Hi wapendwa. Link hio hapo ya fursa Germany. IB Freiwilligendienste Stuttgart +49 711 8494780 g.co/kgs/QNu3oe www.bundesfreiwilligendienst.de/servicemenue/kontakt.html www.freunde-waldorf.de Apply, like and subscribe.
Wabongo kwa kujua kukatisha watu tamaa tu hawajambo,huyu dada yuko kama mimi huwa sisikilizagi watu nafuata ninachokihitaji mimi na kumuomba Mungu.Watz niwafundishe kitu ukiwa na jambo lako usipende kusikiliza watu wenye kukukatisha tamaa hata siku moja ni wewe na Mungu wako.
Afadhali maana na mimi nimeomba viza ya Danmark imekuwa rejected hapa naenda kujaribu kenya nikikosa nntatumia njia thanks witnes unatupa madini mungu akubariki
Duh leo ndo nimemaliza video nimeangalia three days kila nikitoka kazini ❤❤ I love your videos wtny...nimecheka kwenye malezi yaani nawaza mama zetu yale malez ya ukali nikimwambiaga mamangu sheria za huku anasema weee mi unanidanganya 😂😂anasema mtoto hawez nishtaki 😂 hapo kweny kutahiri ata Africa kuna nchi hawatahiri uuuwi wanaacha hivyo hivyo 😂😂😂😂mi naogopa kabisa culture za watu bhana ni balaa......
Happ kwa mbwa is a family member hata huku US mi kwanza nimekoma siwez kula kwa mtu mweny mbwa kwanza nlivyo na kiichef chef haswa nikiwa period ntatapika mpaka nilazwe 🤣🤣
Mungu akubariki sana dada witness.. samahani hvi kuja USA ni lazima uwe umesema mpaka kidato cha ngapi maana mimi natamani kufika huko lakini sina Elimu naomba unijuze inawezekana??
Umesema sawa kabisa dear, kutahiri huku Europe hawataki, sasa ole wako uende na mtoto bongo likizo umtahiri ukirudi mna kesi ,mana si mtaenda tu clinic, hospitali, shuleni wanaenda swimming ,sauna wanachunguliana huko ,utashtakiwa mchana kweupe.
Nawapata kutoka oman 🥰 dah! Hizi kazi za ndani zina pesa nonoo😋mie nipo omani nalipwa rial 120 karibu tz sh laki 6± sijapiga hesabu hizo ni makadirio tu ila huku michosho sana waarabu 😢najikaza tu ila 🤲nina mpango wa kuja huko hasa Denmark nipige kazi kwa masaa huku tunachokaa japo pesa nzuri weeh😢
Hata watoto wakike wana Dr wao wale wakuwarudisha watoto nyumban unatahiri watoto wakike ukija nchin wanakupa barua ya kumpeleka mtoto anaingia kwa Dr wakikuta umemuharibu mtoto anaondoka nae jela
HIVI HAMKUJUWA HAYO MAKATASI YENU YA TANZANIA HAYANASANANI ULAYA?. POLENI SANA. ACHA KAZI YA USAFI IENDELEE. TUWE TUNAULIZA KABLA HAJA AMUWA KUUACHA KAZI YAKO YA MAANA.
Jamani mimi huku tz i wonder,mimi ni nurse assistant yaani yule wa mwaka moja,sasa viongozi walikuja kutukangua sasa hapo tulikuwa atufanya usafi,sasa jamani viongozi wakaja najaribu kujitetea sasa yule kiongozi wa manerse wewe ujue unongea kiongozi sasa ni kashangaa eeh kwa hiyo sirusiwikujitetea
@@Witnessvlog dada witty tena hiii inafaa unaenda mtairi kabisa kwa wakurya anafanyiwa na sherehe,naatapata ng'ombe wengi kweli kweliiiii,tena mzungu mwafrika kaenda kutairiwa kwao yeuwiiiiii ataondoka na kijiji ya ng'ombe kama hamsini hivi maana atawapa heshima😂😂
Oman sehemu gani nataka kusuka Mm nipo Maabelah nasikiliza Madini hapa Yananisaidia najiandaa kuondoka Oman Kwakweli Mshahara Siyo Rafiki na kazi Hazina Off😡
Hiyo ya watoto kudate na miaka 12 inanichanganya na sitakaa niizoee hata kidogo. Watoto wa miaka 12 kuvuta sigara nayo sitaizoea. Wangu miaka 18 lakini ilibidi ajifunze mimi ni mama mwafrica, na kuna mambo yao ya Europe sitayakubali hadi Yesu anarudi. Wapeleke maujinga kule.
