KUTOKA KUA BANKER BONGO MPAKA KUFANYA KAZI ZA USAFI ULAYA NILICHEKWA| NILIKOSA VISA MARA 4

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 278

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +23

    Hi wapendwa. Link hio hapo ya fursa Germany.
    IB Freiwilligendienste Stuttgart
    +49 711 8494780
    g.co/kgs/QNu3oe
    www.bundesfreiwilligendienst.de/servicemenue/kontakt.html
    www.freunde-waldorf.de
    Apply, like and subscribe.

    • @anastaziamagoma3813
      @anastaziamagoma3813 ปีที่แล้ว

      Hello da wity
      Nmekuwa interested lkn hii link ipo in Germany nashindwa kuelewa help me please😔

    • @CarolineSimon-zz5ed
      @CarolineSimon-zz5ed ปีที่แล้ว

      Da witty haiwezekani kubadilisha lugha hapa ukisha fungua link

    • @GQTVONLINE
      @GQTVONLINE ปีที่แล้ว +1

      Sister mdogo wako ni Commis Chef

    • @SalomeKhalfani-cm9xy
      @SalomeKhalfani-cm9xy ปีที่แล้ว

      Dada habari hii namba Iko wasp

    • @SalomeKhalfani-cm9xy
      @SalomeKhalfani-cm9xy ปีที่แล้ว

      Habari dada hii no Iko wasp

  • @immaculateakilimali7220
    @immaculateakilimali7220 ปีที่แล้ว +12

    Wabongo kwa kujua kukatisha watu tamaa tu hawajambo,huyu dada yuko kama mimi huwa sisikilizagi watu nafuata ninachokihitaji mimi na kumuomba Mungu.Watz niwafundishe kitu ukiwa na jambo lako usipende kusikiliza watu wenye kukukatisha tamaa hata siku moja ni wewe na Mungu wako.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +1

      I couldn't have said better that this. Asante

    • @Mazoea
      @Mazoea ปีที่แล้ว +1

      Yes wabongo Wana roho mbaya sana roho za kwanini

    • @marywaithera3130
      @marywaithera3130 11 หลายเดือนก่อน

      Forexapol kama usoma secondary school unaweza apply kwenda kusoma kama any country in Europe

  • @MissKaliz
    @MissKaliz ปีที่แล้ว +5

    Very powerful video 😍, Hakuna kukata tamaa na kuomba Mungu aku jalie baraka yako “ kutamani njia ya Mwingine kiatu chake uta kiweza ?”.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Swali zuri mwenzangu.Hua mara nyingi tuna tamani raha zao tu sio shida zao. Thanks for watching

    • @SalomeKhalfani-cm9xy
      @SalomeKhalfani-cm9xy ปีที่แล้ว

      Hakuna mtu anaweza Vaa kiatu chamtu kwani mungu ameweka njia yakila mmoja wapwendwa Chamsingi ni kuombeana tuu na kutakiana mema nawapenda

  • @patrickjulius5951
    @patrickjulius5951 ปีที่แล้ว +2

    Habari zenu port Elizabeth south Africa.

  • @piusfelis8549
    @piusfelis8549 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hellow,, nimefurahiii kuona post yako ya kinijin kwetu mwayaya jaman hongeraaa saaana,, nakupenda pia nitakufatiliaa sana

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  7 หลายเดือนก่อน

      Aw nashukuru sana sana

  • @HamadHuseni-dq2bp
    @HamadHuseni-dq2bp ปีที่แล้ว +5

    Dada mungu akubariki sana kuna vitu unatufungua akili ila naomba unijuze kuhusu viza ya canada na garama zake kama utakua unazijua dada angu samahani

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Nashukuru. Hapana sijui

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 ปีที่แล้ว +2

    Moja ya vitu vzuri sasa iv mnafanya ni kuwa wawaz kuwafungulia watu wengine njia Mungu awabariki sana

  • @rosiehayatta2619
    @rosiehayatta2619 6 หลายเดือนก่อน

    Am watching from TZ. Good evening

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 ปีที่แล้ว +5

    Yaani wity hii video nimeipenda sana nilikua naangalia huku nadeki mala napika ilimradi tu nasikiliza madini😂

