Huyu Juli jamani,kaaa anaweza hata kuua, yani ni mzushi mwongo mchonganishi wivu umemzidi, mie ndugu zangu wapo hivyo,na ilinichukua muda mrefu sana kuwajua, walifanikiwa kuniharibia hasa kwa watu walio muhimu kwangu mmoja wapo akiwa mama yangu mzazi, lakini walichosahau ni kuwepo kwa Mungu anayeona na kusikia kila kitu, nashukuru sana ukweli ulikuja KUWA wazi, tena wala sikutumia nguvu kujitetea, maana nilifanya hivyo wakati wa mwanzoni, lakini sikuaminika, basi niliumia hadi nikajizoelea nikajitenga nao wote hadi mama, nikahama mkoa nikaenda kwa baba mdogo, cha ajabu wakapeleleza wakajua nilipo huko nako wakaja wakaniharibia, walikuwa hodari wa kutunga uwongo unaofanana na ukweli, walisababisha nikapigana 👊 na mke wa baba mdogo, ikabidi niondoke nihamie kwa dada wa jirani yetu ambaye ameolewa huko Tanga ,sikuwa hata nimemzoea alipokuja kuwatembelea wazazi wake nikamsalimia nikamsadia kushusha mizawadi aliyowaletea familia yake,akanichangamkia sana,akanikaribisha huko Tanga siku alipokuwa anarudi kwake nikatumia fursa hiyo nikamwambia nikipata nauli, baadaye kama miezi mitatu ikapita akatuma nauli, sikuaga mtu ,hapo nimenyanyasika sana maana nilirudigi nyumbani baada ya kupigana na mamdogo.MUNGU huyu maisha yalibadilika nilipofika Tanga tulipendana sana na mwenyeji wangu nilikaa miaka 6 BILA kuwasiliana na ndugu zangu,japo nilikuwa namkumbuka sana mama nilimpenda, habari zao nilizopata sababu ni jirani, niishie hapa nina mengi sana,niliondoka umri 17 nikaja wasalimia umri 23 nimependeza hatari, mama alinikumbatia tulilia sana sikuwaambia kabisa nilipokuwa.Nawale ndugu zangu wakijulikana yote walizusha, mama amerithisha nyumba yake,japo naishi mkoa mwingine.Ndiyo maana namkubali Lissa Mwalla utunzi wake ni maisha halisi,na msimuliaji sauti yake inanifanya nifurahie simulizi sana tu NINA MAISHA YA KURIDHISHA ndg bado hawakomi , lakini hawanipi shida,wananitamani lakini nimewawekea mipaka tunawasiliana kwa CM,sasa hivi huko wanawekana vikao kila mwezi kuchambana,mie kila mmoja ananishtakia kueleza ubaya wa mwenzake,nawajibu SALINI SANA YATAISHA 🙅
Jitie moyo mwaya na pia kuwa mtu wa maombi sana maana mungu hamwachi mja wake na kitu kingine wapende wala usiwaonyeshe una kinyongo nao bali usitake mazoea nao mie pia ninayo yaliyo nisibu hapo awali ila namshukuru mungu kwa kumtumainia leo hii nifikapo nyumbani kila mmoja anataka anione wanangu pia ni wtt wapendwa kwa Bibi yao hivyo dear kazana na sala na utapata majibu Mungu wetu sio wa ubaguzi,,,japo ya kwangu sio ya kushare mapenzi Na ndugu ni dharau tu za kawaida