Hi wapendwa. Link hio hapo ya fursa Germany.
IB Freiwilligendienste Stuttgart
+49 711 8494780
g.co/kgs/QNu3oe
www.bundesfreiwilligendienst.de/servicemenue/kontakt.html
www.freunde-waldorf.de
Apply, like and subscribe.
Hello da wity
Nmekuwa interested lkn hii link ipo in Germany nashindwa kuelewa help me please😔
Da witty haiwezekani kubadilisha lugha hapa ukisha fungua link
Sister mdogo wako ni Commis Chef
Dada habari hii namba Iko wasp
Habari dada hii no Iko wasp
Wabongo kwa kujua kukatisha watu tamaa tu hawajambo,huyu dada yuko kama mimi huwa sisikilizagi watu nafuata ninachokihitaji mimi na kumuomba Mungu.Watz niwafundishe kitu ukiwa na jambo lako usipende kusikiliza watu wenye kukukatisha tamaa hata siku moja ni wewe na Mungu wako.
I couldn't have said better that this. Asante
Yes wabongo Wana roho mbaya sana roho za kwanini
Forexapol kama usoma secondary school unaweza apply kwenda kusoma kama any country in Europe
Very powerful video 😍, Hakuna kukata tamaa na kuomba Mungu aku jalie baraka yako “ kutamani njia ya Mwingine kiatu chake uta kiweza ?”.
Swali zuri mwenzangu.Hua mara nyingi tuna tamani raha zao tu sio shida zao. Thanks for watching
Hakuna mtu anaweza Vaa kiatu chamtu kwani mungu ameweka njia yakila mmoja wapwendwa Chamsingi ni kuombeana tuu na kutakiana mema nawapenda
Habari zenu port Elizabeth south Africa.
I see you my brother
Hellow,, nimefurahiii kuona post yako ya kinijin kwetu mwayaya jaman hongeraaa saaana,, nakupenda pia nitakufatiliaa sana
Aw nashukuru sana sana
Dada mungu akubariki sana kuna vitu unatufungua akili ila naomba unijuze kuhusu viza ya canada na garama zake kama utakua unazijua dada angu samahani
Nashukuru. Hapana sijui
Moja ya vitu vzuri sasa iv mnafanya ni kuwa wawaz kuwafungulia watu wengine njia Mungu awabariki sana
Shukrani sana
Am watching from TZ. Good evening
Yaani wity hii video nimeipenda sana nilikua naangalia huku nadeki mala napika ilimradi tu nasikiliza madini😂
Kweli Nice umeipenda. Asante kww kuangalia. Ilikua ndefu hakika
Huwa hawajui kama sisindio tunawaweka
Huyu dada Oliver ameongea vizuri.. Hongera Witness kwa kazi nzuri, keep it up😍
Asante sana Flazia kwa feeback
Love you endlea na hyo Moyo utafika mbali utabarikiwa
Habari nipo usa
Hongera sana nimekupenda bure wewe ni mpambanaji
Haswaa yani
Kaongea mambo mengi ya ukweli kabisa. Interview ilikuwa nzuri sana.
Asante sana dear
Mtaniii😅 Amemaliza kila kitu
Tunakushuru Sanaa kwa mafunzo❤
@salhamvungi1744 🙏🏾🙌🏾
Hiy am Sonia from Tanzania your doing great
Thank you Sonia🫶🏾
Hongera sana
Namkumbuka Olivia alinifungulia account za watoto wangu DTB bank mbezi beach kwa zena huyu Olivia ni mtu Poa sana ana smile all the time ❤️
Wow wow! I am happy to read this.