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +1

      Kweli Nice umeipenda. Asante kww kuangalia. Ilikua ndefu hakika

    • @kesiathuman9779
      @kesiathuman9779 ปีที่แล้ว

      Huwa hawajui kama sisindio tunawaweka

  • @flaziaisack4038
    @flaziaisack4038 ปีที่แล้ว +4

    Huyu dada Oliver ameongea vizuri.. Hongera Witness kwa kazi nzuri, keep it up😍

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Asante sana Flazia kwa feeback

  • @JanethGodwin-ey7je
    @JanethGodwin-ey7je 4 หลายเดือนก่อน

    Love you endlea na hyo Moyo utafika mbali utabarikiwa

  • @JaniferMichael
    @JaniferMichael ปีที่แล้ว +1

    Habari nipo usa

  • @hellenwoiso9952
    @hellenwoiso9952 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana nimekupenda bure wewe ni mpambanaji

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  11 หลายเดือนก่อน

      Haswaa yani

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +5

    Kaongea mambo mengi ya ukweli kabisa. Interview ilikuwa nzuri sana.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +1

      Asante sana dear

    • @salhamvungi1744
      @salhamvungi1744 ปีที่แล้ว +1

      Mtaniii😅 Amemaliza kila kitu
      Tunakushuru Sanaa kwa mafunzo❤

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +2

      @salhamvungi1744 🙏🏾🙌🏾

  • @irinefrank3114
    @irinefrank3114 11 หลายเดือนก่อน

    Hiy am Sonia from Tanzania your doing great

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  11 หลายเดือนก่อน

      Thank you Sonia🫶🏾

  • @gsurasa6366
    @gsurasa6366 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana

  • @Irenemazoya8877
    @Irenemazoya8877 ปีที่แล้ว +3

    Namkumbuka Olivia alinifungulia account za watoto wangu DTB bank mbezi beach kwa zena huyu Olivia ni mtu Poa sana ana smile all the time ❤️

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Wow wow! I am happy to read this.
      She is amazing

    • @FettyCoca-nb4gh
      @FettyCoca-nb4gh 11 หลายเดือนก่อน

      Na mimi nahitaji inakuwaje sasa

  • @sarah-hy7gz
    @sarah-hy7gz ปีที่แล้ว +1

    Dar yn mungu anisaidie yan najua kusuka najua kufuma najua kupika

  • @neemanyove9130
    @neemanyove9130 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda Witness unatufanya tunajua vitu vingi ubarikiwe sana sana hujui tu ni watu wangapi unawasaidia ❤

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +1

      Asante sana Neema. Nakupenda pia
      Asante kwa sapoti

    • @sarah-hy7gz
      @sarah-hy7gz ปีที่แล้ว

      Nimefurah Sana Dada witness

    • @sarah-hy7gz
      @sarah-hy7gz ปีที่แล้ว

      Najua kusuka najua kupika najua kushona najua kufuma asee nikija huko asee me nivery mchanga

  • @halibinvestment3463
    @halibinvestment3463 ปีที่แล้ว +1

    Straight from Tz

  • @rjmussa8895
    @rjmussa8895 ปีที่แล้ว +1

    Habar

  • @sarahkalinga2522
    @sarahkalinga2522 5 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda sana kipindi

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  5 หลายเดือนก่อน

      Nashukuru sana kwa mrejesho

  • @kaupigwe
    @kaupigwe 7 หลายเดือนก่อน +1

    US kabla mama hajatoka hospital mmemaliza kabisa. So day 2,3,4 done.

  • @OdingaJackson
    @OdingaJackson ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana mrembo

  • @leilaassey1726
    @leilaassey1726 ปีที่แล้ว +1

    Afadhali maana na mimi nimeomba viza ya Danmark imekuwa rejected hapa naenda kujaribu kenya nikikosa nntatumia njia thanks witnes unatupa madini mungu akubariki

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Oh pole sana Leila. I am glad umepata kitu

    • @leilaassey1726
      @leilaassey1726 ปีที่แล้ว

      @@Witnessvlog kabisa mungu akubariki

  • @MichaelSandanda
    @MichaelSandanda ปีที่แล้ว +4

    God bless you witness
    but my comment is that
    "MARCO 9:23 "

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +3

      Jesus said to him, “If[a] you can believe, all things are possible to him who believes.”
      A powerful verse. Thank you