@@Pretty22750 Mwaya wee unafikiri hata nikushea mapenzi kumchukua darling no bali ni mambo haswaa, ndo maana simulizi ambazo mwanzo mwisho majonzi zikubali kivilee nakumbuka mateso niliyopitia, yani MUNGU NI MWAMINIFU SANA wakati napitia nilitamani hata nife, nikanakwamba sikuwa naona mbele yaani kila nikitizama ni giza tu sioni pakutokea, hata sielewi yalianza vp kwisha kumbe yalikuwa magumu ya muda tu, kama machozi yangekuwa yanafaa kukinga katika ndoo mmm loo, sijui niieleze vp mie, sasa maisha yangu burudani, hahaha ha hehehe nacheka mno ninaamani, japo katika mfumo huu huwezi furahi kila siku, lakini furaha kwangu imezidi kuliko kusononeka ,hapa najitizama kioo hakinidanganyi niwe mkweli najitambua, Hakuna mtu ambaye akiniona akaacha geuka si wanawake si wanaume tena warika tofauti, niko vizuri mno ,nikipita mahali nikiona wananitizama sanaaaaaa nafanya makusudi kama Dr Mayra wa simulizi ,wakidata najichekea mwenyewe, nimejifunza RAHA JIPE MWENYE, jamani natizimwa mie, laiti nisingejitambua mapema duu ,sidanganyiki kamwe
@@sarahsamson9362 Sarah Samson usijali kabisa yanakwishaga mbona,utaipata amani yako siku moja Sali MUDA mwingi, pia usikazie fkra sana matatizo mwachie Mungu amini anaona hata visivyo onekana kwa macho,pia ukiomba kumbuka kushukuru hata kwa uhai, hata ingawa bado tatizo lako bado kwisha,nakama sala itachelewa kujibiwa sala upate nguvu za kuvumilia 🤲🙏
Top twenty ila anko nisem Asante San nimejifunz mengi San San Mungu akubariki San mm saiv Kila nachokipitia kweny maisha yang naon kawaidaaaa kutokan n simuliz zenuuu thanks much anko
Waaah kumbe kweli kila mtu anamapito yake tofauti na ya wengine hakika kazi duniani ipo tena yenye haihitaji usaini cheti wala leseni ila MUNGU atuwezeshe kuishinda yote kila wakati
Ahsante dear Lissa na Mr Jay tuna enjoy pia kujifunza mengi Mungu awaongeze maarifa Zaidi,,,eee na bora Jay umeitisha chai maana sio kwa kupiga miayo huko 😂😂😂😂
Kuna watu waongo sana, et wamemaliza hii simulizi, wanataka part 2 😂😂
Hahaha yaani Anko Jay huamini kuna watu wamemaliza part 1😂😂 mimi hapa nshaamaliza tupe part 2 pllllz
Khaa anko mda watu tumesha maliza hhhhhh
Tumemaliza bhn anko jey sasa bila kufika mwishi unajuaje kua Ina part 2 jmn 😂😂
Tumemaliza bhn anko jey sasa bila kufika mwishi unajuaje kua Ina part 2 jmn 😂😂
Mm hpa nimemaliza 😋😋🥰 nataka part 2 Anko
Daa Lisa na anko napenda Sana kazi yenu❤❤❤
Wa kwanza mimi
I like how Anko shower praises on himself...his voice make me shrrrrrrriiiii.waiting for part two
Huyu Juli jamani,kaaa anaweza hata kuua, yani ni mzushi mwongo mchonganishi wivu umemzidi, mie ndugu zangu wapo hivyo,na ilinichukua muda mrefu sana kuwajua, walifanikiwa kuniharibia hasa kwa watu walio muhimu kwangu mmoja wapo akiwa mama yangu mzazi, lakini walichosahau ni kuwepo kwa Mungu anayeona na kusikia kila kitu, nashukuru sana ukweli ulikuja KUWA wazi, tena wala sikutumia nguvu kujitetea, maana nilifanya hivyo wakati wa mwanzoni, lakini sikuaminika, basi niliumia hadi nikajizoelea nikajitenga nao wote hadi mama, nikahama mkoa nikaenda kwa baba mdogo, cha ajabu wakapeleleza wakajua nilipo huko nako wakaja wakaniharibia, walikuwa hodari wa kutunga uwongo unaofanana na ukweli, walisababisha nikapigana 👊 na mke wa baba mdogo, ikabidi niondoke nihamie kwa dada wa jirani yetu ambaye ameolewa huko Tanga ,sikuwa hata