BONDIA ALIYEMTANDIKA MTANZANIA AHISIWA KUTUMIA MADAWA YA KUMUONGEZEA NGUVU/VIPIMO VYACHUKULIWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ก.ย. 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Bado nakukubali Sana Tony , you can my friend
Technical fight ulizisahau Brother,
Uliwaza sana mkanda ukasahau kiwa One second can Change the game,Hapa ni nyumban,kama kashinda ni ameshinda Mbinu zake za mchezo,si kwa uchawi wala dawa Za stimulate
Kifupi uko vizuri,nmependa the way unafght kwanza huko mwenye kupani wala huna hofu hata kdogo,ukitupa znafka fesh sana but all in all ASIYEKUBALI KUSHINDWA__,_!??
Tonny wewe ni bonge la bondia, hongera sana brother
tony uko vizuri sana tunataka bondia kama wewe
Keep on fighting mr,,,, uwezo unao
Polee xana Mwamba ila uko vizuriii yule Mshenzi Japo Anatechnic ila bdo unammudu xana still Tunakuamini Sana Tony Go Goo Goooo Mwambaa
Congratulations ninja upo vizur 🥊🥊
The champion mwakinyo...i watched the game from #afghastan clear
Umepigwa kihalali round nyingi umepigwa hakuna dawa hapo ulizidiwa mbinu na ujanja jamaa ni very professional
Umepigwa acha uongo
Nc Tony respect 👏🙏naku ombea kla wakat baba nshallah uta fkia malengo yako
Asiekubali kushinda sio mshindani bratha
Achana na izo fikra chafu dogo,fanya mazoezi acha kukurupuka mechi ulishaimaliza harafu round ya mwisho unaforce KO..ungetulia tu ushinde kwa point
Hapandio tunapopotea kimsingi anajuangumi nilitegemea tujifunze baazi yavitu kutokakwake Sasa tunaanza kudanganyana refamwenyewe alizingua pale alipokuwa anamwambia jamaa asikimbiekimbie hiishelia yawapi
Anaonekana kakulia kwenye karate yule bwana ,ndo maana ana uwezo wa kunyumbulika sana yani ni mf.wa wapiganaji kama Terence Crawford na prince naseem ,sasa watu wa aina hiyo kuwapiga ni ngumu sana.
Wabongo ndivyo tulivyo tukipigwa kumamae
Uko vizuri sana broo
We ushapgwa tujipange upya .. ulirewa ushindi bro JIFUNZE hcho kitu....Ila kupgwa umepgwa🥱
Dah Kaka umecheza vizuri angalia ulikosea wapi mwenzio alijiandaa Kama wewe usifikiri ulikua unapigana na kilaza kubali umeshindwa ni vitu vya kawaida kwenye mchezo ukifanya mistek mwenzio anaitumia achana na maneno ya kishabiki mnataka mumtengenezee kipindi mumnyang'anye mkanda wake hiyo dawa asitumie raundi zote 11 aje atumie raundi ya mwisho
mimi sio mtaalamu wa afya ila najua dawa ya kumeza absoption yake kwenda kwenye damu huchelewa si chini ya masaa mawili.....mi nadhani aache tu visingizio ajipange upya
Mmmh watanzania sie tukishindwa tunatoaga sabbu. Bora tukubali matokeo
Kaka upo vizuri
Usipende kusingizia vitu,ilo jambo unaongea huna uhakika,tatizo ulitaka KO ya haraka
We kubali umepigwaaaa
Nakapgwa kwer
tony nimekukubali na kuanzia leo ntakushabikia
Shida haikutakiwa umfate tena kwenye raondi ya mwisho ungelilakisi nawe maana ulitaka kumpiga k o ikashindikana jamaa akakuotea ukapotea.siamini kuwa ni dawa
Hatari ya ngumi ya Kidevu kwa Toni ilionekana mapema sana Sijui Makocha mlikua wapi kama alishinwa kumaliza raund 11 utaweza 1 ya mwisho wakati makocha mlikua mnajua kabisa kijana kashashinda raund zote 11.Mmeshindwa kumwambia awe na tahadhali inauma sana lawa ma ziende kocha na uongozi wa Tonny.
Kaka salute
Namlaumu kocha wako kashindwa kukupa maujanja ulikua unaongoza point round zote ile ya mwisho unge relax tu ungemuacha akimbie nayey akikufata unamkimbia umuon maywether akisha ongoza point anavyo fanya
asiyekubali kushindwa si mshindani.Kubali kushindwa na ujipange upya.
Msela unajua sana sema nini bondia kupoteza pambano nikitu cha kawaida bas vunga tujipange upya?
Apana uyujama kafanyiwa hujuma
Kashinda kihalali huyo bwana .
Dogo acha izo imani wewe pambano lilikuwa lako ww mwenye umeyumba
umepgwa acha lawama,haiwezekan mda wote ucheze vzur alafu upgwe raundi ya mwsho
Kujiamini Kupita Kias Ndio Kimesababisha ,Hafu Ulikuwa Unataka Njia Mkato
Kwani huwaga hamkagu liwi
Ww unawaza ko raund ya mwisho na ushascore san
Hahahahaha ngumi nzito mpaka anasingizia madawa kudadadeki hahahahaha
Tony wewe ni bondia unae sta hil pongez kaza baba uta fkia malengo nshallah
Kwa mm ww ndiyo bondia bora Tanzania kaka
Round ya mwisho ulitakiwa ukimbie na wewe amekuwin jamaa sio dawa
Nihatari
Kubali matokeo
Huna kocha amoma sio kocha mpuuz tu
Na wewe ungetumia .
Acha kuskingizia dawa ww
😀😀
Unapendaa mshindee nyiee tuuuuu
Kaka huu ni mchezo siku hazifanani tuwe tunakubali matokeo wewe ulijiandaa na mwenzio alijiandaa pia bahati haikuwa yako fanya maxoezi zaidi angalia wapi ulikosea ili ufanye vizuri mchezo unaofuata tuache hizo fikra potofu hatutafika mbali katik michezo
Toni uko vizur dogo