She is amazing
Na mimi nahitaji inakuwaje sasa
Dar yn mungu anisaidie yan najua kusuka najua kufuma najua kupika
Nakupenda Witness unatufanya tunajua vitu vingi ubarikiwe sana sana hujui tu ni watu wangapi unawasaidia ❤
Asante sana Neema. Nakupenda pia
Asante kwa sapoti
Nimefurah Sana Dada witness
Najua kusuka najua kupika najua kushona najua kufuma asee nikija huko asee me nivery mchanga
Straight from Tz
Habar
Napenda sana kipindi
Nashukuru sana kwa mrejesho
US kabla mama hajatoka hospital mmemaliza kabisa. So day 2,3,4 done.
Hongera sana mrembo
🙏🏾🙏🏾
Afadhali maana na mimi nimeomba viza ya Danmark imekuwa rejected hapa naenda kujaribu kenya nikikosa nntatumia njia thanks witnes unatupa madini mungu akubariki
Oh pole sana Leila. I am glad umepata kitu
@@Witnessvlog kabisa mungu akubariki
God bless you witness
but my comment is that
"MARCO 9:23 "
Jesus said to him, “If[a] you can believe, all things are possible to him who believes.”
A powerful verse. Thank you
Mm nasoma zangu kijerumani mungu akijalia nitafika na mm ulaya
Way to go🙌🏾🫶🏾
Samahani naweza kupata email yako ndugu , ili kupata taarifa zaidi kuhusu kusoma kijerumani
Niko interested na hii lugha
Hello Naomba mawasiliano yako sorry na je ulifankiwa kumalza kusoma kgermany
Nendeni Goethe institute iko dar kwa maelezo zaidi kuhusu kijerumani
Duh leo ndo nimemaliza video nimeangalia three days kila nikitoka kazini ❤❤ I love your videos wtny...nimecheka kwenye malezi yaani nawaza mama zetu yale malez ya ukali nikimwambiaga mamangu sheria za huku anasema weee mi unanidanganya 😂😂anasema mtoto hawez nishtaki 😂 hapo kweny kutahiri ata Africa kuna nchi hawatahiri uuuwi wanaacha hivyo hivyo 😂😂😂😂mi naogopa kabisa culture za watu bhana ni balaa......
Hongera kwa kumaliza kwakweli. 🤣🤣🤣yes nizakuheshimu
Good
Oliva nimekuelewa vizuri sana, kweli hakuna kukata tamaa kwenye kutimiza ndoto za malengo uliyojiwekea. Nimejifunza kitu kikubwa sana.
💪🏾💪🏾💪🏾 Exactly
@@Witnessvlog mie nimekupenda my unatujibu ujumbe zetu sio kama wengine sitaki kuwa sema
Happ kwa mbwa is a family member hata huku US mi kwanza nimekoma siwez kula kwa mtu mweny mbwa kwanza nlivyo na kiichef chef haswa nikiwa period ntatapika mpaka nilazwe 🤣🤣
🤣🤣🤣
Mungu akubariki sana dada witness.. samahani hvi kuja USA ni lazima uwe umesema mpaka kidato cha ngapi maana mimi natamani kufika huko lakini sina Elimu naomba unijuze inawezekana??
Inategeamana unataka kwenda USA kwa staili gani. Kama umeoa/ kuolewa huitaji elimu . Tembelea chanel ya EBM swahili kujifunza zaidi
Aah! Ahsante sana dada mfano kama mimi nataka nije huko niwe Track driver
@luckysodube7443 Sijui kuhusu hilo. Endelea kuangalia videos
Sawa dada
Jamani eeeeh mbona mambo varse versa hivyo,mimi nikajua kutahiri imetoka huko kwa wazungu😮 eeeh endeleni kutupa elimu
Abarikiwe mno dada hiyo
Umesema sawa kabisa dear, kutahiri huku Europe hawataki, sasa ole wako uende na mtoto
bongo likizo umtahiri ukirudi mna kesi ,mana si mtaenda tu clinic, hospitali, shuleni wanaenda swimming ,sauna wanachunguliana huko ,utashtakiwa mchana kweupe.