nimemzoea alipokuja kuwatembelea wazazi wake nikamsalimia nikamsadia kushusha mizawadi aliyowaletea familia yake,akanichangamkia sana,akanikaribisha huko Tanga siku alipokuwa anarudi kwake nikatumia fursa hiyo nikamwambia nikipata nauli, baadaye kama miezi mitatu ikapita akatuma nauli, sikuaga mtu ,hapo nimenyanyasika sana maana nilirudigi nyumbani baada ya kupigana na mamdogo.MUNGU huyu maisha yalibadilika nilipofika Tanga tulipendana sana na mwenyeji wangu nilikaa miaka 6 BILA kuwasiliana na ndugu zangu,japo nilikuwa namkumbuka sana mama nilimpenda, habari zao nilizopata sababu ni jirani, niishie hapa nina mengi sana,niliondoka umri 17 nikaja wasalimia umri 23 nimependeza hatari, mama alinikumbatia tulilia sana sikuwaambia kabisa nilipokuwa.Nawale ndugu zangu wakijulikana yote walizusha, mama amerithisha nyumba yake,japo naishi mkoa mwingine.Ndiyo maana namkubali Lissa Mwalla utunzi wake ni maisha halisi,na msimuliaji sauti yake inanifanya nifurahie simulizi sana tu NINA MAISHA YA KURIDHISHA ndg bado hawakomi , lakini hawanipi shida,wananitamani lakini nimewawekea mipaka tunawasiliana kwa CM,sasa hivi huko wanawekana vikao kila mwezi kuchambana,mie kila mmoja ananishtakia kueleza ubaya wa mwenzake,nawajibu SALINI SANA YATAISHA 🙅
Inasisimua hii...🤔
Jitie moyo mwaya na pia kuwa mtu wa maombi sana maana mungu hamwachi mja wake na kitu kingine wapende wala usiwaonyeshe una kinyongo nao bali usitake mazoea nao mie pia ninayo yaliyo nisibu hapo awali ila namshukuru mungu kwa kumtumainia leo hii nifikapo nyumbani kila mmoja anataka anione wanangu pia ni wtt wapendwa kwa Bibi yao hivyo dear kazana na sala na utapata majibu Mungu wetu sio wa ubaguzi,,,japo ya kwangu sio ya kushare mapenzi Na ndugu ni dharau tu za kawaida
Yani ww umenisemea mm 😢kabisa 😢😢😢ila namshukuru Mungu
@@Pretty22750 Mwaya wee unafikiri hata nikushea mapenzi kumchukua darling no bali ni mambo haswaa, ndo maana simulizi ambazo mwanzo mwisho majonzi zikubali kivilee nakumbuka mateso niliyopitia, yani MUNGU NI MWAMINIFU SANA wakati napitia nilitamani hata nife, nikanakwamba sikuwa naona mbele yaani kila nikitizama ni giza tu sioni pakutokea, hata sielewi yalianza vp kwisha kumbe yalikuwa magumu ya muda tu, kama machozi yangekuwa yanafaa kukinga katika ndoo mmm loo, sijui niieleze vp mie, sasa maisha yangu burudani, hahaha ha hehehe nacheka mno ninaamani, japo katika mfumo huu huwezi furahi kila siku, lakini furaha kwangu imezidi kuliko kusononeka ,hapa najitizama kioo hakinidanganyi niwe mkweli najitambua, Hakuna mtu ambaye akiniona akaacha geuka si wanawake si wanaume tena warika tofauti, niko vizuri mno ,nikipita mahali nikiona wananitizama sanaaaaaa nafanya makusudi kama Dr Mayra wa simulizi ,wakidata najichekea mwenyewe, nimejifunza RAHA JIPE MWENYE, jamani natizimwa mie, laiti nisingejitambua mapema duu ,sidanganyiki kamwe
