWA WAVUMILIVU NA MASHUJAA KTK USTAWI WA JAMII ZETU,,,, AHSANTENI
Huyu ni zwazwa kipofu
Matusi sio dawa ,au kujua sana, teteeeni hoja,sio matus ,kwani sisi ni binadam kesho haupo au Leo haupo,je M,mungu ambae nyote mkipata matatizo mnamlilia atawapokea na matusi yenu?
Ndio ujue uwezo wa kufikiri kwa vijana wengi ni mdogo sana, low IQ, wanakurupuka hovyo!
@@barikiwa22 sawa kbs barikiwa mihemko inatuponza sana vijana
Alafu baada ya kumskiliza kwa utulivu ili kuchambua mambo wajue kwa kina wao kulupu matusi
Nakubali
Wanaokushangaa ni wale walikuwa wadogo Sana wakati unaandika Makala zako. Hawajui ulikotoka. Sasa wamevunja ungo na akili imeanza kukua ndo wanajikuta wakikutilia mashaka.
Ni kweli.
MPISHE JPM AFANYE KAZI YAKE, MPUMBAVU WEEE
Mjinga ni zefa 👹👺
@@margaretwambete1228 andika jina lako vizuri
Asimsifia mkuu basi huyo si mzalendo acheni uzwazwa
Bwana Ngurumo maana ya ushamba maana yake ni nini?
Akili Mali serekali inakosolea nyinyi wajinga njaa kali mnamtukana huyu jamaa dah nayeye ndo anaetutetea wanyonge
Hovyooooooo kibaraka weye
We pia mshamba.
Pumbavu ss huku tuko busy na JPM , we endelea tu kutumika, bila tija na mabeberu
Mtaongea itafika hatua mtanyamaza tu😯😯
Msengerema anapojifanya mnyamongo .....hahahaaaaa
Matusi in kipimo cha kufirisika akiri kizazi hiki kinataka majibu na usuruhishi
Wewe HUWA unapoongea huongo wakupasua NCHI kumbe ni Wewe
Wala you don't hve points!
Wewe mjanja njoo tz uoupara utachemka
Mbona yupo kama shoga fulani hivi.
Salehe Stambul Anaonekana kama mtu anayefirwa firwa na mabeberu.
Nimeishia kucheka tuuuuuuu!!!Wabongo wameelimika wanataka Maendeleo Awataki porojo.Ahahahahahahaha kazi ipo.
Bigup
Nadhani kwa sasa wewe unaongoza kwenye upumbavu.
Nilitegemea unashauri kumbe wewe unaharibu pole sana na utabaki kuishi utumwani miaka yako yote.
Kila ukitoa clp najitahidi kukufuatilia unaongea mambo mazuri na yenye kujenga nchi yetu sasa hawa wanatuongoza yani hata hawastuki bado wanakomaaa maisha yao bila kujali wananchi wao nasi wananchi hata hatujitambui ipasavyo tunawoga wa kutoshaaa
Wewe ni mtumwa mbwa wa wazungu huko 😎😎
kama anachotenda magu ni chema, kwa nin mkasirike. alafu kuikosoa serikar sio uhain. wala kuichukia serkal sio uhain, uhain ni kuliftn taifa lako
mkia hautikis ng'ombe
Wewe jinga tu moja huna kazi za kufanya
Hakuna ushamba ujibu tu,, swali liko vizuri sanaaa
Limejibiwa. Hukusikia?
@@AnsbertNgurumo limejibiwa kwa nongwa sana,, haikuwa sawa kuanza kulifikiria kwa kulibeza na kusema la karne ya ngapi huko,,
Wewe ongea tuu mdomo siwakwako ataulipii kodi wala uweki luku
Kosoa sana unaruhusiwa. Mbona Musiba anatukana watu hovyo. Mimi nasema kesi za kuishitaki Serekali bado ndio zimeanza na bado kesi za kumshitaki Magufuli mwenyewe. Anamlipa Musiba mamilioni atukane watu na kuwachafua huku akimfanyia kampeni. Ndege zimenunuliwa kwa fedha za watu waliofilisiwa. Kila mmoja afungue kesi popote Duniani kudai fedha zake. Musiba ni mjinga fulani tu. Bila kuacha hiyo tabia yake kesi zitajaa kote kuidai Serekali ya anayejiita Magufuli.