Happ kwenye kuchunguliana bado sijazoea kwakweli😂😂😂
Hapana jamani shoga jamani muombeni Mungu apijisheni mbali mbali naombeni muombeni Mungu jamani
😂😂😂😂😂Pengine uongo unasaidia
❤
@Witnessblog Umenichekesha Eti Mbwa Wa Bongo Wameteseka🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣sana yani
Mm si kwamba na sema nini hata nyumbani kwetu baba yangu ilikuwa lazima tupikie mbwa chakula tena cha nyama
Nyie mlitisha sana
Kweli sisi ni wavivu kusoma mzungu kasema basi mungu hacha tabia hii.utaingia choo kike
Kabisa yani hatupendiii . Yani tuna chakujifunza
nakufuatilia kutoka màfinga Tz. stori zako ni nzuri sana. zinatutoa tongotongo
Mepakumbuka Mafinga. Nashukuru sana ndugu yangu kwa mrejesho
Mafinga nimesoma huko ase baridi
@@sarah-hy7gz ulisoma wapi ndugu?. Mimi nilisoma chuo huku na ajira nikajapangiwa huku baridi ni Kali sana.
Wape hai hukoo hm
Mafinga ,karibu block j
Dada mcheshi sana nimempenda sana.hana Chanel TV?
Yuko vizuri. Hana
Upo sahihi kabisa hakuna kitukigumu km ukose visa asee huwa nachanganyikiwa yn niliachwa na ndege yan mara mbili
I know😫😫. Mara 2 weee! pole
Yn acha tu lkn mungu alinisaidia
Dada vipind vyk vinakuw lini na lini natk nikufatilie live napnd san unach kifny
Habari ally. Sina ratiba maalumu. Nikushauri uturn on notification ili usipitwe
pamoja sana
Shukrani sana
Bint yangu anapenda kuja ulaya lakini anashindwa aanze na kipi kati ya passport na visa
Angalia video hii inamaelezo ya swali lako
th-cam.com/video/rckEpKtkLP0/w-d-xo.htmlsi=5Qy0rXq4cCPiRmzA
Passport ni ya kwanza Viza zinafuata baadaye
😊
Akizaliwa tuu unapopewa ruhusuwa kutoka hospital basi anafanyiwa suna
Iam from Kenya
Yn huyu nimimi. Kabisa
Nawapata kutoka oman 🥰 dah! Hizi kazi za ndani zina pesa nonoo😋mie nipo omani nalipwa rial 120 karibu tz sh laki 6± sijapiga hesabu hizo ni makadirio tu ila huku michosho sana waarabu 😢najikaza tu ila 🤲nina mpango wa kuja huko hasa Denmark nipige kazi kwa masaa huku tunachokaa japo pesa nzuri weeh😢
Asante sana kwa feedback. Pole mama piga kazi na dreams do come true
@@Witnessvlog amiin 😍
Pole, pia hongera sana, natamani kuja uko kufanya KAZI ila nakosa namna naomba unisaidie na mm jamani.
Nimempentaaaa anastory hadi raha😂❤
Sana yani🙌🏾🫶🏾
Nimeenjoy kumsikiliza kwakweli
Dada nimekupenda unasema kweli wewe sio muchoyo
Thank you for watching🥰
Samahani jamani na Germany 🇩🇪 wanakuw a na card lottery?
Hapana
Mnapendeza sana mnavyoongea kidenishi kuliko kingereza ila witness yuko kama anaibu hivi
😃😃🙈
Mimi napenda kuzungumza kingereza kweli mazingira yetu niliyopo ni ukiongea tu ,utasikia tu huyu naye anajifanya anajua
Issue ya watoto yani kwa ufupi mtoto huku anamilikiwa na SERIKALI.😂😂😂😂 Wazazi waafrica tunakomeshwaje huku.