@@sarahsamson9362 Sarah Samson usijali kabisa yanakwishaga mbona,utaipata amani yako siku moja Sali MUDA mwingi, pia usikazie fkra sana matatizo mwachie Mungu amini anaona hata visivyo onekana kwa macho,pia ukiomba kumbuka kushukuru hata kwa uhai, hata ingawa bado tatizo lako bado kwisha,nakama sala itachelewa kujibiwa sala upate nguvu za kuvumilia 🤲🙏
Tusikilize kwanza rehema kafanyaje hongera ankojay na Lissa kazi nzuri kweli
Thank you so much 😊
Napendaga anko akisimulia huku akicheka 😂 just love him❤
😊😊😍😍 Thank Youuu
Top twenty ila anko nisem Asante San nimejifunz mengi San San Mungu akubariki San mm saiv Kila nachokipitia kweny maisha yang naon kawaidaaaa kutokan n simuliz zenuuu thanks much anko
Thank you so much 😊
Jaman anko letaaaa uvumilivu umenishindaa keaho nj mbalo
Anko jay tume injoi kwa iyisimuliz tam tunayisubili kwahamu muenderey
Keep it up ankol j,unanitowaga stress za hawa warabu
Ur welcome 😊
Jaman anko j unasauti nzur na unapenda kujisifia jaman
Nikiwa na my boo akawa na sauti Kama ya ankojay nitaringa sana
Jmn simulizi zuri uncle jei 🎉🎉❤❤😊😅
Ieo my first frm dubai
Woow inabamba, sauti poa, imaburudisha, tune nayo iko woow
Weee😂😂😂 anko jay unavojua kusimulia ss ❤❤
Thank youuu😊😊😊
Leta mwendelezoo
Napenda sana story zako ankoj zanifunza mengi sana
Wooow nimekuwa wa kwanza leo ❤❤
Anko jay ❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥 tunaisubiri sana hiyo party 2
Napenda ako anavyo sema subscribe basiii oooh 🤩 ❤
Napenda ukisimlia ukiwa unacheka❤️❤️💞💞
Anko Jey mimi na wewe bega kwa bega mpaka kieleweke ❤
Ankojay asante sana kwa simulizi hii tamu kweli kweli ❤
Ivi anko unaugomvi gani na wanaume wanene alafu anauliza ume enjoy hhhhhh h nimejikuta nimecheka kwa sauti
😂😂😂😂😂
Jmniiii last born ss tuacheniii tu tupendwe na bab zetuuu
Leo wa kwanza 🤣🤣🤣🤣 Asnte Anko J 😅🤣❤️💕
🎉🎉🎉😂😂 Saaaafi
@@ankojay_ ankojay naomba link ya WhatsApp
nashukuru kwa simulizi zenye. mafunzo na mazingatio!
Asante sana.kwasimulizi nzuli
Tunakupenda sana
From🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Kujifia tu ankoj❤❤
SOMO yangu kafanyaje tenaa😂😂😂REHEMA❤
😅😅😅 kaharibu huku
Ank naitaka hii part 2 nailipiaje jomon😂😂
😂😂😂😂😂
Wow kitu kipya ❣️❣️
Yeeeeaaah😊
Asante sana Anko jay kwa kazi nzuri ❤❤❤❤❤❤
Lete mzigo anko jay simulizi tamuu
Ahsante sana
Amazing Ankojay 🎉🎉🎉❤❤❤
Ankojay mwendelezo uwe leo
Jamani Ankoj anapenda jisifiya uyoo 😀😀😀😀😀😀nisifiye namimi kidogo basi Amina
Shukran sanaa brother god bless you
Anko jay unanifurahisha
Salute sana Lisa and Jay much love ❤❤
Pamoja san Anko jay
Asante anko
Dah nilikuwa nasubiria kwa hamu
Tuletee tumemaliza tayar😊
Nzuri sana lna mafunzo Asante Anko J na Lissa Mwala tuharakishie na 2
Anko jay nakupenda😂❤Njoo nkupe simuliz yngu unisomee pekeangu
Nacho mpendeya anko jy asunili kusifiwa anajisifu mwenyew 🤣🤣🤣❤❤❤❤
Ayiii waoooo kitu na box sante ankjay na lissa akee❤❤
Nakupenda sn anclejy mungu azidishe kipaji chako
Watu wa Tanga oyeeee
Margaret saudi Arabia napenda sana simulizi ❤anko Jay
Muendelezo anko Jay love you ❤❤❤
Ewaaah
Wow wow Anko jay???????
