Aise. Donyota Mimi. Sijui chochote nataka. Kuja huko. Ebu naomba unisaidie. Kunifanyia mipango yote. Mpaka nifike huko jamaa. Unisaidie. Mpaka magiresheni huko. Iri nifike huko naomba nisaidie
Dinyota Mimi Hera ninayo. Rakini. Sijui chochote. Naomba unisaidie. Kutoka huku. Mpaka nifike huko. Unisaidie. Maana sijui kujiereza. Huko magiresheni. Kwahiyo naomba. Unisaidie. Mimi nije huko. IRA kirakitu unisaidie. Mimi. Nifike. TU. Bira kujierezagiresheni ya huko. Yani nikute umenisubiria. TU huko tufanye mipango nije Hera ninayo
B nyota tu naomba majibu, Je naingia hapo bila pepa nitaomba kutafutiwa chumba pia nitahitahi kujua gharama sake za kunitafutia nyumba, gharama ya kunitafutia kazi wakati nipo hapo
tupo pamoja Mwanangu D.star..Napambana Hadi nitie maguu pande hizo
Leo umeongelea swala ambalo nilikuwa nafikiria kwa newyok Asante sana mimi shabiki lako
Hongera an Bro Dnyota kw kutulisha material mazur zaid km hayoo na Mungu Akubarik
Soon nipo uko 😅😅😅😅 daaah
Naona maelekezo
MAMBO VIPI
Pamoja sana kiongozi wangu
Napambana mpaka Nike hapo new yok
Nakubar bother kak tupe madin
Dnyota nakukubali kamanda wangu
Aise. Donyota Mimi. Sijui chochote nataka. Kuja huko. Ebu naomba unisaidie. Kunifanyia mipango yote. Mpaka nifike huko jamaa. Unisaidie. Mpaka magiresheni huko. Iri nifike huko naomba nisaidie
Nimecheka hapa mwisho eti nimeingia na sijalipia hiyo elfu saba
Kalipe ndio uje IG
Asante
Pamoja
Dnyota ,Mungu anakulinde na wachawi kaka
Amen 🙏🏾
Dinyota Mimi Hera ninayo. Rakini. Sijui chochote. Naomba unisaidie. Kutoka huku. Mpaka nifike huko. Unisaidie. Maana sijui kujiereza. Huko magiresheni. Kwahiyo naomba. Unisaidie. Mimi nije huko. IRA kirakitu unisaidie. Mimi. Nifike. TU. Bira kujierezagiresheni ya huko. Yani nikute umenisubiria. TU huko tufanye mipango nije Hera ninayo
Mimi nitakutafuta saiz natafuta pesa
Tutaenda wote
Sawa
Hongara sn bro Dnyota unatuhamisisha sn sn kiukwl kbsa
B nyota tu naomba majibu, Je naingia hapo bila pepa nitaomba kutafutiwa chumba pia nitahitahi kujua gharama sake za kunitafutia nyumba, gharama ya kunitafutia kazi wakati nipo hapo
Mimi nahitaji mawasiliano jamani ya kwako tafadhali
Aise ni mapambano kweli kweli d nyota sema ni mpambanaji sana
Yap kabisa
Nitakutafuta soon
Sawa