Jamani nyie amjamaliza tu? Njooni huku tulalamike watupe ata moja ya usiku tuone kama tutaota ndoto nzuri sio kwakurudia marudio huku acha nisonge na chizi fresh kwa raha zangu
Huuuum. Ohhhh l had seen this Simulizi so many days ago, but I didn't want to listen to this story because of the name of this story but today it have teach me so many things that I will never ever forget in my life. Thank you so much Musimuliaji huuuum.
Anko Jay wewe msai kweli kweli umeamua rehema wa tanga ndo ni pesa wewe anko mapesa mmbaya sawa lakini ndo maamuzi yako tuko poa na yote unayopangia pamoja twakupenda ivyo ivyo tena sana daima mungu akubariki sana
Sasa wewe unasema unampenda anko jay uku unataka kamseleleko utaki kumuungisha Sasa unampenda nini Kama anko jay aingizii pesaa au ndio ushabiki maandazii utaki maendeleo ya anko jay unataka vya bulee 😂😂😂hii ni biashara kwaiyo lazima ifanyikee kwa vyovyote
Hope this massage will reach to all wababaz ambao wanatabia ya kuoa wasichana wachanga na ilhali wako wanarika wao ambao wanaweza kuzeeshana huko mbele ya safari,, shukran mr Jay i really appreciate your job
jaman wanawake ujinga tuachen mtu kama humpend unamuacha sio kumchanganya baba namtoto uwii umeponzwa mtoto , baba mtumzima kajisitiri akutunze ili ukue half unajiigiza kweny wizi wamapenz bora ugehama nyumbn jaman
Hii ni FULL yani MWANZO MWISHO, hii HAINA PART 2
Hhhhhhhhhhh apo sawa ww ngoja coment za kisifiwa
Jamani nyie amjamaliza tu? Njooni huku tulalamike watupe ata moja ya usiku tuone kama tutaota ndoto nzuri sio kwakurudia marudio huku acha nisonge na chizi fresh kwa raha zangu
Ank me naitaka rehema wa tanga part 2 nailipiaje Ili niipate
@@leahmajaliwa6575 hhhhhhhhhh
Ankojay vip mbona hivo
hadi na lia jamn ananikumbucha babangu leo iyi niko ya tima wa baba na ichi kwa chida 😭😭
Pole mrembo usiishi kwa shida sisi tupo nduguzako 😊❤
Huuuum. Ohhhh l had seen this Simulizi so many days ago, but I didn't want to listen to this story because of the name of this story but today it have teach me so many things that I will never ever forget in my life. Thank you so much Musimuliaji huuuum.
CcC
Asante sana ankojay . Mkasa huu una fundisho kubwa sana
Asante sana ankojay simulizi tamu lakini sisi wanawake tupunguze ujinga jamani
Asante mr anko jay kwasimulizi nzuri nayenye mafunzo amakweli laana nimbaya
Shukran sana Anko jay Kwa simuliza mzuri kweli kabisa laana hipo kweli nimejifunza sana
Shatani Hana baba Hana mama yeye ni muhuwaji na ni mwezi hanaarembu watu wa mungu pole Sana kaka
Baba Anko J, asante kwa kuachilia similizi hii imetufunza mengi peace ✌️
Ahsante sana Anko jay 😊😊 kwa kibao kimpya naenjoy mwenyewe
Kwa kweli hii simulizi inaniuma sana hasa mauaji ya wale watoto watatu na mama yao. Asante Anko J .
Anti J nawakilisha 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂😂😂
Anko Jay wewe msai kweli kweli umeamua rehema wa tanga ndo ni pesa wewe anko mapesa mmbaya sawa lakini ndo maamuzi yako tuko poa na yote unayopangia pamoja twakupenda ivyo ivyo tena sana daima mungu akubariki sana
Sasa wewe unasema unampenda anko jay uku unataka kamseleleko utaki kumuungisha Sasa unampenda nini Kama anko jay aingizii pesaa au ndio ushabiki maandazii utaki maendeleo ya anko jay unataka vya bulee 😂😂😂hii ni biashara kwaiyo lazima ifanyikee kwa vyovyote
Bora umenena
Mmmh kweliii uyoo mama dah ni atri ila kaka uko n simulizi nzuriii jmniiii dahhhhh
Hongera anko, I've been following your work back to back. Nairobi we love you.