Mh
Waaah kumbe kweli kila mtu anamapito yake tofauti na ya wengine hakika kazi duniani ipo tena yenye haihitaji usaini cheti wala leseni ila MUNGU atuwezeshe kuishinda yote kila wakati
Pat2 jaman
Mmmhhhh Mimi pia nimemaliza Asante Lisa
Anko Jay uongo mbaya kwa kweli nakupenda please 🙏 hivi umeoa😢
Anko j unavituko sana daaa nakupenda buree❤❤❤❤
Me naenjoy voice yako anko j❤️❤️❤️🙏🙏🙏
Tulikumisi sana madame Lissa Asante Kwa kitu kipya musimuliaji wetu Sasa bomba 🤣🤣🤣
Anko j leta nyengine please 🥺🥺
Sauti yako anko daaaaaa na enjoy sauti tuuu
Ankojay 🔥🔥🙋mbarikiwe na Lissa Mwala
😂😂😂 eti mechi yajana ulionaje 😂😂😂
Lete party two 😂❤
Leo mdogo wangu rehema ngoja tumskie Ana nini? ❤Ankojay
Ahsante dear Lissa na Mr Jay tuna enjoy pia kujifunza mengi Mungu awaongeze maarifa Zaidi,,,eee na bora Jay umeitisha chai maana sio kwa kupiga miayo huko 😂😂😂😂
Rehema vumiliya hiyo mechi ukichoka kanyanga 🏃🏃🏃🏃😂😂😂😂 vumiliya kamududu
We kungwi weeeeee😚😚😚😚
Ank mm kitakubania kama unavyonibania
Vikopaaa❤
Thanks jay..so satisfying
Thank you too
@@ankojay_ tunangoja mwendelezoo
Ank hii part 2 ntaipataje
Asante sana Ankojay
Fantastic 💯
Mashaallah broo
Matangazo yamekua mengi sanaa
AMAZING STORY ANKO JAY
😊😊😊😊
Jamn ningekua me rehema niaingeweza yaan at bab angesemaj ningerud kwetu jamn maisha ay
Ahsante anko jay tuna enjoy na simulizi zako tamu sanaa 😂😂
Ahsante sana
Twakupenda bure❤❤❤❤ Anko J Kenya Nairobi napenda kazi yako nzuri be blessed
Safi sana peninah
Yan ni 🔥🤭😂🤣 asante Anko Jay 🙏
Tuleteee part two
Asante nimekaribia twende nalo Anko J
Ankojey yaonyesha umchoka sna jm unapiga miayo mpka bc 😆😆😆😃
Ni tamu sana!!!!ila anko j uko mwisho hatari kaaa 😂😂😂😂
Kwer tena ank mass mawiri so meng 2na kusubiri wew 2 uret pat2
Nime wahi kabisa❤❤
anko jay i salute u im from kenya mombasa twakubali kazi yako God bless ur job
Thank you so much 😊🎉
Tuletee part 2 Anko jay❤
Jmn ndugu hawa bac tu❤❤
Anko jay ivikukupenda wewe ni shingapiiii jamani 😂😂 mie nakupenda to much yani nyang'anyang'a❤️❤️
😂😂😂😂😂
Tupe part two please
Anko Jay masifa😂😂😂😂nakupenda bure mwanangu. Kongole pamoja na Lisa Mwala. Part 2 usicheleweshe tafadhali ❤❤❤
Ankojay asante kwa simulizi zuri 😊😅
Ankoj plz part 2 🥰🥰🥰🥰🥰
Nakupenda Ankojay simulizi zako huwa na mafunzo mengi, I will continue supporting you😍😍😍
Thank you so much 😊
@@ankojay_ Asante Ankojay nakupenda Bure❤️❤️
@@ankojay_ unasauti nzuri sana
Eeei watu mko rada 😂😂
Anko j😄 rehema wajina wanguu😄😄😄😄
Amazing story
Watu wanakoment wa kwanz wakat hat simliz hawajaisikiliza guys jmn 😂😂😂😂
Part 2 jamani ankojay 😊
Anko unasimulia vzr💥🔥🔥
Ahsante sana 🙏😊
Ila ndung Wana bowa sana kaaah