Ushauri wangu kwa Rais Samia: Kuwa kama Mandela, usigombe 2025
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- Badala ya kugombea madaraka na wenzake, Samia ajikite katika kuwaunganisha. Awajengee utaratibu wa kudumu wa kuongoza nchi. Asimamie mchakato wa katiba mpya ili kuweka misingi thabiti ya uongozi kwa miaka 100 ijayo. Aige mfano wa Nelson Mandela abaye alitawala kipindi kimoja, akajenga misingi, akastaafu.
hongera ngurumo Sasa nimewaeleweni sana mwenda zake aliwahi kuongea kabla ya kuwa waziri kwamba akipata uraisi watu watalima kwa kutumia meno du!!
Mungu.akubaliki.sana.manenoyenye hekima..amina.amina.
Big up Ndg Ngurumo,uko vizuri na sahihi mno .busara tupu.
Unachokoza fikra za watawala na watawaliwa.
Afrika Kusini umefika wapi wewe?
Makaburu wametajirika, weusi wanazidi kuwa maskini. Mandela kawauza watu weusi kwao.
Wafrika tatizo letu niuvivu pamoja na uchoyo fitinaubinafusi ndiyosuma yamaendeleo yetu ss wafrika!!!!
@@josephmakutano7067 Afadhali uvivu kuliko woga
✌🏿💯
Ukitaka kujua watanzania wenzetu katika coment utagundua wengine ni misukule au watu walio kufa na kubakiza miilitu lakini sio binadamu labda kwa ufupi niwaite ccm mizimu kwani Azimo akili timamu anae hongea ni mtu wa kujitambua na nimsomi kinaibuka kikologosi kinapinga mawazo kwa matusi
TAHADHARI:Kwa waelewa tu.Kama huelewi usiandike comment yako hapa🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hizi ni mada nzito kwa wenye akili kiduchu
kama huelewi tulia tu kuliko kukoment upumbabu na ujuba.
Kwanini asigombee unataka wewe urais?kwa uwezo wa m.mungu atagombea na m.mungu atamsaidia atapatakura za kishindo kikubwa
Sawa. Ukikua utaelewa.
NI vigumu MUNGU kumsaidia MTU ambaye watu Wanamshauri Kwa Nia njema atambue uzito WA kuongoza. Sioni ubaya wake Ila lawama zimekuwa nyingi mno
Wewe kaa huko uolewe vizuri kama umeshapata mme.
nimekugundua unaunafiki moyoni
Wewe ni CHAWA
Hapa ni shule ya WANAOELEWA wasioelewa UTAWAONA kwenye comment
Mi ningemshauri ashupalie ghafla katiba bora na tume huru ya uchaguzi,hivyo vitamumfanya awe malkia wa nchi
Mbona huyu baba yupo sawa
Absoluty true
Acha ccm iendelee kutawala, Chadema mtatusumbua, wabunge wenu waasi wametudhihirishia kuwa wanachokipigania wanasiasa wengi ni matumbo yao tu. Hakuna mkweli kati wapinzani na watawala, wote mtazamo wenu ni moja mnatofautiana lugha tu.
Samahani jitambue kuwa wewe IQ yako ni 0%
kuna machawa wa kiafrika kumbe ni chawa wa wazungu