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 ปีที่แล้ว +2

    Mm nasoma zangu kijerumani mungu akijalia nitafika na mm ulaya

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Way to go🙌🏾🫶🏾

    • @anosisyembwele3530
      @anosisyembwele3530 11 หลายเดือนก่อน

      Samahani naweza kupata email yako ndugu , ili kupata taarifa zaidi kuhusu kusoma kijerumani
      Niko interested na hii lugha

    • @getrudarichard
      @getrudarichard 5 หลายเดือนก่อน

      Hello Naomba mawasiliano yako sorry na je ulifankiwa kumalza kusoma kgermany

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  5 หลายเดือนก่อน

      Nendeni Goethe institute iko dar kwa maelezo zaidi kuhusu kijerumani

  • @upendokihunrwa3427
    @upendokihunrwa3427 11 หลายเดือนก่อน +1

    Duh leo ndo nimemaliza video nimeangalia three days kila nikitoka kazini ❤❤ I love your videos wtny...nimecheka kwenye malezi yaani nawaza mama zetu yale malez ya ukali nikimwambiaga mamangu sheria za huku anasema weee mi unanidanganya 😂😂anasema mtoto hawez nishtaki 😂 hapo kweny kutahiri ata Africa kuna nchi hawatahiri uuuwi wanaacha hivyo hivyo 😂😂😂😂mi naogopa kabisa culture za watu bhana ni balaa......

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  11 หลายเดือนก่อน

      Hongera kwa kumaliza kwakweli. 🤣🤣🤣yes nizakuheshimu

  • @YumnaBurhan-ls2un
    @YumnaBurhan-ls2un 11 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @Gannaartist
    @Gannaartist ปีที่แล้ว +2

    Oliva nimekuelewa vizuri sana, kweli hakuna kukata tamaa kwenye kutimiza ndoto za malengo uliyojiwekea. Nimejifunza kitu kikubwa sana.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      💪🏾💪🏾💪🏾 Exactly

    • @SalomeKhalfani-cm9xy
      @SalomeKhalfani-cm9xy ปีที่แล้ว

      @@Witnessvlog mie nimekupenda my unatujibu ujumbe zetu sio kama wengine sitaki kuwa sema

  • @upendokihunrwa3427
    @upendokihunrwa3427 11 หลายเดือนก่อน +1

    Happ kwa mbwa is a family member hata huku US mi kwanza nimekoma siwez kula kwa mtu mweny mbwa kwanza nlivyo na kiichef chef haswa nikiwa period ntatapika mpaka nilazwe 🤣🤣

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  11 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣

  • @luckysodube7443
    @luckysodube7443 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana dada witness.. samahani hvi kuja USA ni lazima uwe umesema mpaka kidato cha ngapi maana mimi natamani kufika huko lakini sina Elimu naomba unijuze inawezekana??

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +2

      Inategeamana unataka kwenda USA kwa staili gani. Kama umeoa/ kuolewa huitaji elimu . Tembelea chanel ya EBM swahili kujifunza zaidi

    • @luckysodube7443
      @luckysodube7443 ปีที่แล้ว

      Aah! Ahsante sana dada mfano kama mimi nataka nije huko niwe Track driver

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +1

      @luckysodube7443 Sijui kuhusu hilo. Endelea kuangalia videos

    • @luckysodube7443
      @luckysodube7443 ปีที่แล้ว

      Sawa dada

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 9 หลายเดือนก่อน

    Jamani eeeeh mbona mambo varse versa hivyo,mimi nikajua kutahiri imetoka huko kwa wazungu😮 eeeh endeleni kutupa elimu

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy ปีที่แล้ว +1

    Abarikiwe mno dada hiyo

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 ปีที่แล้ว +1

    Umesema sawa kabisa dear, kutahiri huku Europe hawataki, sasa ole wako uende na mtoto
    bongo likizo umtahiri ukirudi mna kesi ,mana si mtaenda tu clinic, hospitali, shuleni wanaenda swimming ,sauna wanachunguliana huko ,utashtakiwa mchana kweupe.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Happ kwenye kuchunguliana bado sijazoea kwakweli😂😂😂

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 9 หลายเดือนก่อน

    Hapana jamani shoga jamani muombeni Mungu apijisheni mbali mbali naombeni muombeni Mungu jamani

