Matatizo tumeumbiwa binadamu, mda mwingine wengi ukata tamaa kabisa kwa fikra za kwamba wao ndio wenye manyanyaso na mateso tu. Karibu usikilize simulizi Hii upate kujifunza
Simulizi nzuri sanaaa!❤ pia inasikitisha..😢 Anko j naipenda sauti yako,👌🏻 unasimulia vizuri! Mimi mshabik wako kutoka Zanzibar..👍🏻😉 tuko pamoja Sanaaa!!
Siku zoote binadamu ndiyo wanaoturudisha nyuma kimaisha kumuomba mungu na yatapita 🥰🥰🥰🥰
Mjinga eti nilimwacha mtoto mchanga pekeake lo
Inatufundisha usimtendee mwenzako mabaya.hujui wewe mungu amekupangia nn baadae.tuweni makini na mioyo yetu
We ukiamua kufanya uovu wako Mungu anakuvutia pumzi muda mrefu ili utubu,na ukizidi tu bila kubadilika,hicho kipigo utakachopewa utajua hujui
Simulizi nzuri sanaaa!❤ pia inasikitisha..😢 Anko j naipenda sauti yako,👌🏻 unasimulia vizuri! Mimi mshabik wako kutoka Zanzibar..👍🏻😉 tuko pamoja Sanaaa!!
maripo ni hapa hapa dunia mbinguni ni maesabu tuu tupendane sana Sisi binadamu km mungu wetu anavyoo tupenda sisi ❤
Simulizi nzuri lakini inasikitisha kujua binadamu tuna roho ngumu sana
Mateso ya mwenye haki ni mengi lakin Bwana humwokoa katika yote
Flora amepitia mengi tena nimvumilivu sana na ana moyo, mungu pia hakumuacha
Hakika msaada wa wanadamu ni Mungu peke yake
Hongera xna kaka nimejifunza kitu
Mungu ndiye mtetezi wawenye shida (maana wanadamu wanafurahia kuteseka kwa wengine ( Mateso ya mwenye haki ni mengi lakini Bwana humuponya nahayo yote
Hi Anko Jay? asante Mungu akuzidie hafya Jemma Anko Jay tuna ❣️
Anko jay wake weweeee Sasa hivi ni bandika nandua uwiiiii ,❤️❤️❤️❤️❤️
Mim binafsi napenda simulizi zako anko j na tena hua najifunza mambo mengi. Mungu akubariki! Kenya
Nimefika Wa kwanza Leo hureee always waiting for notification❤❤❤lots of love from kenya
Haya maisha haya Mungu atutie nguvu kwel ila yote yanawezekan
😢😢😢😢😢 ilabina damu si tunalohoo mbaya sana pole sana dada
Pole sana mpendwa
Heee mtihan kwa kweli jmn watu wana roho ngumu