@@evansmlalo4049 una maana yoyote wewe katika nchi ii wewe umelaaniwa namimi sikuzote zamaisha yako apa nduniani utokuja kupata akili wewe na uzaowako milele mtakua watumwa atakizazi cha3 na cha4 kwakua unaadabu na watanzania.
@@evansmlalo4049 ,, Musiba amemtukana nani bro,, !!?
Huyu bwana hawezi kurudi kwani amejipa ukimbizi kwa visingizio vya kisiasa kwamba serikali itamuua. Kwa hiyo hii ndiyo biashara yake kutukana
Sio kujipa ukimbizi mbuzi wewe,kwani hujui Watu wnaauwawa na wengine wanapotezwa kimya kimya kwa kuikosoa Serikali?Kuna Uhuru gani Tanzania au kuna Amani ipi zaidi ya utulivu wa kinafiki tu sababu ya uoga wetu na ndio maana Umasikini umeweka Kambi hapa Nchini,Acha watu wakatafute maisha sehemu binaadam anathaminika sio Hapa Tunaishi kama misukule,
Kwa hiyo ulitaka Abakie Tanzania ili afe??Kuna Mitaahira kibao hii nchi
vipi familiya yako umehama nayo ama umeitelekeza,,, brother kuwa na aibu ughaibuni siyo peponi. ulaya wamechoshwa na wakimbizi like You
Huna lolote mpumbafu na ndevu zako njoo sasa fanya kazi acha mzee awanyoshe wanao mnyoshea kidole huna lolo Njoo nchi uongee hizo pumba zako mtuwa we
Wewe Huna akiri kukosoa kila kitu.
Yupo sahihi but wewe kwakuwa unafirwa huwez kujua anachosema ngurumo
WEWE MCHOZI LAKINI UZURI SASA HIVI SERIKALI YA MAGUFURI INACHAPA KAZI TU HAINA POROJOPOROJO MLIZOZIZOEA. Mshamba mwenyewe
Anae kuzomea uyo atazomewa na ulimwengu
Washamba na niwajinga wa karne ya kumi na nane
Ningeshangaa kama WATU kama wewe wangekosekana katika jamii mpo lkn mwisho ubaya in AIBU tu!
Tunamshukuru Mungu kwa ukuu wake wa kutuonyesha Leo,Sasa na hata Jana. Kesho hatuijui. Nasikitika kukusikia kwa majidai eti umepata zawadi. Je unawasaidiaje wanyonge Watanzania?.Naona maneno maneno tuweke chini ya karpeti ibaki ,HAPA NI KAZI TU.
Hivi unyonge wa Watanzania upo wapi? Nani Mwasisi wa huo unyonge?
Mkataa kwao ni utumwa...unaenda kujigamba ugenini duuuuhhh....mimi ni mwana technology njoo TZ weka rejeo tushiriki na kufahamiana kiujuzi...Acha acha kufurahia kudhalilika!!!!"Njoo tuandikie makala Coco beach acha uhewa ankali"
rudi nyumbani kumenoga bro.
Good msema kweli hapendwi sema yaukweli usiweke yauongo mungu yu nyuma yako
Mshamba mwenyewe shoga wew hata ukirejea tz ufunuliwe uchunguzwe kijeshi
Gilberth Ndakidemi .Wewe ni mkubwa wa hao Mashoga.
Hata wewe Ni mshamba mkubwa zaidi na uso huruma Wala ubinaadamu, munataka kuiharibu Tanzania kuwa Ruanda . Mushindwe kabisa Mungu awalani ndio musiojulikana nyie sasa munajulikana mmoja mmoja.
Ww mwandish uchwara njoo uone tunavyolisongesha nyani jike ww
Waandishi asilimia kubwa nimapandikizi
una ongea pumba tu brother
Sawa tu. Hata pumba zina faida kwa wenye akili wanaojua jinsi ya kuzitumia.
@@AnsbertNgurumousibishane na watoa matusi jibu wanaokokosoa kwa hoja
Wewe nimpuuzi hufai
Pumbu mtu mzima ovyo ujinga na uzee ndio tatizo lako
Huyu yopo sahihi but wewe kwakuwa unafirwa ndomana huna uwezo wakufikiri
I love Tz..umekosa radhi yawazazi wako ndio maana umekua chizi
Nadhani sipendi kukusikiliza tena
Huna lolote
Kama hakuna mtu wa kukuzuia, njoo useme huku,,,,,!!!!!