Nime jifunza sana
Asanti sana sana kwa hii simulizi.lasna ni mbaya sana.
ahsante sana anko jay allah afanye wepes inshaallah uzid tuletelea vitu vizur zaid❤❤❤
Ankojay kweli nimepatafunzo kupitia iyisimulizi imenifunza kilasik kuogopa wazazi😭😭😭😭😭
Mhuu mke wa baba tena hay 😊😊😊asant ankojay
asatesana anko tumejufuza mabomegikwegnye hi simulizi yako nizuri 1:56:59 sana mungu akubariki sana kwasimulizi zuri 🙏🙏🙏🥰🥰
Duh hakik malipo nihapa hapa dunian Aya asant anko jey kwa hii simulizi kiukweli nimejifunza jmn 🙏🙏
Hii dunia Ina mambo mengi sana Mungu utusamehe na utujalie mwisho mwema
Simulizi tamu sana mke wa mtu sumu Waaah nimekupata jay
Kwa mara ya kwanza nijifunza kua mke wa m2 sumuuuu nikomaaaaaa
Hivi kweli kabisa meshaki anapoteza mguu na mkono
Daah pole san😢hata kama amefanya makosa ila alikua hatakiw afanyiwe hivyo unyama huo
Makubuwa jamani mateso bila chuki nice story
Hope this massage will reach to all wababaz ambao wanatabia ya kuoa wasichana wachanga na ilhali wako wanarika wao ambao wanaweza kuzeeshana huko mbele ya safari,, shukran mr Jay i really appreciate your job
🇦🇪🇦🇪🥰
Pole sana ndugu umeyapitia sana
Ok.asante kaka mzuri
Nice story kama iyi kitendo inamfukiya mtu yeyote kupendwa na ndugu ama mm ni vizuri kweka ayo wazi si kuweka siri
Lo! Kwa kweli dunia n mapito,,,
Nimesikiliza simulizi nyingi lakin hii imenigusa sana nyie Dunia inafunza kumbe dhambi inalipwa hapahapa kule Kwa Mungu ni hesabu tyu
Asante ni nzuri Kisha inatupa funzo
Aaaa Leo Mimi wa kwanza🪑🪑🪑🎧🎧🎧🇸🇦🇸🇦
BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER...INTERESTING STORY ANKO JAY
Ankojay hii simulizi ya tisha naina majonzi ukijiweka kwa viatu za huyu boy. Ina mafundisho eti malipo ni hapa hapa. Tenda mema siku zote 🇰🇪
😢😢😢imesikitisha sana wamelipa makosa na wasiokua na hatia masikini
Jomn meshaki pole 😢kwa changamoto
Mke wa baba ana nini tena haya twende kazi
Hakika hii simuliz imenifundisha anko j mungu akulinde
Jamani hii simulizi imeniliza mpaka nimechoka duuuh hii dunia kweli haina huruma
Huyo ndo mwanamke bhan akilitaka kitu halishindwi
Uzinzi ni kama ulevi kweli
Leo nimewaiii ,😂😂😂😂😂aaaaaah weee rahaaa
Ahsante Anko Jay ❣️🙏
Tunashukur broo Jana tumekoma mpaka basi
Thanks you Ankojay 😢😢😢
Kwa Kweli ankojey unatukwaza Bana Alvulisa kaishia wapi?