🤣🤣🤣🤣mnanyooka
ghaii achia Mungu atashughulika,woiiiii
Hapana huku u deal nao tu kwakweli😀
Hamjambo
Tuko salama karibu
Usa anatairiwa hata anasiku tatu
Witness naomba kama una mtu anaelewa kuhusu UK (Uingereza)Visa niunganishe naye
Hapana ndugu sina
Hello Mimi nipo daa. Najifunza kitu hapo
Nashukuru sana kwa kuangalia na nimefurahi umepata kitu
Sawa dada niko dar
Asante kwa kuangalia
Jamani naomba mawsiliano yake Olivia
It's not easy, guys, to get from Bongo to European countries unapitia msoto
I am telling you. It has never been easy
Witnes kwenye kutairi naihisi na mimi ningefungwa 😅😅😅😅😅......
😂😂😂😂bora umejua mwenzangu
Na ilikuwa bank gani?.
Nimecheka Eti dating site ni majini 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂si ndioo
Nakutakia kila na heri
Ludi home nikuoe,nimekupenda
🤣🤣Ameolewa
Je. Kazi. Hotel. Kupata. Kazi Mengement
Habar dada niko na swal natk nikuliz mm niko zanzibari
Uliza
Nipate namba yaoliva
Hata watoto wakike wana Dr wao wale wakuwarudisha watoto nyumban unatahiri watoto wakike ukija nchin wanakupa barua ya kumpeleka mtoto anaingia kwa Dr wakikuta umemuharibu mtoto anaondoka nae jela
😳😳Asante kwa nyongeza
Ufaransa hapa nawafuatilia nawapenda kipindi chenu
Bonjour😊😊. Thank you for watching
timaloni ni timaloni tuu😂😂😂
😀🙌🏾
Mshahara wa banks umfikii wa usafi ulaya.
Hata housegirl wa uarabuni hakuna afisa yeyeto wa bank anafikia
Asante sana kwa nyongeza kwakweli
Kabisa nipo nafanya kz huku Omani nimshahramkubwa Sana
@@sarah-hy7gz Kabisa afu ukienda bank wanakupandisha na kukushusha
Samahan lakin dada wity wagen wakija wawe wanajieleza then muda wa coment msome coment mnatucomfyuuuzi bana😂😂😂
😂😂Sawa nashukuru kwa ushauri. Sema saa nyingine hua zinafutika
Anhaa hapo sawa😃nawapenda
Leo ndo nimeimaliza nilikua naskiliza huku naoga 😂ndo najiandaa sasa niende kazini,ubarikiwe sana uendelee kutuletea watu wenye madini kama huyu
Nimeiskiliza 3 days😊
😂😂😂😂 Hongera kwa kuimaliza na asante sana kwa feedback
Kuna jamaa Mgambia mke alimdivorce kwa vile alisahau birthday yaka mara mbili.
😂😂😂wewe kwamba hayuko serious
@@Witnessvlog Alisema anaeona ni mapenzi yameisha akafie mbele. Anasahauje kumuwish birthday?🤣🤣🤣
Hakuna watu maskini km bankers
Usinambie😫sema wana mikopo mingi na wanafanya maisha
Jjamani Sia Lyimo nakutafuta sana
Sia Lyimo anakaka anaitwa Fred lyimo
Naitwa xavier naangalia tokea mwanza tanzania
Thanks for watchinh Xavier
HIVI HAMKUJUWA HAYO MAKATASI YENU YA TANZANIA HAYANASANANI ULAYA?. POLENI SANA. ACHA KAZI YA USAFI IENDELEE. TUWE TUNAULIZA KABLA HAJA AMUWA KUUACHA KAZI YAKO YA MAANA.
Unajua mshahara lakini? au unajisemea tu
Mbona miwa uw nna tumiwaa hela ila hawaniowi yaan nnachat nayo unanitumia vi $ 50 ila hawaj kunioa
Eeh endelea kusali
Hata nguo za mbwa na matandikio, yanaoshwa kwenye mashine moja na nguo za binadamu.