Unagongwa wewe
@@malingazeboss9351 wewe unafirwa!!
Hahaha Ona sasa unavyoishi maisha ya taabu na upweke, huna rafiki huna ndugu huko huna uhuru uliodai Tanzania haikupi, matokeo yake unaishi kama bundi mwenyewe huku ukifanya kazi ya kitumwa kuihujumu taifa lako, wewe, kibendera lissu, wale makatibu wa ccm na mahaini mengine mtakufa vifo vibaya sana sababu ya kuihujumu Tanzania na chaguo la Mungu JPM, na hiyo ni bado mtapitia wakati mgumu sana sababu uhaini hauna mafao bali aibu maisha yote
Mshamba huyu!!!!
Huyu Yuko sahihi bahna but tunatakiwa kujua serikari ya tz niyakishamba haiwezekani ufanye unavyotaka wakati katiba ipo
Cjakuelewa lkn mzee .... Swali umejibu wapi Sasa...
Swali la kwanza la kuuliza ni: kwa nini mtu yupo nje ya nchi. Si kwa sababu serikali imemkosea?
Umesha sema upo nnje sasa ya ndani yanakuhusu nini?matako wewe nyie ndio munaetusabishia ss tuzidi kuminywa.
Mimi nilikuwa nasoma saana makala zako tangu enzi hizo na nilizipenda kwa kudhani ulikuwa unaandika kwa kumaanisha. Nimepata mashaka kama kweli ulikuwa ukimaanisha uliyokuwa ukiyaandika baada ya ujio wa RAIS Magu.
Rais JPM ameaddress mapungufu mengi saana ya serikali zilizomtangulia. Amehuisha matumaini ya wanyonge wengi saana ambao hapo awali walijua haki zinapatikana kwa wenye fedha na nafasi fulani kwenye serikali au chama tawala tu.
Chini ya JPM hakuna mtu anaweza kumtishia mtanzania yeyote kwa sababu ya utajiri wake, cheo chake, au kujuana kwake na fulani.
Na kiukweli waathirika wakubwa wamekuwa ni wanaCCM waliokuwa wakifaidika na mfumo uliokuwa unawapendelea na kuwapa fursa za kufisidi Nchi.
Ni dhahiri kama binadamu anaweza kabisa akawa na mapungufu yake, lakini kwa mpinzani honest kabisa atakiri kuwa JPM anafanya kazi nzuri saaana kwa nchi yetu.
Pengine utakaporudi utakuja kukiri utakapojionea kazi ya JPM.
Anthony Nsojo Huyo msaliti na mwizi hawezi akarudi TZ. Akithubutu kurudi tu atawekewa bangili mikononi na kusukumwa ndani. Usishangae!
Demokrasia,mauaji ya kiholela,utawala bora n.k??????
Uhai wa mtu unadhamana kubwa sana kuliko mibarabara yenu na vidaraja vyenu
MAGU ALIJUWA KULA NA VIPOFU (HAO WANAOMSIFU SIFU KAMA MAZUZU.) MNAIKUMBUKA HOTUBA YA MWAL. NYERERE YA MEI MOSI 1995 JIJINI MBEYA? KTK HOTUBA ILE ALITOA MFANO MMOJA WA TAPELI: ALISEMA ANAWEZA KUJA TAPELI, ANA ALMASI BANDIA IKO NDANI YA KICHUPA INANG'AA KAMA ALMASI HALISI NA WEWE UNAYO ALMASI HALISI LAKINI HAING'AI HALAFU TAPELI ANAKUAMBIA ALMASI YAKE NDIYO HALISI YA KWAKO NI BANDIA ANAKUAMBIA CHUKUWA YAKE UMPE YAKO NA WEWE UNAMPA YAKO HUKU UKISHANGILIA KAMA ZUZU!!! HAKIKA MFANO ULE AMBAO MIMI NAUITA