Pamewaka!! CHADEMA WAIVURUGA CCM KAMSAMBA //WANACCM 100 WAHAMIA CHADEMA //WAFUNGUKA BAADA YA KUHAMIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimeendelea na mikutano yake huku kikiendelea kuhamasisha wananchi kuendelea kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ili kuchagua viongozi bora.
    Gideon Siame ambaye ni katibu wa chadema wilaya ya mbeya akizungumza na wananchi wa kamsamba amesema wao kama chadema watahakikisha wanaendelea kutoa elimu kwa wananchi namna ya kujiandikisha huku akiwaonya ccm kutowapatia pesa wananchi ili wawapigie kura.
    Naye FRANK MWAKAJOKA ambaye ni makamu mwenyekiti wa kanda ya nyasa amesema wamejipanga kushinda uchaguzi ujao kwa kishindo kwani amesema wao kama chadema hawataka kuona wananchi wa kamsamba wanapata shida ususani katika miundombinu yao.........
    Hata hivyo mwakajoka amesema miundombinu ya barabara maji imekuwa ni changamoto kwa wakazi hao ambayo inahatarisha usalama wao na kuahidi kulifanyia kazi.
    Baada ya kumtano huo kumalizika chadema wamewapokea wanachama wapya 100 ambao wamejiunga na chadema wakitokea ccm

ความคิดเห็น • 47

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 หลายเดือนก่อน +5

    ❤❤❤❤❤❤❤CHADEMA OYEEE

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv หลายเดือนก่อน +5

    Safiiii sanaaaaa

  • @rogersiddy
    @rogersiddy หลายเดือนก่อน +3

    Duh huyu jamaa wa kwanza hatari sana kichwa sana akili mingi✌️💪

  • @SedekiaIsrael
    @SedekiaIsrael 15 วันที่ผ่านมา +1

    Nakubaliii

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 หลายเดือนก่อน +1

    Hongereni chadema

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 หลายเดือนก่อน +3

    Hongeraa sanaa ndugu kwa maneno yenye mashiko na yana machungu makubwa kulingana ma uovu wa ccm

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd หลายเดือนก่อน +3

    Makamanda wako wengi usilime

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666
    @fadhilikyandofadhilikyando5666 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani huyu jama mwambaaa huyuu jamani vivaaa mwakajokaaa

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi หลายเดือนก่อน +5

    CHADEMA OYEE❤❤❤❤❤

  • @jitulakaleboymastr6477
    @jitulakaleboymastr6477 หลายเดือนก่อน +1

    Pow vipi

  • @user-oq6dx8mf9x
    @user-oq6dx8mf9x หลายเดือนก่อน

    Sela safi kijana uko vizuli

  • @ErickAlipipi
    @ErickAlipipi หลายเดือนก่อน

    Chaguen chadema kwa maendereo ya taifa letu kwasababu kodi zetu ndio zinazoJenga miundombinu huduma zote zakijamii ccm imechoka watanzania tuamke

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 29 วันที่ผ่านมา

    Kazi ipo

  • @TegemeaFutemakatifu
    @TegemeaFutemakatifu หลายเดือนก่อน +3

    Siame nakuona ukipambania wana Kamsamba Kijana,Nakukubali acha kabisaaa Kijana wa Sheria Nakukumbuka Unavokuwaga Mbeya

  • @user-uy4oi1pk4j
    @user-uy4oi1pk4j หลายเดือนก่อน

    chadema piya matapeli tena wakutisha acheni porojoo

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 4 วันที่ผ่านมา

    Wapumbavu wengi hawakuelewi wenye akili tunakuelewa

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna mzee alikuwa anahamia CCM kila anakokwenda, kila akiona kiongozi wa CCM amefika kijijini. Kahamia CCM mara 23 ndani ya miaka 7 na analipwa kila akihamia CCM.