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂Pengine uongo unasaidia

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 9 หลายเดือนก่อน

  • @mishigwan6598
    @mishigwan6598 ปีที่แล้ว +1

    @Witnessblog Umenichekesha Eti Mbwa Wa Bongo Wameteseka🤣🤣🤣🤣🤣

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 9 หลายเดือนก่อน

    Mm si kwamba na sema nini hata nyumbani kwetu baba yangu ilikuwa lazima tupikie mbwa chakula tena cha nyama

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  9 หลายเดือนก่อน

      Nyie mlitisha sana

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 ปีที่แล้ว +2

    Kweli sisi ni wavivu kusoma mzungu kasema basi mungu hacha tabia hii.utaingia choo kike

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Kabisa yani hatupendiii . Yani tuna chakujifunza

  • @Mamabrie111
    @Mamabrie111 ปีที่แล้ว +2

    nakufuatilia kutoka màfinga Tz. stori zako ni nzuri sana. zinatutoa tongotongo

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Mepakumbuka Mafinga. Nashukuru sana ndugu yangu kwa mrejesho

    • @sarah-hy7gz
      @sarah-hy7gz ปีที่แล้ว

      Mafinga nimesoma huko ase baridi

    • @Mamabrie111
      @Mamabrie111 ปีที่แล้ว

      @@sarah-hy7gz ulisoma wapi ndugu?. Mimi nilisoma chuo huku na ajira nikajapangiwa huku baridi ni Kali sana.

    • @hellenkiselema
      @hellenkiselema 10 หลายเดือนก่อน +1

      Wape hai hukoo hm

    • @charlesmwajeka7698
      @charlesmwajeka7698 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mafinga ,karibu block j

  • @jafarikilima368
    @jafarikilima368 ปีที่แล้ว +1

    Dada mcheshi sana nimempenda sana.hana Chanel TV?

  • @sarah-hy7gz
    @sarah-hy7gz ปีที่แล้ว +1

    Upo sahihi kabisa hakuna kitukigumu km ukose visa asee huwa nachanganyikiwa yn niliachwa na ndege yan mara mbili

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      I know😫😫. Mara 2 weee! pole

    • @sarah-hy7gz
      @sarah-hy7gz ปีที่แล้ว

      Yn acha tu lkn mungu alinisaidia

  • @allymohd5855
    @allymohd5855 9 หลายเดือนก่อน

    Dada vipind vyk vinakuw lini na lini natk nikufatilie live napnd san unach kifny

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  9 หลายเดือนก่อน

      Habari ally. Sina ratiba maalumu. Nikushauri uturn on notification ili usipitwe

  • @MdYeasin-xx1gm
    @MdYeasin-xx1gm 7 หลายเดือนก่อน

    pamoja sana

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  7 หลายเดือนก่อน

      Shukrani sana

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf 11 หลายเดือนก่อน +1

    Bint yangu anapenda kuja ulaya lakini anashindwa aanze na kipi kati ya passport na visa

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  11 หลายเดือนก่อน

      Angalia video hii inamaelezo ya swali lako
      th-cam.com/video/rckEpKtkLP0/w-d-xo.htmlsi=5Qy0rXq4cCPiRmzA

    • @soleotanzania2015
      @soleotanzania2015 11 หลายเดือนก่อน

      Passport ni ya kwanza Viza zinafuata baadaye

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 ปีที่แล้ว +1

    😊

  • @JaniferMichael
    @JaniferMichael 11 หลายเดือนก่อน +1

    Akizaliwa tuu unapopewa ruhusuwa kutoka hospital basi anafanyiwa suna

    • @Sophia-b3k
      @Sophia-b3k 11 หลายเดือนก่อน

      Iam from Kenya

  • @sarah-hy7gz
    @sarah-hy7gz ปีที่แล้ว +1

    Yn huyu nimimi. Kabisa

  • @BINTIwaKITANGA
    @BINTIwaKITANGA ปีที่แล้ว +2

    Nawapata kutoka oman 🥰 dah! Hizi kazi za ndani zina pesa nonoo😋mie nipo omani nalipwa rial 120 karibu tz sh laki 6± sijapiga hesabu hizo ni makadirio tu ila huku michosho sana waarabu 😢najikaza tu ila 🤲nina mpango wa kuja huko hasa Denmark nipige kazi kwa masaa huku tunachokaa japo pesa nzuri weeh😢

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Asante sana kwa feedback. Pole mama piga kazi na dreams do come true

    • @BINTIwaKITANGA
      @BINTIwaKITANGA ปีที่แล้ว

      @@Witnessvlog amiin 😍

    • @NeemRamadhani-j8h
      @NeemRamadhani-j8h 8 หลายเดือนก่อน

      Pole, pia hongera sana, natamani kuja uko kufanya KAZI ila nakosa namna naomba unisaidie na mm jamani.