UNABII WA MWAL. WA MEI MOSI 1995 ULITIMIA 2015 TUKAMPATA TAPELI!!!! NAJUWA ZUZU HAWEZI KUKUBALIANA NAMI, LAKINI NAKUHAKIKISHIA KUWA UKIFANYA JAMBO JEMA SANA LAKINI HUKU UKIKUSUDIA JAMBO OVU NDANI YAKE NI SIFURI!!! WAJINGA WENGI HUDHANI KUWA AKIDHILUMU(AKIIBA) HALAFU AKAJENGA NYUMBA YA IBADA MSIKITI AU KANISA ATAPATA DHAWABU, LAHASHA, ILA JEHANUM INAMSUBIRI KWA UWIZI WAKE!!! NI KWAMBA UKITENDA JEMA KIASI GANI KWA KUVUNJA SHERIA JAMBO HILO HUWA NI BATILI. HUYU MNAYEMSIFU KWA MAENDELEO NA KUPITIA MAENDELEO HAYO ALIJINUFAISHA BINAFSI KWA KUZITUPILIA MBALI KABISA SHERIA ZA MANUNUZI AMBAZO NI MAALUMU KUDHIBITI UBADHIRIFU!! KAMA SI ZUZU NAWEZAJE KUMSIFU MTU ANAYE JENGA DARAJA I KWA GHARAMA YA MADARAJA 2 KWA MFANO? HAPA KAZI HUYU ALISIMAMA JUKWANI NA KUTUAMBIA KUWA DUNIANI KOTE HAWANUNUI NDEGE KWA TASLIMU (CASH) YEYE ANANUNUA KWA TASLIM HOJA NI PESA IPO WAKATI HUKU MTU HUYU HUYU ANAKOPA FEDHA KWA SIRI NA HIYO ILIKUWA NDIYO SABABU YA KUTHIBITI VYOMBO VYA HABARI NCHINI ILI VISIANDIKE MAOVU YAKE KAMA HAYO!!! MSISAHAU ILI UPATE TENI PA SENTI LAZIMA UNUNUE CASH HAPA DHAHIRI KILICHOKUWA KINAKUSUDIWA NI KUJIPATIA TEN PER CENT HUKU AKIJUWA ANALIUMIZA TAIFA MASIKINI KWA MANUFAA YAKE BINAFSI LAKINI MAZUZU WALIKUWA WAMEKODOREA MACHO KASI YA MAENDELEO WAEREVU WAKISHUHUDIA KASI YA UBADHIRIFU WA KUTISHA PAMOJA NA MAISHA YA AKINA ANSIBERT NGURUMO KUWA HATARINI KWA SABABU YA KUUPIGIA KELELE UOVU WA MTU YULE TAPELI WA KUTISHA!!! OGOPA KUMPENDA MTU KULIKO MUNGU.
Senge hili zee mxuiiiiiiiii
🤔🤔🤔kwani hili ndo nani tena Jamaniii mbona silijui
Wewemissmwauluway kwamba huyu mwamba humjui, basi hata UCHI wako huuju Shenzi Pumbavu Kabisa!
KWELI KABISA NDG YANGU.
Huna maneno kafiee mbele pumbavu
Fala we. Miaka 20 Kama mtz ulikuwa wap? Ovyoooo....
Pumbavu zako mbwa Koko CCM jiwe kwani lazima awe kwenye praise and worship team ya jiwe!km umechukia it's simple meza tikiti maji.
MAKUFULI HUYO NDIO ANAVYO FUNGA FUNGA
Kwani ulizuiliwa kukosoa ukiwa huku we mpumbavu?
Wewe ni mnafiki na wazungu wameshachoka wakimbizi kwenye nchi zao ipo siku utarudishwa!
kweli mshamba ni wewe;njoo tukuchague wewe bac fara wewe;unasaidia nini?
We ni kibaraka tu huna lolote
😏😏
Ukisoma comments hizi,utajua Tanzania hii ya sasa co ya kale.wala hatukusikiiiiiiiii
Nazipenda kama nini! Endeleni kushindilia. Ongezeni matusi. Nayo sehemu ya uhuru wa kujieleza tunayotetea, na kila mtu hufanana na kile kinachomtoka.
Sema humsikii usisemee mwingine
Bro ayo unayosema ni zilipendwa si zama hizi za mjomba Magu!!
Proud of you gentleman!
mzee jibu swali kwa nini unakosoa serekali ukiwa mbali?
Hukusikia jibu? Sikiliza.