Aloo😂🙌🏾
SIYO KWELI NGUO ZA MBWA HAZIFULIWI NA ZA BINADAMU PAMOJA
NAWEZAJE KWENDA ULAYA
Angalia video zingine za nyuma
Jamani mimi huku tz i wonder,mimi ni nurse assistant yaani yule wa mwaka moja,sasa viongozi walikuja kutukangua sasa hapo tulikuwa atufanya usafi,sasa jamani viongozi wakaja najaribu kujitetea sasa yule kiongozi wa manerse wewe ujue unongea kiongozi sasa ni kashangaa eeh kwa hiyo sirusiwikujitetea
It's sad
❤
Mvarikiwwe mnno wadada mna madini mengi ila niombeeni nitoboe huko ulaya
Asee kwenda Ughaibuni ni process ndefu kushinda mbinguni 😅
😂😂😂🙌🏾🙌🏾
Hahahaha
Ufundi huko upo juu
Ulipataje residence permit dada
Ameelezea kwenye video
kuolewa
Hiyo ya Makulilo, niliambia watu kibao hawakwenda.,bora na wewe walienda wawili.
Yani hatujachangamka
Mimi ninatoka. Dar. Tanzania abarizeniu
Salama Yahya. Asante kwa kuangalia
Ukienda kumtairia mtoto Africa ikijulikana unafungwa na unakuwa devoted
Aisee nilikua sijui kabisa. Kwakweli kila siku kujifunza
😳😳🙌🙌ebu acha basii dada damari imekaaje hiii?iyeeee kibo yan kumbe hii kitu kumtairi mtoto afrika nimajanga,yesuuuu
@@Witnessvlog dada witty tena hiii inafaa unaenda mtairi kabisa kwa wakurya anafanyiwa na sherehe,naatapata ng'ombe wengi kweli kweliiiii,tena mzungu mwafrika kaenda kutairiwa kwao yeuwiiiiii ataondoka na kijiji ya ng'ombe kama hamsini hivi maana atawapa heshima😂😂
@@klaussteiner94 Analia TH-cam kuna news kibao kuhusu kutahiri nchi za Europe. Kwanza UK wakali sana kuhusu hilo.
Muhimu maslai
Kabisa yani
Nipo Omani nakufatilia Sana
Shukrani sana
Oman sehemu gani nataka kusuka Mm nipo Maabelah nasikiliza Madini hapa Yananisaidia najiandaa kuondoka Oman Kwakweli Mshahara Siyo Rafiki na kazi Hazina Off😡
@mishigwan6598 Pole sana
3:12:58 yani mimi utube ninayoangaria mimi ni ya witnesses, bella na shena basi na ninajifuza
Asante sana Miryam. It mean alot
kwani europe mtu akikuzingua ukamzibua inakua nigani
😂😂 Inaenda kwenye criminal record yako. Ni vizuri kuepusha ngumi
@@Witnessvlog nikumuachia Mungu siyo,lakini mfano ukawekwa kwenye criminal record inaweza kukuletea kama nn vile
Kaelezea kwenye video. Inakuharibia hata kwenye kazi
Hiyo ya watoto kudate na miaka 12 inanichanganya na sitakaa niizoee hata kidogo. Watoto wa miaka 12 kuvuta sigara nayo sitaizoea. Wangu miaka 18 lakini ilibidi ajifunze mimi ni mama mwafrica, na kuna mambo yao ya Europe sitayakubali hadi Yesu anarudi. Wapeleke maujinga kule.
Exactly . Ukiwakuza pia kwa misingi yako na kumuomba Mungu anasaidia. Malezi yanaanzia nyumbani
Hongera dear wafundishe watoto utamaduni wa afrika hata kama sheria zinakata lkn watoto wako wakuelewe
Jamani aelezee tu aache kusoma comment muda ukifika wakusoma coment zitasomwaa ananichanga ya me mpenda story😂😂
🤪🤪🙌🏾