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 ปีที่แล้ว +2

    Nimempentaaaa anastory hadi raha😂❤

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Sana yani🙌🏾🫶🏾

    • @nicekweba9920
      @nicekweba9920 ปีที่แล้ว

      Nimeenjoy kumsikiliza kwakweli

  • @JanethGodwin-ey7je
    @JanethGodwin-ey7je 4 หลายเดือนก่อน

    Dada nimekupenda unasema kweli wewe sio muchoyo

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  4 หลายเดือนก่อน

      Thank you for watching🥰

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 9 หลายเดือนก่อน

    Samahani jamani na Germany 🇩🇪 wanakuw a na card lottery?

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mnapendeza sana mnavyoongea kidenishi kuliko kingereza ila witness yuko kama anaibu hivi

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  9 หลายเดือนก่อน

      😃😃🙈

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi napenda kuzungumza kingereza kweli mazingira yetu niliyopo ni ukiongea tu ,utasikia tu huyu naye anajifanya anajua

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 ปีที่แล้ว +1

    Issue ya watoto yani kwa ufupi mtoto huku anamilikiwa na SERIKALI.😂😂😂😂 Wazazi waafrica tunakomeshwaje huku.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣mnanyooka

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 ปีที่แล้ว +1

    ghaii achia Mungu atashughulika,woiiiii

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Hapana huku u deal nao tu kwakweli😀

  • @LoishiyeMollel-ck9bx
    @LoishiyeMollel-ck9bx ปีที่แล้ว +1

    Hamjambo

  • @JaniferMichael
    @JaniferMichael 11 หลายเดือนก่อน +2

    Usa anatairiwa hata anasiku tatu

  • @lazarowillium8161
    @lazarowillium8161 6 หลายเดือนก่อน

    Witness naomba kama una mtu anaelewa kuhusu UK (Uingereza)Visa niunganishe naye

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  6 หลายเดือนก่อน

      Hapana ndugu sina

  • @kissanjulumi-vt3yl
    @kissanjulumi-vt3yl ปีที่แล้ว

    Hello Mimi nipo daa. Najifunza kitu hapo

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Nashukuru sana kwa kuangalia na nimefurahi umepata kitu

  • @kesiathuman9779
    @kesiathuman9779 ปีที่แล้ว

    Sawa dada niko dar

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy ปีที่แล้ว

    Jamani naomba mawsiliano yake Olivia

  • @smilgirl
    @smilgirl ปีที่แล้ว +4

    It's not easy, guys, to get from Bongo to European countries unapitia msoto

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      I am telling you. It has never been easy

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 ปีที่แล้ว

    Witnes kwenye kutairi naihisi na mimi ningefungwa 😅😅😅😅😅......

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂bora umejua mwenzangu

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 11 หลายเดือนก่อน

    Na ilikuwa bank gani?.

  • @happinessshija5136
    @happinessshija5136 ปีที่แล้ว +1

    Nimecheka Eti dating site ni majini 😂😂😂😂😂

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂si ndioo

  • @dominicmasawe7501
    @dominicmasawe7501 ปีที่แล้ว +1

    Nakutakia kila na heri

  • @masomekitwala3758
    @masomekitwala3758 ปีที่แล้ว

    Ludi home nikuoe,nimekupenda

  • @juliethliwenga8980
    @juliethliwenga8980 ปีที่แล้ว

    Je. Kazi. Hotel. Kupata. Kazi Mengement

  • @allymohd5855
    @allymohd5855 9 หลายเดือนก่อน

    Habar dada niko na swal natk nikuliz mm niko zanzibari

  • @sarah-hy7gz
    @sarah-hy7gz ปีที่แล้ว

    Nipate namba yaoliva

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 ปีที่แล้ว +1

    Hata watoto wakike wana Dr wao wale wakuwarudisha watoto nyumban unatahiri watoto wakike ukija nchin wanakupa barua ya kumpeleka mtoto anaingia kwa Dr wakikuta umemuharibu mtoto anaondoka nae jela