Kwani mataifa yanayokosoa serikali mbali mbalimbali na wakati mwingine kuwekea vikwazo wanakuaga ndani ya hizo nchi nafikiri tunaongea na wachanga sana wapiganaji wa uhuru walifanya hivo wakiwa nje ya nchi zao Samora ni mfano Mseveni pia nk nk walikuwa hapa Tanzania na kwingineko LAKINI waliweka pressure mpaka Mreno akaondoka shida ni kwamba hakuna somo la historia ya waliokomboa nchi zao ili kizazi hiki kijue tumetoka wapi tuko wapi na tunaelekea wapi ukikosolewa unajifunza unajitambua unakubali unabadilika unaleta mtazamo chanya wenye kuonyesha njia hongera kwa kuwa mvumilivu kwa kutojibu kwa matusi
Hivi Huyu mnamuelewa kweli? Eti anasema kazi yake ni kukosoa Maraisi, halafu Mbona Kama unaropoka vitu ambavyo vinatudhalilisha Kama taifa, halafu ukamwangalia kwa umakini anaonekana Kama mmbea mmbea tangu utotoni mwake, na hii itawezekana ikawa ni madhara ya mtoto kuwa karibu Sana na mama kuliko baba, mala nyingi wanakuwa na vitabia vya umbea umbea Kama Huyu mwandishi, maneno yake yanaonyesha ana tabia ya kebehi iliyopitiliza, unajua kukosoa siyo tatizo, tatizo ni namna unavyowasilisha ukosowaji katika mamlaka za juu. Ukosoaji ni lazima uendane na uungwana, staha, uzalendo na heshima Kama ilivyo desturi ya watanzania.
Huyu hafai kwa lolote kwa nchi kama Tanzania na huko alipo analipwa na waajiri wake
TUNAKUSHANGAA SAANA MJINGA MWENYEWE
the most hopeless creature.mnayoyakusudia hamtafanikiwa.mlikwishashindwa kabla hamjaanza.wakala wa wasioitakia mema Tanzania.aibuuuuu.
Safi Dana ngurumo
Watu.wanapiga.kuranje.nimwandishi.gani.aibu
wanao kushanga ni wenye akili si wajinga tuko poa
ill.litakua.shoga
ukosefu wa elimu ,uwezo mdogo wa kufikili na kupambanua mambo ,uduni wa akili na I q ndogo in chanzo kikubwa cha komenti nyingi za kumpinga na kumzodoa mwandishi anayezungumza.nasikitika sana kusema kuwa watu wenye ufahamu wa panzi na wasiojua tulipo na tunapoelekea hukosoa na kukashfu watu wenye busara.
Ww kaa hukohuko paka shume. Ww ni kibaraka wa mabeberu.
Kama kweli.wewe umekwenda jando na unajiamini rudi hapa tz tuone jeuri.yako
Nadhani ni vema kukosoa maoni kwa hoja badala ya matusi, tuepuke fallacy wapendwa, hoja ni je yanayosemwa na mhariri yapo na yanatokea au ameyatunga hayapo nchini hapa?!!!
Una akili hekima busara na ufahamu ukiona mtu anayetoa matusi tena machafu ujue kuanzia malezi yake ni ya kutukana vinginevyo unamjibu mtoa hoja kwa kutoa mwelekeo na kukanusha maelezo yako kwa hoja na mifano matusi hutolewa na wasioelimika
Kaombewe mwehu wewe , kakosoe mkeo , kwanza were si mzalendo, nyoaa midevuuu
Wee kichwa Aise rudi bongo basi uendeleze kukosoa. Tuna kutamani ile mbaya 💪
Wewe kaa huko huko usirudi tena Tz , hamna anayekuzuia kuongea pumba mdomo ni wakwako fanya unavyo tako lakini iko siku utapatikana usifikili huko uliko ni mbinguni hakufikiki mjinga mkubwa.
Nice comments I liked it !Mr. Eric .
Hili jamaa ni zero brain
Kumbe kukosoa nako ni kazi? Duuuhhhh tafuta kazi nyingine kaka sisi tuache tuchape kazi uungwana ni vitendo
Hakuna swali la kijinga bali kuna majibu ya kijinga. Unapaswa kujibu Kwa hekima siyo kutukana.
Wewe ndo mshanba mpumbafu, kibaraka mkubwa,na huko hawa jamaa inaelekea wanakuzodoa
Waekewa tunakuelewa sana!! Washamba na mafara ndo wanashangili upuuzi!! Hata nyerer angekuwepo asingechekelea ujinga ktk uongoz was nchi!!!
RAPHAEL SAMWEL mwambie akutafutie basha huko alipo ili umfuate na wewe