Kazi zuri mke wa baba kafanyaje 😂😂😂
🤣🤣🤣 endelea kusikiliza mambo 🔥🔥🔥🔥🔥 🔥🔥
Ukistaajabu ya REHEMA WA TANGA utayaona ya MESHACK😂😂😂😅
Mtoto mnafki wewe 😂😂😂😂 unang'ata na kupuliza....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣👆👆👆
@@ankojay_ niacheni mie😂😂
🤣🤣🤣🤣
Kwakweli 😅😅
Hiyokali huyomwanamke alikua hanahuruma😢😢😢😢😢😢
Ss jamaniiii uyo mama wa kambo kafanya nn tena
Pole sana weinaima inaliza😢
Hiii simulizi imenigusa sana😢😭😭😭😭😭
Daaaaaaah inauma sana jmn😢😢😢😢
Leo wakwanza wanafamilia comment zenu nazisubili Asante Anko jay 🔥🔥
Hongera zako nakupa zawadi
Uncle J inasikitisha ukovizuriiii
Kumekuchaaa❤
Dah Meshark bora ungekazsnia tu kuhama
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 Asante anko jey
Jmn hii simulizi yauzunisha 😢😢😢😢
Welcome back 🙏
Duh Maskini Meshark
Mke wa baba ako kakuponza
Malipo apa apa dunian jmn!!! Akhera esabu tuu
Asante kwa story anko😍😍😍
Kumbe upo
@@AbduhKareem-hi7sg nipo
@@LoveKanuya-mv2iw nimekuona kwa mbali
@@AbduhKareem-hi7sg ety ehee
@@LoveKanuya-mv2iw yeah
Shukurani sana ankojay ❤❤❤❤
Dah imeniuma😢
Mhmm,jamani,kama ni malipo yamezidi kiwango,hata kama ni dhambi hayo malipizi yamezidi kiwango
Sawa Anko asante😊
Asanteee saaana anko j kwa mafuzo
Nimechelewa kidogo Anko ila usiwaze tuko pamoja
Kabisaa malipo ni hapa duniani
Wa kwanza mie
Subhanallhah dah Meshark
Pole,sana😢
Aki mimi sitawai kuwa wa kwanza 😢but nimewai 😅siezi angusha Anko J
Wawoooooo❤❤❤❤❤
jaman wanawake ujinga tuachen mtu kama humpend unamuacha sio kumchanganya baba namtoto uwii umeponzwa mtoto , baba mtumzima kajisitiri akutunze ili ukue half unajiigiza kweny wizi wamapenz bora ugehama nyumbn jaman
Nmekuw wa kwanz😚😚
Yani uncle umetubania kabisa rehema sio...
Good job Ankojay ❤
Duu inaumiza sana
Bora ungerudi tu kwa babakama ni adhabu ajupe yeye
Ni bora kuliko huo ulemavu uliopta Meshark
Wa kwanza leo
Ako kama alijuwa Maana siwezi kupika simulizi pembeni 😘😘😘😘😘😁😁😁😁
Kumbe tu wengi jmn 😅😅me siku WI-FI imeisha huwa naumwa kwakukosa simulizi za Akoj
Hiyo ndiyo laana yenyewe hiyo
Lazlma Meshark
Anko J thanks alot 🙏🥰🥰🥰 🇰🇪🇰🇪
❤❤❤❤❤❤❤
Japo imeniliza jamani
Tusikize mama wa kambo
Hewaaa nishapitwa tayari😂😂
Laana huenda kwa vizazi na vizazi
Anko jay malizia rehema wa tanga
Nenda kwa baba kamuombe radhi hata akikushikia kisu usiogope nenda tu
Mwiba wajujitakia huo wala pole hauna
Kwani mechelewa jamani kuolewa na mume mwenye watoto wa kubwa tena wakiume mtihani huu 🤣🤣🤣
Kwanza nicheke afu sehemu yapili utubanie😂😂
Hiyo ni Full Mwanzo Mwisho, Haina part 2
One love ❤
Pole sana
Thanks Sana ankojay stroy Ni tamu