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +1

      😳😳Asante kwa nyongeza

  • @mimimtanzania9738
    @mimimtanzania9738 ปีที่แล้ว +1

    Ufaransa hapa nawafuatilia nawapenda kipindi chenu

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Bonjour😊😊. Thank you for watching

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 ปีที่แล้ว +1

    timaloni ni timaloni tuu😂😂😂

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว +5

    Mshahara wa banks umfikii wa usafi ulaya.
    Hata housegirl wa uarabuni hakuna afisa yeyeto wa bank anafikia

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +3

      Asante sana kwa nyongeza kwakweli

    • @sarah-hy7gz
      @sarah-hy7gz ปีที่แล้ว +1

      Kabisa nipo nafanya kz huku Omani nimshahramkubwa Sana

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +1

      @@sarah-hy7gz Kabisa afu ukienda bank wanakupandisha na kukushusha

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 ปีที่แล้ว +1

    Samahan lakin dada wity wagen wakija wawe wanajieleza then muda wa coment msome coment mnatucomfyuuuzi bana😂😂😂

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      😂😂Sawa nashukuru kwa ushauri. Sema saa nyingine hua zinafutika

    • @nicekweba9920
      @nicekweba9920 ปีที่แล้ว

      Anhaa hapo sawa😃nawapenda

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 ปีที่แล้ว

    Leo ndo nimeimaliza nilikua naskiliza huku naoga 😂ndo najiandaa sasa niende kazini,ubarikiwe sana uendelee kutuletea watu wenye madini kama huyu

    • @nicekweba9920
      @nicekweba9920 ปีที่แล้ว

      Nimeiskiliza 3 days😊

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂 Hongera kwa kuimaliza na asante sana kwa feedback

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +2

    Kuna jamaa Mgambia mke alimdivorce kwa vile alisahau birthday yaka mara mbili.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      😂😂😂wewe kwamba hayuko serious

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว

      @@Witnessvlog Alisema anaeona ni mapenzi yameisha akafie mbele. Anasahauje kumuwish birthday?🤣🤣🤣

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna watu maskini km bankers

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Usinambie😫sema wana mikopo mingi na wanafanya maisha

  • @davisminja3742
    @davisminja3742 ปีที่แล้ว

    Jjamani Sia Lyimo nakutafuta sana

    • @Mazoea
      @Mazoea ปีที่แล้ว

      Sia Lyimo anakaka anaitwa Fred lyimo

  • @mnazibaytechnology7085
    @mnazibaytechnology7085 ปีที่แล้ว +1

    Naitwa xavier naangalia tokea mwanza tanzania

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Thanks for watchinh Xavier

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 11 หลายเดือนก่อน +1

    HIVI HAMKUJUWA HAYO MAKATASI YENU YA TANZANIA HAYANASANANI ULAYA?. POLENI SANA. ACHA KAZI YA USAFI IENDELEE. TUWE TUNAULIZA KABLA HAJA AMUWA KUUACHA KAZI YAKO YA MAANA.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  11 หลายเดือนก่อน +1

      Unajua mshahara lakini? au unajisemea tu

  • @aprilrosaliapanda4895
    @aprilrosaliapanda4895 ปีที่แล้ว

    Mbona miwa uw nna tumiwaa hela ila hawaniowi yaan nnachat nayo unanitumia vi $ 50 ila hawaj kunioa

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +1

    Hata nguo za mbwa na matandikio, yanaoshwa kwenye mashine moja na nguo za binadamu.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +1

      Aloo😂🙌🏾

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele ปีที่แล้ว

      SIYO KWELI NGUO ZA MBWA HAZIFULIWI NA ZA BINADAMU PAMOJA

  • @iddramadhani7497
    @iddramadhani7497 ปีที่แล้ว

    NAWEZAJE KWENDA ULAYA

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Angalia video zingine za nyuma

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 9 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani mimi huku tz i wonder,mimi ni nurse assistant yaani yule wa mwaka moja,sasa viongozi walikuja kutukangua sasa hapo tulikuwa atufanya usafi,sasa jamani viongozi wakaja najaribu kujitetea sasa yule kiongozi wa manerse wewe ujue unongea kiongozi sasa ni kashangaa eeh kwa hiyo sirusiwikujitetea