    • @evaemil856
      @evaemil856 หลายเดือนก่อน

      Siunajua CCM wanajua kukupa lugha Tamu hivyo anachuwa kadi Ya CCM then anagundua kadanganywa, mambo waliahidiwa ni hewa basi anarudisha kadi, baadae viongozi wa CCM wanakuja na ahadi nyingine kwa sababu Ya njaa na pombe aliyonywesha, anaingia laini tena, inakuwa ni kamchezo Sasa.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 หลายเดือนก่อน +2

    Wenye akili timamu tu ndio. Watakuelewa misukule tu ndio itarubuniwa kwa chumvi

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 หลายเดือนก่อน +3

      Shida ya nchi hii misukule isiyo na akili ni mingi iki gongewa hodi na kupewa efu kumi-laki moja- milioni inapokea na kwenda kuchagua ccm na hii yote kwasbabu ya kuleweshwa moshi wa mwenge maisha yao yote

  • @evaemil856
    @evaemil856 หลายเดือนก่อน

    Hizo za Nape Nnauye na wenzake kuwanywesha watu pombe ili wamchague.

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda หลายเดือนก่อน

    Akili kubwa sana

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666
    @fadhilikyandofadhilikyando5666 หลายเดือนก่อน +1

    Anaongeaa pointii tuuu

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 หลายเดือนก่อน

      Anajua wajibu wa kiongozi ni nini

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo หลายเดือนก่อน

    Kaaaa!,!

  • @FestoLalata
    @FestoLalata หลายเดือนก่อน +3

    Naomba swala la maji hatuna maji hapo chilulumo likemeeni Jambo hilo

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 หลายเดือนก่อน

    Hao vijana unaotaka wawe na hasira kwa viongozi wao iyo ni nidhamu ya wapi hiyo na kama chama mmefeli

  • @LusiaThom
    @LusiaThom หลายเดือนก่อน

    Nawewe utakuwa Ivo mwakajoka alogoza alileta nn nyie chadama matapeli sanaaa awoooo

    • @user-dg3qi9yf6h
      @user-dg3qi9yf6h 5 วันที่ผ่านมา

      Wewe unaakili ccm ndio matapeli

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome359 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi mnahoji ofisi kuu...

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t หลายเดือนก่อน +4

    Ccm utopolo hamna kitu

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq หลายเดือนก่อน

    Huna lolote ccm hata kama anajua kuogea ccm iko mbele

  • @MichaelJonas-v5o
    @MichaelJonas-v5o หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏

  • @kyungualbetina8739
    @kyungualbetina8739 หลายเดือนก่อน

    Hizo kelele tu mbona mmeshindwa kujenga ofisi. Zenu yasio wahusu mtayaweza

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 29 วันที่ผ่านมา

      Umezaliwa mwaka gani ofisi za CCM na viwanja tulikuwa tunakatwa kwenye mishahara yetu penda usipende unakuta makato kwenye salary slip

  • @deohank5995
    @deohank5995 หลายเดือนก่อน

    Hizi ndo siasa tamu na chungu zisizoumiza

  • @FestoLalata
    @FestoLalata หลายเดือนก่อน

    Naomba mnijibu wadau hapo nikamsamva mjini au chilulumo au mkulwe au ivuna au wapi ?

  • @FestoLalata
    @FestoLalata หลายเดือนก่อน

    Kiongozi mi nipo Dar hapo nikamsamva sehemu gani ?

  • @LusiaThom
    @LusiaThom 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Acha matusi wewe awakutaki uku kasome kwanza

  • @FestoLalata
    @FestoLalata หลายเดือนก่อน

    Kamsamba sehemu gamu gani hapo ?

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 หลายเดือนก่อน

      Mbozi huko ndio wanaongoza kulima Michele mzuri sana Tz

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x หลายเดือนก่อน +1

    Ccm miaka 60 jaman bado Kuna shida ya maji?

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l หลายเดือนก่อน

    Ccm hawataki mdomo mtupu.

  • @Anordgration
    @Anordgration 2 วันที่ผ่านมา

    Mmeshindwa kujenga ofisi yenu mnataka jambo? Poleni sana wapuuzi nyie wewe utampa nani chakula mzee? Polojo tupu mmepewa mkakimbia saivi mnahamasisha ngeo tunawajua hamna sera nyie waambie wananchi mlichofanya nyie?

  • @Anordgration
    @Anordgration 2 วันที่ผ่านมา

    We acha uongo dogo mshamba wewe, unatukana watu kwamba wao ni walevi sana? We mjinga tuuuu