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  9 หลายเดือนก่อน

      It's sad

    • @eliwajajacob8569
      @eliwajajacob8569 5 หลายเดือนก่อน

    • @eliwajajacob8569
      @eliwajajacob8569 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mvarikiwwe mnno wadada mna madini mengi ila niombeeni nitoboe huko ulaya

  • @akleiludovick9853
    @akleiludovick9853 ปีที่แล้ว

    Asee kwenda Ughaibuni ni process ndefu kushinda mbinguni 😅

  • @sarah-hy7gz
    @sarah-hy7gz ปีที่แล้ว

    Ufundi huko upo juu

  • @camilanjau2429
    @camilanjau2429 ปีที่แล้ว +2

    Ulipataje residence permit dada

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว

    Hiyo ya Makulilo, niliambia watu kibao hawakwenda.,bora na wewe walienda wawili.

  • @yahayahanafi3234
    @yahayahanafi3234 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ninatoka. Dar. Tanzania abarizeniu

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Salama Yahya. Asante kwa kuangalia

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +1

    Ukienda kumtairia mtoto Africa ikijulikana unafungwa na unakuwa devoted

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +1

      Aisee nilikua sijui kabisa. Kwakweli kila siku kujifunza

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 ปีที่แล้ว

      😳😳🙌🙌ebu acha basii dada damari imekaaje hiii?iyeeee kibo yan kumbe hii kitu kumtairi mtoto afrika nimajanga,yesuuuu

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 ปีที่แล้ว

      @@Witnessvlog dada witty tena hiii inafaa unaenda mtairi kabisa kwa wakurya anafanyiwa na sherehe,naatapata ng'ombe wengi kweli kweliiiii,tena mzungu mwafrika kaenda kutairiwa kwao yeuwiiiiii ataondoka na kijiji ya ng'ombe kama hamsini hivi maana atawapa heshima😂😂

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว

      @@klaussteiner94 Analia TH-cam kuna news kibao kuhusu kutahiri nchi za Europe. Kwanza UK wakali sana kuhusu hilo.

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว

    Muhimu maslai

  • @sarah-hy7gz
    @sarah-hy7gz ปีที่แล้ว

    Nipo Omani nakufatilia Sana

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Shukrani sana

    • @mishigwan6598
      @mishigwan6598 ปีที่แล้ว

      Oman sehemu gani nataka kusuka Mm nipo Maabelah nasikiliza Madini hapa Yananisaidia najiandaa kuondoka Oman Kwakweli Mshahara Siyo Rafiki na kazi Hazina Off😡

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      @mishigwan6598 Pole sana

  • @miryamjohn4995
    @miryamjohn4995 ปีที่แล้ว +3

    3:12:58 yani mimi utube ninayoangaria mimi ni ya witnesses, bella na shena basi na ninajifuza

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Asante sana Miryam. It mean alot

  • @klaussteiner94
    @klaussteiner94 ปีที่แล้ว +1

    kwani europe mtu akikuzingua ukamzibua inakua nigani

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      😂😂 Inaenda kwenye criminal record yako. Ni vizuri kuepusha ngumi

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 ปีที่แล้ว

      @@Witnessvlog nikumuachia Mungu siyo,lakini mfano ukawekwa kwenye criminal record inaweza kukuletea kama nn vile

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว

      Kaelezea kwenye video. Inakuharibia hata kwenye kazi

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo ya watoto kudate na miaka 12 inanichanganya na sitakaa niizoee hata kidogo. Watoto wa miaka 12 kuvuta sigara nayo sitaizoea. Wangu miaka 18 lakini ilibidi ajifunze mimi ni mama mwafrica, na kuna mambo yao ya Europe sitayakubali hadi Yesu anarudi. Wapeleke maujinga kule.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog  ปีที่แล้ว +1

      Exactly . Ukiwakuza pia kwa misingi yako na kumuomba Mungu anasaidia. Malezi yanaanzia nyumbani

    • @PureSoul-rf4xd
      @PureSoul-rf4xd 9 หลายเดือนก่อน +1

      Hongera dear wafundishe watoto utamaduni wa afrika hata kama sheria zinakata lkn watoto wako wakuelewe

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 ปีที่แล้ว +1

    Jamani aelezee tu aache kusoma comment muda ukifika wakusoma coment zitasomwaa ananichanga ya me mpenda story😂😂